MBWADUKE: STRATEGIC SIGNING! DUBE ATUA YANGA KUIPA MAKALI LIGI KUU, CAF CL/PACOME, KI, MAXI, CHAMA..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • Usisahau kusubscribe, ku-comment na ku-like...

Комментарии • 56

  • @Stevmwamba2090
    @Stevmwamba2090 7 дней назад +14

    Mbwaduke king of football statistics ,, talks by data and facts 🎉🎉

  • @User255tv
    @User255tv 7 дней назад +16

    Huyu ndiye mrithi halisi wa Mayele. Apewe jezi namba 9.

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op 7 дней назад +6

    Yaani kwa shot accuracy hizi za Baleke na Dube. Dhuu ni balaaa tupu!

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz 7 дней назад +6

    Yani guede ❤❤❤ akiondoka😂😂

  • @MartinMgogo
    @MartinMgogo 7 дней назад +6

    Yes dube ni mtu na nusu

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 7 дней назад +6

    A a dube atakuwa bora zaidi ya mayele

  • @mrishojuma4695
    @mrishojuma4695 7 дней назад +4

    Huyu ndiye mchambuzi halisi sio wengine mifuzi tu

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 7 дней назад +4

    Toa shule🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 7 дней назад +3

    Welcome at House of cups DUBE

  • @BedictoPetroKazumba
    @BedictoPetroKazumba 6 дней назад

    #Mwaduke respect sana Mzee wangu hunaga mambo mengi na uko making sana na kazi Yako. Allah aendelee kukujalia na kukulinda Mzee wangu🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MozesKalikumbi
    @MozesKalikumbi 6 дней назад

    Prince Dube ni mtu sahihi kwa Yanga kwenye eneo la ushambuliaji na ufungaji , congrats to Young Africans

  • @raikamsela
    @raikamsela 7 дней назад +2

    Young African 💛💚🔰💪

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 7 дней назад +3

    Kwaiyo una watishia makolo

  • @user-yn6wf7qq7s
    @user-yn6wf7qq7s 6 дней назад

    💚💚Yang aaaaa

  • @charlesroswe
    @charlesroswe 6 дней назад

    dube yupo vzr👍👍👍👍👍

  • @user-wl7zm5vj7v
    @user-wl7zm5vj7v 6 дней назад +1

    Hivi watu kama Jemedari na Jeff Leah Huwa wakisikia hizi Nondo sijui kama wanajifunza ,hivi Huyu Mbwaduke unaanzaje kumkosoa na hizi data😂😂

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 7 дней назад +3

    mimi nimefurahi usajil wa dube akibaki na aziz ki inshallah tutakua tymemaliza kazi ila baleke mm walai sitaki aje yanga

  • @JacksonKadwela-cb6sq
    @JacksonKadwela-cb6sq 5 дней назад

    ❤yanga tuna chukua vikombe vyote ata vya chai

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf 6 дней назад

    Mbeduke mchambuzi bola kwenye nchi hii 🎉🎉🎉

  • @michaelnkobi2201
    @michaelnkobi2201 7 дней назад +2

    Saaaafiii

  • @emanuelsamwel999
    @emanuelsamwel999 6 дней назад

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 7 дней назад

    Kwa Dube yeye hakuna tumesajiri jina. Dogo hapambani majeruhi sana.

  • @user-ce8wc9te7y
    @user-ce8wc9te7y 7 дней назад +3

    Vizuriiiiiy

  • @jacksontanda5431
    @jacksontanda5431 7 дней назад +2

    Ngoja 2one

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 6 дней назад +1

    Kaka hivi namba zlzoandikwa kwny jezi za wachezaj huwa wanazipataje, ni nani huzipendekeza, kw kigezo gani?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  5 дней назад

      Yeye mchezaji na timu anayohamia. Ikiwa haina mtu inakuwa rahisi zaidi kuipata. Vinginevyo mchezaji hulazimika kutaja chaguo la pili, la tatu...alimradi kupata namba isiyokluwa na mwenyewe,

  • @AndrewFilemon
    @AndrewFilemon 7 дней назад +1

    Baleke wanini? bhn, mshambuliaj gani anafunga magoli ya piga nikupige

  • @EdgarAlphonce
    @EdgarAlphonce 6 дней назад

    Hapa kwenye asilimia ni 36% na siyo 26%

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  5 дней назад

      Okeee. Shukrani kwa kugundua kama kuna mahala Mzee wa Data kateleza. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono!

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 7 дней назад +2

    mchambuzi uliyemkweli Tanzania umebakia wewe tu

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 7 дней назад +3

    Ngoja tuone mara baleke mzuri mara chama mara dube mara mayele mmechanganyikiwa mtaipoteza timu na mwaha huu mtafanya vibaya zaidi mpaka ligikuu kwa sababu ya over confidence

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 7 дней назад +2

      Kolo unateseka Ukiwa wapi

    • @RashidKaoneka-bj8mm
      @RashidKaoneka-bj8mm 7 дней назад +2

      Kolo unawivu usije ukajinyonga

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 7 дней назад +5

      Kijana wala haihitaji nguvu kubwa Usajili wa Yanga Ni hatari sana hasa ukizingatia waliotupiga 5 wakageuka wakatupiga 2 bado wapo. Tunajifariji tuu ila Yanga gari likishika njia ni hatari sana msimu huu kuliko uliopita

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t 7 дней назад +3

      Maana uliskia kocha anapanga kikosi kwa kusikiliza sifa za wachezaji kwa wachambuz na mashabik et??? Ukweli ndo huo ni wazuri kweli ila kocha ndo anajua namn ya kuwachezesha

    • @fredyjunior6961
      @fredyjunior6961 7 дней назад

      DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE

  • @FabianDasson
    @FabianDasson 7 дней назад

    Akiwa fiti tutafrahi sana ila shida ni utimam wa afya yake
    7:40

  • @Ba63828
    @Ba63828 5 дней назад

    Can you explain to me sir kwanini wamempa byebye Guede?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  5 дней назад

      Pengine yeye ndiye ameipa Yanga byebye baada ya mkataba wake mfupi kumalizika na kisha kupata sehemu yenye malisho mazuri zaidi kwake!

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 7 дней назад

    Safi 🎉🎉🎉

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 7 дней назад

    Sasa huyu si alikua azam kipi kikubwa alichofanya ama kweli mfamaji heshi kutapatapa.

    • @omarydaudy3744
      @omarydaudy3744 7 дней назад +2

      Hata mudathiri alikuwa azam

    • @Mobmob2013
      @Mobmob2013 7 дней назад

      ​@@omarydaudy3744 umemjibu kolo vizuri

    • @user-ox3ij7ki3t
      @user-ox3ij7ki3t 7 дней назад +3

      Alikuwa anazungukwa na nani kwanza akiwa azam alikuwa hana furah tim ilikuwa haina malengo ndo unambiwa ukifunga tim flani viongozi wanakukasirikia na si ajabu maan mfadhili wa azam ni mwanachama hai wa makolo

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 7 дней назад +1

      😂😂😂😂😂 unakufa ukiwa wapi

    • @mrishojuma4695
      @mrishojuma4695 7 дней назад

      Roho mbaya inajulikana tu sasa nyie mnanini?