*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?* Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat 1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati. Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻 chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o Lakini pia tuna WhatsApp Channel... Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote. Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻 whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Kendi kapata change yake kutoka. Kwa zuuu heheee,ety kendi amskize baba hahaaaaa makubwaa kweli ashachelewa,wapi like zangu wamwisho hapa kutoka kenya 🇰🇪
*JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
*KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*
Yes Nataka
Ipoooooo hiyo
House girl episode 22
Fresh zuuu umenipata
Tupoooo 😊😊😊😊
Kali sana Leo nimekuwa kwanza from Kenya kazi njema ,,, kongole🎉🎉🎉❤
Wanao mkubali Kai amuoe zuu gonga like
👍👍👍😂😂😂
Waoo Kazi nzuli zuu
Yan mm ndo nitatembeza juice😂😂😂
@@RehemaNgumbao-f1s mimi nitapokea wageni 🛍️🌹😂😂😂😂
Tupo wengi😊
Kama unahamin ndoa ya khai na zuuh kama itafungwa mwaga like zakutosha tusiache ata moja...😂😂😂😂😂❤❤❤
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
❤❤❤
🎉🎉🎉🎉
🎉🎉 🎉❤
😂😂😂😂
Nimewahi reo jamani tame zuu gongen like hapa❤
Wakwanza mim naomba like zenu
Umejua kutufurahisha kaka Kai, asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nikiwa Buja,Kai Ndoa tunayo ss tunasimama n,Allah,hico🎉 kikaragosi cako hakijiamini kilicezea shilingi kwenye tundu lacho, oyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Wao mashallah. Hongereni kazi mzur allah awasimamie 🤲
Sijachelewa na mm naomba like kidogo😂😂😂 safi sana zuuuuuu
Ila naomba izo dawa zisimshike Zuu juu analindwa na mizimu ya kwao au vpy jaman like bas😅
Tunayo ifatilia house girl toka peased 1 adi leo 21 tujuane kwa like🎉🎉
Congratulations 🙌 my people one ❤️ from 🇦🇺
kumekuchaaaaa😂😂😂😂❤mambo yamecemka😅😅😅
Na mie nipoo msinisahau 😂😂
Mmmh watu mnajuwa kuwahi...... Ila asanteni kwa ep 21
Weeeeeeee hatari Leo muv tamu sana
Congratulations zuu ngogeni likes za zuu team player
Waoo upole mzuri jaman zuu zamu yako
Heshima ni kitu cha muhimu Sana katika Maisha Yetu ucmdharau mtu ucye mjua,, Ona sasa Candy dharau zmekuponza😅😅
😅😅😅kai yeye ni don't care et kurudià nguo kwake si tabu😅😅😅😅 hii movie itaniuà kwa kuchekà😅😅😅
Kendi kapata change yake kutoka. Kwa zuuu heheee,ety kendi amskize baba hahaaaaa makubwaa kweli ashachelewa,wapi like zangu wamwisho hapa kutoka kenya 🇰🇪
Umepigaje hapo kai ,,,oyoyooooooooo💃💃💃💃🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
😂😂😂jamani mapenzi yamenoga Kai na zuu wee...wale wazu wapo wapi💃💃💃💃🥰
Sijui niseme nini leo kai na zuu munanifulahisha sana hongela sana team zuu mikono juuu❤
Hiki chuma ni chamoto sana 😅🎉❤ kai kaza uzi mpaka aseme 😮ila ninawasiwasi na ndoa haitofungwa ❤anaeniunga mkono please lake kwa sama😊
jamani hii series huwa inarukà sangapi mbona nazubir but bado tyu😭😭😭😭😭😭
Sio poa awajamaa
Dah uyu mtoto kiboko kajua kunifuraisha leo😂😂
Candy chunga sije uchuzi ukakurudia mwenyewe 😂😂😂zuuu analidwa na mizim ya kwao huezi mpata go
Jamani changanyeni picha si upande mmoja sec 50 na inatoa hamu ya kuangalia
Yan iyo sku nkichoka ntakuzibua😂😂😂😂weeee zuuuu🎉🎉
Na hakika itakuepo mana bibi sie mchache yuwatembea na Tiv yake❤❤❤❤😂
Zuu unajuwa jibu kbs
Jaman kendi kumbe unaumiaga na wew
Kumekuchaa kendy apigwee na zuu nyieeee😂😂
Wakwanz namm nipeni likes zangu
Wewe woyo moto piga kelele Kwa zuu🔥🔥🔥
Kendi acha roho mbaya siku hizi hakuna mume wa peke yako 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉
Apo bado kendi tutakunyoosha😂😂😂 lakini yule bibiyake zuu hajui kuwa yale mateso ya mjukuu wake ilikuwa ni zzamaniii😂🎉🎉
Wa mwisho kucomment nipeni hata likes tano tuu
Jamani mmefikia pazuri weka episode 22
Nimejifunza kuwa ukimnyima mmeo anacho stahili anakifuata kwa mchepuko 😅😅😅
Jmni jmni we zuuu umenikosha Leo mbondee uy
khai mbona anachelewa kumuoa zuu kwa nn .zuu hoyee🎉🎉🎉
❤❤❤😢 masikini gendi ndo anajitambuwa yy ninani kwa kai
Ila uyo candy abadilishi nywele mwanzo mwisho😂😂
Bibi nakukubali moto 🔥🔥🔥🔥😂😂
Hizo nywele candy mbn hafumui jmn
nipo jaman kend kwisha😂
iyo umepigaje apo kai😂😂😂et inaumaa iyooo😂😂
Patam APO Yani pana épisode ninanitowa faham san
Jaman kai anambeleza zuu mpaka raha jaman
Aki naomba MUNGU iyo dawa y mganga isifanikiwe imrudie kendi
Khai pokeya mauwa🎉🎉🎉🎉🎉
Uyu bibi naye eti ejo😂😂😂
😭
Leo mmenifuraisha umewaisha jamani nawapenda😊
Jamani msichelewe kutuletea ep 22 hongera zuu kwa ujasiri ulionao
😂😂😂😂😂ya leo imenifurahishaaa hakiiii❤❤❤
Safi sana kk kat❤😂😂
Kendi uliyataka mwenyewe kaka kai funga ndoa Tena uwe makini na kendi
Nimeipenda Kai naa suu
Isijegeuka candy ndio akawa chizi 😂😂😂.
❤❤❤❤❤❤zuuu jamani nakupendagaaaa mimiiiii
😅Bora Zuu unayemuita maskini ana julikana ndugu zake na ww
Shida kedy anamuzarau zuu kua yy mfanya kaz
Ya Leo kali Wala hailewesghi 😂😂😂
Nakupenda khai
Achana na candy zuu nimwanamuke mutaratibu mutihifu anastaili jamani tunasubiri dowa kwahamukubwa
Dada zuuu pokea maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Khai umefunguka sasa ❤❤❤❤❤❤❤
Kmb bibi mchawi , au??
Busati TV hamjaniangusha kwa kweli
Mpewe maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dah Leo Kai katoka usingizini kaongea point 😂😂😂
Wooooow zuu saf sana
Wanao mkubali candy kwenda kwamtaalal wekalike apo
❤❤❤❤
Love it
Wenye mlikuwa mumengojea Kai amkiss zuu like hapa tukisonga
😂😂Candy leo kapatikana
Eti inauma iyo poleee😂😂😂😂😂
Huyu ameenda kwa mganga lakini mungu wa baba na kai na zuu asimame na wao
😂😂😂 wapikelele kwa zuuu na kai nimeipenda hio
Jamani huyu bibi hatari basi msaidie zuu jamani 😢😢
Kai amuowe zuuh❤❤❤❤❤
Hakuna marafik wakwel jaman marafik oia wakosana mdijifanye hamuoni
Woooow zuuh❤❤❤
Hapo sawa zuu umenifuraisha sana❤❤❤
Kahaba leo kachoka kujiuza njaa jaman balaa
Uliyataka mwenyewe mama pambana na hali
Zuu mpole ila kuchamba aah 😹😹
Wew candy baadilisha nywele bc nyooo
Wanyaki mpo
Kidgo nirushe teke😂😂😂😂
Zuu ataolewa na kai whether you like it all not 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Mbona patam jmn❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂zuuu umefanya jamboo la maaana
Daaaah jaman candy
zuu nakupa kongole
Mwanamke Jin kabsa
My family🎉🎉❤
Much tamu ,,msicheleweshe basi