Masheikh wa uhamsho waamsha hisia bungeni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • “Kwa nini watuhumiwa wa ugaidi mpaka leo wanaendelea kushikiliwa…Masheikh wa Uhamsho ambao katika mashitaka yao hawakuua hata kuku…mmeendele kuwashikilia pasipo ushahidi kukamilika.

Комментарии • 95

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 4 года назад +2

    Machozi yangu yatalipwa.

  • @hajimousa5832
    @hajimousa5832 6 лет назад +5

    Masheikh wa uamsho hawana kesi ila ni mashtaka bandia tu.hivyo ni miongoni mwa vitimbi vya wanasiasa katika kuwadhibiti wanaojaribu kuondoa udhalimu na ukandamizaji katika nchi zao.hakuna lenye mwanzo likakosa mwishowe ila it is a matter of time.tnx

  • @iddmohamed1738
    @iddmohamed1738 6 лет назад +8

    Ukweli usiopingika hii nchi inaudini tena mkubwa kabisa,haijawahi kutokea mapadri,maasikofu na wachungaji kuwekwa ndani,mfano gwajima anaishambulia serikali na rais namna anavyotaka lakini hakuna action yoyote ilochukuliwa,viongozi wa dini ya kikristo wanasema na kufanya lolote bila kubughudhiwa,wafanye viongozi wa kiislamu wanakamatwa na mateso juu,so nchi hii ina udini tena mkubwa.

    • @lwagamwakalinga5276
      @lwagamwakalinga5276 6 лет назад

      Nadhani kwenye udini tusifike huko Mr idd kwani Hawa watu walikamatwa rais akiwa Nani na makamu Nani na wanatoka dini gani ? Hapa si issue ya Mambo ya udini ila ni kuangalia kuwa ndugu zetu wako ndani Muda mrefu haipendezi

    • @hajisandali524
      @hajisandali524 5 лет назад +1

      nchi ina udini hilo halina ubishi

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 6 лет назад +4

    ETI KWAUWONGO ANAJIBUHUYU MJINGA HANA AKILI NDIO BARAZA TUKUFU BASI UWONGO TU

  • @jumausi2078
    @jumausi2078 4 года назад +2

    Hayo majibu yako Allah ameyasiki a ndiye aliyekupa upumzi wa kujibu hivyo.

  • @adamukibuba3305
    @adamukibuba3305 5 лет назад +6

    Mm sina iman atakidogo na serekali naichukia sana

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      Watu waliopo serikalin kwenda kuona pepo ngum mungu anawapa starehe ya hapa dunia 2ahera wana mtihan sana

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 5 лет назад +3

    Sasa yasijadiliwe bungeni yajadiliwe WAP!?

  • @abdullirahimuramadhani4675
    @abdullirahimuramadhani4675 6 лет назад +4

    Mungu ndio hakimu ipo cku itasima

  • @aliissa6632
    @aliissa6632 6 лет назад +5

    Leo munawanyanyasa binaadamu wezenu kesho itakua kwenu

  • @iddmohamed1738
    @iddmohamed1738 6 лет назад +3

    Masauni wewe ni sheitwani,kabla hujafa lazima bakora ya Allah ikutandike

  • @kingayo999
    @kingayo999 5 лет назад +3

    unavyo ulizwa sivyo unavyo jibu

  • @antashaal2257
    @antashaal2257 3 года назад

    Rudini kwa Alla miaka nane MTU anateseka tu mungu anasamehe mnashinda kuwafikiria ubinadam muogope Alla

  • @issamohammed2458
    @issamohammed2458 4 года назад

    Muheshimiwa Rais mtarajiwa utakuja kutujibu utautaka urais wa Zanzibar Kichwa cha mwendawazim.

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 6 лет назад +5

    sababu ya msingi haipo
    ila tumwachie mungu tu

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 6 лет назад +1

    WEWE WACHA KUJIBU UWONGO MIAKA MINGAPI HIYO MJINGA WEWE MUONGO HANALAKUSEMA HUYU MUONGO KAMBISA MJINGA UPUMBAVU KABISA UWAMSHO WATOLEWE HAWANA MAKOSA

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 4 года назад

    Kwann mwamposa hamkumfanyia uchunguzi wa kina na kumlundika ndani huku mkimfanyia huchunguzi kina mnafaki

  • @swabirali1276
    @swabirali1276 5 лет назад +1

    Waziri wa ndani ya nnchi ww ni ubwa sanaaa. Hao mashehe wanadhulumiwa na unasema isiongelewe bungeni

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад

    Huyu waziri hafai kuwakilisha serukali kashindwa kujibu maswala ya mh khatibu bora ajiyzulu

  • @khamisdaima1455
    @khamisdaima1455 6 лет назад +2

    Andugu kumbuka kuna leo na kesho ukishikilia Leo utashikiliwa kesho

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 3 года назад

    Hawa makafiri hata mukiwaelewesha vipi hawaelewi wanafanya haya maksudi ili uislamu uporomoke lakini wamesahau kwamba mungu ameshaahidi dini yake itabaki kuwa ya mwanzo mpaka mwisho wa dunia

  • @YS-qo6en
    @YS-qo6en 6 лет назад +2

    Huu ndio upinzani wa faida si maandamano

  • @abdillahmohd4317
    @abdillahmohd4317 4 года назад

    aya manish tu ya dunia tunapta cha msigi tuangalie tunapo ena tusitumie nguvu kumtesa mwenzak we unaejiona una nguv

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq 5 лет назад +1

    Masauni Allah atakulipa ww na familia yako inshaAllah. Mtukufu ni Mungu tuna sio bunge au chengine chochote. LaanatuAllah LaanatuAllah laanatuAllah Masauni. Allah atakulipa na kizazi chako inshaAllah tuwe hai tukuone.

  • @mataganso412
    @mataganso412 6 лет назад +2

    Waislaam takbiiiiir

  • @hawahamad9628
    @hawahamad9628 3 года назад

    Allah yupo hana haraka sisi tupo tunasubiri majibu.

  • @tobaramadhani7139
    @tobaramadhani7139 4 года назад +1

    Mbona mwaposa mmemtoa au yeye ajafanya mazito mana kauwa hao mashekh hawajauwa

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 4 года назад +1

    Ww mnafika

  • @nasrimbaruku9489
    @nasrimbaruku9489 5 лет назад +2

    Subkhana Allah pesa niulevi pia

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад +1

    Allah atawaadhibu na kuwadhalilisha kama navyowafanyia masheh zetu

  • @imanimoshi4351
    @imanimoshi4351 6 лет назад +3

    Allah atawaazibu inshaAllah

    • @makavelydivyele5650
      @makavelydivyele5650 6 лет назад

      Istoria,yanch,yeti,inaonyesha,waisramndiyo,warioreta,Uhuru,ndio,maana,uamsho,awa,achiwi

  • @JimmyJimmy-gu8jj
    @JimmyJimmy-gu8jj 5 лет назад +1

    Cku ya Qiyamah mambo yote yatawekwa wazi, mwenyezimungu ndio hakimu

  • @mohamedally7799
    @mohamedally7799 6 лет назад +3

    Laana tu lahii na mungu awangamize wote mnao watesa mashekhe wetu mungu awape maradhi na awaue hata kwa ajali inshaalah

    • @AP-uk3mq
      @AP-uk3mq 5 лет назад

      Ameen

    • @sawbaa6332
      @sawbaa6332 5 лет назад

      Huna usafi wakumbendeza allah uwalan
      Ikiwa ww una dhambi makosa unakosea watu pamoja na allah kikubwa tuombe salama na wapate hakizao niharamu kuukumu atakama mtu kakufanyia ubaya walakulani ihali na wew binadamu una upungufuwako katika jamii

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 4 года назад

    Mnasema nini huko ni kutawaliwa

  • @shufaafarihya8674
    @shufaafarihya8674 6 лет назад +2

    itaq Allah

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 3 года назад

    اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة

  • @khalilyjmsuya5478
    @khalilyjmsuya5478 4 года назад

    Imechukua muda na inauma sana

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 4 года назад

    Mnawalundikia kesi feki

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад

    Mpaka lini ? Babu weye

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati39 5 лет назад +1

    Allah atawaona.mfumo kilisto

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 3 года назад

    اللهم ثبته بالقول الثابت

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 4 года назад

    Yana mwisho na tu

  • @abdalahmohamedi1806
    @abdalahmohamedi1806 6 лет назад +1

    Toka miaka hiyo mpk leo hii huo uchunguzi haujafanyika tu sisi tunamshtakia Mungu

    • @hamisirehani5696
      @hamisirehani5696 5 лет назад

      ila hatakama huna elimu inajionyesha tu ndio miaka zaidi ya miaka tisa

  • @sdmalaki3221
    @sdmalaki3221 4 года назад

    isn't true

  • @surayyahsuleiman911
    @surayyahsuleiman911 5 лет назад +1

    Mungu anawaona😭

  • @abuimudriq1492
    @abuimudriq1492 4 года назад

    Zero

  • @ndunihiyari4015
    @ndunihiyari4015 5 лет назад

    "hawatawaridhia mayahudi na manaswara mpaka mfuate Mila zao" tumekubali kuishi wnavyotaka wao. Muislam anmkaanga muislam mwenake,. Innalillah wainna illayhi rajiuun

  • @ramadhaniselemanichalachal6622
    @ramadhaniselemanichalachal6622 5 лет назад

    umeshindwa kujibu swali arafu wewe naibu waziri ni muislam kesho utaenda kujibu je uliuteteaje uislam na waislam wenzako

  • @mussagweje8731
    @mussagweje8731 5 лет назад

    Allah katuonya zamani kuhusu mayahudi na manaswara Leo ndio tumewafanya wezetu kuliko waislaam Allah atusamehe sote wailaamu na atuongoze ktk njia ilonyooka

  • @rishedyhamad9562
    @rishedyhamad9562 5 лет назад

    iko siku mlango wanao ufungua watashindwa kuufunga.serikali ya tanzania na kenya na nyinginezo wana nyanyasa waislam

  • @emmanuelmichael6485
    @emmanuelmichael6485 5 лет назад

    Money and power always make a person to be confident and say whatever they want to say without remembering that there's life beyond the grave!!!

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 5 лет назад +1

    Subhanallah

  • @mangulymanguly139
    @mangulymanguly139 5 лет назад

    Mungu akulinde mbunge wasema kweli kama nyinyi wachache sana asa Africa siasa za ukandamizaji inaumiza sana wanayajua yote ila wanafumbia macho kwa ajili ya maslai yao

  • @ibrahimmussaali2986
    @ibrahimmussaali2986 5 лет назад

    Sio kweli mwamba hakuna kizito watu wa madawa wanafanya mazito na hafungwi nnacho hapa kua wabongo hawatupendi sisi wa zanzibar toka baba yao nyerere alitamka wazi kwenye hutuba

  • @hamadnyama3953
    @hamadnyama3953 4 года назад

    Ipo siku mungu atawasimamia waja wake .kwani yeye ndo kila kitu

  • @omaraminia1227
    @omaraminia1227 4 года назад

    Mnajua mnawakosesha wananchi imani ya serikali

  • @ostadhjuma2751
    @ostadhjuma2751 5 лет назад

    Kwakweli machozi yananitoka saana nisikiapo habari za masheikh wetu ilahiii Twakuomb fanya ufalme wako

  • @mwarabeebabchubashibam7121
    @mwarabeebabchubashibam7121 5 лет назад

    Vijana waungane wawa kombowe basi kutoka kwenye dhulma hizo

  • @uberdar967
    @uberdar967 5 лет назад +1

    mashaallah

  • @rashidibrahimshemlugu7845
    @rashidibrahimshemlugu7845 5 лет назад

    huna haya ata kdg ni mwaka wa sita sasa watu wanashikiliwa ushahidi gani huo usiokamilika hamjui wanafamilia wale?

  • @ashahumudsaid2754
    @ashahumudsaid2754 4 года назад

    Haki hucherw kufk ila ipo karbn kufka

  • @haddijjaawadhi3116
    @haddijjaawadhi3116 5 лет назад

    Wawahi imeniuma sana maswali na majibu tofauti

  • @lwagamwakalinga5276
    @lwagamwakalinga5276 6 лет назад

    No matter what mh waziri,imekuwa muda mrefu Sasa jamani

  • @allyomari680
    @allyomari680 6 лет назад

    mwenyezimungu ndiohakimuwahaki

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 5 лет назад

    Uchunguzi wa kina hauna muda?

  • @kingayo999
    @kingayo999 5 лет назад

    kumbe uku bungeni kuna vituko sana

  • @saidathuman1536
    @saidathuman1536 5 лет назад

    Huna akili wewe....

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 5 лет назад

    Mtwambie yatakamilika lini au mpakakiyama?

  • @kisa6022
    @kisa6022 5 лет назад

    Hiyo mnafiki

  • @alhajiomary2294
    @alhajiomary2294 5 лет назад

    Hiyo ndio awamu yatano dah!

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 4 года назад

    ??????

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 6 лет назад

    Fake ans!

  • @fatmahamad2156
    @fatmahamad2156 5 лет назад

    Huna jibu ww mfyuuu huyu

    • @fadhiriasukari5828
      @fadhiriasukari5828 5 лет назад

      Wallah thuma wallah mungu atakudhalilishen mnadhan kama mmefanikiwa kumbe mnatembea huku kuni ktk jahamu itakuwa viuongo vyenu na makufuli iko ciku atawachia nimuelewa sana huyu kiongoz wetu

  • @jamesmbata8542
    @jamesmbata8542 6 лет назад +3

    huyu mbwa masahani sjui kaongea nn mjinga kabisa mnaafiki huyu

    • @mataganso412
      @mataganso412 6 лет назад

      Back madrasa

    • @zenakhamis1035
      @zenakhamis1035 5 лет назад

      Wacha ufisadi mda gani miaka 6utakwenda motoni milele weber

    • @zenakhamis1035
      @zenakhamis1035 5 лет назад +1

      Omba wakutoe cheo hicho ni mtihani kwako utakufa na utazikwa watoto wakulilie kwa makosa ambayo yatakutia motoni kwa majibu yako

  • @muhammedkhamis416
    @muhammedkhamis416 6 лет назад

    Bongo movie

  • @uberdar967
    @uberdar967 5 лет назад

    waziri kumbuka kuna kesho

    • @khamisshekifu3569
      @khamisshekifu3569 4 года назад

      Hiyo ni oda maalum yakuwakamata mashekhe zetu sisi tutaendelea kupiga kelele hadi baas. Kwakuwa kunawatu ndani yaserikali wanauchukia Uislam kuliko mnavojua. Na chuki iliyoko ndani ya mioyo yao ni kubwa zaidi kuliko ile wanayidhihirsha.