Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Makocha Mecky Mexime na Fadlu Davids baada ya mechi
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- #NBCPL Kocha Mecky Mexime wa Dodoma Jiji analia na penati waliyopata Simba, huku Kocha Fadlu Davids wa Simba akieleza kuridhishwa na maendeleo ya timu yake..
FT: Dodoma Jiji 0-1 Simba SC
#NBCPremierLeague #NBCPL #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #DodomaJijiFC #SimbaSC #DodomaJijiSimbaSC
Amecheza rafu kubali kufungwa shida ulikamia
Alikamia kwasab ulitaka mpewe ushindi bure
Simba mbovu inabebwa
@@yahayaolomi1057😂😂😂😂😂
Tokea nikujue ni Mzee wa kulalamika
Wee nae acha uongo, huna uwezo bana kazi ya kuikamia simba ndo kazi yenu
It was a clear penalty
Penati ya wazi acha ujinga, usilakamike
Kaiangalie vizuri
Anaji contradict mwanzo kasema wamecheza vzr ila makosa kdg ndio yamesababisha penalty 😅 then anageuka 😆
Ujaona alafu unatoa mamuzi ww bwege au umetumwa ww
Asa hujaona alafu unasemaje sio penat
Wewe unajulikan yanga wlikuhidi mzigo umeukosa ndiyo maana unalalamika
Kocha sasa mngefunga goli nyinyi likataliwe ili ulalamike! Au mngeanguka kwenye box mnyimwe penalt….. ukiangalia unavyolalamika ni Kama mtu ambae hujawah kucheza mpira kabisa shame on you Mexime
Hivi CAF huwa hawafuatilii ligi yetu kwa upande wa waamuzi? Maana hii ni ligi ya timu mbili tu kubwa nchini Simba na Yanga,waamuzi wa ligi yetu ni mashabiki wa Simba na Yanga,ukiona mchezo wa Azam na Simba ndio utajua waamuzi wa Tanzania 🇹🇿 ni mavi ya kuku,hawana wanajua zaidi ya Simba na Yanga
Mbona huwa mkicheza na timu zingine huwa hamchezi vile alafu ujue umecheza na simba iliyokuwa na mechi ngumu mfulilizo kwahiyo walikua wako na uchovu bado
Laiti ile nguvu mngekua mnatumia kwenye timu nyengine msingekua hapo mlipo kila ikicheza simba ndo mnakamia mafala nyie😢
Mala oooh sijaona, mala kacheza mpira so which is which
😂😂😂
Cjaiona lakini nimeona,, nimeumiaa
Sio penalt tuwe wakweli
Na goli la ken gold halikua goli et
Malalamiko FC 😂😂😂
Sasa Mecky analalama utafikiria hakucheza mpira shida ni kuja na matokeo yako.
Ana haki. Kazulumiwa..
ACHA KAZI YA UKOCHAA.....INGIA UWE REFAA UONEE NAWEWE😂
Huyu mexime ndio maana Kila mwaka anafukuzwa ligi nzima unakamia mechi ya Simba tu.
Umbwa wewe KILA SIKU na Simba kulialia vp kwa yanga huwa unajichekeshachekesha... nyooooko zako ww
Ukifugwa unaweza rudisha alafu ukaongeza, hakuna kulalamika sana ndo maana wazungu wameweka VAR lakini bado shida ipo.
Nawewe omba vvr kamamwenzio ikiwailesiopenent ulitakaje
Kocha wa Dodoma awache kulalamikia maamuzi,kama anajua waliumudu mchezo mbona hakufunga? Asìtafute kichaka mtu wake kafanya kosa kaadhibiwa.Hii itawafanya wachezaji wajionye kufanya makosa kama hayo ndani ya eneo kama hilo.Wajue unapojilipua kucheza vile eneo hilo ukubaliane na maamuzi yatayotolewa na siyo kutegemea kulalamika.Pili kauli ya kocha ni ya ubaguzi.kocha wa kigeni hapo anakosa gani kwani ndiye alishika kipenga! Kama ana ubabavu apeleke kesi TFF au chama cha Waamuzi.Tatu akae akijua kuwa timu yake ni mbovu haina uwezo kuchukua point Simba
Mwache aseme ukweli marefa wanaharibu mpira sana
@@matrida.lunyilija5196ndo maana hata mashindano ya kimataifa hawaendi kuchezesha
😂😂😂😂 ubaya ubwela moto 🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤❤❤ na bado mtalia sana😭😭😭🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪❤️❤️
Sijaona ile,lakini kwa vile nilivyoona ,Hata kwajinsi ulivyoongea na kuchanganya maneno unaonekana kocha wa hovyo utadharaulika tuu.
Simba nyie fulahin but siku makosa hayo hayo mkifanyiwa nyie. Hamkawi kupelekama police au kususa. 😂😂🤫🤫
Wanahalibu soka letu hao marefa wa mchongo sijui wanasoma nn waludiswe shule
HAIWEZEKANI YANGA ALALAMIKE,AZAM ALALAMIKE NA DODOMA JIJI ALALAMIKE MAREFA KUIBEBA SIMBA TU
Kuna wakati ligi iliopita alifungwa na timu kubwa dar bao 3.alijibu swali la mwandishi huku anacheka tumefungwa na timu kubwa.leo anasema makosa ya kibinadamu kwakuwa amefungwa na ....!!!. Ahadi aikutekelezeka
Mexime acha usenge beki wako alivyoingia vile hata kama wewe ungekuwa refa ungefanyaje? Mbona umecheza mpira lakini unakuwa fara hivyo
Kumbe hata makocha hawajui sheria za penalty, mim nimeanza kufatilia mpira majuz tu hata sijui mim penalty au siyo
Sasa hujaiona afu unasema ulivoiona kama haikuwa penalt mbona hueleweki? Afu umemkazia simba wengine mbona unacheza kama mlevi
Mimi niliona siyo panert kwa sababu mchezaji ailianza kucheza mpira alafu ndo akagusa mpira hawa marefa wanahalibu mpira wa tanzania siyo vizuri
Usiongee kabla hujaona , unasema hujaona then unalalamika
kumbe mashabiki wa Simba nimaandanzi kachenza mpila mbona hamukumbuki ya inonga
Acha kulialia ovyo uliisha wahi kuifunga Simba? Ktk mazingila yako ya ukocha
Huyu kocha au mpenzi wa utopolo? Mmekosa pesa za ahadi mimi mwenyewe siyo kocha lakini ile penati dhahiri
Hakuna penalties pale simba kabebwa tena ingekuwa ulaya mchezaji wa simba a ngepewa kadi kwa kumdanganya mwamuzi
Sasa uyu Bwege anategemee atakuja kushinda vs Simba
Yani wekocha unachekesha tumufunge mwalabu wewe unapewa bahasha etiutufunge sisi yoyote aje mpaka kwamkono tutatia gori ubaya ubwela boss kaamua ogopa
HAWAA MAKOCHA WAWEWANAPEWA ADHABU MAANA NI CLEAR OFFSIDE HALAFU ANALALAMIKA KWANI SHERIA HAZIPOO
Unachokijua kila ukifungwa ni malalamiko tu hivi unauwezo wa kuwafunga simba? kwa kocha gani
Kocha wa hovyo huyu hakuna anacholalamikia hapa ni ujinga mtupu
Mzee wa bahasha umezoea kuikamia simba sababu ya bahasha tangu ukiwa Kagera lofa wewe umekosa hela mbwa wewe eti umeiona halafu hujaona lofa mkubwa wewe
Huyu kocha yuko fair sana leo kweli kaongea fact
Penalty ya alali kacheza miguu ya shabalala
Maxime hata uksjitetea utafukuzwa tu hapo
😂😂😂mzee ananchekesha sanaa mimi ata sielewi nini anaongea kwasababu anaongea vitu vinavyopingana kwa pamoja mtu unasema sijaona halafu unasema tena lakini kwa nilivyoona sasa swali linakuja umeona haujaona mbona hauelewek mzee au ni kiwewe cha kufungwaaa😂😂😂
we nn acha uyanga wako ww yatakushinda chizi ww
Na ndiyo maana hujakuwa refa kubali.
We meki usilalamikie kitu ambacho hujakiona utaonekana siyo mtu wa mpira. We unasema hujaona hasa unalalamika nini.? Mbona ile ni rafu kabisa we ulikuwa wapi jukwaani au kwenye touch line pale ebu tueleze bana meki
Sasa hujaona imekuaje unalalamika 😂😂😂
kalime kama unaona kufundisha ni ngumu
Mwandishi acha mtu afunguke
falaa ww hiyo n penat halali unakuwa kocha af hujui mpira
(sijaiona lakikini kwa nilivo onaa)😅😅😅
Umekamia kumfunga Simba unalalamika nn ww
Umefungwa mdomo umekuponza ww
Wambie hawo makolo walio zoweya kubwebabweba
Mara aseme makosa yakibinanadam
Duuuuuuuh huyu ni kocha au takataka
Simba bingwa 🏆🏆🦁💪💪💪💪🙏🙏
Tunapopewa kipaza sauti tujiandae cha kwenda kuongea kwa wapenzi wa kandanda.Sikuona alichozungumza kocha maxime kuhusu mchezo husika. HATA BAADA YA KULALAMIKIA PENALTY ALIPOAMBIWA AELEZE MCHEZO KWA UJUMLA ULIKUWAJE bado anatupa habari ya waamuzi.Tujifunze kwa makocha wengine na wafahamu kuwa waseme au wasiseme sisi watazamajj tunaona kila kitu. Tusubiri games nyingine
Maxme anawivu na makocha kutoka nje kuja kufundisha shida sio mchezo husika
Hujaona alaf umeona 😂😂😂😂
Malalamiko a k a mwanya FC 😂😂
Ile penat ya wazi kabisa
Akili huna umefungwa
Acha ujinga sasa ile nini?
Hujaona,umeona 😂😂😂😂
Haikuwa penati...
Mkamia maji hayanywi
Ukitazam vizur bek wa dodom alianz kuuchez mpila badae akagusa mguu ila mkumbuk mpila siyo mchez wa bao kwamb hamgusan kiufup tunaangaliy tukio la kwanz tukio la kwanz ni kuchez mpila kiufup simb Leo mkubal mmebebw
Kama nyie ambae mlipewa goli huko sokoine Tena Ile mechi mlipigwa moja,nyie hamkua na gori,madogo walifunga gor la halal akin mkabebwa.afu lenu la offside likawa gori,so unavyomnyoshe
inawezekana refa hakudhamiria kutoa penat kimakosa akiangalia marudio ndo atajuwa alikosea ..hy ndo inaitwa makosa ya kibinadam ..huwa yanaumiza timu zingine.👀😳
Muhimu point tatu sio sis wa kwanza kusemwa so kawaida
Malalamiko sana
Upo sahihiii mpira uliguswa marefa Wana maagizo ya tff
Mbona ulikaa kimya goli la Kengold la kusawazisha walilonyimwa lakini kwa wenzio unachonga
think before said
Povu lanini
Pala lile
Fala wwe
Penalty saf
We refa
Japo mimi ni simba ile haikuwa penati. Mguu ulitoa mpira ndipo Shabalala akajigonga kwenye mguu wa beki. Refa hakuona vizuri. Makosa ya kibinadamu.
Katika mpira hakuna kosa la kibinadamu.kosa ni kosa na ukikosea unaadhibiwa.
Bahati nzuri utabakia kuwa Simba na siyo mwamuzi. Kafie mbele huko
Mexime don't be resist speak football...
Defender amecheza hash tackle kwenye eneo hatari..
Ile hata katikati ya uwanja ingekuwa faul kwa sababu mlinzi kacheza mpira na mguu wa shabalala...
Faulo yoyote Ndani ya 18 ni pigo la penalty...
Sasa mambo ya sisi wenyeji na makocha wageni hizo ni lugha za kibaguzi...
Chemaloon alicheza tackle Kama hiyo dhidi ya Al ahaly tripoli kule libla.. refa hakuwapa penati alahal tripoli Kama huyu refa ya bongo... Ligi yetu imekuwa Sana. Ila marefa wanaiharibu sana
@@thadeylyimo9772 Maradona aliwahi kufunga goli la mkono likahesabiwa hiyo haijawahi kuhalalisha Magoli ya mikono kwenye football
KWA NINI SIMBA TUU???AU MAANA YA UBAYA UBWELA NI TIMU KUPEWA USHINDI KUPITIA MAREFA????