Wahudumu wa bodaboda za umeme kaunti za Mombasa na Kilifi walalamikia huduma duni
HTML-код
- Опубликовано: 8 окт 2024
- Wahudumu wa Bodaboda za umeme kaunti za Mombasa na kilifi wanataka matwaka waliyowasilisha kwa kampuni inayotengeneza pikipiki hizo pamoja na asasi za serikali kushughulikiwa. Kupitia Mwenyekiti wao Samuel Ogutu wanadai wanaboboda wanaendelea kupata hasara kutokana na baadhi ya maamuzi yalioafikiwa
Wali furahiya wakipewa waendelee tu 😅😅😅😅😅ruto naye ni nani naendelea kutafuta soko india😂😂😂
Wacha kiwarambe juu watu huwa wakiona kitu nikukimbilia
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hpe ruto is happy with you guys
Wakenya wanapeda kupata pesa yenye aina expense😂
Simply government Scum 😮