BABA YANGU KIPOFU Full episode /50/

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • #love

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  Месяц назад +7

    KUJIUNGA NA GROUP LA BABA KAROBO GUSA LINK HAPA CHINI
    chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa

  • @AllyJumanassoro
    @AllyJumanassoro 3 месяца назад +82

    Hongera baba karobo kwa kupona na kupata MKE mzuri mungu naazidi kukulinda wakumbuke woote waliiokupambania na usimsahau mchungaji

  • @VeronicahOtwori
    @VeronicahOtwori 3 месяца назад +50

    Wooooo mungu n mwema kila wakti jameni hii movie n ya mafunxo maxito kweli km mm nimejifunza mengi kupitia baba karobo n mama karobo mwisho wa ubaya n haibu ongera sana Mr Jacob nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nipewe like ata 5 aja uchoyo😢😢n inaenda kuisha bila like duuh

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz 3 месяца назад +85

    Movie ime tufunza mengi sana maua Yako baba kalobo🎉🎉🎉🎉🎉 n'a mungu azidi kukubaliki zaidi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад +282

    Tulio anza pamj kuanzia alipokuwa baba karobo kpofu had Leo baba karobo anaona,wp like,

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад +67

    Hii ndo nilikua naingojea sana hongereni sana baba karobo unatufunza sana watching from 🇰🇪 🇰🇪 nakupenda sana 🎉🎉❤

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 3 месяца назад +13

    Baba karombo mungu akupe kibari zaindi umetupa somo kubwa sana.

  • @DoriceDidace
    @DoriceDidace 3 месяца назад +18

    Sawa tumejifunza kwa kiasi fula Asante kwa kazi nzuri tunasubilia kazi nyingine nzuri zaidi ya hii

  • @SylvesterPhilipo-dv8vs
    @SylvesterPhilipo-dv8vs 3 месяца назад +25

    Yote tisa mshukulu sana kibanio mpenzi wangu maana dada kama ni wachache sana mungu awabariki wote na awape maisha marefu walio shiriki sinema hii mungu akuzidishie ulipo punguza mchungaji ❤❤❤❤❤❤❤

  • @OnesmoJaphet
    @OnesmoJaphet 3 месяца назад +28

    Yes this guy is good artist nimependa sana baba joan na member wako kazi nzuri Kwa tulioona kama mimi gonga like Kwa baba karobo 🎉

  • @asumilemwaihojo867
    @asumilemwaihojo867 3 месяца назад +11

    Waoooh, hongera baba Karobo Kwa movie nzuri ilojaa kila fundisho la maisha....!!

  • @maalimali5513
    @maalimali5513 3 месяца назад +104

    Kutoka Mombasa Kenya naomba like za Baba Joan

  • @JumanneIkingo-g6e
    @JumanneIkingo-g6e 3 месяца назад +5

    Baba kalobo ukienda na huo mfumo hakika pengo la kanumba litazibika hii movie umeicheza vzr sana pamoja na mwalim mgeni kalobo usimuache maisha yako yote huyo ni msanii mzr sana

  • @alexnyongesa4783
    @alexnyongesa4783 3 месяца назад +31

    Naitazama kutoka kenya nimefurahi sana Zuu kuolewa na baba karobo

  • @georgekathurima6428
    @georgekathurima6428 3 месяца назад +28

    Pongezi sana, kweli filamu hii inayo mafunzo mengi tena mazuri sana.
    Baba karobo,Karobo, Zulyat, kibanio, Nasra pamoja na Mr Rahasa...congratulations great people and team🎉🎉🎉

  • @AnnieMangi
    @AnnieMangi 3 месяца назад +38

    Ni wakati wa zujaty sasa kuenjoy nawapenda sanaa baba karobo mungu awatangulie muush vyema mkimpendeza mungu❤❤

  • @EndaniRashidi
    @EndaniRashidi 3 месяца назад +9

    Hongera sana Baba kalobo na MUNGU wambinguni ahimidiwe kwa kupata kuona. pia maamuzi ulio hamua ni sahii kwa kumuacha mwanamke mbaya na kumuoa mwanamke anaye kufaa. hongereni sana kwa Hilo. mimi kama mwanamke picha yenu imenifunza mengi nakunifungua akili kabisa. Asante sana.

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz 3 месяца назад +20

    Safi sana baba karobo muowe zu na maisha yaendelee achana na loi kimrambe alitaka vyote mwishowe akakosa vyote

  • @delvinejeruto
    @delvinejeruto 3 месяца назад +10

    Hongera sana baba karobo mungu akupe maisha marefu tuweze kujufunza mengi kupitia kwako tunakupenda sana ❤❤❤❤🎉❤❤

  • @SharonShaline-e7m
    @SharonShaline-e7m 3 месяца назад +14

    Baba yangu kipofu jamani ni filamu nzurivsana Keep it up baba joana

  • @zainakidile3826
    @zainakidile3826 3 месяца назад +11

    Waow kazi nzur baba karobo❤ movie nzuri🎉🎉

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 месяца назад +37

    Jamani tupo pamoja baba karombo furaha kama yote from Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wpeni like zao nzuuuuuu na mpenzi wake jamani 🎉🎉🎉🎉

  • @wamboiwamboh
    @wamboiwamboh 3 месяца назад +11

    Hamjanotice kijana anaeomba msamaha n cool kid na cute boy pia😂❤❤❤❤

  • @Frederick-x2v
    @Frederick-x2v 3 месяца назад +33

    wao kusema kweli hili ni bonge la sinema kutoka mwanzo hadi tulipo sasa haukuna kipindi kisicho pendeza ogera sana baba joan bila kusahau kikosi chako chote hakika mna vipaji kutoka jiji kuu nairobi hapa kenya nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 месяца назад +12

    Mubarikiwe sana tumejifunza vyakutoshaa asante baba karobo kazi mzr sanaaa na inamafunzoo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @PaulinaKabume
    @PaulinaKabume 3 месяца назад +72

    Ama kweli wema ni hakiba na ubaya ni hakiba tunaona kama movie lkin yap katika maish tutende wema wapendw

  • @ChlistieHakizimana
    @ChlistieHakizimana 3 месяца назад +3

    wauuu ♥️ hamwezisikia jinsi ninavyofurahia kuona baba karabo amepona n kuoana n zujati good, binadamu tujue mabaya tunayoyafanyia wenzetu mwisho n Dunia n shukurani kw mchungaji ,,

  • @FatumaAli-xm8di
    @FatumaAli-xm8di 3 месяца назад +18

    Asante Sana tem baba karobo mungu awawezeshe kuleta movie yamafundisho

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 3 месяца назад +12

    Mwisho wa ubaya aibu mungu awalinde Kwa funzo kubwa hili kamaisha ❤️

  • @NoahMatan
    @NoahMatan 3 месяца назад +9

    Kwa kweli tamdhilia inatuonyesha hali halisi y maisha pongezi sana Baba Joan na waigizaji wensako kw kazi safi

  • @robertokibingo
    @robertokibingo 3 месяца назад +7

    baba joan I didn't finish ep 50 it was very macho, I thought it was going to ruin it, but thanks to Jehovah you increased the dose more, I liked it I liked it a lot Jehovah bless you very much with all your groups

  • @LizzyBeb-m6s
    @LizzyBeb-m6s 3 месяца назад +27

    Nice work from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Marin-w5o
    @Marin-w5o 3 месяца назад +6

    Baba Kalobo ameonyesha kutoa shukulani kwa waliomusaidiakatika mateso nakuwa naimani ya kupona ni mmigizo safi kbisa wakuvutia

  • @DeeDan-sj1mr
    @DeeDan-sj1mr 3 месяца назад +40

    Jali Sana Familia Yako Maana Sisi Marafiki Zako Tutakuja Kula Wali Na Tutazika Harafu Tutaondoka Ila Familia Yako Ndio itakuwa Inafagia Kabuli lako .🙏🙏

  • @TATIZIMATHEWS
    @TATIZIMATHEWS 3 месяца назад +5

    God bless you mr Joan for this movie my name is Mathews from Zambia

  • @enochmwendwa9982
    @enochmwendwa9982 3 месяца назад +69

    Wapi likes za kenya ,, well represent ❤🎉

  • @KubelwaIlungaMardochéeSalama
    @KubelwaIlungaMardochéeSalama 3 месяца назад +6

    The healing of a blind man becomes the deliverance of many people to convert them thank you very much baba karobo

  • @DonardHamsi
    @DonardHamsi 3 месяца назад +53

    Wakwanza mm Leo jaman naomba like zang kwa wale woto mnao ipenda baba kaloba

    • @AriellaUwizera
      @AriellaUwizera 3 месяца назад +1

      Waburundi mko wapi tujuwane🎉❤❤

  • @ZulphaMsangi-s9g
    @ZulphaMsangi-s9g 3 месяца назад +7

    Hongera sana baba karobo hakika umetufunza mengi Mungu akubariki Aamiin 🙏🎉🎉❤❤

  • @LinnetAdikinyi
    @LinnetAdikinyi 3 месяца назад +16

    Aisee kwa kweli mda wote huwa wanasema usidarau ulicho nacho mkonani ikiondoka akitarudi tena,na hiki kipindi kinasisimuwa kweli nimeifatilia sana hadi mwisho,baba karobo na kikundi chako hongera hongera sana❤❤❤❤ni lynn from Nairobi kenya.

  • @TanashaPamelah
    @TanashaPamelah 3 месяца назад +24

    Mashallah 💖 hatimae siku ambayo nilikuwa nasubiri imefika 😂🙌

  • @wechenjeke9776
    @wechenjeke9776 3 месяца назад +84

    Mwisho mwishoo wa kipinda najipata nipo ndani ya 1st viewers makofi kwangu👏🏼👏🏼👏🏼makofi tena👏🏼👏🏼👏🏼. Anyways lesson learned hakuna lisilo wezekana mbele ya mwenyezi Mungu tunapo amini🙏🏽. Good job to the whole team.

  • @ZainabuSalehe-hi2pw
    @ZainabuSalehe-hi2pw 3 месяца назад +6

    mama karobo mwenye kilanga apewi polee zamu yako jua la utosi kukuwakia kwa kwelii😂😂😂

  • @CASIMIROVEVO
    @CASIMIROVEVO 3 месяца назад +28

    FIRST ONE FROM MOZAMBICAN 🎉🎉🎉

  • @ZachariaezekilSanyenge
    @ZachariaezekilSanyenge 2 месяца назад +1

    Wow GOD Bless you baba karobo umetisha sana na Zuriath kaplay vizuri part yake. Lakin huyu mama karobo kacheza vizuri zaidi. Wow GOD Bless all of you. Thanks

  • @LouisManirakiza-rv7mx
    @LouisManirakiza-rv7mx 3 месяца назад +23

    Hongera sana kwa waandaji kwakweli hii ilikuwa bora zaidi

  • @fidelmbabazi8977
    @fidelmbabazi8977 3 месяца назад +3

    Baba karobo nawapenda sana wewe na team yako.( DR Congo)

  • @TatudamabakariTatudamabakari
    @TatudamabakariTatudamabakari 3 месяца назад +26

    Kweli baba karobo umeweza mnooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Philohmutua-bc4jk
    @Philohmutua-bc4jk 3 месяца назад +8

    Weeee Mimi naangalia zuuuu hadi najanganyikiwa aki❤❤❤❤❤ alafu nimejikuta nacheka wakati mama kalobo. Alikuwa anatangasa mboga mboga ,,, ilanimejifunza kitu kupitia hiii movie ❤❤❤ kwa waletumejifunza kitu. Leteni comment hapa na like ❤❤❤❤❤ ati baba kalobo. Ameoa kipulushuti😂😂😂😂😂😂😂 mapenzi mie

  • @NoorynMody
    @NoorynMody 3 месяца назад +241

    Kabra mwaka haujaisha wote tunao angalia tamthilia ya baba karobo Mwenyez Mungu hyabadilishe maisha yetu yawe yenye mafanikio Ameen 🙏

  • @RahmaRashidi-ih9tk
    @RahmaRashidi-ih9tk 3 месяца назад +5

    Bb.karobo.na.timu.yako.kazi.nzuri.sanaaa..tunaomba.utupatie.tamu.zaidi.yaani.mpaka.anapoangalia..ukiwa.mchawi.roho.mbaya.mwanga.ujue.mungu.ndo.kila.kitu.fanya.ubaya.ipo.siku.utakurudia.tu.bba.karobo.na.mma.krbo.na.korobo..oyooooooooooooooo.mwaaaaààa❤❤❤❤❤❤❤.zujati.oyooooo.omari.oyooooo.kibanio.uposafii.nasla.na.mumeo.oyooooo.fasheni.bigapuuuuuu.sana.nawapendaaaaàààaàa

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 3 месяца назад +11

    Zuu n kweli mvumilivu ula mbivu mama hongereni nyote team baba karobo loy sasa ona aibu vile inavyokusuta❤❤🎉🎉 fasheni kanifurahisha ety zuu kaolewa Wacha Namimi nitafute wangu Mmoja nikatulie naye aise 😂😂😂

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 3 месяца назад +6

    Jamani mama karobo ndo Sasa ivi hata mawigi hatukumbuki kuvaaaa😅😅

  • @JohariHasham
    @JohariHasham 3 месяца назад +11

    Waoooo baba karobo nafurahi jamani kwa maigizo Yako mungu akujaze nguvu daima 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @fammamaboko6543
    @fammamaboko6543 3 месяца назад +7

    😂😂😂😂
    Mama Kalobo anauza mboga mboga
    Zoujat congratulations kua n'a baba Kalobo🎉🎉🎉

  • @NadiaRamadhan-q1m
    @NadiaRamadhan-q1m 3 месяца назад +6

    Maashalla acheni mungu aitwe mungu 2u malipo niapaapa duniani Asante Sana baba karobo mumetufunza mengi sagi Sana nampy zuu umenifunza mengi Sana naumenifanya, nizdi kujiamina na kutokata tamaa mungu awabark

  • @JoachimJudy
    @JoachimJudy 3 месяца назад +7

    Jamnii nimeipendaaaa daaah baba Karo boo kanifurahisha❤❤❤❤

  • @Deborah-v5q6k
    @Deborah-v5q6k 3 месяца назад +35

    Me wa kwanza Leo kutoka Saudi Arabia 🥰nipeni like zangu

    • @VsilaTomas-cl6wv
      @VsilaTomas-cl6wv 3 месяца назад +1

      Mwisho wa ubaya ni aibu mungu ni mwema kw baba karobo na mwanae

  • @MwaminRomanusMponzi-k9k
    @MwaminRomanusMponzi-k9k 3 месяца назад +2

    Hongera Sana Baba kalobo kwa kupona mungu mkubwa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @alfredkadomole1114
    @alfredkadomole1114 3 месяца назад +10

    Baba Joan team, kazi tunaipenda

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 3 месяца назад +2

    Mwanamke Mwerevu Utengeza Ndoa Yake Na Mwanamke Mjiga Uvinga Ndoa Yake Kwa Mikonoyake Miwili....Cjui Mma Karobo Tutamueka Fungu Gani❤❤❤❤❤❤

  • @iyumva-jonas
    @iyumva-jonas 3 месяца назад +30

    Hah, jamani, epsode hii ni final kweli nakubali. Watu kama mama karobo wajifunze kitu. Love you ❤ so much Mr Ntusubire, from Burundi 🇧🇮

  • @aminahkupulo
    @aminahkupulo 3 месяца назад +1

    Watching from 🇰🇪 ii filamu inatufunza tu wanao tegemea mwenyez mungu wana mwisho mwema ila mwisho wa wachawi n aibu

  • @HAMISSDOYI-e5i
    @HAMISSDOYI-e5i 3 месяца назад +9

    Hongera baba karobo kazi nzuri❤❤❤❤

  • @FatumaBakari-c3l
    @FatumaBakari-c3l 3 месяца назад +2

    Ubaya umbwela mama kalobo what goes around comes around...... haiji mara mbili bahat ❤❤❤❤❤ nyote

  • @AmenaMm-r5t
    @AmenaMm-r5t 3 месяца назад +9

    Hak yamung baba karob yup vzr bor zuu tuwe wake wenza nishampend mm jamon baba karob 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @neemaenockofficial
    @neemaenockofficial 3 месяца назад +1

    Jitahidi kuishi nawatu vizuri acha kulipa ubaya kwa wema Mungu pekee hujibu mapigo yetu barikiwa baba karobo na team nzima

  • @OmariJumaaWaziri
    @OmariJumaaWaziri 3 месяца назад +6

    Love so much baba karobo's family❤na kazi nzuri pia❤ samehe hata kama amekukoseaj❤❤❤👍👍 nimependa sana neno kinyang'ala😂😅

  • @webnet5652
    @webnet5652 3 месяца назад +5

    Baba karobo na Zujat mpendeza San pamoja na mtoto wenu karobo ongereni san❤❤❤❤

  • @faithnayla2374
    @faithnayla2374 3 месяца назад +16

    Wa kwanza jamani mnipe like team baba karobo

  • @KapendFiston
    @KapendFiston 3 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana ila najifunza mengi sana tokea mwanzo mpaka apa nialazima sana filamu ii nawapenda wote kwa mafundisho mazuri mungu amitiye nguvu na ekima pia

  • @MariamJaberi-g5y
    @MariamJaberi-g5y 3 месяца назад +22

    Kaz nzuri San baba karob mungu akupe umri mrefu inshallah 🙏🙏❤❤

  • @Marin-w5o
    @Marin-w5o 3 месяца назад +2

    Fashion ametoa wazo nzuri kujitafutia mpenzi mungine baba Kalobo naye alionyesha msimamo mzuri kwakumusamehe kwa kutokua no kiburi Loi naye ili cheza vizuli kwakionyesha maafa yanayo wafikia wanayohujumu ndoa mudndelee kuigiza hukuBurundi tunawafuata tanu kwatanu nawapenda pamoja na shuugli zenu

  • @Hadijawashuma
    @Hadijawashuma 3 месяца назад +55

    Mama kalobo owae mama kalobo uliage we mama kalobo uliage we oiae😂😂😂😂😂😂😂walio fulah mama kalobo maisha yake yawe hivo weka like tusonge😅😅😅😅

  • @MalingaMaboko
    @MalingaMaboko 3 месяца назад +2

    Kilakitu kyalipa apa apa chini yajuwa mwema nihakiba naubaya nihakiba mwisho waubaya nihaibu pole sana mama karobo mama waroho mubaya kama shetani nikweli iyo kabisa baba karobo Mungu abasaidiye kwakazi yenyu❤❤❤❤❤❤

  • @SarahChisala-j2c
    @SarahChisala-j2c 3 месяца назад +7

    Apana baba kalobo usisahau uyo na loho mbaya yake ndokamukuza kalobo mama kalobo alimuacha akia mdongo maua kwako loi🎉🎉🎉

  • @ElizabethMahu-s4f
    @ElizabethMahu-s4f 3 месяца назад +2

    Jmn nimefurahi sanaaaa hii move ninziriii sanaaa paka natamani irudiweeee machoziii yafurahaaa😢😢😢😢 baba Joan hongereni natim yakoooo yoteeee mbarikiweeee mnooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AnnaLabson
    @AnnaLabson 3 месяца назад +9

    Kazi nzuri sana brother ❤❤🎉🎉🎉

  • @AshuraSiri-r7t
    @AshuraSiri-r7t 3 месяца назад +10

    Nimeipenda sana hii movie

  • @KankindiCeline-l9r
    @KankindiCeline-l9r 3 месяца назад +5

    Wouuuuu Nawependa Nafurahi Kweli Baba Karobo Mungu weeeeeee❤ Umewona Uripona Karobo Uzi Yikonamaisha Mazuri ❤

  • @kingustarboe
    @kingustarboe 3 месяца назад +1

    hiii move imekua baraka sana kwangu good job from baba karobo ❤❤❤

  • @ReymaMa5-rv1gs
    @ReymaMa5-rv1gs 3 месяца назад +8

    Waaah nshafika kaz nzur🎉🎉❤❤

  • @razackmalopa
    @razackmalopa 3 месяца назад +4

    @Baba Joan patronize anaimba vizuri sana

  • @spinicahmontentes6825
    @spinicahmontentes6825 3 месяца назад +13

    Fasheni pia wewe kamuoe loi mwenye vituko za kishetani kama wewe😂😂😂😂😂hongera baba karobo na sujat nawapenda

    • @Nffh-r4u
      @Nffh-r4u 3 месяца назад +1

      𝐻𝑖𝑣𝑖 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑎 𝑚𝑙𝑒𝑣𝑖 𝑎𝑘𝑎𝑜𝑤𝑎 𝑚𝑙𝑒𝑣𝑖 𝑚𝑤𝑒𝑛𝑧𝑎𝑘𝑒😂😂😂

    • @DolphineRabesh
      @DolphineRabesh 3 месяца назад

      Nice question 😅​@@Nffh-r4u

  • @edmondmungakabiombwa7119
    @edmondmungakabiombwa7119 3 месяца назад +2

    Movie ime tufunza mengi sana les films nous à appris beaucoup de choses je suis congolais de Lubumbashi

  • @RamaJames-d2d
    @RamaJames-d2d 3 месяца назад +12

    Mimi ya kwanz naomba like zang

  • @janecharo1196
    @janecharo1196 3 месяца назад +3

    Sasa imekua tamu sana maana wabaya wote wanaaibika 🎉🎉🎉eeh mungu naomba walio panga mabayà juu yetu nenda ukawaweke wazi 🧎🧎

  • @LucyKibaki-u7f
    @LucyKibaki-u7f 3 месяца назад +21

    Wakwanza leo wapi like za baba karobo 🎉❤

  • @FAIZAWESAAMANI
    @FAIZAWESAAMANI 3 месяца назад +1

    Walai huyu mama karobo feki nampenda Sana 😂 amejitolea sana kuact hapo sehemu yake kwa hii filamu😢

  • @BeeBabykenya
    @BeeBabykenya 3 месяца назад +21

    Wakwanza toka Kenya wapi likes ya huyu mnyama Baba karobo❤❤

  • @zamdauseni9787
    @zamdauseni9787 3 месяца назад +2

    Ndiyo baba karobo kutegemeya
    Mungu jomuweza wakilakitu
    Joivo tendawema
    Utakuta mbele
    Utasaidiys ❤❤❤🎉❤🎉🎉🎉🎉

  • @NoraNyaboke-ut5hf
    @NoraNyaboke-ut5hf 3 месяца назад +5

    Achana na mama kalobo ause matembele😂😂😂😂😂😂

  • @DoliceBonifass
    @DoliceBonifass 3 месяца назад +1

    Daaaaa!! Wapi baba karobo maua yako upewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unyama mwingi kwako mungu akutangurie kwa kira kitu

  • @GdhhdXbxhdyd
    @GdhhdXbxhdyd 3 месяца назад +4

    Kazi nzui nawapenda sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @athmansadiki6341
    @athmansadiki6341 3 месяца назад +1

    Ahhh zaujati na baba karobo na karobo hongera sanaa mume pendeza sana❤❤❤

  • @PetronilaYaa
    @PetronilaYaa 3 месяца назад +5

    Asanten sana nmejifunza mengi kuptia hii mv ya babangu kipofu. Ila pole mama karobo ulishindwa kumtunza baba karobo na mwanawe sasa umepata mjukuu wako majuto mlee vzr

  • @PatrickLipatrick-r5c
    @PatrickLipatrick-r5c 3 месяца назад +2

    Pia nimeipenda kwa vile umefanikiwa Kuona ujawasahau walio kusaindia wakati ilikua kipofu hdi Kuona kwako mungu akue pamoja nanyi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Lucywanjirukagonye
    @Lucywanjirukagonye 3 месяца назад +12

    Wakwanza kutoka Riyadh Saudi Arabia ❤❤🎉🎉

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo 3 месяца назад +1

    Mwisho wa ubaya ni aibu .Mama karobo nyoko.Zujat uko smart mamaa hio shape we huogopi 😂😂😂❤❤🎉

  • @BrayanMwilongo
    @BrayanMwilongo 3 месяца назад +6

    Wapenzi wote wa baba yangu kipofu ,tujionyeshe jamani❤❤❤