Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉
Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.
Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!
Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂
Yes dube ni mtu na nusu
A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele
Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu
Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Welcome at House of cups DUBE
#Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans
Young African 💛💚🔰💪
Kwaiyo una watishia makolo
Ndiyo
💚💚Yang aaaaa
dube yupo vzr👍👍👍👍👍
Yeah!
Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂
mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga
❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai
Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉
Saaaafiii
❤
Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.
Vizuriiiiiy
Ngoja 2one
Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?
Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,
Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige
Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%
Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!
mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu
Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence
Kolo unateseka Ukiwa wapi
Kolo unawivu usije ukajinyonga
Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita
Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha
DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE
Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake
7:40
Kwa kuwa yupo yanga uyu n fit
Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?
Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!
Safi 🎉🎉🎉
Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.
Hata mudathiri alikuwa azam
@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri
Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo
😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi
Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?