Wafanyibiashara kaunti ya Kilifi walalamikia mswada wa kudhibiti biashara ya Mogaka
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Wafanyibiashara wa Mogoka katika kaunti ya Kilifi sasa wanalalamikia hatua ya bunge la kaunti hiyo kuidhinisha mswada unaodhibiti uuzaji na utumizi wa mairungi haya.
Tafuteni soko kwengine, i support Governor Kingi, i will go to Kilifi to vote for him! Count on me Governor!!!!!!!! Governor Joho, join your friend!!!!! We're tired!!!!!!!!
This is pure narcotics must be prohibited
Yes komesheni unaaribu vijana wanakua kama mbuzi
Hapana mogoka iendele tutachana nn sasa watching from saudi Arabia nikirudi nadai kuchana
Mogoka lazima tushikishe
Lazima tushikishe bana mogoka iko na raha yake as long as unajua kitu unafanya
Where are North Eastern Governors....let them stop Miraa and Mugukaa...Acheni Miraa pandeni mahindi...matunda na vitu zingine....Miraa na Mugukaa ni drugs hata hazikubaliwi UK, EUROPE, UARABUNI....Except labda tu Yemen na Somalia...na hizo pia zita haramishwa karibuni
Jaba lazima ushike buda
Alcohol is worse. Huezifanya kazi.
Kaunt ni 47 kwani umepigwa msumari huwezi hamia kaunt nyingine nendeni embu kaunt
lazima tukule si mlitunyima kazi na tuko na madegree guka ata haoni na amekatalia kazini we youths we are tired of sasa mmeanza kutukujia baze kujeni mshikishe lakini c vitisho
Muguka ni takataka it should be illegal or be used where those people do it farming
King cheza ka ww hii kitu n mbaya
Why is everyone wearing masks?
Zuieni Io kabisa vijana wanapotea tu nendeni Meru pumbavu
Embu not Meru
Meru hakuna muguka it's only miraa
@@redbutterfly4939 ok but wherever
Enda Meru uone kaa kuna Muguka
Piga marufuku
Hii ni miraa watu wanalalamika Tena, in Sawa na kutetea pombe, mie I was not understanding mogoka but miraa nielewa. Wanywaji pombe hakuna siku watasema pombe in mbuya government do ur work, ebmven this people they could've been In jail like people with alcohol.
Tafuteni kazi nyingine kazi ya kuharibu vijana wetu hayo majani yanapumbaza akili na kusababisha maradhi ya kiakili,
Wamama pia hawapati haki yao Jamaa wakitafuna Mgoks hawaperfom nyumbani,marufuku haraka.
Mmesahauu ata kilifi ni Kenya ama !! Mnaropoka Sana watu wa jaba mshikane mkono mtetee haki yenu
Ikomeshwe kabisa vijana wamegeuka kuwa mbuzi
Kukua mbuzi ni mtu kujitakia sio lazima uchane kila siku mm naitumianga na hakuna shida nimepata since 2011 now am in Saudi Arabia na nikirudi narudi tu hapo hapo mogoka is good kama unajua kenye unafanya
Weka saini king hii ni kuharibu watoto hawasomi
Kauzieni hukoo kingi hongera
Gorn Kingi eka kidole apo vijana wana telekeza familia zao wanakaa maskani tu kutafuna io fungeni kabisa kabisa Wameru walizoe kitambo toka tumboni walikuwa wazazi wao Wala so si rahisi kuwadhuru ila sisi wa pwani uo mti ni sumu kataa Kingi eka kidole
Yes
Atleast spell mogoka right
Jamani tafuteni kazi mfanye wacheni kuuza miraa
Mira sio mbaya wenye wanatumia ndio wabaya mm natumianga na ninafanya kazi tu kawaida
mrudi meru////........nkt,, destroying our people alafu wnu wanasoma
Ban prostitution in malindi. Wazungu wameleta ushoga mingi huko
Malizeni dawa za kulevya mwanzo..acheni kuchagua vita rahisi..
wenu awasomi ata kama akuna mugokaa
Haina madhara yoyote lakini kuitumia kivabaya kama kuwasumbua wanawake kwaajili ya ngono za kinguvu ni haramu
🤣🤣🤣
SASA SINIUBAYA NAMATHARA HAYO?
If they know you are the one saying these words they will chew like the way chew miraa
Haina mathara wenye wanatumia ndio labda wanatumia vibaya mm niutumia na kazi inaendelea kama kawaida heeeeee mogoka lazima ikue walai watching from saudi Arabia na nikirudi hio ndio kitu ya kwanza
@@beautifulmind1177 You mean DCI will also leave those who has kidnapped 9 school girls and we don't where are they and what the criminals are doing with them it seems you are one of them so it's not me to be in shits but you will be in shits and i was supporting miraa business for the miraa dealers to an afford an school expenses but now i'am thinking of changing my mind about government to bann miraa like the other time government banned mirra for somalis in Eastleigh were stressing their wuman so much after chewing miraa and i'am apriciating about Somalia 🇸🇴 has banned miraa in Somalia 🇸🇴 even if Kenya 🇰🇪 is loss for not an exporting mirra to Somalia 🇸🇴 have you any problems on my issues?