MREJESHO|NYUMBA YA ZABIBU BINTI ALIYEZALISHWA AKIWA NA MIAKA 15 YAANZA KUJENGWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
    kwa Mfano
    1 - WENYE MARADHI
    2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
    3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
    4 - UBAKAJI
    5 - MATUKIO YA KIKATILI
    6 - AJALI
    7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
    8 - WAZEE NA WATOTO
    ___________________________________________________________________________________
    KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
    Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
    Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
    Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.

Комментарии • 323

  • @Kevin_davi
    @Kevin_davi 3 года назад +75

    !!!!!Gonga like za kutosha kama mnaipenda maximum TV !!!!!

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 3 года назад +21

    Mashallah zabibu mpole sana. Inshallah tuko pamoja nanyi kwakila hatua na Dua 🤲🏻. Maximum TV Mungu awalinde

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 3 года назад +20

    mashaAllah Mungu amzidishie aliyejitolea Kwa kuwapa stara nayeye Mungu atamstiri hapa duniani n kesho akhera pongezi kwako kakazahir Mungu akupe afya njema uzidi kuwa daraja l wanyonge

  • @rogerhunda8616
    @rogerhunda8616 3 года назад +28

    MashaAllah Mungu awabariki wote waliochanga na tuendelee kuchanga kwa wingi jamani ili nyumba iishe haraka 🙏

  • @maryamjuma1087
    @maryamjuma1087 3 года назад +31

    Asalam aleykum warahma tullah Wabarakatuu maa shaa allah allah Karim mungu atakulipa kaka zahir ww ni mtetezi wawanyonge mungu akupe afya naumli mlefu amiin

    • @jasminjuma6390
      @jasminjuma6390 3 года назад

      Waalaykum salam warahmatuLLAHI wabarakatuh

  • @rehemalontinaremysaleh7807
    @rehemalontinaremysaleh7807 3 года назад +30

    Mungu awabariki wote waliochangie

    • @msetikebwasi1469
      @msetikebwasi1469 3 года назад

      Na aliye mvimbisha tumbo je ,hapaswi pongezi kwa sababu anamfahamu na watakuwa wote hapo .

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад

      @@msetikebwasi1469 we naye huna haya badala tuwa saidie unawaza mtu aliomvimbisha tumbo😏

  • @amourabdallah2978
    @amourabdallah2978 3 года назад +4

    Zahiri na mlengaji Fabian Kisaka 'Saluti kwenu wakuu pigeni kazi Mungu atawalipa inshallah yaa hii Maximum Tv ni zaidi ya online zote Tanzania ,natamani nchi kama nchi ifanye kitu kwenu mnatutendea haki kweli watanzania wenzenu"mungu awabariki

  • @estherwafula6932
    @estherwafula6932 3 года назад +15

    Kaka zahir mungu akubariki sana

  • @theceefamily7764
    @theceefamily7764 3 года назад +4

    Zahir Mungu akubari pamoja na team yako na yeyote aliye changia kwani ndie mwenza yote.Nasisitiza yakwamba tuchangie hili mradi wasije kujiskia wapweke kwenye jamii,Mungu awabariki kwakujitolea👏👏👏❤️💪🌞🙏🇰🇪.

  • @hadija846
    @hadija846 3 года назад +5

    Ndugu yangu Zahiri asante sana kwa yote huyu kimwali nimempenda sana kwa jinsi alivyo badirisha tabia yake.
    Yote ni nguvu yako ndugu yangu Zahiri M/mungu hakulipe kwa mema zaidi. Amiin🙏🏼😍

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 3 года назад +12

    Mashaallah 🔥alhamdulilah 👏👏pataisha tu kuuwezo wallah inn shaallah tutajitahid kaka zahir kuakikisha tunapamaliza 👏👏nakapend aka katoto kazabibu nikapole sn😍❤❤

  • @hadijahadijaminchande4604
    @hadijahadijaminchande4604 3 года назад +10

    Alhadulillah mungu azid kuwek wepes ila kaka zahir zabibu umemuweza 👏🙏leo wakutulia maskin kazi kubwa umeifanya mungu azid kumuongoza bint yetu mrembo asirud kule alivyokua🙏

  • @mename6020
    @mename6020 3 года назад +8

    MashaAllah.. Allah awalipe kher Zahir na tim yako... Na awalipe kher uliechangia kias cha milion moja na awalipe kher woote mnaochangia bila kuchoka...

  • @janethstephano4621
    @janethstephano4621 3 года назад +35

    Huyo mama aliejitolea maji abarikiwe Sana🙏ndio ujiran

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 3 года назад

      Kweli kabisa

    • @mafundarashid5847
      @mafundarashid5847 3 года назад +1

      Allah ambariki

    • @allamki2661
      @allamki2661 3 года назад

      Mungu awajalieni wote walijamgia penye wametowa mungu awazidishie na kaka zahor mungu atakulipa iyo ndo sadaka jalia iyo haitaisha uta yakuta kwa mungu

  • @razikimustapha4731
    @razikimustapha4731 3 года назад +4

    MA SHAA ALLAH MA SHAA ALLAH ALLAH ATAFANYA WEPES IN SHAA ALLAH

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 3 года назад +3

    Duu hii kitu ni nzuri wallah mungu mkubwa kila. Kitu kinawezekana, binadamu tunaweza mradi tue na umoja WA kusaidiana ❤️

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 3 года назад +7

    Kaka zahri hongera sana kwa kazi mzuli mungu akujalie afya njema na akuepushe namaduwi hakika ww nikiyoo cha jamihi

  • @salumallysalum4858
    @salumallysalum4858 3 года назад +2

    Kaka zahir mungu akufanyie wepec kwa kila hatua utakayo pita ww na familia yako nmependezwa sana kwa ulicho kifanya Allah atawalipa kwa kila alie wachangia ujira upo kwa mungu

  • @estherwafula6932
    @estherwafula6932 3 года назад +9

    Mungu akuongese nguvu kwa hiyo kazi mdogo wangu

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 3 года назад +19

    Yaaani kaka yetu vitu unavyofanya,Mwenyezi Mungu akujaarie kwakweli

  • @tatukachingwe7451
    @tatukachingwe7451 3 года назад +7

    Mungu aendelee kuwalinda timu mzima ya maximum tv

  • @rahmaabdulla4949
    @rahmaabdulla4949 3 года назад +5

    Mashallah Mashallah Allah awazidishie mlipopunguza kwawote mliojitolea InshaAllah

  • @kidookidokazi1845
    @kidookidokazi1845 3 года назад +3

    Huyo kaka mkubwa si ndo anaetafuta Riziki ya kula jamani

  • @ashuraamani2671
    @ashuraamani2671 3 года назад +2

    Kaka kazi yako inamalipo mbele ya allah nakuombe mwenyez awalipe hadi kizazi chako na wazazi wako amiin

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 3 года назад +43

    Wa kwanza alhamdulillah from Kenya

  • @reymaabintabdillah3727
    @reymaabintabdillah3727 3 года назад +2

    Kaka Zahir kazi nzur sana Mungu akubariki sana sadaka hii ni pepo yako tosha

  • @abumoyo5341
    @abumoyo5341 3 года назад +5

    Big up sn my big broo,Mungu akujaliee my brother

  • @mealiimusa5465
    @mealiimusa5465 3 года назад +9

    Mashaallah

  • @binthkhamisi1097
    @binthkhamisi1097 3 года назад +2

    Masha Allah.mungu akulinde na kazi yko uzidi kusaidia wat kma hivi ...

  • @aishaselamani1299
    @aishaselamani1299 3 года назад +5

    Mashaallah kaka zahir mungu atakulipa

  • @shamzone388
    @shamzone388 3 года назад +3

    Mash allah zahir na team yako allah atawalipa mema dunian na akhera amin
    Zabibu allah atamuhid amuongoze ktk njia iliyonyooka amin yarab

  • @anifamickidard4555
    @anifamickidard4555 3 года назад +2

    Mungu akubariki Zahir Allah akupe umri mrefu ,,, mungu awabariki wale wote wanaochangia ,,mungu awaongeze pale walipotoa

  • @ashaa497
    @ashaa497 3 года назад +7

    Mashaallah good job my brother

  • @زيدالجبوري-ض2ب
    @زيدالجبوري-ض2ب 3 года назад +8

    Msichana mzur mashallah

  • @prettynayally2177
    @prettynayally2177 3 года назад +2

    Mdg wangu zabibu nimelia kwa furaha huyu bint niwakumsaidi walahi nimempemda sana allah amjalie afya njema hakika huyu bint alikosa msimamizi tu lakin yuko vizri inaweza ikawa mama ndo hawezi kuwa karibu na watoto zake

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +2

    Mtoto mzuri mashallah kila jambo mungu a nakupa kina sababu zake alhamdullilah mwanzo WA shida mwisho faraja 🤲🤲🤲🙏nimefurahi Sana

  • @fahadfahadmaabadmzee7437
    @fahadfahadmaabadmzee7437 3 года назад +3

    Mashaallah Allah Awajiliye Kila Kher Waliochangia Ujra Wao Wataupa Inshaallah👏

  • @mariamfataki8025
    @mariamfataki8025 3 года назад +8

    Kaka Zahir nilikumiss jamani tangu jana nachungulia tuu sikuoni. Mungu akujaalie kaka yangu unajituma sana.

    • @sharinv8864
      @sharinv8864 3 года назад +2

      Hata mm haki.

    • @julietmlaki2816
      @julietmlaki2816 3 года назад +3

      HAHAHAAA,TUPO WENGI TUNACHUNGULIA KAMA KAKA ZAHIRI YUMO HUMU.MUNGU ATUSAIDIE SS SOTE.

    • @naamohamed1042
      @naamohamed1042 3 года назад

      @@julietmlaki2816 😁😁😁😁

    • @julietmlaki2816
      @julietmlaki2816 3 года назад

      @@naamohamed1042 mmmmmh.

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 3 года назад +4

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +5

    Mungu akubariki na kila mtu alichanga

  • @zinabotnzani1492
    @zinabotnzani1492 3 года назад +4

    Mashallah hongera sana zabibu unajituma mwaya

  • @aminamohammed7946
    @aminamohammed7946 3 года назад +4

    MashaaAllAH tabaraka Rahman

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 3 года назад +5

    mashallah🥰🥰🥰👌🔥🇰🇪

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 3 года назад +2

    Zahir hilo shimo vipi lisije kuwa bonde la maji asnt Zahir Mungu akupe Maisha marefu yenye mafanikio Aaamin 🙏🙏🙏

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 3 года назад +6

    Ama kweli mwanamke ndio familiya yeye huchukuwa uzito wa nyumba nzima Allah awape afya na furaha kwenye maisha yao yarabb

    • @allamki2661
      @allamki2661 3 года назад

      Tumtolee sadaka uyu mama na mungu atatulipa

  • @alibell5246
    @alibell5246 3 года назад +2

    Mashaallah zabibu m/mungu akupe kila lenye kher na ww na familia yako

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +9

    Yaani nilivyokuwa nachungulia kila ck nikikusubiria Zahir

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад +4

    Allah akujaalie umri mrefu kaka zahir uzidi kuwasaidia wasiojiweza

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 3 года назад +2

    Wow hadi nimempenda zabibu, ni mchapa kazi MashaAllah

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +1

    Alhamdullilah mungu mkubwa mungu awajalie wote mlio Changia mungu awazidishie apo mlipo towa 🤲🤲🙏🙏

  • @jolissacirha928
    @jolissacirha928 3 года назад +2

    KakaZahir natokwa n'a Machozi kwa huu moy wako wa Upendo😭😭😭😭Mungu azidi kukulinda n'a kukubariki kila leo,Wewe ni mtu Wa Pekee....salamu zangu kutoka Congo DRC ziwafikiye Ndugu zangu

  • @neemaibrahim679
    @neemaibrahim679 3 года назад +2

    Kadada karembo mashallah

  • @elicegeorge9991
    @elicegeorge9991 3 года назад +1

    Kujitoa kwa kusaidia wenye shida ni kujiwekea hazina mbinguni,ubarikiwe Sana

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 3 года назад +3

    Alhamdulillah Mungu hawabariki

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 3 года назад +1

    Masha allah zabibu anajituma ,mugu akuongoze zabibu uachane na ujana .

  • @zulfahamis3308
    @zulfahamis3308 3 года назад +1

    Mashaallh

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 года назад +1

    Asantemungu

  • @فاطمةسعيد-ث2ق
    @فاطمةسعيد-ث2ق 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 3 года назад +4

    Woow nimefurah mashallah 😘😘😘😘💕

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 3 года назад +1

    Allah awabariki wote waliochangia ,na Allah nakuomba umuongoze Huyu mtoto zabibu

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад +1

    "Mashaallah ALLAH nimkubwa"

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +1

    Jamani jikaze ni Sana naomba kwa hisani zenu wasaidieni jamani mtoto kafurahi a Sana mpelekeni hadi mwisho 🤲🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏nawaombeni

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 3 года назад +9

    Uyu zabibu yuko vzr san ila makundi ndo yalikua yanamwalibu

    • @naamohamed1042
      @naamohamed1042 3 года назад

      Kweli kbs

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      @@naamohamed1042 😄😄

    • @naamohamed1042
      @naamohamed1042 3 года назад

      @@rehemasalim4590 yan ww hukosi kumuona ndugu yako Naa na ukaacha kufrai mashaallah najua deni unalikumbuka😁😁😁😁

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      @@naamohamed1042 kbsa🤣🤣

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Год назад

    Allah aendelee kukupa moyo wa imani na huruma ya kusaidia watu wa hali dun na akujalie afya njema kaka

  • @khayratmhina3735
    @khayratmhina3735 3 года назад +7

    Ivi zaheer nikuulize kwanini usigombee ubunge kakaangu

  • @raziaamisi2048
    @raziaamisi2048 3 года назад +3

    Mashallah 🙏🙏

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +2

    Manshallah Mungu azidi kuwainua

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 3 года назад +1

    Asante mungu kwa kweli unapambana sana kaka zahir hakika ww ni wa juu. Nakuombea kwa kweli maisha marefu.

  • @khamisraskashandago2694
    @khamisraskashandago2694 3 года назад +6

    Dah siamin hiv kwel so ❤️

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty 3 года назад +1

    Masha allah kumbe

  • @imakulatamwenga9648
    @imakulatamwenga9648 3 года назад +1

    Hongera sana kaka zahir kwa usimamizi mzuri

  • @uktyaminahsadalah6074
    @uktyaminahsadalah6074 3 года назад +4

    Mashaallah mungu awasimamie

  • @Mazoea
    @Mazoea 3 года назад +1

    Napenda sana kazi zako Mungu akubariki

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 3 года назад +1

    Mashaallah mashaallah mwenyezimungu awabariki sana wote mlio jitolea jaman daaah Allah karim kaka zahiri mzungu atakulipa

  • @hopeobeth9806
    @hopeobeth9806 3 года назад +1

    Mungu azidi kukuinua

  • @vumiwilly5625
    @vumiwilly5625 3 года назад +4

    Jamani nausubiri mrejesho wa hawa kwa hamuuu🤗

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 3 года назад +3

    Jamani zabibu ameacha wenge ametulia kweli kweli. Wewe ni mrembo sana mdogo wangu

  • @upendomapile1234
    @upendomapile1234 3 года назад +1

    Kaka zahir nakosa neno zuri ila nakkuomba Mungu akulinde hakika

  • @zuwenaofficially3551
    @zuwenaofficially3551 3 года назад +1

    Kakaangu mungu akuweke zaidi

  • @mesajuma4843
    @mesajuma4843 3 года назад +3

    Woou Mashaallah

  • @adijarashidi1426
    @adijarashidi1426 3 года назад +3

    Maashallah Alhamndulillah

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 года назад +1

    Alhamdulilah yaani mchozi umenitoka wa furaha
    Allah awajaali wote waliojitolea kutia mungu awajalie wote
    Maana hapo. Awwali. Walopokuwa wa nalala ilikuwa mtihani

  • @baharainbh5468
    @baharainbh5468 3 года назад +3

    Thanks to God oo

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 3 года назад +1

    Asalam alaikum brother zahir hongera kwa kazi ya kuwajengea kuanza mungu awazidishie wote wataotoa

  • @betinalucas5949
    @betinalucas5949 3 года назад +1

    Safi sana zahli

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 года назад +3

    MashaAllah, zabibu beba kidogo kidogo uo mchanga jamani

  • @mkosakuumbwamwendazake4254
    @mkosakuumbwamwendazake4254 3 года назад +3

    Zahir mungu akuzidishie jmn waaa bidii yko umeshinda ata viongoz

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 3 года назад +2

    Mungu awabariki wot mliwotoa

  • @fatmamansour2764
    @fatmamansour2764 3 года назад +2

    Mashaallah hongera kaka zahir M mungu atakupa ujira wako kaka

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 3 года назад +1

    Mungu akubariki sana zahir na pia waliochangia mungu awaongozee walipotoa

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 3 года назад +1

    Tubarikiwe watanzania kwa umoja wetu

  • @aminajuma2981
    @aminajuma2981 3 года назад

    Mungu awabariki wote walojitole mungu awazidishie kwa kweli kwa wano jitolea

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 3 года назад +1

    Alihamdulilah Inshallah mungu ni mwema itaisha kwa uwezo wa Allah 🤲🤲

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 3 года назад +3

    Kazi nzuri kaka zahir

  • @shadiathemedshadiathemed8699
    @shadiathemedshadiathemed8699 3 года назад +2

    Mungu akujalie kwa kwer

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +1

    Mungu akujengee yako yenye nuru kesho akhera

  • @hanifamaro9814
    @hanifamaro9814 3 года назад

    Ila zahiri una roho nzuri sana walahi mungu akubariki sana Tena sana im in saudia

  • @saadiaali5609
    @saadiaali5609 3 года назад +5

    Huyu mama kweli sio mzembe mzembe yani amechoka kweli na maisha magumu tunataka kama hawa amepewa pesa na anizifanyia kazi

    • @upendowakwelinaamani1060
      @upendowakwelinaamani1060 3 года назад +1

      Kwakweli anatia moyo hata kusaidiwa anaonyesha kabisa anauhitaji wa msaada kabisa na ni mkweli sana mungu amvushe kupitia vimbe vyake mungu vimsaidie avuke alipo

    • @saumsalim9966
      @saumsalim9966 3 года назад +1

      @@upendowakwelinaamani1060 amin

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 3 года назад +1

    Ila kahadhir nimesikitishwa na nyumba ya sefinia hakuipata 😥😥😥😥

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 3 года назад +2

    Mashaaallah