"Siendi popote": Mwangi Kiunjuri atoa taarifa baada ya kutemwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • #NTVJioni #NTVNews #NTVKenya
    Waziri wa Kilimo aliyepigwa kalamu, Mwangi Kiunjuri amesema licha ya kutemwa katika baraza la mawaziri ataendelea kujishughulisha na siasa za kila siku.
    Subscribe to NTV Kenya channel for the latest Kenyan news today and every day. Get news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 11

  • @teresiawangui272
    @teresiawangui272 4 года назад +1

    Yes you have said it right when one door closes God opens another better one for you. Barikiwa sana bro

  • @louissaganira2051
    @louissaganira2051 4 года назад +1

    Oh please, Kiunjuri...cry me a River. Now you remember God!

  • @kamalofanuel8120
    @kamalofanuel8120 4 года назад +3

    Mawaziri kumbukeni vyeo hivyo nidhamana tu.kuteuliwa na kutenguliwa ni kawaida tu

  • @muitawambui6585
    @muitawambui6585 4 года назад +1

    There are so many of our grandfthrs who fought for this country but we know who looted almost every land.

  • @vivamusandojenevive4635
    @vivamusandojenevive4635 4 года назад +2

    Midomo kubwa ndiyo huwezi huka tusi bozz yako halifu what do you expect ndiyo hiyo ruto hakuandike mujinga wewe

  • @MsAnnien
    @MsAnnien 4 года назад +1

    What does he mean 2:18 kwani he is how old? 🤔🤫Stress za kufutwa kazi si jokes!

  • @vivamusandojenevive4635
    @vivamusandojenevive4635 4 года назад +1

    Hizo mashamba ni by gone we are talking at the moment to go forward

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 4 года назад +1

    Huendi popote, kesi ya mahindi inakungoja you might end in prison. Wacha umeshituka sauti yako inatetemeka

  • @jarsaduba2626
    @jarsaduba2626 4 года назад

    So unamanisha kwabla ya kuzaliwa ulikuwa una fanya siasa? Nakushauri usilalamike kw sababu ujaja wako dio imefuta kazi na pia ulionya mapema sana but ukusia story ya mahindi zote wakenya wanajua

  • @dankago8668
    @dankago8668 4 года назад

    This guy has done nothing other than corruption in agriculture docket.His sacking was a blessing to farmers. Mwangi locusts Bure kabisa

  • @humphreymurithi6851
    @humphreymurithi6851 4 года назад +1

    Mwabie ata yeye sidano.yake.iko jikoni 2020\2022/