Wooooo mungu n mwema kila wakti jameni hii movie n ya mafunxo maxito kweli km mm nimejifunza mengi kupitia baba karobo n mama karobo mwisho wa ubaya n haibu ongera sana Mr Jacob nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nipewe like ata 5 aja uchoyo😢😢n inaenda kuisha bila like duuh
Yote tisa mshukulu sana kibanio mpenzi wangu maana dada kama ni wachache sana mungu awabariki wote na awape maisha marefu walio shiriki sinema hii mungu akuzidishie ulipo punguza mchungaji ❤❤❤❤❤❤❤
Baba kalobo ukienda na huo mfumo hakika pengo la kanumba litazibika hii movie umeicheza vzr sana pamoja na mwalim mgeni kalobo usimuache maisha yako yote huyo ni msanii mzr sana
Pongezi sana, kweli filamu hii inayo mafunzo mengi tena mazuri sana. Baba karobo,Karobo, Zulyat, kibanio, Nasra pamoja na Mr Rahasa...congratulations great people and team🎉🎉🎉
Hongera sana Baba kalobo na MUNGU wambinguni ahimidiwe kwa kupata kuona. pia maamuzi ulio hamua ni sahii kwa kumuacha mwanamke mbaya na kumuoa mwanamke anaye kufaa. hongereni sana kwa Hilo. mimi kama mwanamke picha yenu imenifunza mengi nakunifungua akili kabisa. Asante sana.
wao kusema kweli hili ni bonge la sinema kutoka mwanzo hadi tulipo sasa haukuna kipindi kisicho pendeza ogera sana baba joan bila kusahau kikosi chako chote hakika mna vipaji kutoka jiji kuu nairobi hapa kenya nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
wauuu ♥️ hamwezisikia jinsi ninavyofurahia kuona baba karabo amepona n kuoana n zujati good, binadamu tujue mabaya tunayoyafanyia wenzetu mwisho n Dunia n shukurani kw mchungaji ,,
baba joan I didn't finish ep 50 it was very macho, I thought it was going to ruin it, but thanks to Jehovah you increased the dose more, I liked it I liked it a lot Jehovah bless you very much with all your groups
Jali Sana Familia Yako Maana Sisi Marafiki Zako Tutakuja Kula Wali Na Tutazika Harafu Tutaondoka Ila Familia Yako Ndio itakuwa Inafagia Kabuli lako .🙏🙏
Aisee kwa kweli mda wote huwa wanasema usidarau ulicho nacho mkonani ikiondoka akitarudi tena,na hiki kipindi kinasisimuwa kweli nimeifatilia sana hadi mwisho,baba karobo na kikundi chako hongera hongera sana❤❤❤❤ni lynn from Nairobi kenya.
Mwisho mwishoo wa kipinda najipata nipo ndani ya 1st viewers makofi kwangu👏🏼👏🏼👏🏼makofi tena👏🏼👏🏼👏🏼. Anyways lesson learned hakuna lisilo wezekana mbele ya mwenyezi Mungu tunapo amini🙏🏽. Good job to the whole team.
Wow GOD Bless you baba karobo umetisha sana na Zuriath kaplay vizuri part yake. Lakin huyu mama karobo kacheza vizuri zaidi. Wow GOD Bless all of you. Thanks
Weeee Mimi naangalia zuuuu hadi najanganyikiwa aki❤❤❤❤❤ alafu nimejikuta nacheka wakati mama kalobo. Alikuwa anatangasa mboga mboga ,,, ilanimejifunza kitu kupitia hiii movie ❤❤❤ kwa waletumejifunza kitu. Leteni comment hapa na like ❤❤❤❤❤ ati baba kalobo. Ameoa kipulushuti😂😂😂😂😂😂😂 mapenzi mie
Zuu n kweli mvumilivu ula mbivu mama hongereni nyote team baba karobo loy sasa ona aibu vile inavyokusuta❤❤🎉🎉 fasheni kanifurahisha ety zuu kaolewa Wacha Namimi nitafute wangu Mmoja nikatulie naye aise 😂😂😂
Maashalla acheni mungu aitwe mungu 2u malipo niapaapa duniani Asante Sana baba karobo mumetufunza mengi sagi Sana nampy zuu umenifunza mengi Sana naumenifanya, nizdi kujiamina na kutokata tamaa mungu awabark
Kazi nzuri sana ila najifunza mengi sana tokea mwanzo mpaka apa nialazima sana filamu ii nawapenda wote kwa mafundisho mazuri mungu amitiye nguvu na ekima pia
Kilakitu kyalipa apa apa chini yajuwa mwema nihakiba naubaya nihakiba mwisho waubaya nihaibu pole sana mama karobo mama waroho mubaya kama shetani nikweli iyo kabisa baba karobo Mungu abasaidiye kwakazi yenyu❤❤❤❤❤❤
Asanten sana nmejifunza mengi kuptia hii mv ya babangu kipofu. Ila pole mama karobo ulishindwa kumtunza baba karobo na mwanawe sasa umepata mjukuu wako majuto mlee vzr
KUJIUNGA NA GROUP LA BABA KAROBO GUSA LINK HAPA CHINI
chat.whatsapp.com/DNLyqNPiekpDTbrXEJOjUa
Hongera baba karobo kwa kupona na kupata MKE mzuri mungu naazidi kukulinda wakumbuke woote waliiokupambania na usimsahau mchungaji
Wooooo mungu n mwema kila wakti jameni hii movie n ya mafunxo maxito kweli km mm nimejifunza mengi kupitia baba karobo n mama karobo mwisho wa ubaya n haibu ongera sana Mr Jacob nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤nipewe like ata 5 aja uchoyo😢😢n inaenda kuisha bila like duuh
Movie ime tufunza mengi sana maua Yako baba kalobo🎉🎉🎉🎉🎉 n'a mungu azidi kukubaliki zaidi
@@GentilKakule-rd2pz sana
Tulio anza pamj kuanzia alipokuwa baba karobo kpofu had Leo baba karobo anaona,wp like,
w
Pamoja sana
Pamoja🫂
Pamoja jmn
Yw😂😢clk❤ 2:02
Hii ndo nilikua naingojea sana hongereni sana baba karobo unatufunza sana watching from 🇰🇪 🇰🇪 nakupenda sana 🎉🎉❤
Baba karombo mungu akupe kibari zaindi umetupa somo kubwa sana.
Sawa tumejifunza kwa kiasi fula Asante kwa kazi nzuri tunasubilia kazi nyingine nzuri zaidi ya hii
Yote tisa mshukulu sana kibanio mpenzi wangu maana dada kama ni wachache sana mungu awabariki wote na awape maisha marefu walio shiriki sinema hii mungu akuzidishie ulipo punguza mchungaji ❤❤❤❤❤❤❤
Yes this guy is good artist nimependa sana baba joan na member wako kazi nzuri Kwa tulioona kama mimi gonga like Kwa baba karobo 🎉
Waoooh, hongera baba Karobo Kwa movie nzuri ilojaa kila fundisho la maisha....!!
Kama una skili utajifunza
Kutoka Mombasa Kenya naomba like za Baba Joan
Baba kalobo ukienda na huo mfumo hakika pengo la kanumba litazibika hii movie umeicheza vzr sana pamoja na mwalim mgeni kalobo usimuache maisha yako yote huyo ni msanii mzr sana
Naitazama kutoka kenya nimefurahi sana Zuu kuolewa na baba karobo
Pongezi sana, kweli filamu hii inayo mafunzo mengi tena mazuri sana.
Baba karobo,Karobo, Zulyat, kibanio, Nasra pamoja na Mr Rahasa...congratulations great people and team🎉🎉🎉
Ni wakati wa zujaty sasa kuenjoy nawapenda sanaa baba karobo mungu awatangulie muush vyema mkimpendeza mungu❤❤
Hongera sana Baba kalobo na MUNGU wambinguni ahimidiwe kwa kupata kuona. pia maamuzi ulio hamua ni sahii kwa kumuacha mwanamke mbaya na kumuoa mwanamke anaye kufaa. hongereni sana kwa Hilo. mimi kama mwanamke picha yenu imenifunza mengi nakunifungua akili kabisa. Asante sana.
Safi sana baba karobo muowe zu na maisha yaendelee achana na loi kimrambe alitaka vyote mwishowe akakosa vyote
Hongera sana baba karobo mungu akupe maisha marefu tuweze kujufunza mengi kupitia kwako tunakupenda sana ❤❤❤❤🎉❤❤
Baba yangu kipofu jamani ni filamu nzurivsana Keep it up baba joana
Waow kazi nzur baba karobo❤ movie nzuri🎉🎉
Jamani tupo pamoja baba karombo furaha kama yote from Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wpeni like zao nzuuuuuu na mpenzi wake jamani 🎉🎉🎉🎉
Hamjanotice kijana anaeomba msamaha n cool kid na cute boy pia😂❤❤❤❤
wao kusema kweli hili ni bonge la sinema kutoka mwanzo hadi tulipo sasa haukuna kipindi kisicho pendeza ogera sana baba joan bila kusahau kikosi chako chote hakika mna vipaji kutoka jiji kuu nairobi hapa kenya nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤.
Baba Karobo. Nawapenda sana.
Mubarikiwe sana tumejifunza vyakutoshaa asante baba karobo kazi mzr sanaaa na inamafunzoo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ama kweli wema ni hakiba na ubaya ni hakiba tunaona kama movie lkin yap katika maish tutende wema wapendw
Kabs yani😭😭
🎉😅😊😊
wauuu ♥️ hamwezisikia jinsi ninavyofurahia kuona baba karabo amepona n kuoana n zujati good, binadamu tujue mabaya tunayoyafanyia wenzetu mwisho n Dunia n shukurani kw mchungaji ,,
Asante Sana tem baba karobo mungu awawezeshe kuleta movie yamafundisho
Mwisho wa ubaya aibu mungu awalinde Kwa funzo kubwa hili kamaisha ❤️
Kwa kweli tamdhilia inatuonyesha hali halisi y maisha pongezi sana Baba Joan na waigizaji wensako kw kazi safi
baba joan I didn't finish ep 50 it was very macho, I thought it was going to ruin it, but thanks to Jehovah you increased the dose more, I liked it I liked it a lot Jehovah bless you very much with all your groups
Nice work from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🎉❤
Baba Kalobo ameonyesha kutoa shukulani kwa waliomusaidiakatika mateso nakuwa naimani ya kupona ni mmigizo safi kbisa wakuvutia
Jali Sana Familia Yako Maana Sisi Marafiki Zako Tutakuja Kula Wali Na Tutazika Harafu Tutaondoka Ila Familia Yako Ndio itakuwa Inafagia Kabuli lako .🙏🙏
Walai
Ako ka wimbo ya nimempoteza mume, nipee title yake please
God bless you mr Joan for this movie my name is Mathews from Zambia
Wapi likes za kenya ,, well represent ❤🎉
The healing of a blind man becomes the deliverance of many people to convert them thank you very much baba karobo
Wakwanza mm Leo jaman naomba like zang kwa wale woto mnao ipenda baba kaloba
Waburundi mko wapi tujuwane🎉❤❤
Hongera sana baba karobo hakika umetufunza mengi Mungu akubariki Aamiin 🙏🎉🎉❤❤
Aisee kwa kweli mda wote huwa wanasema usidarau ulicho nacho mkonani ikiondoka akitarudi tena,na hiki kipindi kinasisimuwa kweli nimeifatilia sana hadi mwisho,baba karobo na kikundi chako hongera hongera sana❤❤❤❤ni lynn from Nairobi kenya.
Mashallah 💖 hatimae siku ambayo nilikuwa nasubiri imefika 😂🙌
Mwisho mwishoo wa kipinda najipata nipo ndani ya 1st viewers makofi kwangu👏🏼👏🏼👏🏼makofi tena👏🏼👏🏼👏🏼. Anyways lesson learned hakuna lisilo wezekana mbele ya mwenyezi Mungu tunapo amini🙏🏽. Good job to the whole team.
Amen
Naomba uwe mwisho kabisa
mama karobo mwenye kilanga apewi polee zamu yako jua la utosi kukuwakia kwa kwelii😂😂😂
FIRST ONE FROM MOZAMBICAN 🎉🎉🎉
Wow GOD Bless you baba karobo umetisha sana na Zuriath kaplay vizuri part yake. Lakin huyu mama karobo kacheza vizuri zaidi. Wow GOD Bless all of you. Thanks
Hongera sana kwa waandaji kwakweli hii ilikuwa bora zaidi
🎉🎉🎉🎉kabisa
Baba karobo nawapenda sana wewe na team yako.( DR Congo)
Kweli baba karobo umeweza mnooo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Weeee Mimi naangalia zuuuu hadi najanganyikiwa aki❤❤❤❤❤ alafu nimejikuta nacheka wakati mama kalobo. Alikuwa anatangasa mboga mboga ,,, ilanimejifunza kitu kupitia hiii movie ❤❤❤ kwa waletumejifunza kitu. Leteni comment hapa na like ❤❤❤❤❤ ati baba kalobo. Ameoa kipulushuti😂😂😂😂😂😂😂 mapenzi mie
Kabra mwaka haujaisha wote tunao angalia tamthilia ya baba karobo Mwenyez Mungu hyabadilishe maisha yetu yawe yenye mafanikio Ameen 🙏
Amen
Amen
🙏🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Amiin 🙏
Bb.karobo.na.timu.yako.kazi.nzuri.sanaaa..tunaomba.utupatie.tamu.zaidi.yaani.mpaka.anapoangalia..ukiwa.mchawi.roho.mbaya.mwanga.ujue.mungu.ndo.kila.kitu.fanya.ubaya.ipo.siku.utakurudia.tu.bba.karobo.na.mma.krbo.na.korobo..oyooooooooooooooo.mwaaaaààa❤❤❤❤❤❤❤.zujati.oyooooo.omari.oyooooo.kibanio.uposafii.nasla.na.mumeo.oyooooo.fasheni.bigapuuuuuu.sana.nawapendaaaaàààaàa
Zuu n kweli mvumilivu ula mbivu mama hongereni nyote team baba karobo loy sasa ona aibu vile inavyokusuta❤❤🎉🎉 fasheni kanifurahisha ety zuu kaolewa Wacha Namimi nitafute wangu Mmoja nikatulie naye aise 😂😂😂
Jamani mama karobo ndo Sasa ivi hata mawigi hatukumbuki kuvaaaa😅😅
Waoooo baba karobo nafurahi jamani kwa maigizo Yako mungu akujaze nguvu daima 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mama Kalobo anauza mboga mboga
Zoujat congratulations kua n'a baba Kalobo🎉🎉🎉
Maashalla acheni mungu aitwe mungu 2u malipo niapaapa duniani Asante Sana baba karobo mumetufunza mengi sagi Sana nampy zuu umenifunza mengi Sana naumenifanya, nizdi kujiamina na kutokata tamaa mungu awabark
Jamnii nimeipendaaaa daaah baba Karo boo kanifurahisha❤❤❤❤
Laiv
Me wa kwanza Leo kutoka Saudi Arabia 🥰nipeni like zangu
Mwisho wa ubaya ni aibu mungu ni mwema kw baba karobo na mwanae
Hongera Sana Baba kalobo kwa kupona mungu mkubwa🎉🎉🎉🎉🎉
Baba Joan team, kazi tunaipenda
Mwanamke Mwerevu Utengeza Ndoa Yake Na Mwanamke Mjiga Uvinga Ndoa Yake Kwa Mikonoyake Miwili....Cjui Mma Karobo Tutamueka Fungu Gani❤❤❤❤❤❤
Hah, jamani, epsode hii ni final kweli nakubali. Watu kama mama karobo wajifunze kitu. Love you ❤ so much Mr Ntusubire, from Burundi 🇧🇮
Watching from 🇰🇪 ii filamu inatufunza tu wanao tegemea mwenyez mungu wana mwisho mwema ila mwisho wa wachawi n aibu
Hongera baba karobo kazi nzuri❤❤❤❤
Ubaya umbwela mama kalobo what goes around comes around...... haiji mara mbili bahat ❤❤❤❤❤ nyote
Hak yamung baba karob yup vzr bor zuu tuwe wake wenza nishampend mm jamon baba karob 😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂
Jitahidi kuishi nawatu vizuri acha kulipa ubaya kwa wema Mungu pekee hujibu mapigo yetu barikiwa baba karobo na team nzima
Love so much baba karobo's family❤na kazi nzuri pia❤ samehe hata kama amekukoseaj❤❤❤👍👍 nimependa sana neno kinyang'ala😂😅
Baba karobo na Zujat mpendeza San pamoja na mtoto wenu karobo ongereni san❤❤❤❤
sana
Wa kwanza jamani mnipe like team baba karobo
Kazi nzuri sana ila najifunza mengi sana tokea mwanzo mpaka apa nialazima sana filamu ii nawapenda wote kwa mafundisho mazuri mungu amitiye nguvu na ekima pia
Kaz nzuri San baba karob mungu akupe umri mrefu inshallah 🙏🙏❤❤
Fashion ametoa wazo nzuri kujitafutia mpenzi mungine baba Kalobo naye alionyesha msimamo mzuri kwakumusamehe kwa kutokua no kiburi Loi naye ili cheza vizuli kwakionyesha maafa yanayo wafikia wanayohujumu ndoa mudndelee kuigiza hukuBurundi tunawafuata tanu kwatanu nawapenda pamoja na shuugli zenu
Mama kalobo owae mama kalobo uliage we mama kalobo uliage we oiae😂😂😂😂😂😂😂walio fulah mama kalobo maisha yake yawe hivo weka like tusonge😅😅😅😅
. Gpea❤❤
Nimeenjoy sana katk story hiii
Natamani awe kipofu huyu shetani
Kilakitu kyalipa apa apa chini yajuwa mwema nihakiba naubaya nihakiba mwisho waubaya nihaibu pole sana mama karobo mama waroho mubaya kama shetani nikweli iyo kabisa baba karobo Mungu abasaidiye kwakazi yenyu❤❤❤❤❤❤
Apana baba kalobo usisahau uyo na loho mbaya yake ndokamukuza kalobo mama kalobo alimuacha akia mdongo maua kwako loi🎉🎉🎉
Jmn nimefurahi sanaaaa hii move ninziriii sanaaa paka natamani irudiweeee machoziii yafurahaaa😢😢😢😢 baba Joan hongereni natim yakoooo yoteeee mbarikiweeee mnooo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri sana brother ❤❤🎉🎉🎉
Nimeipenda sana hii movie
Wouuuuu Nawependa Nafurahi Kweli Baba Karobo Mungu weeeeeee❤ Umewona Uripona Karobo Uzi Yikonamaisha Mazuri ❤
hiii move imekua baraka sana kwangu good job from baba karobo ❤❤❤
Waaah nshafika kaz nzur🎉🎉❤❤
@Baba Joan patronize anaimba vizuri sana
Fasheni pia wewe kamuoe loi mwenye vituko za kishetani kama wewe😂😂😂😂😂hongera baba karobo na sujat nawapenda
𝐻𝑖𝑣𝑖 𝑢𝑙𝑖𝑜𝑛𝑎 𝑚𝑙𝑒𝑣𝑖 𝑎𝑘𝑎𝑜𝑤𝑎 𝑚𝑙𝑒𝑣𝑖 𝑚𝑤𝑒𝑛𝑧𝑎𝑘𝑒😂😂😂
Nice question 😅@@Nffh-r4u
Movie ime tufunza mengi sana les films nous à appris beaucoup de choses je suis congolais de Lubumbashi
Mimi ya kwanz naomba like zang
Sasa imekua tamu sana maana wabaya wote wanaaibika 🎉🎉🎉eeh mungu naomba walio panga mabayà juu yetu nenda ukawaweke wazi 🧎🧎
Amen ❤
Wakwanza leo wapi like za baba karobo 🎉❤
Walai huyu mama karobo feki nampenda Sana 😂 amejitolea sana kuact hapo sehemu yake kwa hii filamu😢
Wakwanza toka Kenya wapi likes ya huyu mnyama Baba karobo❤❤
Ndiyo baba karobo kutegemeya
Mungu jomuweza wakilakitu
Joivo tendawema
Utakuta mbele
Utasaidiys ❤❤❤🎉❤🎉🎉🎉🎉
Achana na mama kalobo ause matembele😂😂😂😂😂😂
Daaaaa!! Wapi baba karobo maua yako upewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unyama mwingi kwako mungu akutangurie kwa kira kitu
Kazi nzui nawapenda sanaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Ahhh zaujati na baba karobo na karobo hongera sanaa mume pendeza sana❤❤❤
Asanten sana nmejifunza mengi kuptia hii mv ya babangu kipofu. Ila pole mama karobo ulishindwa kumtunza baba karobo na mwanawe sasa umepata mjukuu wako majuto mlee vzr
Pia nimeipenda kwa vile umefanikiwa Kuona ujawasahau walio kusaindia wakati ilikua kipofu hdi Kuona kwako mungu akue pamoja nanyi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza kutoka Riyadh Saudi Arabia ❤❤🎉🎉
Mwisho wa ubaya ni aibu .Mama karobo nyoko.Zujat uko smart mamaa hio shape we huogopi 😂😂😂❤❤🎉
Wapenzi wote wa baba yangu kipofu ,tujionyeshe jamani❤❤❤
Welcome