Wahudumu wa bodaboda za umeme kaunti za Mombasa na Kilifi walalamikia huduma duni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 окт 2024
  • Wahudumu wa Bodaboda za umeme kaunti za Mombasa na kilifi wanataka matwaka waliyowasilisha kwa kampuni inayotengeneza pikipiki hizo pamoja na asasi za serikali kushughulikiwa. Kupitia Mwenyekiti wao Samuel Ogutu wanadai wanaboboda wanaendelea kupata hasara kutokana na baadhi ya maamuzi yalioafikiwa

Комментарии • 5

  • @naominekesa735
    @naominekesa735 10 месяцев назад +1

    Wali furahiya wakipewa waendelee tu 😅😅😅😅😅ruto naye ni nani naendelea kutafuta soko india😂😂😂

  • @galaxyqwer7438
    @galaxyqwer7438 10 месяцев назад

    Wacha kiwarambe juu watu huwa wakiona kitu nikukimbilia

  • @judymoraamachongo99
    @judymoraamachongo99 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hpe ruto is happy with you guys

  • @jonesmwanzia7977
    @jonesmwanzia7977 10 месяцев назад

    Wakenya wanapeda kupata pesa yenye aina expense😂

  • @cyruskarimi6980
    @cyruskarimi6980 10 месяцев назад

    Simply government Scum 😮