MREJESHO|NYUMBA YA ZABIBU BINTI ALIYEZALISHWA AKIWA NA MIAKA 15 YAANZA KUJENGWA
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
!!!!!Gonga like za kutosha kama mnaipenda maximum TV !!!!!
Tunaipenda sana
Masha Allah tunaipenda sana
P1👍👍👍👍
Mashallah zabibu mpole sana. Inshallah tuko pamoja nanyi kwakila hatua na Dua 🤲🏻. Maximum TV Mungu awalinde
mashaAllah Mungu amzidishie aliyejitolea Kwa kuwapa stara nayeye Mungu atamstiri hapa duniani n kesho akhera pongezi kwako kakazahir Mungu akupe afya njema uzidi kuwa daraja l wanyonge
MashaAllah Mungu awabariki wote waliochanga na tuendelee kuchanga kwa wingi jamani ili nyumba iishe haraka 🙏
Asalam aleykum warahma tullah Wabarakatuu maa shaa allah allah Karim mungu atakulipa kaka zahir ww ni mtetezi wawanyonge mungu akupe afya naumli mlefu amiin
Waalaykum salam warahmatuLLAHI wabarakatuh
Mungu awabariki wote waliochangie
Na aliye mvimbisha tumbo je ,hapaswi pongezi kwa sababu anamfahamu na watakuwa wote hapo .
@@msetikebwasi1469 we naye huna haya badala tuwa saidie unawaza mtu aliomvimbisha tumbo😏
Zahiri na mlengaji Fabian Kisaka 'Saluti kwenu wakuu pigeni kazi Mungu atawalipa inshallah yaa hii Maximum Tv ni zaidi ya online zote Tanzania ,natamani nchi kama nchi ifanye kitu kwenu mnatutendea haki kweli watanzania wenzenu"mungu awabariki
Kaka zahir mungu akubariki sana
Zahir Mungu akubari pamoja na team yako na yeyote aliye changia kwani ndie mwenza yote.Nasisitiza yakwamba tuchangie hili mradi wasije kujiskia wapweke kwenye jamii,Mungu awabariki kwakujitolea👏👏👏❤️💪🌞🙏🇰🇪.
Ndugu yangu Zahiri asante sana kwa yote huyu kimwali nimempenda sana kwa jinsi alivyo badirisha tabia yake.
Yote ni nguvu yako ndugu yangu Zahiri M/mungu hakulipe kwa mema zaidi. Amiin🙏🏼😍
Mashaallah 🔥alhamdulilah 👏👏pataisha tu kuuwezo wallah inn shaallah tutajitahid kaka zahir kuakikisha tunapamaliza 👏👏nakapend aka katoto kazabibu nikapole sn😍❤❤
Alhadulillah mungu azid kuwek wepes ila kaka zahir zabibu umemuweza 👏🙏leo wakutulia maskin kazi kubwa umeifanya mungu azid kumuongoza bint yetu mrembo asirud kule alivyokua🙏
MashaAllah.. Allah awalipe kher Zahir na tim yako... Na awalipe kher uliechangia kias cha milion moja na awalipe kher woote mnaochangia bila kuchoka...
Huyo mama aliejitolea maji abarikiwe Sana🙏ndio ujiran
Kweli kabisa
Allah ambariki
Mungu awajalieni wote walijamgia penye wametowa mungu awazidishie na kaka zahor mungu atakulipa iyo ndo sadaka jalia iyo haitaisha uta yakuta kwa mungu
MA SHAA ALLAH MA SHAA ALLAH ALLAH ATAFANYA WEPES IN SHAA ALLAH
Duu hii kitu ni nzuri wallah mungu mkubwa kila. Kitu kinawezekana, binadamu tunaweza mradi tue na umoja WA kusaidiana ❤️
Kaka zahri hongera sana kwa kazi mzuli mungu akujalie afya njema na akuepushe namaduwi hakika ww nikiyoo cha jamihi
Amiiina InshaAllah
Kaka zahir mungu akufanyie wepec kwa kila hatua utakayo pita ww na familia yako nmependezwa sana kwa ulicho kifanya Allah atawalipa kwa kila alie wachangia ujira upo kwa mungu
Mungu akuongese nguvu kwa hiyo kazi mdogo wangu
Yaaani kaka yetu vitu unavyofanya,Mwenyezi Mungu akujaarie kwakweli
Mungu aendelee kuwalinda timu mzima ya maximum tv
Mashallah Mashallah Allah awazidishie mlipopunguza kwawote mliojitolea InshaAllah
Huyo kaka mkubwa si ndo anaetafuta Riziki ya kula jamani
Kaka kazi yako inamalipo mbele ya allah nakuombe mwenyez awalipe hadi kizazi chako na wazazi wako amiin
Wa kwanza alhamdulillah from Kenya
Mombasani
@@twocounrieslady7165 Ndio ila sahii nko Saudi Arabia
Alhamdulilah
@@felistersmejumaa5188 pamoja I m in Manama Bahrain.
@@twocounrieslady7165 Mashallah thats good my dear
Kaka Zahir kazi nzur sana Mungu akubariki sana sadaka hii ni pepo yako tosha
Big up sn my big broo,Mungu akujaliee my brother
Mashaallah
Masha Allah.mungu akulinde na kazi yko uzidi kusaidia wat kma hivi ...
Mashaallah kaka zahir mungu atakulipa
Mash allah zahir na team yako allah atawalipa mema dunian na akhera amin
Zabibu allah atamuhid amuongoze ktk njia iliyonyooka amin yarab
Mungu akubariki Zahir Allah akupe umri mrefu ,,, mungu awabariki wale wote wanaochangia ,,mungu awaongeze pale walipotoa
Mashaallah good job my brother
Msichana mzur mashallah
Mdg wangu zabibu nimelia kwa furaha huyu bint niwakumsaidi walahi nimempemda sana allah amjalie afya njema hakika huyu bint alikosa msimamizi tu lakin yuko vizri inaweza ikawa mama ndo hawezi kuwa karibu na watoto zake
Mtoto mzuri mashallah kila jambo mungu a nakupa kina sababu zake alhamdullilah mwanzo WA shida mwisho faraja 🤲🤲🤲🙏nimefurahi Sana
Mashaallah Allah Awajiliye Kila Kher Waliochangia Ujra Wao Wataupa Inshaallah👏
Kaka Zahir nilikumiss jamani tangu jana nachungulia tuu sikuoni. Mungu akujaalie kaka yangu unajituma sana.
Hata mm haki.
HAHAHAAA,TUPO WENGI TUNACHUNGULIA KAMA KAKA ZAHIRI YUMO HUMU.MUNGU ATUSAIDIE SS SOTE.
@@julietmlaki2816 😁😁😁😁
@@naamohamed1042 mmmmmh.
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Mungu akubariki na kila mtu alichanga
Mashallah hongera sana zabibu unajituma mwaya
MashaaAllAH tabaraka Rahman
mashallah🥰🥰🥰👌🔥🇰🇪
Zahir hilo shimo vipi lisije kuwa bonde la maji asnt Zahir Mungu akupe Maisha marefu yenye mafanikio Aaamin 🙏🙏🙏
Ama kweli mwanamke ndio familiya yeye huchukuwa uzito wa nyumba nzima Allah awape afya na furaha kwenye maisha yao yarabb
Tumtolee sadaka uyu mama na mungu atatulipa
Mashaallah zabibu m/mungu akupe kila lenye kher na ww na familia yako
Yaani nilivyokuwa nachungulia kila ck nikikusubiria Zahir
Allah akujaalie umri mrefu kaka zahir uzidi kuwasaidia wasiojiweza
Amiin
Wow hadi nimempenda zabibu, ni mchapa kazi MashaAllah
Alhamdullilah mungu mkubwa mungu awajalie wote mlio Changia mungu awazidishie apo mlipo towa 🤲🤲🙏🙏
KakaZahir natokwa n'a Machozi kwa huu moy wako wa Upendo😭😭😭😭Mungu azidi kukulinda n'a kukubariki kila leo,Wewe ni mtu Wa Pekee....salamu zangu kutoka Congo DRC ziwafikiye Ndugu zangu
Asante sana
Kadada karembo mashallah
Kujitoa kwa kusaidia wenye shida ni kujiwekea hazina mbinguni,ubarikiwe Sana
Alhamdulillah Mungu hawabariki
Masha allah zabibu anajituma ,mugu akuongoze zabibu uachane na ujana .
Mashaallh
Asantemungu
Masha Allah
Woow nimefurah mashallah 😘😘😘😘💕
Allah awabariki wote waliochangia ,na Allah nakuomba umuongoze Huyu mtoto zabibu
"Mashaallah ALLAH nimkubwa"
Jamani jikaze ni Sana naomba kwa hisani zenu wasaidieni jamani mtoto kafurahi a Sana mpelekeni hadi mwisho 🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏nawaombeni
Uyu zabibu yuko vzr san ila makundi ndo yalikua yanamwalibu
Kweli kbs
@@naamohamed1042 😄😄
@@rehemasalim4590 yan ww hukosi kumuona ndugu yako Naa na ukaacha kufrai mashaallah najua deni unalikumbuka😁😁😁😁
@@naamohamed1042 kbsa🤣🤣
Allah aendelee kukupa moyo wa imani na huruma ya kusaidia watu wa hali dun na akujalie afya njema kaka
Ivi zaheer nikuulize kwanini usigombee ubunge kakaangu
Mashallah 🙏🙏
Manshallah Mungu azidi kuwainua
Asante mungu kwa kweli unapambana sana kaka zahir hakika ww ni wa juu. Nakuombea kwa kweli maisha marefu.
Dah siamin hiv kwel so ❤️
Masha allah kumbe
Hongera sana kaka zahir kwa usimamizi mzuri
Mashaallah mungu awasimamie
Napenda sana kazi zako Mungu akubariki
Mashaallah mashaallah mwenyezimungu awabariki sana wote mlio jitolea jaman daaah Allah karim kaka zahiri mzungu atakulipa
Mungu azidi kukuinua
Jamani nausubiri mrejesho wa hawa kwa hamuuu🤗
Jamani zabibu ameacha wenge ametulia kweli kweli. Wewe ni mrembo sana mdogo wangu
Kaka zahir nakosa neno zuri ila nakkuomba Mungu akulinde hakika
Kakaangu mungu akuweke zaidi
Woou Mashaallah
Maashallah Alhamndulillah
Alhamdulilah yaani mchozi umenitoka wa furaha
Allah awajaali wote waliojitolea kutia mungu awajalie wote
Maana hapo. Awwali. Walopokuwa wa nalala ilikuwa mtihani
Thanks to God oo
Asalam alaikum brother zahir hongera kwa kazi ya kuwajengea kuanza mungu awazidishie wote wataotoa
Safi sana zahli
MashaAllah, zabibu beba kidogo kidogo uo mchanga jamani
Zahir mungu akuzidishie jmn waaa bidii yko umeshinda ata viongoz
Mungu awabariki wot mliwotoa
Mashaallah hongera kaka zahir M mungu atakupa ujira wako kaka
Mungu akubariki sana zahir na pia waliochangia mungu awaongozee walipotoa
Tubarikiwe watanzania kwa umoja wetu
Sio watanzania tu Bali ni nchi zote..
Mungu awabariki wote walojitole mungu awazidishie kwa kweli kwa wano jitolea
Alihamdulilah Inshallah mungu ni mwema itaisha kwa uwezo wa Allah 🤲🤲
Kazi nzuri kaka zahir
Mungu akujalie kwa kwer
Mungu akujengee yako yenye nuru kesho akhera
Ila zahiri una roho nzuri sana walahi mungu akubariki sana Tena sana im in saudia
Huyu mama kweli sio mzembe mzembe yani amechoka kweli na maisha magumu tunataka kama hawa amepewa pesa na anizifanyia kazi
Kwakweli anatia moyo hata kusaidiwa anaonyesha kabisa anauhitaji wa msaada kabisa na ni mkweli sana mungu amvushe kupitia vimbe vyake mungu vimsaidie avuke alipo
@@upendowakwelinaamani1060 amin
Ila kahadhir nimesikitishwa na nyumba ya sefinia hakuipata 😥😥😥😥
Mashaaallah