Dodoma Jiji 0-1 Simba SC | Makocha Mecky Mexime na Fadlu Davids baada ya mechi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • #NBCPL Kocha Mecky Mexime wa Dodoma Jiji analia na penati waliyopata Simba, huku Kocha Fadlu Davids wa Simba akieleza kuridhishwa na maendeleo ya timu yake..
    FT: Dodoma Jiji 0-1 Simba SC
    #NBCPremierLeague #NBCPL #LigiKuuYaNBC #SisiNiSoka #DodomaJijiFC #SimbaSC #DodomaJijiSimbaSC

Комментарии • 101

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 дня назад +12

    Amecheza rafu kubali kufungwa shida ulikamia

  • @Timoclement
    @Timoclement 2 дня назад +6

    Tokea nikujue ni Mzee wa kulalamika

  • @bonusdaniel714
    @bonusdaniel714 2 дня назад +4

    Wee nae acha uongo, huna uwezo bana kazi ya kuikamia simba ndo kazi yenu

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 День назад +3

    It was a clear penalty
    Penati ya wazi acha ujinga, usilakamike
    Kaiangalie vizuri

  • @julieeliah5511
    @julieeliah5511 День назад +2

    Anaji contradict mwanzo kasema wamecheza vzr ila makosa kdg ndio yamesababisha penalty 😅 then anageuka 😆

  • @SeifMboton-gi3vz
    @SeifMboton-gi3vz 2 дня назад +2

    Ujaona alafu unatoa mamuzi ww bwege au umetumwa ww

  • @RashidSudi-v5z
    @RashidSudi-v5z 2 дня назад +2

    Asa hujaona alafu unasemaje sio penat

  • @AminiAbdul-t9m
    @AminiAbdul-t9m День назад +1

    Wewe unajulikan yanga wlikuhidi mzigo umeukosa ndiyo maana unalalamika

  • @GODFREYMBOGE
    @GODFREYMBOGE День назад +1

    Kocha sasa mngefunga goli nyinyi likataliwe ili ulalamike! Au mngeanguka kwenye box mnyimwe penalt….. ukiangalia unavyolalamika ni Kama mtu ambae hujawah kucheza mpira kabisa shame on you Mexime

  • @tanzanitetv
    @tanzanitetv День назад

    Hivi CAF huwa hawafuatilii ligi yetu kwa upande wa waamuzi? Maana hii ni ligi ya timu mbili tu kubwa nchini Simba na Yanga,waamuzi wa ligi yetu ni mashabiki wa Simba na Yanga,ukiona mchezo wa Azam na Simba ndio utajua waamuzi wa Tanzania 🇹🇿 ni mavi ya kuku,hawana wanajua zaidi ya Simba na Yanga

  • @godfreyapolnary5856
    @godfreyapolnary5856 День назад +1

    Mbona huwa mkicheza na timu zingine huwa hamchezi vile alafu ujue umecheza na simba iliyokuwa na mechi ngumu mfulilizo kwahiyo walikua wako na uchovu bado

  • @Dully_star
    @Dully_star День назад +1

    Laiti ile nguvu mngekua mnatumia kwenye timu nyengine msingekua hapo mlipo kila ikicheza simba ndo mnakamia mafala nyie😢

  • @bonusdaniel714
    @bonusdaniel714 2 дня назад +2

    Mala oooh sijaona, mala kacheza mpira so which is which

  • @KevinPhilberth
    @KevinPhilberth День назад +1

    Cjaiona lakini nimeona,, nimeumiaa

  • @deograsiassteven9262
    @deograsiassteven9262 День назад +2

    Sio penalt tuwe wakweli

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa День назад +1

    Malalamiko FC 😂😂😂

  • @jitihadaharuna9448
    @jitihadaharuna9448 День назад +1

    Sasa Mecky analalama utafikiria hakucheza mpira shida ni kuja na matokeo yako.

  • @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT
    @BaANGLE-AUSTINE-VERO-JOSEPHAT День назад +1

    ACHA KAZI YA UKOCHAA.....INGIA UWE REFAA UONEE NAWEWE😂

    • @RashidiMwiga
      @RashidiMwiga День назад

      Huyu mexime ndio maana Kila mwaka anafukuzwa ligi nzima unakamia mechi ya Simba tu.

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 День назад

    Umbwa wewe KILA SIKU na Simba kulialia vp kwa yanga huwa unajichekeshachekesha... nyooooko zako ww

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi142 10 часов назад

    Ukifugwa unaweza rudisha alafu ukaongeza, hakuna kulalamika sana ndo maana wazungu wameweka VAR lakini bado shida ipo.

  • @SilemaniAli
    @SilemaniAli День назад

    Nawewe omba vvr kamamwenzio ikiwailesiopenent ulitakaje

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 День назад +1

    Kocha wa Dodoma awache kulalamikia maamuzi,kama anajua waliumudu mchezo mbona hakufunga? Asìtafute kichaka mtu wake kafanya kosa kaadhibiwa.Hii itawafanya wachezaji wajionye kufanya makosa kama hayo ndani ya eneo kama hilo.Wajue unapojilipua kucheza vile eneo hilo ukubaliane na maamuzi yatayotolewa na siyo kutegemea kulalamika.Pili kauli ya kocha ni ya ubaguzi.kocha wa kigeni hapo anakosa gani kwani ndiye alishika kipenga! Kama ana ubabavu apeleke kesi TFF au chama cha Waamuzi.Tatu akae akijua kuwa timu yake ni mbovu haina uwezo kuchukua point Simba

    • @matrida.lunyilija5196
      @matrida.lunyilija5196 День назад +1

      Mwache aseme ukweli marefa wanaharibu mpira sana

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 День назад

      ​@@matrida.lunyilija5196ndo maana hata mashindano ya kimataifa hawaendi kuchezesha

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani День назад

    😂😂😂😂 ubaya ubwela moto 🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤❤❤ na bado mtalia sana😭😭😭🤣🤣🤣🤣🦁🦁🦁🦁🦁💪💪💪💪❤️❤️

  • @AdamChambo-mf4ek
    @AdamChambo-mf4ek 18 часов назад

    Sijaona ile,lakini kwa vile nilivyoona ,Hata kwajinsi ulivyoongea na kuchanganya maneno unaonekana kocha wa hovyo utadharaulika tuu.

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 День назад

    Simba nyie fulahin but siku makosa hayo hayo mkifanyiwa nyie. Hamkawi kupelekama police au kususa. 😂😂🤫🤫

  • @alexwizeboy2251
    @alexwizeboy2251 День назад

    Wanahalibu soka letu hao marefa wa mchongo sijui wanasoma nn waludiswe shule

  • @LinusKyando
    @LinusKyando День назад

    HAIWEZEKANI YANGA ALALAMIKE,AZAM ALALAMIKE NA DODOMA JIJI ALALAMIKE MAREFA KUIBEBA SIMBA TU

  • @DeoMkali
    @DeoMkali День назад

    Kuna wakati ligi iliopita alifungwa na timu kubwa dar bao 3.alijibu swali la mwandishi huku anacheka tumefungwa na timu kubwa.leo anasema makosa ya kibinadamu kwakuwa amefungwa na ....!!!. Ahadi aikutekelezeka

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga День назад

    Mexime acha usenge beki wako alivyoingia vile hata kama wewe ungekuwa refa ungefanyaje? Mbona umecheza mpira lakini unakuwa fara hivyo

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu День назад

    Kumbe hata makocha hawajui sheria za penalty, mim nimeanza kufatilia mpira majuz tu hata sijui mim penalty au siyo

  • @EssauRudibuka-t6q
    @EssauRudibuka-t6q День назад

    Sasa hujaiona afu unasema ulivoiona kama haikuwa penalt mbona hueleweki? Afu umemkazia simba wengine mbona unacheza kama mlevi

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian День назад

    Mimi niliona siyo panert kwa sababu mchezaji ailianza kucheza mpira alafu ndo akagusa mpira hawa marefa wanahalibu mpira wa tanzania siyo vizuri

  • @AdrusHassan-c5m
    @AdrusHassan-c5m День назад

    Usiongee kabla hujaona , unasema hujaona then unalalamika

  • @MinihajiMusa
    @MinihajiMusa День назад

    kumbe mashabiki wa Simba nimaandanzi kachenza mpila mbona hamukumbuki ya inonga

  • @NkeshaChabhilonda
    @NkeshaChabhilonda День назад

    Acha kulialia ovyo uliisha wahi kuifunga Simba? Ktk mazingila yako ya ukocha

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 День назад

    Huyu kocha au mpenzi wa utopolo? Mmekosa pesa za ahadi mimi mwenyewe siyo kocha lakini ile penati dhahiri

  • @William-c7e
    @William-c7e День назад

    Hakuna penalties pale simba kabebwa tena ingekuwa ulaya mchezaji wa simba a ngepewa kadi kwa kumdanganya mwamuzi

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 День назад

    Sasa uyu Bwege anategemee atakuja kushinda vs Simba

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko День назад

    Yani wekocha unachekesha tumufunge mwalabu wewe unapewa bahasha etiutufunge sisi yoyote aje mpaka kwamkono tutatia gori ubaya ubwela boss kaamua ogopa

  • @franccoz94
    @franccoz94 День назад

    HAWAA MAKOCHA WAWEWANAPEWA ADHABU MAANA NI CLEAR OFFSIDE HALAFU ANALALAMIKA KWANI SHERIA HAZIPOO

  • @bakarisaid2023
    @bakarisaid2023 День назад

    Unachokijua kila ukifungwa ni malalamiko tu hivi unauwezo wa kuwafunga simba? kwa kocha gani

  • @FadhiliTambale
    @FadhiliTambale День назад

    Kocha wa hovyo huyu hakuna anacholalamikia hapa ni ujinga mtupu

  • @tumlashaibu
    @tumlashaibu День назад

    Mzee wa bahasha umezoea kuikamia simba sababu ya bahasha tangu ukiwa Kagera lofa wewe umekosa hela mbwa wewe eti umeiona halafu hujaona lofa mkubwa wewe

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 День назад

    Huyu kocha yuko fair sana leo kweli kaongea fact

  • @nauwarykabuma3793
    @nauwarykabuma3793 День назад

    Penalty ya alali kacheza miguu ya shabalala

  • @NassibAbdalla
    @NassibAbdalla День назад

    Maxime hata uksjitetea utafukuzwa tu hapo

  • @hatibunurdini1062
    @hatibunurdini1062 День назад

    😂😂😂mzee ananchekesha sanaa mimi ata sielewi nini anaongea kwasababu anaongea vitu vinavyopingana kwa pamoja mtu unasema sijaona halafu unasema tena lakini kwa nilivyoona sasa swali linakuja umeona haujaona mbona hauelewek mzee au ni kiwewe cha kufungwaaa😂😂😂

  • @kisomwando
    @kisomwando День назад

    we nn acha uyanga wako ww yatakushinda chizi ww

  • @JumaSaideAbdala-b4k
    @JumaSaideAbdala-b4k День назад

    Na ndiyo maana hujakuwa refa kubali.

  • @bonifacelugo2941
    @bonifacelugo2941 День назад

    We meki usilalamikie kitu ambacho hujakiona utaonekana siyo mtu wa mpira. We unasema hujaona hasa unalalamika nini.? Mbona ile ni rafu kabisa we ulikuwa wapi jukwaani au kwenye touch line pale ebu tueleze bana meki

  • @frankthomasthomasramso-pg3ow
    @frankthomasthomasramso-pg3ow День назад

    Sasa hujaona imekuaje unalalamika 😂😂😂

  • @shinestudiotz3221
    @shinestudiotz3221 День назад

    kalime kama unaona kufundisha ni ngumu

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg День назад

    Mwandishi acha mtu afunguke

  • @ClementDeus
    @ClementDeus День назад

    falaa ww hiyo n penat halali unakuwa kocha af hujui mpira

  • @baracknyerembe2192
    @baracknyerembe2192 День назад

    (sijaiona lakikini kwa nilivo onaa)😅😅😅

  • @RashidOmary-bd5oz
    @RashidOmary-bd5oz День назад

    Umekamia kumfunga Simba unalalamika nn ww

  • @HusnatShabani
    @HusnatShabani День назад

    Umefungwa mdomo umekuponza ww

  • @RajabuHasan-w8w
    @RajabuHasan-w8w 2 дня назад

    Wambie hawo makolo walio zoweya kubwebabweba

  • @suzanasimonqwarsan
    @suzanasimonqwarsan День назад

    Mara aseme makosa yakibinanadam

  • @MaguguStore
    @MaguguStore День назад

    Duuuuuuuh huyu ni kocha au takataka

  • @SamsonSimba-k4l
    @SamsonSimba-k4l День назад

    Simba bingwa 🏆🏆🦁💪💪💪💪🙏🙏

  • @rashidmaulid7312
    @rashidmaulid7312 День назад

    Tunapopewa kipaza sauti tujiandae cha kwenda kuongea kwa wapenzi wa kandanda.Sikuona alichozungumza kocha maxime kuhusu mchezo husika. HATA BAADA YA KULALAMIKIA PENALTY ALIPOAMBIWA AELEZE MCHEZO KWA UJUMLA ULIKUWAJE bado anatupa habari ya waamuzi.Tujifunze kwa makocha wengine na wafahamu kuwa waseme au wasiseme sisi watazamajj tunaona kila kitu. Tusubiri games nyingine

    • @nshaijatedy5512
      @nshaijatedy5512 День назад

      Maxme anawivu na makocha kutoka nje kuja kufundisha shida sio mchezo husika

  • @OfficialAbedjr
    @OfficialAbedjr День назад

    Hujaona alaf umeona 😂😂😂😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa День назад

    Malalamiko a k a mwanya FC 😂😂

  • @AbdusidMohammed-hi5ib
    @AbdusidMohammed-hi5ib День назад

    Ile penat ya wazi kabisa

  • @suzanasimonqwarsan
    @suzanasimonqwarsan День назад

    Akili huna umefungwa

  • @godfreychialo7679
    @godfreychialo7679 День назад

    Acha ujinga sasa ile nini?

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 День назад

    Hujaona,umeona 😂😂😂😂

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod День назад

    Haikuwa penati...

  • @alisuleiman9627
    @alisuleiman9627 День назад

    Mkamia maji hayanywi

  • @HatibuMbaramwezi
    @HatibuMbaramwezi День назад

    Ukitazam vizur bek wa dodom alianz kuuchez mpila badae akagusa mguu ila mkumbuk mpila siyo mchez wa bao kwamb hamgusan kiufup tunaangaliy tukio la kwanz tukio la kwanz ni kuchez mpila kiufup simb Leo mkubal mmebebw

    • @NazarethNyagawa
      @NazarethNyagawa День назад

      Kama nyie ambae mlipewa goli huko sokoine Tena Ile mechi mlipigwa moja,nyie hamkua na gori,madogo walifunga gor la halal akin mkabebwa.afu lenu la offside likawa gori,so unavyomnyoshe

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 День назад

    inawezekana refa hakudhamiria kutoa penat kimakosa akiangalia marudio ndo atajuwa alikosea ..hy ndo inaitwa makosa ya kibinadam ..huwa yanaumiza timu zingine.👀😳

  • @MaguguStore
    @MaguguStore День назад

    Malalamiko sana

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg День назад

    Upo sahihiii mpira uliguswa marefa Wana maagizo ya tff

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 День назад

      Mbona ulikaa kimya goli la Kengold la kusawazisha walilonyimwa lakini kwa wenzio unachonga

  • @GodfreyMhando-gn7ok
    @GodfreyMhando-gn7ok День назад

    think before said

  • @ChikupeJamila
    @ChikupeJamila День назад

    Povu lanini

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 11 часов назад

    Pala lile

  • @DanieliDgani
    @DanieliDgani День назад

    Fala wwe

  • @MohammadMohammad-n2q
    @MohammadMohammad-n2q День назад

    Penalty saf

  • @NkeshaChabhilonda
    @NkeshaChabhilonda День назад

    We refa

  • @humphreymwihambi4330
    @humphreymwihambi4330 День назад

    Japo mimi ni simba ile haikuwa penati. Mguu ulitoa mpira ndipo Shabalala akajigonga kwenye mguu wa beki. Refa hakuona vizuri. Makosa ya kibinadamu.

    • @revocatusmalimi4525
      @revocatusmalimi4525 День назад

      Katika mpira hakuna kosa la kibinadamu.kosa ni kosa na ukikosea unaadhibiwa.

    • @johnlusingu3491
      @johnlusingu3491 День назад

      Bahati nzuri utabakia kuwa Simba na siyo mwamuzi. Kafie mbele huko

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 16 часов назад

    Mexime don't be resist speak football...
    Defender amecheza hash tackle kwenye eneo hatari..
    Ile hata katikati ya uwanja ingekuwa faul kwa sababu mlinzi kacheza mpira na mguu wa shabalala...
    Faulo yoyote Ndani ya 18 ni pigo la penalty...
    Sasa mambo ya sisi wenyeji na makocha wageni hizo ni lugha za kibaguzi...

    • @thadeylyimo9772
      @thadeylyimo9772 7 часов назад

      Chemaloon alicheza tackle Kama hiyo dhidi ya Al ahaly tripoli kule libla.. refa hakuwapa penati alahal tripoli Kama huyu refa ya bongo... Ligi yetu imekuwa Sana. Ila marefa wanaiharibu sana

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 3 часа назад

      @@thadeylyimo9772 Maradona aliwahi kufunga goli la mkono likahesabiwa hiyo haijawahi kuhalalisha Magoli ya mikono kwenye football

  • @LinusKyando
    @LinusKyando День назад +1

    KWA NINI SIMBA TUU???AU MAANA YA UBAYA UBWELA NI TIMU KUPEWA USHINDI KUPITIA MAREFA????