MDOGO MDOGO-Deo Nkoko | John Paul II Mbeya Choir (JMC) |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Kwaya ya Mt John Paul II Mbeya inawaalika wote Kusherehekea sikukuu ya christmass kwa kusikiliza wimbo huu "MDOGO MDOGO" ambao ni wimbo mmojawapo uliomo kwenye albam yetu ya "KITOTO CHA MBINGU"
    Wimbo: Mdogo mdogo
    Mtunzi: Deo Nkoko
    Waimbaji: John Paul II Mbeya Choir (JMC)
    #rajoproduction #johnpaulmbeyachoir #nigusebwana #kitotochambingu
    📌📌NYIMBO ZINGINE ZA NOELI KUTOKA St John Paul II Mbeya Choir (zinapatikana katika Channel hii)
    👇👇👇👇👇
    Tunakuomba usisahau, Ku-
    📌Share
    📌Comment
    📌Like
    📌Subscribe
    1. TUMSHANGILIE- Na M.C Mabogo
    • TUMSHANGILIE-M C Mabog...
    2. SHANGWE KUBWA- Na J Swai
    • SHANGWE KUBWA-J Swai |...
    3. TUMPOKEE - Na M.C Mabogo
    • TUMPOKEE-M C Mabogo |J...
    4. MDOGO MDOGO -Na Deo Nkoko
    • MDOGO MDOGO-Deo Nkoko ...
    5. GLORIA - Na Vincent Mtavangu
    • GLORIA-Vicent Mtavangu...
    6. ALELUYA MTUKUFU-Na P.T.K Sindani
    • ALELUYA MTUKUFU-P.T.KS...
    7. ANAITWA YESU - Na M.C Mabogo
    • ANAITWA YESU KRISTO
    8. HUU NI USIKU - Na Dr. C Magonya
    • HUU NI USIKU
    9. PANGONI BETHLEHEM - Na Mtegeta
    • PANGONI BETHLEHEM (Mte...
    10. KITOTO CHA MBINGU - Na C. Mbogoye
    • KITOTO CHA MBINGU_ST. ...
    11. AFRICAN GLORY- Na Dr Kelvin Bongole
    • AFRICAN GLORY (Christm...
    ASANTE SANA
    St John Paul II Mbeya Choir inakutakia Heri ya Sikukuu ya. Christmas na Mwaka Mpya
    youtube.com/@J...
    🎄🎄🎄🎄🎄🎄🎄🎄

Комментарии • 74

  • @erastoandrew4582
    @erastoandrew4582 8 месяцев назад +3

    Kama ni kuhifazi aisee mmetisha
    Toka 2017 leo Ndio albam inatimia??
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🌷🌷🌷🌷🌷🌷🌷

  • @emmanueldkulwa1824
    @emmanueldkulwa1824 8 месяцев назад +2

    Hiki kigongo no hatariiiii❤❤
    Kila Christmas twakiimba yaani ni kama kipya kila mwakaaaa😂❤❤🎉🎉 Hongereni sana wapendwa ❤

  • @JuliousJulie
    @JuliousJulie 2 месяца назад

    Mm nasemaga hii kwaya lazima ipo siku moja nitahiimba labd nife

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 7 месяцев назад +1

    Tuache uongo hii album ilikuwa nzuri sana, na ile ya kufufuka, angalieni vizuri yawezekana mwaka huo mliimba na malaika, Egla, Magonya, nkoko, Perfecto, mabogo, nzwili, siwezi kuwataja wote.

  • @user-ib9fu2dr9l
    @user-ib9fu2dr9l 8 месяцев назад +1

    Asante kwa kuuweka huu wimbo watu wameuulizia sana tafadhali kama mnaweza weka na Gloria pls 🙏🙏🙏

  • @acleuseustace6215
    @acleuseustace6215 8 месяцев назад +1

    Niliusuburi sana huu

  • @kelvinnyawili7971
    @kelvinnyawili7971 8 месяцев назад +2

    🔥🔥🔥

  • @stanslausfransis8845
    @stanslausfransis8845 3 месяца назад

    Mikate 1:20

  • @ElizabethKweka
    @ElizabethKweka 5 месяцев назад +1

    🎉I like so much this song❤ God bless them

  • @BoniphaceManyama
    @BoniphaceManyama 7 месяцев назад +1

    Jamani mmejua kunifurahisha maana huu mzigo nimeutafuta sana

  • @ThewondersofTanzania
    @ThewondersofTanzania 8 месяцев назад +1

    Best song from Best choir in Tanzania Be Blessed 🙏

  • @fidelamatindiko2431
    @fidelamatindiko2431 8 месяцев назад +1

    Brother Deo kama kawaida yako tangu enzi na enzi ,barikiwa mno

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl 8 месяцев назад +1

    Hongereni sana kwa utume mwema nawapenda sana Watanzania 🔥🔥🔥 kelvin Bongole hoyeeee

  • @paulinaqelesh3402
    @paulinaqelesh3402 8 месяцев назад +1

    Niliutafuta huu wimbo muda ❤❤❤❤ Mungu awabariki sana 🎤🎤🎤

  • @theopistasadock1363
    @theopistasadock1363 8 месяцев назад +1

    Niliwamic sana mbarikiwe wapenzi ktk bwana

  • @gladnessmtandi9053
    @gladnessmtandi9053 8 месяцев назад +2

    Aseee nliutafuta sana huu wimbo hatimaee❤❤❤❤ mbarikiwee JMC

  • @user-xn3jw6ex8k
    @user-xn3jw6ex8k 8 месяцев назад +5

    Huu mzigo mliufichia wapi jamani tangu 2017😂

  • @robertbonifacekagali3542
    @robertbonifacekagali3542 8 месяцев назад +1

    Deoooo....Sawa tuuuu...💪💪👏👏👏👏

  • @jumanneenos2481
    @jumanneenos2481 8 месяцев назад +1

    Deo Nkoko ni hatari sana

  • @ediminabalongo2656
    @ediminabalongo2656 8 месяцев назад +1

    Hongera sana kazi mzuri mbarikiwe sana

  • @user-kf7ci1ct2i
    @user-kf7ci1ct2i 8 месяцев назад +1

    Hongeren kwa uwinjirishaji

  • @franciskironjo9369
    @franciskironjo9369 8 месяцев назад +1

    Congratulations....mshafika marafiki wangu wa karibu...heko

  • @jamesnyamwaya1841
    @jamesnyamwaya1841 8 месяцев назад +1

    Karibu sana watu wangu kazi nzuri hii

  • @user-yk7fb4iv4h
    @user-yk7fb4iv4h 8 месяцев назад +1

    Song tamu sana

  • @user-rf3em4ih6j
    @user-rf3em4ih6j 8 месяцев назад +1

    Nyimbo yangu boraa🎉

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce6898 8 месяцев назад +1

    Deo Deo Deo❤❤❤

  • @duncanbaimunya
    @duncanbaimunya 8 месяцев назад +1

    There is always sthing so exiting about your songs. lovely natural energy ....you have been one of my best choirs in tanzania

  • @ambrosemuhia3366
    @ambrosemuhia3366 8 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana... 👏 👏 👏 Heko

  • @kizzykaka1792
    @kizzykaka1792 8 месяцев назад +1

    Kazi kuntu aisee🎉🥰

  • @gideon...9516
    @gideon...9516 8 месяцев назад +1

    Deo anaijua sana Biblia

  • @mkapakalikene9042
    @mkapakalikene9042 8 месяцев назад +1

    JMC 🔥❤️ 😊

  • @user-yk7fb4iv4h
    @user-yk7fb4iv4h 8 месяцев назад +1

    Daaaah moyo wangu unabarikiwa mno na wimbo huuu

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 8 месяцев назад +1

    Hapo sawa kabisa❤❤❤

  • @robertombogo8927
    @robertombogo8927 8 месяцев назад +1

    Hongera Kwa wimbo bora.

  • @theresialfredybugalama5850
    @theresialfredybugalama5850 8 месяцев назад +1

    I miss u catty

    • @benkapandila33
      @benkapandila33 8 месяцев назад

      Alishaenda uyo dada Cath nimeacha kumuona

    • @magdalenakulwa4802
      @magdalenakulwa4802 7 месяцев назад

      ​@@benkapandila33tunam-miss wengi sana huyoo... inaonekana alikuwa kinara wao wa soprano.. alihamiaga BMM Yombo vituka, Dar kwa ajili ya kazi maalum ya kuwanoa sauti ya kwanza, nako akafanya vizuri sana na kuacha alama ya wazi, baadae nasikia aliolewa Kenya... Mungu ambariki sana...

  • @zaujatmkwaya370
    @zaujatmkwaya370 8 месяцев назад +1

    Amina

  • @user-nc5un8df6o
    @user-nc5un8df6o 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aloysiusrugejuna2804
    @aloysiusrugejuna2804 8 месяцев назад +1

    You always make it great dear JMCs ❤

  • @Fcharloh_official
    @Fcharloh_official 8 месяцев назад +1

    the uniformity is on another level👏...hongera kwenu!

  • @user-sq9td7xm3j
    @user-sq9td7xm3j 8 месяцев назад +1

    Mbarikiwe sana,naona fahari kuwa mkatoliki

  • @NestaTunky
    @NestaTunky 8 месяцев назад +1

    Nawapenda sana JMC❤🎉

  • @philemongibitere8345
    @philemongibitere8345 8 месяцев назад +1

    ❤❤💥wimbo mzuri sana

  • @eliezernzota9297
    @eliezernzota9297 8 месяцев назад +1

    🎉 . . .

  • @johnnima1946
    @johnnima1946 6 месяцев назад +1

    🎉🎉

  • @michaeljibalo8312
    @michaeljibalo8312 8 месяцев назад +1

    Heheheeee,,, Mbeya Jamani JMC 🔥

  • @MagrethAlexanda-hw6vs
    @MagrethAlexanda-hw6vs 8 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @petrochundu9702
    @petrochundu9702 8 месяцев назад +1

    ❤❤❤🎉🎉

  • @BONIFACEMPONZI-wu2du
    @BONIFACEMPONZI-wu2du 8 месяцев назад +1

    Proud of you 😊

  • @user-ct3gn4yt7f
    @user-ct3gn4yt7f 8 месяцев назад +1

    Hongereni kazi njema

  • @kwayayamt.filomenamabiboho9753
    @kwayayamt.filomenamabiboho9753 8 месяцев назад +1

    You made it ❤❤❤❤ fantastic 🎉🎉

  • @paulmukhwana5181
    @paulmukhwana5181 8 месяцев назад +1

    Wimbo mzuri ila maneno hayasikiki. Diction

    • @JohnPaulIIMbeyachoir
      @JohnPaulIIMbeyachoir  8 месяцев назад

      asante sana Mr Paul kwa Maoni 🙏🙏🙏

    • @michaeljibalo8312
      @michaeljibalo8312 8 месяцев назад

      Haaaa!! Mh. Maneno mbona yako wazi kabisaa..😂 Labda mpishano wa sauti kwamba kila sauti wanatembea kivyao.

    • @paulmukhwana5181
      @paulmukhwana5181 8 месяцев назад

      @@michaeljibalo8312 Hasa hapo kwenye mipishano. Halafu pia anayeshughulikia sauti amefinya sana kiasi kwa silabi zilizoundwa kwa konsonanti na irabu hasikiki. Zinazosikika ni irabu pekee.

    • @paulmukhwana5181
      @paulmukhwana5181 8 месяцев назад

      Nia Kuu ya nyimbo zetu katoliki ni jumbe tunazopeana katika tunzi zetu ila aghlabu tunatilia mkazo sana sauti zinazotoka kuliko maneno ambayo ndio ujumbe wenyewe.

    • @theresialfredybugalama5850
      @theresialfredybugalama5850 8 месяцев назад

      Utakuwa unamatatizo ya masikio kapime haraka sana

  • @user-ni3bv7ce7v
    @user-ni3bv7ce7v 6 месяцев назад +1

    Catholic hata mbinguni tutaimba

  • @ThewondersofTanzania
    @ThewondersofTanzania 8 месяцев назад +1

    Best song from Best choir in Tanzania Be Blessed 🙏