Mahakama inatarajiwa kutoa hukumu dhidi kwa kesi ya Lenolkulal aliyepatikana na makosa la ufisadi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Mahakama inatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya aliyekuwa Gavana wa Samburu Moses Lenolkulal kwa makosa ya ufisadi unaohusisha shilingi milioni 83. jana mahakama ilimpata lenolkulal pamoja na wengine na makosa. wakati wowote jaji atakuwa anatoa hukumu hiyo kisha tutakuletea moja kwa moja kwa moja.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии •