Kauli ya kwanza ya Qayllah baada ya kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mtoto wa msanii Nurdin Bilal maarufu kama 'Shetta' Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa baada ya kupata ushindi katika mkutano Mkuu wa Chipukizi Taifa.
    Katika uchaguzi huo uliofanyika Desemba 20, 2023, kinyang'anyiro cha nafasi ya Mwenyekiti waliowania nafasi hiyo ni Neema Kinyonga aliyepata kura 13, John mpoto kura 17, Hytham Mwanyemba kura 96 na Qilla Nurdin akipata kura 303.
    Baada ya ushindi huo Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Chipukizi Taifa, Qailah Nurdin Bilal akapata nafasi ya kuzungumza na kuahirisha mkutano wa uchaguzi.

Комментарии • 47

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 9 месяцев назад +1

    Hongera sana binti.Hiki chombo wana CCM tukitunze.Hongera Bilali.🎉🎉🎉🎉

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 9 месяцев назад +3

    Mwenzenu namuona Joket mdogo wow

  • @muna1165
    @muna1165 9 месяцев назад +1

    Hongera sana dada kaira

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 9 месяцев назад +6

    Sasa wewe husojielewa sema siasa mchezo mchafu siwez muingiza mwanangu wakat hapo unataman hata uteuliwe ubunge viti maalumu huwez sababu baba yako alikua bize kucheza dansi hakukufundisha chochote😂😂😂

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 9 месяцев назад

    MashaAllah hongera sana Qaira ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉

  • @TanziruJambia
    @TanziruJambia 9 месяцев назад +1

    Very good 🎉

  • @AliChwaya
    @AliChwaya 6 месяцев назад

    Vijana ndio taifa la kesho waswahili wanasema binadaam sio samaria kwa maana ya kwamba samaki kadri anavyokuwa mkubwa anazidi kuwa na nguvu lakini binaadam kadri anavyozidi kuwa mkubwa anazidi kuwa dhaifu hivyo tunapaswa kuwapa nafas vijana na kuwawezesha

  • @Umkuluthum
    @Umkuluthum 9 месяцев назад +1

    Congratulations

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 9 месяцев назад

    Nimependa❤

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 9 месяцев назад +1

    Huu ujinga upo Tz tu trust me😂😂😂😂😂😂😂

  • @aud548
    @aud548 9 месяцев назад +3

    Mwaka 2050 Dogo wa Mwigulu akiwa mbunge wenu Iramba msishangae😂😂😂😂 its all in cycles...

  • @elizabethraymond6388
    @elizabethraymond6388 9 месяцев назад

    She is so smart

  • @ShaniSudi-g3r
    @ShaniSudi-g3r 9 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @AgnethaKapinga
    @AgnethaKapinga 9 месяцев назад

    Ongera sana sana sasa piga kitabu utimize ndoto zako

  • @salehhassan87
    @salehhassan87 9 месяцев назад +2

    Dogo yupo vzr ahongere

  • @lajo.
    @lajo. 9 месяцев назад +4

    Kwa mbali Qaillah kama Joketi

    • @kaizajr8991
      @kaizajr8991 9 месяцев назад +2

      Kwa maono yangu Jokate anabahati, ila huyu mtoto ana maandalizi ya siasa toka udogoni hivyo ni vigumu sana kuja kumuona kwenye mambo kama ya u miss, muziki, baadh ya scandals maana amejua njia yake mapema sana. Unadhani da Jokate angejua atakuja kuwa hivyo angecheza kama video vixen kwenye nyimbo ya Diamond !!????

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 9 месяцев назад

      Hata mimi nimeona hivyohivyo aisee

  • @WitnessChristian-t7i
    @WitnessChristian-t7i 9 месяцев назад

    Dogo yupo vizuri

  • @frankmlalila1705
    @frankmlalila1705 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂hii ndo Tz

  • @MastoMasto-iy4nl
    @MastoMasto-iy4nl 9 месяцев назад +2

    Uyu mtoto mjanja kama babayake vile

  • @VenySichimata-ll5mx
    @VenySichimata-ll5mx 9 месяцев назад

    Nimempenda buree huyu mtt

  • @alikidungura9419
    @alikidungura9419 9 месяцев назад

    Vyama vyengine vikifanya hivi kwa watoto huambiwa wanalea watoto kisiasa

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 9 месяцев назад

    HIVI MNAOSIFIA HILI SWALA LA HUYU MTOTO KUSHINDA HAMUONI KUWA SHERIA INAKATAZA WATOTO KUHUSISHWA NA SIASA CHINI YA UMRI WA MIAKA 12 HADI KUMI NA NNE?NA VYAMA VINGINE VIKIANZA MTINDO HUU TUSIJE ONA MSAJILI WA VYAMA ANAWAZUIA

  • @issakitundu617
    @issakitundu617 9 месяцев назад +2

    CCM ni chama flani hivi kina mikakati yenye akili sana katika nchi hii, inaandaa viongozi wa baadae kila kukicha.
    Kuna vyama bado vinapoteza nguvu kupinga kila kitu badala ya kujiandaa na uimarishaji wa chama

  • @HelenTsere
    @HelenTsere 9 месяцев назад +4

    Eti ana miaka mingapi huyo binti?

    • @SidatiSaidi
      @SidatiSaidi 9 месяцев назад

      11

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 9 месяцев назад +3

      Hongera binti yetu miaka 11 namuona Samia wa badae maashallah mungu akupe umri mrefu na afya njema inshaallah

  • @kuchimillionaire6683
    @kuchimillionaire6683 9 месяцев назад +2

    New thieves on training

  • @MkisiStylish
    @MkisiStylish 9 месяцев назад

    Hii ngoma imeimbwa na wangoni tukiaachana na CCM😂

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 9 месяцев назад +2

    utawala wa kifalme

  • @Amiri6Baba
    @Amiri6Baba 9 месяцев назад +2

    Hii inchi ina vituko sana 😂

    • @PeterKondo
      @PeterKondo 9 месяцев назад

      uwez elewa sasa hv ila mungu akikupa uhai miaka 25 mbele utaelewa😂

    • @frankmlalila1705
      @frankmlalila1705 9 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748 9 месяцев назад

    Hiii nchi ni yaajabu sana watu wapo bize kupromoti vitu vya kijinga inchi inapotea kimaadili wanaume wanapakuana uku leo mijitu inasema mpeni laaaa haya mwisho tutaona hizi propaganda mnazofanya mwisho wake nn

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 9 месяцев назад

      Yn ni ujinga mtu wnaalibu pesa kuandaa ujinga km u ndo mana magu alifuta u ujinga kbs

    • @terashangwe255
      @terashangwe255 9 месяцев назад

      Kwani si wameamua kupakuana unataka kuwafanya nini

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 9 месяцев назад

    Ujinga mtu ccm yn

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g 9 месяцев назад +1

    Uchaguzi wa matawi na kata ccm bila mbumge na diwani kuamua ni bure,hupiti,ccm ni walewale.wanasafisha njia,sasa ni aibu kwa chama.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 9 месяцев назад +2

    Chipukizi? Are we serious, hii nchi imeoza kiasi gani jamani. By the time they are 18, yatakuwa majangili kuzidi akina Kinana and co! How much stupidity can we torelate in this country!

    • @doreenchuwa3630
      @doreenchuwa3630 9 месяцев назад +2

      Kiongozi bora anatengenezwa na wewe , wacha mawazo mgando. Na wewe tengeneza watoto wako wafike hapo. Uache kuita watoto majangili

    • @DICKSONTimoth-xk7rj
      @DICKSONTimoth-xk7rj 9 месяцев назад

      ​@@doreenchuwa3630kabisa yaani kuna watu wengine wanaongea upumbavu tu

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 9 месяцев назад +1

      ​@@doreenchuwa3630machizi tu ukiyaambia andaa damu yako ije ikomboe taifa wanashinda nao kwenye vigodoro alafu wanatukana watoto wa wenzao.

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 8 месяцев назад

      Sasa hizo ni itikadi za kichama mkuu,
      Why're u so furioud Tata....!
      Ndo maana CCM watakuwa wakishinda kila siku, kwani wana msingi imara sana,
      Wamejijenga mashinani kuliko chama chochote....!
      Wana MTAJI mkubwa wa WATU kuliko wengine, na hizo sio FEDHA za serikali ndugu ni za CCM wenyewe...
      Najua point ya mwisho ndo utashika...