KAMA UMETAZAMA VIDEO HII MWANZO MWISHO NA BADO UNAONA HUJAELEWA KITU WASILIANA NAMI HAPA wa.me/message/XGQIWDNEYAOMP1 UTAUNGANISHWA NA MWALIMU USIJALI UTAELEWA TU.
Asante Brother kaz yako nimeipenda na ninaifuatilia ila ombi langu kwa sisi vijana ambao ndio tumeingia kwenye hii fan ya ufundi sim tunaomba ubezi upande huo.
Ahsante sana,sijategemea kama nitapata elimu kubwa kiasi hiki kwenye sm,Mungu akubariki na endelea kufundisha mpaka mwisho na ss tutafuatilia videos zote
Mmi sijawahi kutumia Computer nilikua naomba mwalimu uoneshe kile kisu cha chini cha kubonyeza ili nijue unakibonyeza vip nimependa unavo fundishaaa🔥🔥🔥
Daah waooo ahsante sana dear sir, kiukweli me umenifungua macho kuhusu computer pia ni mwanafunzi wa chuo so kuanzia sasa takufuatlia,ili ni elewe zaidi kuhusu computer, ahsante sana be blessed
Tunaomba radhi kwa kuchelewa kujibu ingia hapa kwa kozi ya masomo ya Computer : chat.whatsapp.com/Lp31yTxK0Is3n026ubdx35 Na ukitaka kujifunza Photoshop, masomo ya kutengeneza matangazo, business card n.k : chat.whatsapp.com/JixPsx3C7goGw2EMdECwik Asante na karibu,
Usijali lengo letu ni kukufanya wewe uwelewe bonyeza hapa kupata nafasi ya kufundishwa live ofa kwako na yeyote asieelewa somo hili aingie hapa chat.whatsapp.com/LHrl3EycjOxJzmi4ulhh4F Karibuni,
Right click, ni kubonyeza kitufe cha kulia cha mouse. Kucopy ni kuchukua nakala ya file na kucut ni kuhamisha. Kuimarika zaidi jaza fomu yetu link yake iko juu hapo. Karibu NK.
Unajua kifundisha aisee
Asanteee
KAMA UMETAZAMA VIDEO HII MWANZO MWISHO NA BADO UNAONA HUJAELEWA KITU WASILIANA NAMI HAPA wa.me/message/XGQIWDNEYAOMP1
UTAUNGANISHWA NA MWALIMU USIJALI UTAELEWA TU.
Asante
Mafunzo mazuri. Nina hakika nitajua computer vyema kupitia kwa channel hii. Asante sana kaka. New SUBSCRIBER
Asante na karibu sana.
Nashukuru sana ndugu NK- Computer Training Mungu akubariki, tunakuombea uzidi kupata nafasi ya kutufundisha🙏🙏
Amin, nasi tunashukuru Sana kwa kutazama video zetu.
Asante sana kwa somo lako nimeenjoy kwa kweli
Nashukuru sana kwa mafunzo yako unafundsha vzur❤🔥
Wao wao wao! NAJIONA nikijua computer soon, be blessed bro, unaweza sana😊
Kaka hongera,, unajua kufundisha na umenisaidia saana.
Asante sana ndugu
salute Sana teacher nakuelewa Sana endelea kutupatia mafunzo zaidi.
Asante Brother kaz yako nimeipenda na ninaifuatilia ila ombi langu kwa sisi vijana ambao ndio tumeingia kwenye hii fan ya ufundi sim tunaomba ubezi upande huo.
Ok tutajitahidi kuangalia na simu maana hapa ni kwa Computer 🖥️💻
Kuendelea na masomo yanayokuja wasiliana nasi Whatsapp kupitia: wa.me/201028123266
Ubuntu
Linux mint
Fedora
Tuxedo
Linux ndio uchawi blaza
Naipenda sana hili SoMo nitawafuatitilia every day
Karibu sana.
Unapatikana wapi nije unifundishe computer jamani
Ahsante sana,sijategemea kama nitapata elimu kubwa kiasi hiki kwenye sm,Mungu akubariki na endelea kufundisha mpaka mwisho na ss tutafuatilia videos zote
Nashukuru sana mwalimu natamani nikuone unifundishe ana kwa ana nateseka sana ofisini
Saf sana umenisaidia bro
Shukran sana
Kikweli mwalimu' Mwenyezi akujalie kwa kazi hizi nzuri..
Allahomma Amiin amiin.
Mmi sijawahi kutumia Computer nilikua naomba mwalimu uoneshe kile kisu cha chini cha kubonyeza ili nijue unakibonyeza vip nimependa unavo fundishaaa🔥🔥🔥
Ahsante sana nmeelewa vzuuuuri mno ubarikiwe na Jehova
Asante nawe Mr. Zacharia
Nmekuelewa vzr sana 😊🙏naomba ufundishe jinsi y’a kuandika na kusave mafail na documents
Tazama masomo ya WORD, au jisajili katika kozi zetu.
Ahsanteh kwakipindi kizur teacher
Asante mwalimu kwa somo zuri hakika umenitoa mbali
Usijali, tembelea zaidi Channel yetu uwe zaidi yao.
Asante sana kiongozi...
Leo bando langu nimelifaidi kupitia wewe.
Be blessed kaka
Ameen endelea kuperuzi utajifunza mengi mengi
Ahsante nataka kujua computer
Ahsante sana teacher nakuelewa sana
Asante nawe kwa kutufuatilia Mr. Beny.
Daah waooo ahsante sana dear sir, kiukweli me umenifungua macho kuhusu computer pia ni mwanafunzi wa chuo so kuanzia sasa takufuatlia,ili ni elewe zaidi kuhusu computer, ahsante sana be blessed
Asante nawe ndugu karibu sana
Nmejifunza ktu....uko vzr saana Mr
Asante kwa somo, Mungu akupe maisha marefu
Amiin asante ndugu yetu.
Thank you so much 👍
MWalimu upo vzur xan
Nashukulu sana mungu akubariki kaka angu naelewa ni mwalimu mzur sana
Asante nasi tunashukuru pia
Aiseee nashukuru sana imenipa kitu kidogo
Kwakweli hapa somo nimelielewa sana hongera sana kakangu
Asante nawe kwa kufuatilia masomo yetu, usisahau kutazama na video zengine ili kuiva zaidi.
Ahsante sanaaa
Nashukuru Kwa kunisaidia kujua computer napenda sana
Asante nawe.
Ahsante kwa somo zuri teacher
Asante nawe
Nzuri sana
kaka hongereni una kipaji chaufundishaji na mtu kukuelewa kwa haraka allah akujaalie inshaallah kwaelimu unayo toa
Aamiin aamiin, asante sana ndugu yangu.
Thanks for the lesson. Highly appreciate you teacher. You have enlightened my skills.
Thank you too for your beautiful words.
Asant san kaka mung akubarik
Mwalimu upo vizuri sana naelewa tupo pamoja Mungu abarik kaz ya mikono yako
Asante sana sana
Thanks nielewa kidogo
asante San mwalimu,, mung akubariki
Aamiin, asante ndugu yangu
Mungu akulinde bro
Asante sana nakuelewa😮
Asante nawe
Wewe ni mwalimu aise
Asante sana na karibu NK
Thanks for your help
Happy to help
Nimeipendasa na
BAsi nami nimeipenda huduma yako nataka twende pamoja kuanzia video number one mpaka mwisho wa mafunzo hoyo@@@@@@@@
Utaimarika zaidi karibu.
I really enjoy the lesson...stay blessed
Ameen, thank you Mr.
Shukuran San mungu akuongoz
Amiin, karibu sana
Asante, kwa mafunzo maziri
Asante nawe
Kwenye keyboard bado huja tufundisha kwenye hii videos au somo lipo ila sio kwa hiii video unielekexe ila tunakuelewa ndugu upo vizuri shukrani
Endelea na masomo haya utakuta keyboard: ruclips.net/p/PLlFXYkP08DOENlI5GxOZ5OAdFiFdUgx6f
Mwalimu kwa kweli nashukuru sana
Asante nawe
Mnafundisha vizuri
Asante sana
Unafaa bro wewe ni mwalimu kabisa
Hongereni sana
Asantee
Nakukubali MWALIMU
Good study
Shukran sana kaka mungu akuzidishie ,,sema bado kwenye keyboard haujafundish
Aamiin ndugu, Asante sana
Mpo vizuri nawaelewa
Asantee kwa masomo zaidi jaza fomu.
Ahsante sana kwa somo unafundisha vizur naomba kujua vigezo gani vya kusomea computer? Na kama sjasome science inakuaje msaada
Allah amjaalie kila la kher
Bilashaka ni Mimi huyo Aamiin.
Asante sana ndugu yangu kwa dua.
Asante sana
Asante nawe
شكرا
عفواً
Unafundisha vizuri sana
Asante sana.
Shukran
Nakubal...😍
Nimefurahi nimeelewa vizuri,, nimwanafunzi nipo tanga najifunza
Nasi tumefurahi sana kwa kuelewa vizuri, usisahau kufuatilia na masomo mengine ili kujiganga zaidi.
@@nk-computertraining asante sana nitaendelea kufatilia kaka
Hata online unaweza kuerewa?
Hamfundish tena somo hil
Asante
Asant sana
Asante nawe
shukraan sana
Ok
Thnx
wallah nilikuwa cjui chochot katk PC yaan nilikuwa nachzea tyu baada ya kujua hli som nimejifunza v2 vng sana nashukur san mung akujalie
Amiin akujaalie nawe ndugu
Shukran broo
Kawaida ndugu, na wewe asante kwa kufuatilia masomo yetu haya.
Safi sana
Safi sana
Bien
Merci
Unatisha sana
Kweli nimeelewa nisiwe mchoyo wa kulike
Asanteee
Uko vizuri sana Teacher nimekuelewa vizuri zaidi ya mwalimu aliyenifundisha course ya Computer
Unafundisha online tu?
Asante teacher mm napenda nijue
Asante pia kwa kufuatilia masomo yetu
🎉
Nimefrahi sana kwa darasa murwaaa
Asantee
Thanks
Unajua kufundisha sana
Asantee
Safi sana
Asantee
❤
Somo liko poa,mwalimu uko poa ....tunajiunga na Darasa
Asantee sana ndugu na karibu sana.
Hello teacher I really want to start computer training online, what can I do?
Tunaomba radhi kwa kuchelewa kujibu ingia hapa kwa kozi ya masomo ya Computer :
chat.whatsapp.com/Lp31yTxK0Is3n026ubdx35
Na ukitaka kujifunza Photoshop, masomo ya kutengeneza matangazo, business card n.k :
chat.whatsapp.com/JixPsx3C7goGw2EMdECwik
Asante na karibu,
@@nk-computertraininghizi link teacher Mbona hazifunguki
@@rehemagerald8524Ok Asante kwa kutujulisha hilo.
Wasiliana nasi hapa:
wa.me/201028123266
Sijaelewa chochote wallah, nimeondoka patupu
Usijali lengo letu ni kukufanya wewe uwelewe bonyeza hapa kupata nafasi ya kufundishwa live ofa kwako na yeyote asieelewa somo hili aingie hapa chat.whatsapp.com/LHrl3EycjOxJzmi4ulhh4F
Karibuni,
We utakua na tatizo la kuelewa au hujaamua kujifunza
Komputa yangu ni nzito sana naomba msaada
Dawa ipo, Tazama somo tumetuma juzi tu.
Hasante sana kwa mafunzo
Asante nawe kwa kutufuatilia.
ASANTE
asante sana teacher kwa masomo yako naweza kujifunza zaidi ?
Bila shaka karibu,tazama description kwenye video mpya ili kuwasiliana nasi.
asante sana teacher but nataka kukufatilia wassap
Karibu sana, jaza fomu
Nmeelewa San nashukr Lakin sjakupat kwenye right click, jinsi ya kucut, kupaste na ku copy
Right click, ni kubonyeza kitufe cha kulia cha mouse.
Kucopy ni kuchukua nakala ya file na kucut ni kuhamisha.
Kuimarika zaidi jaza fomu yetu link yake iko juu hapo.
Karibu NK.
Naitaj kujifunza computer 🖥️
Karibu sana ndugu, jaza fomu.
Masomo mazuri
Naitaji kujiunga
greatly