Mbona afande atumuoni nae ajahukumiwa maisha mana yeye ndiyo kuwatuma hao wana jeshi hata huyo afande anafaa kuhukumiwa maisha mbona kama mnatuchezea wana nchi akili huyo afande nae anasitahili kuhukumiwa maisha
Hapa hakuna mtu wa kufungwa wanatufumbia tu fumbo hili wanakaa siku kazaa wanaachiwa kwa nini yule watano yako wapi? Afande fatuma yako wapi?( ) wajinga. Ndio waliwao engesha hio TANZANIA 🇹🇿 HAKUNA HAKI kwa raia wakawainda na mtumishi wa serikali
Ombi binfsi. Naomba nijue ni gereza gani watapo wekwa. Nitajipa kazi ya kuwatembelea mala kwa mala. Tafadhali. Ili kuhakiki kama kweli wanatumikia kifungo chao
Rais anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria. Watanzania wanataka kujuwa je Afande aliyewatuma yuko wapi? Mbona hakushitakiwa? Huyu mama ndiye angekuwa mushitakiwa namba moja
Sikia ww unaeongea. Hawa wahakutaka kufichiwa utu maana hao wenyewe inasemekana wamejirecord. Sasa jiulize nini lengo la kujirecord kama sio kutembeza unyama walioufanya.
Na aliyewatuma je mbona atuelewi tunaomba na aliyewatuma pia achukuliwe hatua km hao watumwa wake
Namimi pia nina hamu na Afande aliyewatuma hao wafungwa wapya ..! Hivi lakini hawa walikuwa askari kweli wa polisi au JW?
Alie Watuma Yuko Wapi
Wakaozee huko kabsa
Mbona afande atumuoni nae ajahukumiwa maisha mana yeye ndiyo kuwatuma hao wana jeshi hata huyo afande anafaa kuhukumiwa maisha mbona kama mnatuchezea wana nchi akili huyo afande nae anasitahili kuhukumiwa maisha
Kabisa wanatuchezea akili hawa aiwezekani
Yule alowatum tunaitaki kesi isomwe tumuone akibutwa mahaakamani
Safi sana, itakuwa fundisho kwa wengine👍🏿🙏🏿
Hii ndio athari kubwa ya kukubali,kila Amri ya,afande (hasa zile zilizo nje ya,,uhalali wa kisheria) mwisho unaangamia wewe na familia yako
Hii ndio athari kubwa ya kukubali,kila Amri ya,afande (hasa zile zilizo nje ya,,uhalali wa kisheria) mwisho unaangamia wewe na familia yako
Mungu atupe hekima na maarifa
Je afande aliye watuma hatima yake
duh haya maisha ebu fikiria yule ambae bado hajakamatwa kwenye kesi hii alaf anaona hii habari ana hali gani
Kumbe kun m2 hajakamatwa....kwam walikua wangap wanne au watano
Aliyemwambia mtangazaji wataonana akitoka sasa itakuwaje?😂😂😂
Hapa hakuna mtu wa kufungwa wanatufumbia tu fumbo hili wanakaa siku kazaa wanaachiwa kwa nini yule watano yako wapi? Afande fatuma yako wapi?( ) wajinga. Ndio waliwao engesha hio TANZANIA 🇹🇿 HAKUNA HAKI kwa raia wakawainda na mtumishi wa serikali
Mbon afande hayup au yey ndo hausiki
Walikuwa wababe leo wapole kifungo cha maisha eti we dada nikitoka nitakutafuta yule dada mwandishi wa habari
Hapo milion moja naona kama bado haitosh kwa hao jamaa ingawa hata wampe kiac gan haiwez kurudisha utu wake lakin mimi naona milion 1 bado aisee...
Washaukumiw je kama milioni huna inakuwa wakati ni kifungo Cha maisha
Kumbe tz kubaka ni m 1 ukiwa mtu 1 sio
Itakiwa m20 kila mmoja
Huyo mwenye shati la draf. Mbabe kweli hana hata of
Wakifika cha kwanza wataulzwa nyie ndo wale wa kulawiti?!?? Basi kazi wanayo wiki tu ataanza kupata hofu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Saiz bado mapema
kweli anaonekana jeur
aliyewatuma vipi??
Afande aliwatuma yupo wapi #Afande aliyewatuma yupo wapi
Afande #kigondo yupo wapi afande #Kigondo
Milion 4 za nini sasa ivi kweli mfungwa alipe hela kvp
Mimi nilijua na wao watabakwa kisha walipe faini
Mbakaji atakuwa nani😂😂😂
Nyege za siku 1 zinawaliza maisha wajinga nyie
Mbn Aliyewatum Atujasky Azabu Yake Au Ndo Kutetey Waliyo Na Nguv Serikalini
Naomba wakutane na manyapara huko jela wafirw* mpaka waelewe shoo.. Mbwa hawa
😂😂
Ombi binfsi. Naomba nijue ni gereza gani watapo wekwa. Nitajipa kazi ya kuwatembelea mala kwa mala. Tafadhali. Ili kuhakiki kama kweli wanatumikia kifungo chao
Point
Kabisa yan ,, wasije wakawekwa mwez tuu wakatolewa kimya kimya
𝓐𝓵𝓲𝔂𝓮 𝔀𝓪2𝓶𝓪 𝓱𝓪𝓳𝓪𝓱𝓾𝓴𝓾𝓶𝓲𝔀𝓪? 𝓷𝓪 𝔂𝓮𝔂𝓮 𝓷𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓾𝓱𝓾𝓼𝓲𝓴𝓪 𝓜𝓴𝓾𝓾?!!!
Mashallah fundisho tosha
Kwahiyo ukibaka unatoa milioni 1 kesi imeisha basi tuanze kubaka na kutoa one milioni 😅😅😅
Ujaelewa alicho onge inamaana au
Kwaiyo kifungo cha maisha jera hujakisikia??? Hizo ni adhabu 2 kwa pamoja
Jamani afande Alie watuma Yuko wapi mbona kmy ivyo tunaomba tujue mwisho wake Ili iwe funzo na kwa wengne
Wafe ukouko mbwa hao
Rais anatuambia hakuna mtu yuko juu ya sheria. Watanzania wanataka kujuwa je Afande aliyewatuma yuko wapi? Mbona hakushitakiwa? Huyu mama ndiye angekuwa mushitakiwa namba moja
Wa Kwanza wao kuhukumiwa alikua mtumaji ndie aliyestahiki adhabu kubwa maana hao walitekeleza agizo tu, haki Bado haijatendeka inavyostahiki kabissaa
Wa Kwanza wao kuhukumiwa alikua mtumaji ndie aliyestahiki adhabu kubwa maana hao walitekeleza agizo tu, haki Bado haijatendeka inavyostahiki kabissaa
Sikia ww unaeongea. Hawa wahakutaka kufichiwa utu maana hao wenyewe inasemekana wamejirecord. Sasa jiulize nini lengo la kujirecord kama sio kutembeza unyama walioufanya.
Kama hamumleti huyo Afande Basi Afe kwa Presha
Yuko wapi aliewatuma? Acheni kumchezea mungu 😢
Aliyewatuma yuko wapi!? Na hiyo faini watailipaje wakati wanefungwa maisha?
Hapo kwenye kufungwa maisha mmmh tumepigwa kimsingi labda hiyo milioni 4 ndio atapatiwa mhangwa ila vinginevyo tumepigwa changa la macho.
Kama aliyewatuma hayupo, nina mashaka hiki kifungo! Inawezekana hawajafungwa hawa majamaa!
Bado aliyewatuma tunataka apandiswe kortin haiwezekani walitumwa waonekane ndio wenye makosa wenyewe apana
Bona kama sijaelewa aliekuwa anachukua video yuko wapi na manager plan yuko wapi au mmetuachia uraiani tuwahukum wananchi
Hakuna haki bhana huyo aliyewatuma yu wap au ndo mnatuona watz manung'aembe
sasa kwnn kama haw watu wamehukumiwa kifungo cha maisha jela mbona wana ruhusiwa kuvaa hivo viziba uso
Bado atujaridhika na hii kesi hdi tujue aliye watuma yupo wapi au ndo siku mbili mnaachi huru uko ni kulindana tinataka haki
nilikuwa najua mauaji ni kosa kubwa sana lakini kumbe kubaka ni kosa kubwa kuliko kubaka!!!..
Madogo wakifika gerezani wanalipwa chap
Aliewatuma mbona hayupoo au ndo kulindana
Safi sana funzo kwa wengini wenye roho za kinyama.
je yule mama alowatuma mbona hatusikii hukumu yake au hana kosa
Ngoja na wao wakafilwe huko gerezani maninaaa
KUNA AFISA MAGEREZA KAKUNJA SURUALI CHINI 😂😂😂
Na aliyetuma yuko wapi akatumikie kama hawa
Vipi askari magereza amesamehewa?
Good👍, Unatumwaje kukula Mafi alafu uende kukula🧏
Aliyewatuma nae yuko wapiiiiii
Huzuni Kwa wazazi duh 🙄 watt wadogo
Binafsi nimefulai sana
Aliyewatuma vipi?
Safi bado afande sasa
swadakta
Illa!!?
Very good
ما شاء الله
kwnn wawe nanuhuru wa kuvaa hizo balakoa
Hapo kuna mchezo Tu,,wataachiwa Tu hao
𝓐𝓵𝓲𝔂𝓮 𝔀𝓪2𝓶𝓪 𝓱𝓪𝓳𝓪𝓱𝓾𝓴𝓾𝓶𝓲𝔀𝓪? 𝓷𝓪 𝔂𝓮𝔂𝓮 𝓷𝓭𝓲𝓸 𝓜𝓾𝓱𝓾𝓼𝓲𝓴𝓪 𝓜𝓴𝓾𝓾?!!!