Asante Sana Jd kwa wimbo mzuri yapata Sasa miaka 18 iliyopita 2/12/2006 Wimbo tuliongia nao kwenye ukumbi siku ya ndoa yetu.Cheeeeeeers CHUKUA MAUA Yako
Wimbo uko Bomba,,,, una mafundisho. Mwenye wimbo Yuko vzuri. Nakumbuka nilianza kukufatilia baada ya kuckia huu wimbo. Uliingia moyoni Sana. Had nikakupenda
Dah hii nyimbo inanikumbusha mbali sn. Ahsante sn Jaydee❤❤❤
Amazing song nipe like Kama unasikiliza wimbo huu 2021
Bonge la wimbo
Dah RIP Gardener. 😭😭😭
2023
Nuru still hot💥💥
Nyimbo nishapata… bdo mtoto wa mtu tu atangaze nia 😂🔥🔥
😂😂😂😂😂 Amina nkuombea dada
Mwenyezi mungu aendelee kukubariki
Among the best jide songs.......I real love the song very bad
cool nzuli.kabisa
Uko vizuri dada
2021❤️❤️❤️
Bongo akuna jyde ukikataa we mbishi
2023
Ulibarikiwa na sauti nzuri sana
Sauti mpaka kumoyo
Nimekumbuka mbali sana
We Dada unatisha
Jamani asante sana unanikumbusha MBALI MIAKA 15 sasa wimbo tuliyoingianao ukumbini.EE MUNGU UZIDI KUTUBARIKI.
13 years ago the song was played in my wedding! So wonderful
RIP Gardner daaah😭😭
Asante Sana Jd kwa wimbo mzuri yapata Sasa miaka 18 iliyopita 2/12/2006 Wimbo tuliongia nao kwenye ukumbi siku ya ndoa yetu.Cheeeeeeers CHUKUA MAUA Yako
Ngoma Kali sana ambaye kaikumbuka Kama mm twende sawa
Wimbo ninao utegemea Kuucheza kwenye harusi yangu 2023 nikiwa Na Tina wangu. Nakupenda Sana mtoto wa mama mkwe
Hahahah Amen
Hhhhhhhhhhhhhh😅😅😅😅😅😅😅😅nakubalii kk umeamua ufungukee
Je mliucheza kaka??
Nuru ya kweli...penzi la kweli...Mungu you Kati yetu.together forever...2021 Feb still listening...
Kama kuna wimbo naupenda ni huu cjui ata nisemeje yaan huu na machoz ya furaha ni nyimbo napenda kuliko nyimbo zote za bongo
Natamani hata kulia
Kati ya nyimbo bora kabisa za komando jd huyu dada mungu azidi muweka
RIP Gardner daaah 😭😭
Huu wimbo miaka ileee tuliutumia sana kwenye harusi zetu
Wimbo uko Bomba,,,, una mafundisho. Mwenye wimbo Yuko vzuri. Nakumbuka nilianza kukufatilia baada ya kuckia huu wimbo. Uliingia moyoni Sana. Had nikakupenda
Ok imeivaa mwangu pamoja kaza sana2 usiwe mwenye kukata taamaa
Wimbo nitakao ingia nao kwa harusi yangu 2027 🎉 auchuji kabisa
All the best
Nakupenda sana Jaydee
Nyimbo kali toka kitambo
Kuna nyimbo ila hii inafeelings inakushika...ahsante jay dee
Kweli mwanangu iko vizuli
This is one of the songs i love the most ,wherever i hear this song i feel like all world is mine.Dada hapa uliimba
What a song to remember…one of the best by Jideeee🔥🔥🔥🙏
Queen of Bongo flava...heil to the legendary Lady Jay Dee
Still love this one... The coolness in it speaks volumes and makes my day
nahc Amani moyon jus listening to this song❤️
Malkia wa bongo freva mi naona mda mzuri kwa wasanii wa kike kupata ushauri wanafikaje ulipo na wajue changamoto
Its True guy
Asante Dada.
Asante kwa wimbo mzuri.
Hakika nuru ya kweli
Nimiaka10 sasa barikiwa San jay d
My best song ever nafurahia tu kuuskia🥰🥰
So wonderful!
Asante dada jay dee
I love this song ♥️
Dada mkuu..❤❤❤
Umebarikiwa sauti na wimbo una mafundisho
Dada mkuu huishi na kipaji jaman.
Asanteeeeee dada. Mkuuuuu😚😚😚😚😚
Old is Gold
safiiii
Jide ninoma my dadq❤
BB
Mola Yu Kati Yetu.....🤲
No wewe tu good
Love songs love jide sana tuu
Asantee dada jaydee....One of the best!
18/12/2020
So nice,keep up jay dee
Napenda xana huu wimbo wish ata kwenye harusi yangu uwepo daaah
Hata mm pia
One of the best from JD