HOUSE GIRL EP 21 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #bongomovie

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @busatitv
    @busatitv  3 месяца назад +34

    *JE UPENDI CHAT ILA UNATAMANI KUPATA LINKS KWA GROUP?*
    Usijali sasa tumekusaidia njia Mbadala ya Wewe kupata Links kwa wakati bila kupata usumbufu wa Chat
    1. Tuna Group maalum la links. Group hili la Links tumelifunga ni admin pekee ndio utuma links za episode mpya hivyo hata ukiwa hauupo online unaipata link kwa wakati.
    Bonyeza maandishi ya blue kujiunga group letu la Links pekee. Pia tunatuma na links zetu za movie nyingine 👇🏻👇🏻
    chat.whatsapp.com/Jf3PLbJkKbTLEiNFD1aJ3o
    Lakini pia tuna WhatsApp Channel...
    Hii itakusaidia zaidi kupata habari zetu zoote bila usumbufu wa aina yoyote.
    Na hakuna Mtu ambaye anaweza kukuona kama ume follow WhatsApp channel yetu 👇🏻👇🏻
    whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
    *KARIBU BUSATI TV BURUDANI BILA KIKOMO*

  • @NandDaniel
    @NandDaniel 3 месяца назад +23

    Kali sana Leo nimekuwa kwanza from Kenya kazi njema ,,, kongole🎉🎉🎉❤

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 3 месяца назад +435

    Wanao mkubali Kai amuoe zuu gonga like

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 3 месяца назад +263

    Kama unahamin ndoa ya khai na zuuh kama itafungwa mwaga like zakutosha tusiache ata moja...😂😂😂😂😂❤❤❤

  • @charitychadrek
    @charitychadrek 3 месяца назад +32

    Nimewahi reo jamani tame zuu gongen like hapa❤

  • @essaqoffsett
    @essaqoffsett 3 месяца назад +39

    Wakwanza mim naomba like zenu

  • @glorymhanga8718
    @glorymhanga8718 3 месяца назад +10

    Umejua kutufurahisha kaka Kai, asante sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 3 месяца назад +9

    Nikiwa Buja,Kai Ndoa tunayo ss tunasimama n,Allah,hico🎉 kikaragosi cako hakijiamini kilicezea shilingi kwenye tundu lacho, oyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @nadyasabur8613
    @nadyasabur8613 3 месяца назад +4

    Wao mashallah. Hongereni kazi mzur allah awasimamie 🤲

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 3 месяца назад +25

    Sijachelewa na mm naomba like kidogo😂😂😂 safi sana zuuuuuu

  • @Zenabeby
    @Zenabeby 3 месяца назад +8

    Ila naomba izo dawa zisimshike Zuu juu analindwa na mizimu ya kwao au vpy jaman like bas😅

  • @AminaBakar-q1x
    @AminaBakar-q1x 3 месяца назад +17

    Tunayo ifatilia house girl toka peased 1 adi leo 21 tujuane kwa like🎉🎉

  • @ReginaAli-f3d
    @ReginaAli-f3d 3 месяца назад +7

    Congratulations 🙌 my people one ❤️ from 🇦🇺

  • @irakozeshela1809
    @irakozeshela1809 3 месяца назад +9

    kumekuchaaaaa😂😂😂😂❤mambo yamecemka😅😅😅

  • @safiahilali3352
    @safiahilali3352 3 месяца назад +8

    Na mie nipoo msinisahau 😂😂

  • @HamisiSuma
    @HamisiSuma 3 месяца назад +7

    Mmmh watu mnajuwa kuwahi...... Ila asanteni kwa ep 21

  • @happinessjulius-up3sw
    @happinessjulius-up3sw 3 месяца назад +7

    Weeeeeeee hatari Leo muv tamu sana

  • @MaryMutheu-z9l
    @MaryMutheu-z9l 2 месяца назад +1

    Congratulations zuu ngogeni likes za zuu team player

  • @FatinaShedafa
    @FatinaShedafa 3 месяца назад +1

    Waoo upole mzuri jaman zuu zamu yako

  • @MarthaTabindi
    @MarthaTabindi 3 месяца назад +2

    Heshima ni kitu cha muhimu Sana katika Maisha Yetu ucmdharau mtu ucye mjua,, Ona sasa Candy dharau zmekuponza😅😅

  • @LoyceLoyce-fu9pc
    @LoyceLoyce-fu9pc 3 месяца назад +1

    😅😅😅kai yeye ni don't care et kurudià nguo kwake si tabu😅😅😅😅 hii movie itaniuà kwa kuchekà😅😅😅

  • @Cess-ny7gi
    @Cess-ny7gi 2 месяца назад +1

    Kendi kapata change yake kutoka. Kwa zuuu heheee,ety kendi amskize baba hahaaaaa makubwaa kweli ashachelewa,wapi like zangu wamwisho hapa kutoka kenya 🇰🇪

  • @AMINATASIDE
    @AMINATASIDE 2 месяца назад

    Umepigaje hapo kai ,,,oyoyooooooooo💃💃💃💃🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @TwalhaMaulana
    @TwalhaMaulana 3 месяца назад

    😂😂😂jamani mapenzi yamenoga Kai na zuu wee...wale wazu wapo wapi💃💃💃💃🥰

  • @ngendakuriyosolange751
    @ngendakuriyosolange751 3 месяца назад

    Sijui niseme nini leo kai na zuu munanifulahisha sana hongela sana team zuu mikono juuu❤

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 3 месяца назад +1

    Hiki chuma ni chamoto sana 😅🎉❤ kai kaza uzi mpaka aseme 😮ila ninawasiwasi na ndoa haitofungwa ❤anaeniunga mkono please lake kwa sama😊

  • @LoyceLoyce-fu9pc
    @LoyceLoyce-fu9pc 2 месяца назад +1

    jamani hii series huwa inarukà sangapi mbona nazubir but bado tyu😭😭😭😭😭😭

  • @Justinmbena
    @Justinmbena 3 месяца назад +8

    Sio poa awajamaa

  • @RoseMsuya-q6m
    @RoseMsuya-q6m 3 месяца назад +1

    Dah uyu mtoto kiboko kajua kunifuraisha leo😂😂

  • @zainabumati-2373
    @zainabumati-2373 3 месяца назад

    Candy chunga sije uchuzi ukakurudia mwenyewe 😂😂😂zuuu analidwa na mizim ya kwao huezi mpata go

  • @GlycerySadkin
    @GlycerySadkin 3 месяца назад

    Jamani changanyeni picha si upande mmoja sec 50 na inatoa hamu ya kuangalia

  • @FaudhiaAbdallah-fz4vu
    @FaudhiaAbdallah-fz4vu 3 месяца назад

    Yan iyo sku nkichoka ntakuzibua😂😂😂😂weeee zuuuu🎉🎉

  • @MishieMishie-sm4zb
    @MishieMishie-sm4zb 3 месяца назад

    Na hakika itakuepo mana bibi sie mchache yuwatembea na Tiv yake❤❤❤❤😂

  • @JONASNDEGESI
    @JONASNDEGESI 3 месяца назад +2

    Zuu unajuwa jibu kbs

  • @ANNAMdttz
    @ANNAMdttz 3 месяца назад

    Jaman kendi kumbe unaumiaga na wew

  • @Nelly-s3h
    @Nelly-s3h 3 месяца назад

    Kumekuchaa kendy apigwee na zuu nyieeee😂😂

  • @YussufChacha-xo6me
    @YussufChacha-xo6me 3 месяца назад +1

    Wakwanz namm nipeni likes zangu

  • @HadijaMaulidi-k9s
    @HadijaMaulidi-k9s 3 месяца назад

    Wewe woyo moto piga kelele Kwa zuu🔥🔥🔥

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 3 месяца назад

    Kendi acha roho mbaya siku hizi hakuna mume wa peke yako 😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @noeliddi82
    @noeliddi82 3 месяца назад

    Apo bado kendi tutakunyoosha😂😂😂 lakini yule bibiyake zuu hajui kuwa yale mateso ya mjukuu wake ilikuwa ni zzamaniii😂🎉🎉

  • @Lizdee_08
    @Lizdee_08 3 месяца назад +1

    Wa mwisho kucomment nipeni hata likes tano tuu

  • @renatharjames2186
    @renatharjames2186 3 месяца назад

    Jamani mmefikia pazuri weka episode 22

  • @VeroMaketu
    @VeroMaketu 3 месяца назад

    Nimejifunza kuwa ukimnyima mmeo anacho stahili anakifuata kwa mchepuko 😅😅😅

  • @PhilosLove-cb1oj
    @PhilosLove-cb1oj 3 месяца назад

    Jmni jmni we zuuu umenikosha Leo mbondee uy

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 3 месяца назад

    khai mbona anachelewa kumuoa zuu kwa nn .zuu hoyee🎉🎉🎉

  • @LatifaOg
    @LatifaOg 2 месяца назад

    ❤❤❤😢 masikini gendi ndo anajitambuwa yy ninani kwa kai

  • @RehemaSufiani
    @RehemaSufiani 3 месяца назад

    Ila uyo candy abadilishi nywele mwanzo mwisho😂😂

  • @marymele9714
    @marymele9714 3 месяца назад

    Bibi nakukubali moto 🔥🔥🔥🔥😂😂

  • @ClaudiaPaul-x8d
    @ClaudiaPaul-x8d 3 месяца назад

    Hizo nywele candy mbn hafumui jmn

  • @TatuHaji-zh4lh
    @TatuHaji-zh4lh 3 месяца назад +2

    nipo jaman kend kwisha😂

  • @salumsaid4563
    @salumsaid4563 3 месяца назад

    iyo umepigaje apo kai😂😂😂et inaumaa iyooo😂😂

  • @Dmj618
    @Dmj618 3 месяца назад

    Patam APO Yani pana épisode ninanitowa faham san

  • @Racheltlaee
    @Racheltlaee 2 месяца назад

    Jaman kai anambeleza zuu mpaka raha jaman

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 3 месяца назад

    Aki naomba MUNGU iyo dawa y mganga isifanikiwe imrudie kendi

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 3 месяца назад

    Khai pokeya mauwa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MerryMerry-v5h
    @MerryMerry-v5h 3 месяца назад +1

    Uyu bibi naye eti ejo😂😂😂

  • @FiridausRashidi
    @FiridausRashidi 3 месяца назад

    Leo mmenifuraisha umewaisha jamani nawapenda😊

  • @MikaMaiko
    @MikaMaiko 3 месяца назад

    Jamani msichelewe kutuletea ep 22 hongera zuu kwa ujasiri ulionao

  • @faithlovee2
    @faithlovee2 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂ya leo imenifurahishaaa hakiiii❤❤❤

  • @fatumashehe361
    @fatumashehe361 3 месяца назад

    Safi sana kk kat❤😂😂

  • @SarhKinia
    @SarhKinia 3 месяца назад

    Kendi uliyataka mwenyewe kaka kai funga ndoa Tena uwe makini na kendi

  • @jamessendu5994
    @jamessendu5994 3 месяца назад

    Nimeipenda Kai naa suu

  • @ARUWAAHMADA-jz9ms
    @ARUWAAHMADA-jz9ms 3 месяца назад

    Isijegeuka candy ndio akawa chizi 😂😂😂.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤zuuu jamani nakupendagaaaa mimiiiii

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 3 месяца назад

    😅Bora Zuu unayemuita maskini ana julikana ndugu zake na ww

  • @lucybudeba6561
    @lucybudeba6561 3 месяца назад

    Shida kedy anamuzarau zuu kua yy mfanya kaz

  • @SalmaSaid-v3d
    @SalmaSaid-v3d 3 месяца назад

    Ya Leo kali Wala hailewesghi 😂😂😂

  • @BernadetaGama
    @BernadetaGama 3 месяца назад

    Nakupenda khai

  • @DayanaQueen-ls6mo
    @DayanaQueen-ls6mo 3 месяца назад

    Achana na candy zuu nimwanamuke mutaratibu mutihifu anastaili jamani tunasubiri dowa kwahamukubwa

  • @AgnesMwende-p9w
    @AgnesMwende-p9w 3 месяца назад

    Dada zuuu pokea maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Khai umefunguka sasa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +1

    Kmb bibi mchawi , au??

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 3 месяца назад

    Busati TV hamjaniangusha kwa kweli
    Mpewe maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
    Dah Leo Kai katoka usingizini kaongea point 😂😂😂

  • @renathakalamage4931
    @renathakalamage4931 3 месяца назад

    Wooooow zuu saf sana

  • @MammyMeju
    @MammyMeju 3 месяца назад

    Wanao mkubali candy kwenda kwamtaalal wekalike apo

  • @HelinaEdward
    @HelinaEdward 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @HabibaBakari-u1x
    @HabibaBakari-u1x 3 месяца назад

    Love it

  • @MoureenTendwa
    @MoureenTendwa 3 месяца назад +1

    Wenye mlikuwa mumengojea Kai amkiss zuu like hapa tukisonga

  • @BIBIATHMAN
    @BIBIATHMAN 3 месяца назад

    😂😂Candy leo kapatikana

  • @NASRAZOMBE
    @NASRAZOMBE 3 месяца назад

    Eti inauma iyo poleee😂😂😂😂😂

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng 3 месяца назад

    Huyu ameenda kwa mganga lakini mungu wa baba na kai na zuu asimame na wao

  • @Babymuu-x9t
    @Babymuu-x9t 3 месяца назад

    😂😂😂 wapikelele kwa zuuu na kai nimeipenda hio

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 3 месяца назад

    Jamani huyu bibi hatari basi msaidie zuu jamani 😢😢

  • @GelomeBiloombele
    @GelomeBiloombele 3 месяца назад

    Kai amuowe zuuh❤❤❤❤❤

  • @REHEMANCHALIKA
    @REHEMANCHALIKA Месяц назад

    Hakuna marafik wakwel jaman marafik oia wakosana mdijifanye hamuoni

  • @atupelemwaikasu6971
    @atupelemwaikasu6971 3 месяца назад

    Woooow zuuh❤❤❤

  • @Abomalek-o2e
    @Abomalek-o2e 3 месяца назад

    Hapo sawa zuu umenifuraisha sana❤❤❤

  • @ZainabSaid-n3v
    @ZainabSaid-n3v 3 месяца назад

    Kahaba leo kachoka kujiuza njaa jaman balaa

  • @JosephineLucas-xw8uh
    @JosephineLucas-xw8uh 3 месяца назад

    Uliyataka mwenyewe mama pambana na hali

  • @SABRINASHAMSI-j4l
    @SABRINASHAMSI-j4l 3 месяца назад

    Zuu mpole ila kuchamba aah 😹😹

  • @RechoMasele
    @RechoMasele 3 месяца назад

    Wew candy baadilisha nywele bc nyooo

  • @AnithaMwakaleja
    @AnithaMwakaleja 2 месяца назад

    Wanyaki mpo

  • @SophiaRamadhan-q6k
    @SophiaRamadhan-q6k 3 месяца назад +1

    Kidgo nirushe teke😂😂😂😂

  • @Zainabu-xn3vd
    @Zainabu-xn3vd 3 месяца назад

    Zuu ataolewa na kai whether you like it all not 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AsyaWaziri-oi8rt
    @AsyaWaziri-oi8rt 3 месяца назад

    Mbona patam jmn❤❤❤❤

  • @SmilingBoombox-qk5uo
    @SmilingBoombox-qk5uo 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂zuuu umefanya jamboo la maaana

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 3 месяца назад

    Daaaah jaman candy

  • @PerisTumaini
    @PerisTumaini 3 месяца назад

    zuu nakupa kongole

  • @KamamaaOmar
    @KamamaaOmar 3 месяца назад

    Mwanamke Jin kabsa

  • @meldoclassicog9505
    @meldoclassicog9505 3 месяца назад +1

    My family🎉🎉❤

  • @rosemwende9279
    @rosemwende9279 3 месяца назад

    Much tamu ,,msicheleweshe basi