NYUMBANI MWA BWANA
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu - Nangwa, Jimbo Katoliki la Mbulu. Wanakukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uitwao Nyumbani Mwa Bwana. Wimbo huu ni Utunzi wake Ray Ufunguo na Umerekodiwa katika studio za RAJO Productions.
'Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa Bwana'
Kinanda Kimechezwa naye Gabriel Clemece Mkude.
#rayufunguo #rajoproductions
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
joaquina
Kazi safi
Hello @rajopro, do you perform for private functions? Kindly let me know how you can be reached. Thank you
Mmetisha sana nimewakubali,kama umewakubali gonga 100
Kwa mara nyingine tumeandaliwa chakula kitamu, nasi tuko tayari kukipokea.😊Hongereni sana wanakwaya wa moyo mtakatifu wa Yesu kwa kazi hii extraordinary.👏👏Keep bringing us this good work RAJO Productions ili mioyo yetu iendelee kupata tiba. Mungu akupe maisha marefu uendelee na kazi hii nzuri maana tunajifunza mengi sana kutoka kwa kazi unazozifanya.🙏🙏🙏
Asante sana Anastacia.. Ubarikiwe sana
Samahan naomba copy ya huo wimbo nimeupenda jaman,Kaz nzur kwel kwel RAJO Production's
Copy wa huu Wimbo jamani
Mungu awatie nguv muendelee kutuletea vitu vizur kama hivi
PL8
May the almighty God azidi kuwabariki pamoja na kipaji chenu ,,,i lyk dhat❤❤❤❤,,y
Hongera nyingi kwa kwaya na production team kwa ujumla, ni zamu ya jimbo la Mbulu sasa🔥🔥🔥
Tunawashukuru ndugu zetu katika utume wa uimbaji,nanyi Mungu awabariki.
Ahsante kwa wimbo mzur by nyumban mwa bwana
Kweli tunapaswa kufurahia tunapo enda nyumbani mwa Bwana. Najivunia kuwa mkatoliki. Wimbo mtamu uliopangwa ukapangika vyema. Mbarikiwe waimbaji
Hongereni sana jamani Mungu awabariki sana Nasisi tuko njiani karibuni Bashnet Kwa jumbilei ya miaka 50
Asante I viwawa Bashnet karibuni Nangwa
Rajo mfano wa Kuigwa.. anauheshimisha muziki wetu wa Kiroma! 🙏
Hongereni sana wana nangwa na Rajo production kwa kazi nzuri hakika sifa na utukufu nikwake Mungu👏👏👏😯
No day passes by without me listening to this beautiful song. I play it in my car until i get to my destination. God bless your voices dear ones.
Kwakweli inapendeza na imetulia tafakari nzito unapoelekea nyumba ya Mwenyezi Mungu(Kanisani) tumejiandaaje na timiliko is furaha yetu sote. Hongera Ray matukio yapo vizuri.
Tunakuombea uzidi kubarikiwa na nyimbo zetu. Asante sana Rosemary
Hakika sauti zote nne zinasikika vizuri Sana. Madhari ya kipekee yakionyesha kazi nzuri ya uimbaji wa MUNGU, video mwaaa, na Organist umetumia kipaji chako vizuri Sana, Bila kumsahau mtunzi kwa kutunga wimbo mzuri wa kututafakarisha. Mdumu ktk utume, Hongereni sanaaaa🙏🙏🤔
Hongeni Sana mungu azidi kuwatia nguvu mwendelee na moyo huo huo,moyo mt wa yesu ❤️❤️❤️
Utamu uko hapa jamani!Hongereni Kwa wimbo mtamu kiasi hiki, Mungu awabariki
Angelic voices, great production. Kweli na twende nyumbani mwa Bwana. A great loop for whole day listening.
Rajo ni koboko Yao,Rajo can't disappoint,hongereni sana🔥🔥
Be blessed Tonny
Najivunia kuwa mkatoliki aiseee
Wimbo huu unasisimua kweli,Hongereni Mungu awabariki
Kazi safi... the composition is tops, arrangement is quality and the message is inspiring. Thank you.
Quality of video amaizing!Angelic voices!Dressing code highest creativity and awaresome!Location just extraordinary!
Nature of the song and message wonderful!
Rajo production!The only company that challenges itself but takes time of external challenger to strive!
Glory to God and keep it up brother.
Thank you Brother Malalius. May God bless you
Really amazing... Keep it up guys and God bless you abundantly.
Yani nimesikiliza Zaid Zaid nikajikuta nauimba kama mm ndo mtunzi vile ,kazi nzur wimbo mtamu Mungu 🙏 awabariki wote mlio husika kufanikisha kazi hii 👆 mbarikiwe San.
Asante sana Devotha. Ubarikiwe sana
Kila wakati nasikia tu wakisema nyumbani mwa bwana ya ray iko juu na kweli😮😊😊 ihad rewatch amd confirm
The song is wow and the creativity is on a high level...the video is lit🔥.clear facial expressions everyone is smiling...hakika kwa Bwana kuna furaha na lazima tabasamu tukienda nyumbani Mwake🥰👍
Rajo productions on another level, kazi safi,i love your work,,, blessed voices, hongera kutoka Kenya💯💯🔥🔥🔥🔥🔥💯❤️❤️❤️❤️
Thank you so much Loraine. God Bless you
wimbo mtamu, saut nzur, video high quality
Mungu awatunuku Baraka & Neema mpate Rehema Milele 🙏🙏
Asante sana Daniel
Beautiful, it's the Alto for me.
I have listened and myself composed songs, but this one, is top notch and is almost to perfection! including the dancing..I listened it the whole day....I really love the Alto>>>>Thanks for great work and be blessed
Thank you Paul. Be blessed
I'm enjoying this. Rajo Production nawapenda sana congrats 👌👌👌
Hongereni sana kazi nzuri sana, Mungu awabariki
Hongereni ❤🎉sana wanakwaya kwa uinjilishajiiii mzuri kweli twendeni nyumbani mwa bwana nimeguswa sana na huuu wimbo
Rajo you are on another level God bless you and the womb that carried you ❤your work
Kaka wewe uishi tu kwakweli mpaka pale ntakapo record nawewe you are always the best for me ooh you made it again 🙏🙏💓💓💓💗💖💖
Asante sana Epifania. Ubarikiwe sana
Great piece mungu awazidishie sauti safi
Hii n kali. Mmeamua kuchukua uniform ya primary. This is just amazing.
Jamani nimependa mungu awabariki kwa Nazi nzuri
Naomba mawasiliano nao pleas nimependa
Waoooh kazi nzuri ujumbe mzuri, hakika Mungu azidi kuwabariki sanaaaa
Can't get enough of it 🔥 the vocals 😘😘👌🏾💯it's the alto for me 😌
I love it ❤️
Wimbo mzuri sana naomba ringtone yaketafadhali da
Hongera sana kwa wimbo mzuri hakika mbarikiwe sana
Hongeren xna jmn Kwa utume mzur mung awbarki jmn
Jaman uongo dhamb hakika mmependeza na mmeimba vzur mungu awe nanyi🙏🙏🙏🙏
This is really blessing a gospel song. Amen 🙏🙏🙏
Itoshe kusema nimebarikiwa sana na wimbo ni mzuri
Kazi nzuri sana mungu awabariki wana jimbo la mbulu
Wow what a wonderful song ...proud to be a catholic lam uplifted 👏👏🙏🙏
Quality Art # Kazi mzuri Rajo production
√Apple studio Nangwa
Shukrani sana Apple studio Nangwa
I first heard this song at St Patrick's Thika. Wimbo mtamu wa kuingia. Asanteni na hongereni sana kwa utume huu.
2024 nawapenda ❤❤❤wote mnaotazama
Asante sana. Ubarikiwe
Nafurayi moyoni mwangu kwa kazi nzuri aksanti
Hakika Natwende Nyumbanu mwa Bwana 🙏
Congratulations! Wimbo tamu kweli kweli ningependa nota zake tafadhali
Hongereni sana wanakwaya very songs my friend
Wanakwaya Hongereni sana kwa sare zenu. Safi sanaa.👏
Asante sana Rosemary
Wimbo mzuri kweli. Mbona haijakuwa uploaded kwa swahili music notes. Nasikiliza kutoka Kenya
Do you need the music notas?
Tamu sana kabisa. Na kuwa mumeivalia uniform nzuri. Mubarikiwe wapendwa.
hongereni hongereni tena hongereni, yaani muziki umepambwa, umekolezwa mibaraka tele,,, Ray Ufunguo huchoki kutufungulia mibaraka
Ubarikiwe saba Pius
Nice work brother I think I want to become like you in the future
Kazi safi mkuu ..moves ,singing 🔥 🔥
Endelea vivo hivo .
Thank you friend. Ubarikiwe
Kazi nzuri sana Mungu azidi kuwabariki katika utume wenu
wow so nyc. though I don't understand the language my soul is uplifted. Thank you Proudly Catholic
Early today I woke up sick as i was almost two weeks, then started listening to this song,fortunately, the song gave me power and strength to wake up and go for the mass.
The message, art ,creativity of the video together with audio instrumental accompanment are super exciting 🔥
God bless you brother 🙏
Edward.. This comment gives me More energy to do more. May God Bless you.
@@rajopro you got my prayers bro💪🏾
Amen
Great work , great creativity, great music all time Rajo productions
Thank you Steven
Aiseee jaman Mungu awazidishie baraka na nguvu katika kazi yenu ya kulitangaza injili!Wimbo mzuri sana mubarikiwe sana na bwana💪
Ubarikiwe sana Afrazia
Baraka tele kwa uimbaji mzuri
Sweet n Dope!
Thank you so much
Wow! This is so beautiful
It awesome!!! God bless you 🙏🙏🙏 I
❣️🥰😩❤️❤️❤️❤️waliponiambia na twende nyumbani mwa bwana
that part is so sweet and emotional I love it
Mung awazidishie pote mlpo pungukiwa ahsante ❤❤❤❤❤❤ nawapemda sana amen
🔥 🔥 🔥 🔥 kali sana💯
Barikiwa sana
⚪THIS IS BEYOND A SONG, ITS A MOVIE BRO😍 , A VERY TALENTED GUY, I LIKE IT, YOUR SONG MAKE MY KEYBOARD⌨ TYPE CAPITAL LETTER😂😂,,, BIG UP BRO I'M NEVER DISAPPOINTED ,,, GOOOO RAJOOOO💪💪 GOOOO TANZANIAAA💪💪,,, LOVE FROM DON BOSCO.
What a Comment. Thank you so Much Anthony. May God Bless you.
watching from Washington DC, good job.
Thank you Dennis
Wimbo mzuri sana na ujumbe mzuri hongereni sana wote mlioshiriki Mungu awabariki na kuwajalia kufika nyumbani kwake.
Waaaooo this is so amazing 🔥❤️🔥❤️🔥❤️❤️ Brother God bless you.🙏🙏
Sauti ya tatu mmetsha kinomaaaaa hongera
Nice song have like it,,keep up
Truly beautiful. Thank you for blessing me. May God bless your Ministry.
nawapenda sana.blessed
viewer 1024 i really enjoyed the song video quality the singers did justice to the song..
Thank you David
Wow! Congratulations 👏👏👏 this is another wonder 💞💞💞. ....of composition. Beautiful 🥰
Thank you so much Terry. God bless you
I can't have enough of this..#Amazing job , well planned and well done as it is! Congratulations Ray and the group.
Hii nyimbo nzuri sana kwakweli sijui nieleze vipi...hakika nabarikiwa sana na hizi nyimbo. Hongera sana Rajo Production ubarikiwe sana kaka.
If you know you know keep it up Rajo production. Na kwa wanakwaya hongereni kwa kua uniform you look sweet
Thank you Egla
Zaburi 122:1, hakika mmetuinjlisha vema, mzidi kubarikiwa taifa la Mungu.
Uzidi kubarikiwa Alex
Mungu azidi kuwabariki🙏
Rojo mfano wa kuigwa,pamoja sana,mungu awazidishie kipaji hicho
Nimebarikiwa Sana, wimbo mtamu 🙏
Twende Nyumbani mwa Bwana👏🌟🌟👏
You never disappoint, congratulations 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Yaani we jamaaaa barikiwa mno kwa ubunifu........
Hongereni Sana team yote kwa kufanikiwa.....
Mungu akubariki sana
love from kenya 💖💖💖
Naitwa Isackangilundu nimezipenda nyimbo zenu karibia zote naomba mzidikunitumia mtandaoni Mungu awabariki sana.
Rajo hatar Sana Godbless you... Msalimie mkude 🙌🙌🙏🙏
Shukrani sana Peter
Mmefanya na imefanyika sana Jamani hongereni,Mungu abariki kazi ya mikono yenu
Amina sana. Ubarikiwe Christina
Nalifurahi waliponiambia na twende nyumbani mwa bwana 🙏🙏🙏🙏🙌🙌🙌💗
Blessings guys, the voices have stolen my attention.
Imana ntacyo itakoreye umuntu ngo abeho neza ariko shenjye ibyo umuntu ntibyamunyura icyibabaje nawe siwe niyompamvu bikwiriye kwitondera uwo ubonako ari inkozi yibibi kuko umwe akora ibyiza undi akabisenya bitewe nicyo yimitse, ! Nicyi cyikurimwo muri bibiri mbariza mujyenzi wawe witonze
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 watching from Kenya great work .may Glory be to God
Thank you Denis. May God Bless you.
Pongezi kwa kazi nzuri 🥰 hongereni wanakwaya na hongera RAJO PRO, Bro Mungu azidi kukutunza kwa ajili yetu 🙏🏻🥰
Just imagine kwaya inakila kitu nachokihitaji mimi 😂 i will join hawa watu soon
Asante sana Mdogo wangu. Soon utakuja Arusha kupiga kazi
Karibu sana Modest