Masheikh wa uhamsho waamsha hisia bungeni
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- “Kwa nini watuhumiwa wa ugaidi mpaka leo wanaendelea kushikiliwa…Masheikh wa Uhamsho ambao katika mashitaka yao hawakuua hata kuku…mmeendele kuwashikilia pasipo ushahidi kukamilika.
Machozi yangu yatalipwa.
Masheikh wa uamsho hawana kesi ila ni mashtaka bandia tu.hivyo ni miongoni mwa vitimbi vya wanasiasa katika kuwadhibiti wanaojaribu kuondoa udhalimu na ukandamizaji katika nchi zao.hakuna lenye mwanzo likakosa mwishowe ila it is a matter of time.tnx
Serikali sasa waislamu tutasoma albadiri
Ukweli usiopingika hii nchi inaudini tena mkubwa kabisa,haijawahi kutokea mapadri,maasikofu na wachungaji kuwekwa ndani,mfano gwajima anaishambulia serikali na rais namna anavyotaka lakini hakuna action yoyote ilochukuliwa,viongozi wa dini ya kikristo wanasema na kufanya lolote bila kubughudhiwa,wafanye viongozi wa kiislamu wanakamatwa na mateso juu,so nchi hii ina udini tena mkubwa.
Nadhani kwenye udini tusifike huko Mr idd kwani Hawa watu walikamatwa rais akiwa Nani na makamu Nani na wanatoka dini gani ? Hapa si issue ya Mambo ya udini ila ni kuangalia kuwa ndugu zetu wako ndani Muda mrefu haipendezi
nchi ina udini hilo halina ubishi
ETI KWAUWONGO ANAJIBUHUYU MJINGA HANA AKILI NDIO BARAZA TUKUFU BASI UWONGO TU
Hayo majibu yako Allah ameyasiki a ndiye aliyekupa upumzi wa kujibu hivyo.
Mm sina iman atakidogo na serekali naichukia sana
Watu waliopo serikalin kwenda kuona pepo ngum mungu anawapa starehe ya hapa dunia 2ahera wana mtihan sana
Sasa yasijadiliwe bungeni yajadiliwe WAP!?
Mungu ndio hakimu ipo cku itasima
Leo munawanyanyasa binaadamu wezenu kesho itakua kwenu
ww muongo
Masauni wewe ni sheitwani,kabla hujafa lazima bakora ya Allah ikutandike
Ameen
unavyo ulizwa sivyo unavyo jibu
Rudini kwa Alla miaka nane MTU anateseka tu mungu anasamehe mnashinda kuwafikiria ubinadam muogope Alla
Muheshimiwa Rais mtarajiwa utakuja kutujibu utautaka urais wa Zanzibar Kichwa cha mwendawazim.
sababu ya msingi haipo
ila tumwachie mungu tu
Anajiuma uma tu hana jibu
WEWE WACHA KUJIBU UWONGO MIAKA MINGAPI HIYO MJINGA WEWE MUONGO HANALAKUSEMA HUYU MUONGO KAMBISA MJINGA UPUMBAVU KABISA UWAMSHO WATOLEWE HAWANA MAKOSA
Kwann mwamposa hamkumfanyia uchunguzi wa kina na kumlundika ndani huku mkimfanyia huchunguzi kina mnafaki
Waziri wa ndani ya nnchi ww ni ubwa sanaaa. Hao mashehe wanadhulumiwa na unasema isiongelewe bungeni
Huyu waziri hafai kuwakilisha serukali kashindwa kujibu maswala ya mh khatibu bora ajiyzulu
Andugu kumbuka kuna leo na kesho ukishikilia Leo utashikiliwa kesho
Hawa makafiri hata mukiwaelewesha vipi hawaelewi wanafanya haya maksudi ili uislamu uporomoke lakini wamesahau kwamba mungu ameshaahidi dini yake itabaki kuwa ya mwanzo mpaka mwisho wa dunia
Huu ndio upinzani wa faida si maandamano
aya manish tu ya dunia tunapta cha msigi tuangalie tunapo ena tusitumie nguvu kumtesa mwenzak we unaejiona una nguv
Masauni Allah atakulipa ww na familia yako inshaAllah. Mtukufu ni Mungu tuna sio bunge au chengine chochote. LaanatuAllah LaanatuAllah laanatuAllah Masauni. Allah atakulipa na kizazi chako inshaAllah tuwe hai tukuone.
Waislaam takbiiiiir
Allahu akbar
Awahu akbaru
Allah yupo hana haraka sisi tupo tunasubiri majibu.
Mbona mwaposa mmemtoa au yeye ajafanya mazito mana kauwa hao mashekh hawajauwa
Ww mnafika
Subkhana Allah pesa niulevi pia
Allah atawaadhibu na kuwadhalilisha kama navyowafanyia masheh zetu
Allah atawaazibu inshaAllah
Istoria,yanch,yeti,inaonyesha,waisramndiyo,warioreta,Uhuru,ndio,maana,uamsho,awa,achiwi
Cku ya Qiyamah mambo yote yatawekwa wazi, mwenyezimungu ndio hakimu
Laana tu lahii na mungu awangamize wote mnao watesa mashekhe wetu mungu awape maradhi na awaue hata kwa ajali inshaalah
Ameen
Huna usafi wakumbendeza allah uwalan
Ikiwa ww una dhambi makosa unakosea watu pamoja na allah kikubwa tuombe salama na wapate hakizao niharamu kuukumu atakama mtu kakufanyia ubaya walakulani ihali na wew binadamu una upungufuwako katika jamii
Mnasema nini huko ni kutawaliwa
itaq Allah
اللهم غفر له ورحمه واسكنه فى الجنة
Imechukua muda na inauma sana
Mnawalundikia kesi feki
Mpaka lini ? Babu weye
Allah atawaona.mfumo kilisto
اللهم ثبته بالقول الثابت
Yana mwisho na tu
Toka miaka hiyo mpk leo hii huo uchunguzi haujafanyika tu sisi tunamshtakia Mungu
ila hatakama huna elimu inajionyesha tu ndio miaka zaidi ya miaka tisa
isn't true
Mungu anawaona😭
Zero
"hawatawaridhia mayahudi na manaswara mpaka mfuate Mila zao" tumekubali kuishi wnavyotaka wao. Muislam anmkaanga muislam mwenake,. Innalillah wainna illayhi rajiuun
umeshindwa kujibu swali arafu wewe naibu waziri ni muislam kesho utaenda kujibu je uliuteteaje uislam na waislam wenzako
Allah katuonya zamani kuhusu mayahudi na manaswara Leo ndio tumewafanya wezetu kuliko waislaam Allah atusamehe sote wailaamu na atuongoze ktk njia ilonyooka
iko siku mlango wanao ufungua watashindwa kuufunga.serikali ya tanzania na kenya na nyinginezo wana nyanyasa waislam
Money and power always make a person to be confident and say whatever they want to say without remembering that there's life beyond the grave!!!
Subhanallah
Mungu akulinde mbunge wasema kweli kama nyinyi wachache sana asa Africa siasa za ukandamizaji inaumiza sana wanayajua yote ila wanafumbia macho kwa ajili ya maslai yao
Sio kweli mwamba hakuna kizito watu wa madawa wanafanya mazito na hafungwi nnacho hapa kua wabongo hawatupendi sisi wa zanzibar toka baba yao nyerere alitamka wazi kwenye hutuba
Ipo siku mungu atawasimamia waja wake .kwani yeye ndo kila kitu
Mnajua mnawakosesha wananchi imani ya serikali
Kwakweli machozi yananitoka saana nisikiapo habari za masheikh wetu ilahiii Twakuomb fanya ufalme wako
Vijana waungane wawa kombowe basi kutoka kwenye dhulma hizo
mashaallah
huna haya ata kdg ni mwaka wa sita sasa watu wanashikiliwa ushahidi gani huo usiokamilika hamjui wanafamilia wale?
Haki hucherw kufk ila ipo karbn kufka
Wawahi imeniuma sana maswali na majibu tofauti
No matter what mh waziri,imekuwa muda mrefu Sasa jamani
mwenyezimungu ndiohakimuwahaki
Uchunguzi wa kina hauna muda?
kumbe uku bungeni kuna vituko sana
Huna akili wewe....
Mtwambie yatakamilika lini au mpakakiyama?
Hiyo mnafiki
Hiyo ndio awamu yatano dah!
??????
Fake ans!
Huna jibu ww mfyuuu huyu
Wallah thuma wallah mungu atakudhalilishen mnadhan kama mmefanikiwa kumbe mnatembea huku kuni ktk jahamu itakuwa viuongo vyenu na makufuli iko ciku atawachia nimuelewa sana huyu kiongoz wetu
huyu mbwa masahani sjui kaongea nn mjinga kabisa mnaafiki huyu
Back madrasa
Wacha ufisadi mda gani miaka 6utakwenda motoni milele weber
Omba wakutoe cheo hicho ni mtihani kwako utakufa na utazikwa watoto wakulilie kwa makosa ambayo yatakutia motoni kwa majibu yako
Bongo movie
Mbona hukujibu hoja ya msingi
waziri kumbuka kuna kesho
Hiyo ni oda maalum yakuwakamata mashekhe zetu sisi tutaendelea kupiga kelele hadi baas. Kwakuwa kunawatu ndani yaserikali wanauchukia Uislam kuliko mnavojua. Na chuki iliyoko ndani ya mioyo yao ni kubwa zaidi kuliko ile wanayidhihirsha.