MWANZO MWISHO HUKUMU YA WALIOTUMWA NA AFANDE "GEREZANI MAISHA, WAMPE BINTI MILIONI 4'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 81

  • @ayushiashanty9818
    @ayushiashanty9818 18 часов назад +17

    Na aliyewatuma je mbona atuelewi tunaomba na aliyewatuma pia achukuliwe hatua km hao watumwa wake

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 17 часов назад +1

      Namimi pia nina hamu na Afande aliyewatuma hao wafungwa wapya ..! Hivi lakini hawa walikuwa askari kweli wa polisi au JW?

  • @lazaroabineli482
    @lazaroabineli482 18 часов назад +8

    Alie Watuma Yuko Wapi

  • @salomelaizer6383
    @salomelaizer6383 18 часов назад +8

    Wakaozee huko kabsa

  • @JosephevansLyimoo
    @JosephevansLyimoo 18 часов назад +7

    Mbona afande atumuoni nae ajahukumiwa maisha mana yeye ndiyo kuwatuma hao wana jeshi hata huyo afande anafaa kuhukumiwa maisha mbona kama mnatuchezea wana nchi akili huyo afande nae anasitahili kuhukumiwa maisha

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 13 часов назад

      Kabisa wanatuchezea akili hawa aiwezekani

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 18 часов назад +3

    Yule alowatum tunaitaki kesi isomwe tumuone akibutwa mahaakamani

  • @RamadhanMbwana-o1j
    @RamadhanMbwana-o1j 18 часов назад +7

    Safi sana, itakuwa fundisho kwa wengine👍🏿🙏🏿

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 17 часов назад

      Hii ndio athari kubwa ya kukubali,kila Amri ya,afande (hasa zile zilizo nje ya,,uhalali wa kisheria) mwisho unaangamia wewe na familia yako

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 17 часов назад

      Hii ndio athari kubwa ya kukubali,kila Amri ya,afande (hasa zile zilizo nje ya,,uhalali wa kisheria) mwisho unaangamia wewe na familia yako

  • @yohanakateko
    @yohanakateko 18 часов назад +3

    Mungu atupe hekima na maarifa

  • @Ahadunimussa
    @Ahadunimussa 18 часов назад +3

    Je afande aliye watuma hatima yake

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 18 часов назад +4

    duh haya maisha ebu fikiria yule ambae bado hajakamatwa kwenye kesi hii alaf anaona hii habari ana hali gani

    • @VeronicaPeter-rm7ky
      @VeronicaPeter-rm7ky 13 часов назад

      Kumbe kun m2 hajakamatwa....kwam walikua wangap wanne au watano

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 18 часов назад +2

    Aliyemwambia mtangazaji wataonana akitoka sasa itakuwaje?😂😂😂

  • @zainab8251
    @zainab8251 14 часов назад +1

    Hapa hakuna mtu wa kufungwa wanatufumbia tu fumbo hili wanakaa siku kazaa wanaachiwa kwa nini yule watano yako wapi? Afande fatuma yako wapi?( ) wajinga. Ndio waliwao engesha hio TANZANIA 🇹🇿 HAKUNA HAKI kwa raia wakawainda na mtumishi wa serikali

  • @ImmanuelGurty
    @ImmanuelGurty 18 часов назад +2

    Mbon afande hayup au yey ndo hausiki

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 12 часов назад +1

    Walikuwa wababe leo wapole kifungo cha maisha eti we dada nikitoka nitakutafuta yule dada mwandishi wa habari

  • @shaabanayoub6343
    @shaabanayoub6343 18 часов назад +3

    Hapo milion moja naona kama bado haitosh kwa hao jamaa ingawa hata wampe kiac gan haiwez kurudisha utu wake lakin mimi naona milion 1 bado aisee...

    • @YussuphIsmail-qh2gg
      @YussuphIsmail-qh2gg 14 часов назад

      Washaukumiw je kama milioni huna inakuwa wakati ni kifungo Cha maisha

  • @calvenycachelu9778
    @calvenycachelu9778 18 часов назад +4

    Kumbe tz kubaka ni m 1 ukiwa mtu 1 sio

    • @hkaniugu
      @hkaniugu 17 часов назад

      Itakiwa m20 kila mmoja

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn 18 часов назад +4

    Huyo mwenye shati la draf. Mbabe kweli hana hata of

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 17 часов назад

      Wakifika cha kwanza wataulzwa nyie ndo wale wa kulawiti?!?? Basi kazi wanayo wiki tu ataanza kupata hofu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Saiz bado mapema

    • @EdnaMbowe
      @EdnaMbowe 16 часов назад

      kweli anaonekana jeur

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory 18 часов назад +2

    aliyewatuma vipi??

  • @princeSamson-vy1ow
    @princeSamson-vy1ow 14 часов назад +1

    Afande aliwatuma yupo wapi #Afande aliyewatuma yupo wapi

  • @princeSamson-vy1ow
    @princeSamson-vy1ow 21 минуту назад +1

    Afande #kigondo yupo wapi afande #Kigondo

  • @chapaaandrew3562
    @chapaaandrew3562 17 часов назад +1

    Milion 4 za nini sasa ivi kweli mfungwa alipe hela kvp

  • @calvenycachelu9778
    @calvenycachelu9778 18 часов назад +3

    Mimi nilijua na wao watabakwa kisha walipe faini

  • @ashuraally9064
    @ashuraally9064 17 часов назад +1

    Nyege za siku 1 zinawaliza maisha wajinga nyie

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 17 часов назад

    Mbn Aliyewatum Atujasky Azabu Yake Au Ndo Kutetey Waliyo Na Nguv Serikalini

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 17 часов назад +2

    Naomba wakutane na manyapara huko jela wafirw* mpaka waelewe shoo.. Mbwa hawa

  • @LusekeloAdam
    @LusekeloAdam 17 часов назад +2

    Ombi binfsi. Naomba nijue ni gereza gani watapo wekwa. Nitajipa kazi ya kuwatembelea mala kwa mala. Tafadhali. Ili kuhakiki kama kweli wanatumikia kifungo chao

    • @ZeinabAhmed-so7dx
      @ZeinabAhmed-so7dx 16 часов назад +1

      Point

    • @lucykinabo
      @lucykinabo 16 часов назад +1

      Kabisa yan ,, wasije wakawekwa mwez tuu wakatolewa kimya kimya

  • @AbduraufKimaro
    @AbduraufKimaro 15 часов назад +2

    𝓐𝓵𝓲𝔂𝓮 𝔀𝓪2𝓶𝓪 𝓱𝓪𝓳𝓪𝓱𝓾𝓴𝓾𝓶𝓲𝔀𝓪? 𝓷𝓪 𝔂𝓮𝔂𝓮 𝓷𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓾𝓱𝓾𝓼𝓲𝓴𝓪 𝓜𝓴𝓾𝓾?!!!

  • @ZainabZainab-v8s
    @ZainabZainab-v8s 17 часов назад +1

    Mashallah fundisho tosha

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x 18 часов назад +3

    Kwahiyo ukibaka unatoa milioni 1 kesi imeisha basi tuanze kubaka na kutoa one milioni 😅😅😅

    • @nasraswakala
      @nasraswakala 6 часов назад

      Ujaelewa alicho onge inamaana au

    • @GoodluckAmos
      @GoodluckAmos 23 минуты назад

      Kwaiyo kifungo cha maisha jera hujakisikia??? Hizo ni adhabu 2 kwa pamoja

  • @ZainabuMwakibinga
    @ZainabuMwakibinga 20 минут назад

    Jamani afande Alie watuma Yuko wapi mbona kmy ivyo tunaomba tujue mwisho wake Ili iwe funzo na kwa wengne

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 18 часов назад +1

    Wafe ukouko mbwa hao

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Час назад

    Rais anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria. Watanzania wanataka kujuwa je Afande aliyewatuma yuko wapi? Mbona hakushitakiwa? Huyu mama ndiye angekuwa mushitakiwa namba moja

  • @sharfumbarouk6168
    @sharfumbarouk6168 Час назад

    Wa Kwanza wao kuhukumiwa alikua mtumaji ndie aliyestahiki adhabu kubwa maana hao walitekeleza agizo tu, haki Bado haijatendeka inavyostahiki kabissaa

  • @sharfumbarouk6168
    @sharfumbarouk6168 Час назад

    Wa Kwanza wao kuhukumiwa alikua mtumaji ndie aliyestahiki adhabu kubwa maana hao walitekeleza agizo tu, haki Bado haijatendeka inavyostahiki kabissaa

  • @IddiKhamis-u6c
    @IddiKhamis-u6c 15 часов назад

    Sikia ww unaeongea. Hawa wahakutaka kufichiwa utu maana hao wenyewe inasemekana wamejirecord. Sasa jiulize nini lengo la kujirecord kama sio kutembeza unyama walioufanya.

  • @nadhifamustapha7557
    @nadhifamustapha7557 2 часа назад

    Kama hamumleti huyo Afande Basi Afe kwa Presha

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 5 часов назад

    Yuko wapi aliewatuma? Acheni kumchezea mungu 😢

  • @franciskira925
    @franciskira925 16 часов назад

    Aliyewatuma yuko wapi!? Na hiyo faini watailipaje wakati wanefungwa maisha?

  • @azzodreyproducer
    @azzodreyproducer 4 часа назад

    Hapo kwenye kufungwa maisha mmmh tumepigwa kimsingi labda hiyo milioni 4 ndio atapatiwa mhangwa ila vinginevyo tumepigwa changa la macho.

  • @franciskira925
    @franciskira925 16 часов назад

    Kama aliyewatuma hayupo, nina mashaka hiki kifungo! Inawezekana hawajafungwa hawa majamaa!

  • @romanilyimo
    @romanilyimo 13 часов назад

    Bado aliyewatuma tunataka apandiswe kortin haiwezekani walitumwa waonekane ndio wenye makosa wenyewe apana

  • @Rehemamakuka
    @Rehemamakuka 17 часов назад

    Bona kama sijaelewa aliekuwa anachukua video yuko wapi na manager plan yuko wapi au mmetuachia uraiani tuwahukum wananchi

  • @salehefeswali5197
    @salehefeswali5197 16 часов назад

    Hakuna haki bhana huyo aliyewatuma yu wap au ndo mnatuona watz manung'aembe

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi6210 18 часов назад

    sasa kwnn kama haw watu wamehukumiwa kifungo cha maisha jela mbona wana ruhusiwa kuvaa hivo viziba uso

  • @Safinamfinanga
    @Safinamfinanga 18 часов назад

    Bado atujaridhika na hii kesi hdi tujue aliye watuma yupo wapi au ndo siku mbili mnaachi huru uko ni kulindana tinataka haki

  • @M.J.Mgaya92
    @M.J.Mgaya92 17 часов назад

    nilikuwa najua mauaji ni kosa kubwa sana lakini kumbe kubaka ni kosa kubwa kuliko kubaka!!!..

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 17 часов назад

    Madogo wakifika gerezani wanalipwa chap

  • @EzraMwangu
    @EzraMwangu 17 часов назад

    Aliewatuma mbona hayupoo au ndo kulindana

  • @saidyallyy6103
    @saidyallyy6103 17 часов назад

    Safi sana funzo kwa wengini wenye roho za kinyama.

  • @hallowkij5677
    @hallowkij5677 17 часов назад

    je yule mama alowatuma mbona hatusikii hukumu yake au hana kosa

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 15 часов назад

    Ngoja na wao wakafilwe huko gerezani maninaaa

  • @Producervbaddset
    @Producervbaddset 18 часов назад

    KUNA AFISA MAGEREZA KAKUNJA SURUALI CHINI 😂😂😂

  • @juliethzeramula4518
    @juliethzeramula4518 17 часов назад

    Na aliyetuma yuko wapi akatumikie kama hawa

  • @ClarahMsuya
    @ClarahMsuya 15 часов назад

    Vipi askari magereza amesamehewa?

  • @JanethUlomi-n6h
    @JanethUlomi-n6h 18 часов назад

    Good👍, Unatumwaje kukula Mafi alafu uende kukula🧏

  • @epielamu891
    @epielamu891 13 часов назад

    Aliyewatuma nae yuko wapiiiiii

  • @FatumaJuma-b2g
    @FatumaJuma-b2g 17 часов назад

    Huzuni Kwa wazazi duh 🙄 watt wadogo

  • @nasraswakala
    @nasraswakala 6 часов назад

    Binafsi nimefulai sana

  • @tanzaniantraveller
    @tanzaniantraveller 17 часов назад

    Aliyewatuma vipi?

  • @abuuhamda6213
    @abuuhamda6213 17 часов назад

    Safi bado afande sasa

  • @wahidabakar
    @wahidabakar 5 часов назад

    swadakta

  • @FarouqMasha
    @FarouqMasha 14 часов назад

    Illa!!?

  • @saddiqsaddiq6880
    @saddiqsaddiq6880 14 часов назад

    Very good

  • @AhmedyKambi
    @AhmedyKambi 18 часов назад

    ما شاء الله

  • @AbduraufKimaro
    @AbduraufKimaro 15 часов назад +1

    𝓐𝓵𝓲𝔂𝓮 𝔀𝓪2𝓶𝓪 𝓱𝓪𝓳𝓪𝓱𝓾𝓴𝓾𝓶𝓲𝔀𝓪? 𝓷𝓪 𝔂𝓮𝔂𝓮 𝓷𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓾𝓱𝓾𝓼𝓲𝓴𝓪 𝓜𝓴𝓾𝓾?!!!