🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 май 2020
  • 🔴#LIVE: PIGO KWA MBOWE, VIONGOZI Wake WENGINE WAJIONDOA CHADEMA, Wamlipua - "Ni Waoga Sana"
    BAADHI ya viongozi wa Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, wametangaza kujiondoa katika chama hicho leo Mei 28....
    Na Felista Massae
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 240

  • @stanslausangelus8714
    @stanslausangelus8714 4 года назад +26

    Kazi bado sana Mbowe na kampuni yake safari hawaponi.

  • @jamesmtambo6252
    @jamesmtambo6252 4 года назад +15

    Hujachelewa, karibu CCM

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад +1

    Mwenyezi mungu amekubariki sana baba mbatia kwa siasa zako za kiungwana nakweli kuvuna matunda haya hongera sana.

  • @asalasaad7568
    @asalasaad7568 4 года назад +29

    Kama unamjua rais wa Rwanda gonga like hapo😀😀😀😀

    • @josephclement3650
      @josephclement3650 4 года назад

      yani utafikiri ni mtu na mdg wake😂😂😂😁😁😁😁😁😀😀😀

    • @mahamudually357
      @mahamudually357 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @richardodoyo7511
    @richardodoyo7511 4 года назад +12

    Tatizo la mbowe anakula ruzuku za wanachama wa chadema mwenyewe karibu ccm. Tuwanyoweh

  • @alloycewilbert8848
    @alloycewilbert8848 4 года назад +11

    Karibu CCM mkubwa ,

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 4 года назад +13

    Mbowe atakula bata sn kama munamwachia mapene yote mumpeleke mahakamani arudishe hela za umma kama anamatumizi mabaya ya ruzuku

  • @ghulamjuma2883
    @ghulamjuma2883 4 года назад +8

    Chadema jiangalieni sana

  • @ramlasalim4906
    @ramlasalim4906 4 года назад +33

    Mbowe kajimaliza mwenyewe huwezi kua kiongozi dikteta na mbabe kwa watu ambao wao ndio source ya wewe kuwepo

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад +22

    MBowe usirogwe kugombea ubunge mwaka huu utakufa na presha maana sizani kama utapata kura umejitahidi sana labda kura 2🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucky9285
      @lucky9285 4 года назад

      Vipi umepanga ukamng"oe kwenye jimbo lake ??au ni mpambe wa wanamme wengine

    • @gabrielbahat9107
      @gabrielbahat9107 4 года назад

      Kabisa aisee kwa Dar sidhani chadema kama watapata mbunge hata mmoja! Akishinda mmoja tu ni ushindi mkubwa kwao!

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 4 года назад +19

    Chama kwishaaaaa mboe achia ngazi uwe raia tu maana huwezi kupokelewa popote

    • @husseinyusuph5458
      @husseinyusuph5458 4 года назад

      Wee watu hatufanani ila ote wangekuwa Kama Mimi mbowe akiitisha mkutano mnaweka viti vizuri alafu kila kiti mnaweka jiwe alafu mnaondoka akija hakuti mtu

  • @boazsebastian358
    @boazsebastian358 4 года назад +12

    Mbowe anapiga pesa pale hakuna chama

  • @michaelmusa7250
    @michaelmusa7250 4 года назад +29

    Kama umeona NCCR-mageuzi kumenoga gonga like hapa👇😁

  • @johnboscohava7340
    @johnboscohava7340 4 года назад +14

    KILIVUTIA UOGOZI WA KIKWETE SIO KWA RAIS HUYU KAJITOSHEREZA HADI KEROO😂😂😂😂😂

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 года назад

      Kipindi nchi imejaa mafisadi lazima ccm waachie ngazi mnafiki mkubwa

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 года назад +14

    Wale wanaopata makombo hufunua midomo yao "wananunuliwa "sasa kuna mengi tutayaona kwani msimu umefika. Tumbo la chura lilipasuka kwa kushindana na ng'ombe...
    CCM DAIMAA.

    • @alihu3752
      @alihu3752 4 года назад

      Anasema ukweli huyoo hakuna mjinga sie jua hali ilivyo chadema

  • @mwandymussa6180
    @mwandymussa6180 4 года назад +7

    Umewapa mawazo mazuri sana ila wanajifanya wajuaji wakati vilaza umeongea vizuri tatizo wachumia tumbo

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 4 года назад +20

    Mtu na akili zako unamchagua mwanamke sampuli ya Halima Mdee, Ester Bulaya kuwa mwakilishi wako bungeni! Watu wa Dar na Mara mnakosea wapi?!

  • @AbdalahKileo
    @AbdalahKileo 4 года назад +4

    Hongera Mhandisi Mustafa Muro kwa maamuzi yako ya busara.

  • @phabianstephano8279
    @phabianstephano8279 4 года назад +1

    Short and clear

  • @everlastthebad4441
    @everlastthebad4441 4 года назад +13

    lijualikali ndio mjenga sera

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 4 года назад +10

    N.C.C.R.MAGEUZI GO BACK TO NOMAL LIKE 1994..🙏🙏🙏🙏

    • @polloz77
      @polloz77 4 года назад +2

      NCCR ni chama cha upinzani Tanzania next election

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 4 года назад +6

    CCM 1

  • @sarahasajile1271
    @sarahasajile1271 4 года назад +3

    Karibu ccm

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 4 года назад +11

    Sasa naweza amini sasa "Chadema" wanamjua nani alimpiga risasi "Lisu" kwa mwenendo huu

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Lissu alipigwa Risasi na utawala wa Magufuli hakuna mwingine anaweza ondoa walinzi kwy majengo na kwenda kufanya shambulio la mauaji

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Safari njema kuelekea NCCR MAGEUZI

  • @alphoncemwilolezi9131
    @alphoncemwilolezi9131 4 года назад +11

    Acha waisome no

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 4 года назад +1

    Pole sana kwasafari ndefu ya kisiasa

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 4 года назад +2

    Muache jembe JPM amepima papaya kimebabi 2020 kupima chadema corona tupu. Kweli JPM hapingani na mtu yoyote hapa duniani zawadi tumepewa na mungu. Kama Yusuf wa misiri myaka yile. Viva JPM God bless JPM God bless Tanzania 🇹🇿.

  • @michaeltarimo2241
    @michaeltarimo2241 4 года назад +16

    Namshuri Mwamba Mbowe ajiuzulu uwenyekiti akinusuru Chama, laa sivyo atabaki yeye na familia take. Magufuli hoyeeeeeee

  • @kijubakidiza5181
    @kijubakidiza5181 4 года назад +5

    Hekima busara na unyenyekevu ndo sifa ya uongozi sema kwa mwaka huu tutayajua mengi mamaaaaaa kweli siku ukiona mgoni anasifiwa ujue mwenye mke kaharibu zaidi

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster6691 4 года назад +9

    Pipoooooozi Pwaaaaa!

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 4 года назад +26

    JPM NI BABALAO, MAJALIWA NI BABALAO, MAKONDA NI BABALAO, WELCOME TO CCM

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 4 года назад

      😁😁😂😁😁

    • @lameckmichaelmagazi6345
      @lameckmichaelmagazi6345 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @daudmakolo5244
      @daudmakolo5244 4 года назад

      Haya ni mambo ya kawaida sana,yaani sana.lengo kubwa la vyama vya kiimla kama vile ccm ni kuhakikisha kwa gharama yoyote wanaendelea kutawala na sii kuongoza,ili kuficha dhambi na makosa mengi waliyoyafanya,huku wakiendelea kujificha ktk andiko kuwa hakuna mamlaka isiyotokana na Mungu.ccm wanataka kutuaminisha kuwa tz hii hakuna tatizo lolote isipokuwa tatizo ni mbowe na chadema.mbona hatusikii mrema akifuatiliwa naye ni mwenyekiti wa kudumu wa tlp.ujue huyo ameingizwa na kuukubaki mfumo.kwa watu wenye mawazo mapana kama mbowe lissu myika,hawatakiwi kabisa.bahati mbaya watz wengi ni fuata upepo,hawana misimamo.tutayumbishwa sana.nchi inamatatizo lukuki lakini tunaelekezwa kuwa tatizo ni mbowe na chadema!!!!Mungu tukumbuke watz tunahitaji msaada wako baba.

  • @deisdediterkomba6369
    @deisdediterkomba6369 4 года назад +1

    Hongera kujua combo ulichopanda sio. Shuka wahi kwenye chombo imara

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 года назад

    Pole sana ndiyo siasa

  • @michaelmakori7324
    @michaelmakori7324 4 года назад +9

    CCM no 1

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 4 года назад +10

    Meli inazidi kuzama.

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад

    Pole sana

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 4 года назад +6

    Kumbe bado umebaki ukawa , bora mngeenda ccm

  • @omarmchoya9285
    @omarmchoya9285 4 года назад +6

    wazo lang laleo nahs hata tundu liss mbowe ndoalihuska ili ajinafas kwenye kula ruzuku za wenzake Ccm oyeeeeee maguful jembe

    • @maimlelwa7894
      @maimlelwa7894 4 года назад

      Kwa hao wanavyo tafuta sababu hapo ndio wangepenya ila mmechelewa sana

  • @hamadali9159
    @hamadali9159 4 года назад +5

    Kulewa sifa umegusa sehemu sawa

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 4 года назад +2

    Kwann mnafanya hayo sasa?

  • @evelina9621
    @evelina9621 Месяц назад

    Wakati
    Una
    Me,ngi.

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 4 года назад +1

    Kweri baba safii kabisa

  • @christiankiponda4639
    @christiankiponda4639 4 года назад +5

    Freeman Aikaeli Mbowe, ni Mtu wa Dhuluma, na Tamaa, hasa Upande wa fedha, huyu freeman Mbowe ni Mhuni, wa Mjini, hafai hata kumkabidhi, Ukuu wa Wilaya, pia Anapenda sana Uchi, hapo kaka Uliingilia, Mapenzi ya Watu, huyu Freema amemdhulumu, Dj Gerald, Kiinua Mgogo chake, alichafanyia kazi pale kwa Miaka Mingi, dhulumu jadi yake, Na kwa nini hataki Mtu achukue kiti chake, anacho ogopa kutoka kwenye kiti, ni yale Madudu, aliyofanya, ameiba pesa nyingi za Chama.

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 4 года назад

      Ameiba pesa serikali yako ya ccm kwanini haijamkamata hadi leo toka 2004 acha upuuzi wewe

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 года назад

    tanzania upinzani hawendi mbele kwa unafiki maisha mtatawaliwa na ccm kwa ujinga wenu

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 года назад +1

    Chadema wamepata laana kumbeza mzee sumaye .

  • @jafabanda6382
    @jafabanda6382 4 года назад +2

    Hilo genge kabisa lakini watu wakiwa zaidi ya wa3 anatakiwa ashitakiwe. Kingine mutuambie story ya Tundu lisu chadema munajuwa %85.

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 года назад +8

    2015 mawaziri wakuu walio jiunga na chadomo walikuwa tayari mafisadi!stupid!yote tunayajua na tulikuwa tunayajua!watanzania sio wajinga kihivyo 🇹🇿

  • @stephenchelele5704
    @stephenchelele5704 4 года назад +1

    Mwenyekit km unaitaji chama kiwe hai tunaomba ujiudhuru

  • @JOHN16verse33
    @JOHN16verse33 4 года назад

    Duh Mwamba kiboko!

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 4 года назад

    Asante bola ulivyoondoka ccm na atukutaki nenda ukouko ccm tuachie wenyewe

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 года назад +1

    UNAFAA KUWA MBUNGE,UNA UWEZO WA KUJENGA HOJA.

  • @emmanuelurassa4852
    @emmanuelurassa4852 4 года назад

    Chadema hatuoni shida sna Kwanza jiwe alishasema atahakikisha mpk mwaka 2020 hakutakuwa na upinzani tz kwa hyo his no njama tu

  • @khadijacharles2433
    @khadijacharles2433 4 года назад +2

    Sasa hivi nimekuelewa baba

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom6340 4 года назад +6

    Saccos kwaeri byee ntakumis kwa vituko vyako

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 года назад +4

    Maskeen MBOWE SO SAD WALLAH

  • @khneesajumaa2052
    @khneesajumaa2052 4 года назад +2

    Tutasikia mengi

  • @chrisiasbrown2208
    @chrisiasbrown2208 4 года назад +2

    Naona wanamsafishia tu njia magufuli.. Uchanguzi huu Hawa wapinzani huenda wakaambulia patupu...

  • @justuswaziri5691
    @justuswaziri5691 4 года назад

    Pole sana, ila akili ya kuambiwa pia ongeza na ya kwako

  • @honestmrema5190
    @honestmrema5190 4 года назад +1

    Njaa mbaya sana

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 4 года назад

      Angebaki chadema asingekuwa na njaa

    • @mathewtwimanye92
      @mathewtwimanye92 4 года назад

      Unasema kweli mkuu matusi ni moja ya sera zao hata Wanachoma wake wameambukizwa hicho soma tu comments zao ni matusi tu utajua tu huyu ni chadomo wakifungua midomo yao utashangaa

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 4 года назад +1

    Chama bado kipo imara sana.....mnaondoka siyo kama dr slaha au lowasa.....
    Chama ni watu wa chini siyo juu

  • @mbonireamina6497
    @mbonireamina6497 4 года назад +4

    Mtahama sana lakini hamtakuwa salama atakayekuwa salama ni yule atakayehamia CCM. Nia ya Magufuli iko pale pale kuvimaliza vyama vya upinzani. Ameanza na CHADEMA kitafuatia NCCR maana kitakuwa na nguvu kisha vingine vitafuatia. Hata Mbatia anapoteza mda wake labda afaidi Ruzuku. Magufuli akishammaliza MBOWE anafuatia MBATIA.

    • @lameckadusso7601
      @lameckadusso7601 4 года назад

      Ninyi mnatetea ugali viongozi wasaliti ni ninyi Tena nawaombea mbaki msichaguliwe

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 4 года назад +6

      Raisi wetu sio kwamba anamaliza upinzani si kweli ila wamepoteana wao kwa wao kwa kucheza na team bora kama Raisi Magufuli. Usitegemee team ya ndanda ikamshinda barcelona never na bado watahangaika sana kama wasipoungana na raisi na wananchi kwa ujumla . Rais Wetu endelea kuinyoosha nchi bado inapindapinda kidogo

    • @rogermomodesty3568
      @rogermomodesty3568 4 года назад +1

      Umeongea pumba tu Magufuli unaemtaja ushawai kumsikia akiwaongelea upinzani hata siku moja Rais yeye anapiga Kaz tu, lakin nyinyi hamuishi kumtaja taja ndicho kinachowaua mbwa nyie

    • @Jastus100
      @Jastus100 4 года назад +1

      Rais hana mambo ya kuongelea chama, na huwa anasema analeta maendeleo kwa watz wote sio ccm tu

    • @benedictokazimoto5187
      @benedictokazimoto5187 4 года назад +2

      Sisi tunaomuelewa rais wetu tunamuombea mazur kwa Mungu azidi kutuongoza vizur na kuipeleka nchi yetu mahali pazur zaid hii nchi ni yakwetu sote inatakiwa tumuunge mkono

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 4 года назад +1

    Kwa jinsi unavyoeleza kaka nimeaminimi kweli CHADEMA ni chaka la wahuni na watekaji. Yawezekana wanatekana wao kusingizia serikali achana na hao wahuni ndugu watakuua

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 4 года назад +3

    KICHWA CHA NYOKA HAKIWEZI KUBEBA MZIGO, DUU FAFANUA,.
    WAOGA WA DEMOKRASIA, DEMOPHOBIA

    • @jovinusrwegoshora3206
      @jovinusrwegoshora3206 4 года назад

      Watu muwe waelewa mtu kapata ziro form 6..hataogoza watu litoeni limbowe ndo linavulug

  • @juliananguma8981
    @juliananguma8981 4 года назад +1

    Tulishazoea sana

  • @davidlucas5445
    @davidlucas5445 4 года назад

    Etwa chadema

  • @francisbuya8357
    @francisbuya8357 4 года назад

    Kagame umesomeka vizuri

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 4 года назад

    Jamaa kuna waikato anasound kama Lowasa.

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 4 года назад

    Nakuaminia kutomung'unya maneno

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 4 года назад +1

    Ila angalieni na huko mnakohamia; ni mangis wale wale. Catrevi!

  • @watwegopnina6480
    @watwegopnina6480 4 года назад +1

    Wacha waisome namba eee CCM MBELE KWA MBELE. COM MBELE KWA MBELE 🤣🤣🤣

  • @ayoubhussein6625
    @ayoubhussein6625 4 года назад +2

    Story zakutunga w utukanwe utishiwe maisha halafu usishitaki police?!

  • @amanirashid9011
    @amanirashid9011 4 года назад +1

    nasema nabado

  • @lauriankajugusi3971
    @lauriankajugusi3971 4 года назад +2

    Chama ni kama dhehebu. Kasisi akikùudhi hutohama dhehebu, kwani huwi dhehebuni kumuabudu kasisi hiyo, Bali Muumba.Kama isingekuwa mwanasiasa malachi, usingemkimbia Mbowe, Bali ungesimamia haki zinazopokwa na mababe hao wachache,ikizingatiwa kuwa hata wao hawakuihasisi chadema. Punguzeni woga km kweli mmeamua kuwa wanasiasa.

    • @issamasimba9813
      @issamasimba9813 4 года назад

      Wewe ni mwehu umenunuliwa ukaambiwa nenda cuf ili usijionyeshe ccm utaenda badae mbwa wewe

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 года назад +1

    Mbowe anatakiwa afungwe. Ni muhimu, ni mwizi na mudanganyifu. Kawaibia Watanzania kodi zao. Kakaa kwenye jengo la serikali kwa miaka mingi bila ya kodi kwa mabilioni kakichukuwa chama cha Chadema kama mali yake binafsi. Wakati Dr Slaa alikuwa ni kiongozi chama hiki kilikuwa na chama cha kuheshimika. Sasa kashikikia madaraka MWIZI namba moja.

  • @mngwaliallykizangwa5888
    @mngwaliallykizangwa5888 4 года назад +1

    Ukosefu was adabu,hilo umenena.

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 4 года назад +1

    Tuvushe Babaa tumechoka tuvushe 🤣🤣🤣🤣

  • @peternkohi8830
    @peternkohi8830 4 года назад

    Hapo hakuna kitu

  • @kenethmwangoka981
    @kenethmwangoka981 4 года назад +5

    vyama vya kihuni havina utaribu wa kinidhamu wanatumia lugha za stend

  • @teonasijoseph3212
    @teonasijoseph3212 4 года назад

    ila ninyi wanasiasa wote mnapigania matumbo yenu hakuna chama kilicho safi TZ.. kwa ninyi viongozi mlio kwenye hii press why hamkuondoka before mwaka wa uchaguzi, kulikua kuna mwaka jana, mwaka juzii...ACHENI NJAA

  • @lsakamtepamwandambo6448
    @lsakamtepamwandambo6448 4 года назад

    Napita tu

  • @nessa4899
    @nessa4899 4 года назад

    Mimi naona chadema wangetulia tu kwanza hii korona ita wa cost sana.

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 4 года назад

    Mɓowe naƙushauri acha ƙutia nia ƴa ƙugomɓea ƙaa pepeni uƙaturie ƙwanza vinginevƴo utaoofiƙa sana

  • @vivianusrwezaura1245
    @vivianusrwezaura1245 4 года назад +1

    Bando jamani

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 4 года назад

    Nilifikiri kinachozungumzwa kina maana kumbe pumba tupu aise pole sana

  • @swaleheally8134
    @swaleheally8134 4 года назад

    Piga kelele kwa ccm yake mtaisoma namba

  • @gracejohn886
    @gracejohn886 4 года назад

    Kwa hiyo kila mkivamiwa ni ccm chunguzen kwanza Kwan magufur ana plesha gani kwa mfano adi apige miguu ya mbowe jaman au kateguka kwenye vigae

  • @ramadhanihaji2895
    @ramadhanihaji2895 4 года назад

    Siasa "si hasa".

  • @tariqmussa8099
    @tariqmussa8099 4 года назад +1

    Waache wakaze shingo kama farao watapotea wote

  • @bahatimsukwa2026
    @bahatimsukwa2026 4 года назад

    Unatamaa wew unahamahma

  • @godfreydominic1958
    @godfreydominic1958 4 года назад

    Ungesema naenda nccr mageuzi nasio manenomeengi.tutaona Hilo Hari jipya.

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 4 года назад

    Ngoja nikalale kwanza kesho mtanipa mrejeo what next.

  • @freebeguronu5948
    @freebeguronu5948 4 года назад

    Wewe ni mwongo wal ali ndogo

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 4 года назад

    ukiama chadema unakuwa yuda chapu Neno kuu chadema usaliti

  • @hindisaidi5097
    @hindisaidi5097 4 года назад +1

    Unakwepa ngumi kwa kufumba macho 🙈🙈

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 3 года назад

    Siuwende bhana usitupigie kelele

  • @vumiliareonard4718
    @vumiliareonard4718 4 года назад

    Mɓwowe uriƙosea ƙuchuƙua mahamuzi ƙaɓula ujayashiriƙisha wenzaƙo jua unapo ƙua ƙiongozi jua unawaongoza wanao ƙuzinɗi ata Erimu

  • @samoragoodwin7309
    @samoragoodwin7309 4 года назад

    hivi mnaponda mbowe au Chama cha chadema naona mnatoka kwa ajili ya mbowe si kwa ajili wa katiba ya chadema kwa heri tunakutakia safari njema

  • @chescomolla5557
    @chescomolla5557 4 года назад +1

    Hameni woooooteee Mimi nabaki chadema , chadema kubwa la maadui. Watakufa sanaaaaa mwaka huu!

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 4 года назад

    Huyu ninani sasa

  • @majidmusa309
    @majidmusa309 4 года назад

    😨