PETE YA AJABU EPISODE 06 💞 Full Movie || New Bongo Movie 2024 || Swahili Movie || Love

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 окт 2024

Комментарии • 111

  • @TumukundeJeans-jh8nl
    @TumukundeJeans-jh8nl 14 дней назад +2

    Frank anacheza vizuri sana kbc

  • @عليعلي-خ2م9د
    @عليعلي-خ2م9د Месяц назад +9

    Sjaielewa kabisa hii

  • @Arafa-dt9sh
    @Arafa-dt9sh Месяц назад +7

    Bwege weee nasra naa naa umeula na chuwa kwa uvivu wa kuchagua umemfukuza mwanao kula chuma hichooo 😊😊😊😊

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Месяц назад +18

    Baba eva hizo zote ni laana za kimfukuza mtoto wako,,,,,na kingine nyie watu mnachelewesha sana,,, halafu episode iliyoisha mlionyesha eva akimtoroka Frank, imekuwaje leo mmeonyesha tena wako wote na wanalala mtaani na wakapoteana??? Njoo mnieleweshe

    • @Nuraida-r8x
      @Nuraida-r8x Месяц назад +2

      Hata mie nashangaa hebu tuelewesheni, mbona haieleweki

    • @evansmageto
      @evansmageto Месяц назад +2

      Kipi kilijiri baada ya Eva kumtoroka kakake watujuze

    • @JaneJane-h2i
      @JaneJane-h2i Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @carolyneogutu6489
      @carolyneogutu6489 Месяц назад

      Exactly 😩 hata mimi sielewi😳😳

  • @FarhiyaBona-z4r
    @FarhiyaBona-z4r Месяц назад +4

    Ktk sehemu iliyopita tuliishia Eva anamtoroka kakaake,huku mumatuonyesha wako wote!!!!!! Cjaelewaaaaa😂😂😂😂

  • @HappinessSalali
    @HappinessSalali Месяц назад +10

    Namba 5 leo ingawa cjawai sana❤❤

  • @RethKonzo
    @RethKonzo Месяц назад +9

    Namba 2 leo❤❤❤❤❤❤

  • @GloriahMwende-tl9qu
    @GloriahMwende-tl9qu Месяц назад +11

    Nimekuwa wa pili jamani nipewe maua yangu🎉

  • @MageSamwel-bp6od
    @MageSamwel-bp6od Месяц назад +4

    Pole sana eva

  • @OmaryRMfuko
    @OmaryRMfuko Месяц назад +25

    Tatizo lenu dk10 mtu anatembea au kukandwa maji mnapoteza muda kwa vitu havina msingi mpaka leo masaa 6 lakini cha maana hakuna

    • @shahrayn93
      @shahrayn93 Месяц назад +2

      Kweli kabisa dakika3 wanatuonesha nyumba2,,ila hawaezi rekebisha coz inakaa niyazamani sna wanairudia2 kuirusha... movie nzuri bt wanaikosesha mark's...

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 Месяц назад

      ɴᴀsɪᴍᴛᴏᴡᴇ ᴢᴇɴᴜ ᴊᴍɴ ᴍᴀᴀɴᴀ ᴍɴᴀᴊᴜᴡᴀ xɴᴀ ᴋᴜᴏɴɢᴇᴀ ɪʟᴀ ᴋᴜᴛᴏᴡᴀ ᴍᴏᴠɪᴇ ᴀᴀᴀʜ 😅😅😅😅ᴏᴠʏᴏᴏᴏ ᴀᴄʜᴇɴɪ ᴋᴜʟᴇᴛᴀ ᴍᴀᴋᴀsɪʀɪᴋᴏ ʜᴋᴜ😮😮

    • @سيييققق
      @سيييققق Месяц назад

      Wamewka watu ambao hawana silazima wakuwepo ndio wameharibu hii movie hata sioni la maana toka mwanzo mimi,,, na hili jina la hii movie ata haiendani kabisa😮😮

    • @Dorcas-f4w
      @Dorcas-f4w Месяц назад

      Majumba tu

    • @priscahmahenzo642
      @priscahmahenzo642 Месяц назад

      @@سيييققق ᴛᴇɴɢᴇᴢᴀ ʏᴋᴏ xxᴀ ɴᴡᴇ ᴛᴜᴋᴜᴛᴏᴡᴇ ᴋᴀsᴏʀᴏ

  • @Luckness-u1n
    @Luckness-u1n Месяц назад +2

    Baba eva koma

  • @Luckness-u1n
    @Luckness-u1n Месяц назад +2

    Eva pol sana

  • @lamekiPeter
    @lamekiPeter 11 дней назад

    Frenk we zombiiiii😮😮😮😮😮😮

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Месяц назад +3

    Niliwamiss san hawa w2 pongez san kwa wahuska wote❤❤❤❤❤

  • @JosephKibi
    @JosephKibi Месяц назад +5

    Kazi njema 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @RosenafulaNyongesa-me6xy
    @RosenafulaNyongesa-me6xy Месяц назад +4

    Ahh leo sijpenda hii mijengo tupu

  • @Daviswasike
    @Daviswasike Месяц назад +4

    Nlikua nmengoja sana

  • @GeofreyJaruo
    @GeofreyJaruo Месяц назад +2

    Mnazingua hiyo Pete mbna hatuioni lakn pia mbna movie imekosa mwendelezo mzuri

  • @FarhiyaBona-z4r
    @FarhiyaBona-z4r Месяц назад +2

    Na Pete yenyew mbn haionekaniiii

  • @ajesterkalulu7927
    @ajesterkalulu7927 Месяц назад +5

    Ya leo sijaelewa chochote zaidi ya majengo kuzungushwa😢

    • @esterkimalio8846
      @esterkimalio8846 Месяц назад

      Yaani mm hata sijaelewa hata kidogo,,,,eva anaishi kwa mwingine,,,halafu kuna mwingine anakurupuka kwa mkewe kwenda kumtafuta eva

  • @MirriamWanjala-h2r
    @MirriamWanjala-h2r Месяц назад +5

    Mbona mnaruka maneno nani aliwaja mwengine

  • @AbdulisaBongole
    @AbdulisaBongole Месяц назад +1

    Mna zidisha mziki sana

  • @TumainEmmnuel-fs3tm
    @TumainEmmnuel-fs3tm Месяц назад +5

    Kwa mara ya kwanza leo nimewah

  • @DOREENNKIROTE-gc7cf
    @DOREENNKIROTE-gc7cf Месяц назад +3

    Alafu huyu baba Eva 😅anakaaje kingwedu ? Nipeni likes zangu toka kenya jamani

    • @Saidahkims
      @Saidahkims Месяц назад

      Nikama ni siblings 😂

  • @Abdykimu
    @Abdykimu Месяц назад +2

    Sijawahi kuangalia movie ambayo kelvin yupo inayo chosha kama hii mtu anatembea dakika 10 na hakuna kuchanganya vipande duuh

  • @Mercy-uo1oq
    @Mercy-uo1oq Месяц назад +5

    Kwani munatufundicha au munataka tuchaguwe fashoon mpya za nyumba😮😮😮😮😮😮😮

    • @JumahEvans
      @JumahEvans Месяц назад

      Imgn mda mwingi wanapotezea kwa majumba, camera man plz cheza kiwewe bana😅

    • @finegatwiri2597
      @finegatwiri2597 Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂acha wamenge kuingia ni kasi sio mtumba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @kipsangken5570
      @kipsangken5570 Месяц назад

      You better take a video of 30 minutes with content but taking a video of 1hrs with nothing

  • @LatifaAlly-xu8ng
    @LatifaAlly-xu8ng Месяц назад +1

    Ni mm ndio sielew au na nyinyi wenzangu huy Eva sialiondoka kwa frenk sas vip asema kapotezan na kak yake baada yakufukuzwa mm sielew jamni

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i Месяц назад +1

    Nahis James ni mtu WA wanawake😂😂😂😂

  • @suzanlucas9493
    @suzanlucas9493 Месяц назад +1

    Mnatuonesha kitendo cha msamfupi mnaonesha mda mrefu sana, inachosha japo movie ni nzr

  • @MauaroseMauarose
    @MauaroseMauarose Месяц назад +1

    Hii epsd hapana ayse duh tumefaidi tu majengo awamu hii kuonyeshewa

  • @mrmganda3695
    @mrmganda3695 Месяц назад +1

    Hii movie ilianza vzr ila mnariharibia kabisa, uyu dada alionekana kuondoka amebeba na bag, lkn hamna muunganiko wowote wa uyu dada kulalamika njaa pls weken mambo sawa

  • @puritymulwa7504
    @puritymulwa7504 Месяц назад +1

    Jameni hii movie ya Leo inaboe sana mnapoteza mfa mwingi mkituonyesha manyumba ebu mjaribu kerekebisha haki

  • @FadhilaElisha-t4k
    @FadhilaElisha-t4k Месяц назад +1

    Duuuuh jmn Eva anachoka nakutembea duuuuh

  • @NahashonMwangi-d2e
    @NahashonMwangi-d2e Месяц назад +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @YahiaAbduli
    @YahiaAbduli Месяц назад +1

    Mbona hii mov ilianza ikiwa poa imeanza kuharibika

  • @maisalakahamba3984
    @maisalakahamba3984 Месяц назад +1

    Makorokoro yasiyonasababu yamekuwa mengi na yametapakaa mwanzo hadi mwisho

  • @kipsangken5570
    @kipsangken5570 Месяц назад +1

    Episode 1,2 and some part of episode 3 was good but from 4&5 inaboo

  • @Saidahkims
    @Saidahkims Месяц назад +1

    Kama ivi ndio mtapeleka movie tatai ona kelvin akirudi kweli toka masomoni

  • @Saidahkims
    @Saidahkims Месяц назад +1

    Mmeanza kubore aki

  • @veronicahkanini201
    @veronicahkanini201 Месяц назад

    Leo mwazingua kweli mziki na mijengo tupu

  • @RemtahNanzala-k3k
    @RemtahNanzala-k3k Месяц назад +1

    Mungu leta pete ya ajabu haraka eve na frank wawaje kuhangaika hivi,,,maneno nawe ndio ulileta maneno kwa ushauri wako mbaya uliyo mpa nasra,,,,james wewe naye kila mahali weae ni msaliti!

  • @Arafa-dt9sh
    @Arafa-dt9sh Месяц назад +1

    Hilo limziki msiliweke sana jamani pia maongezi yasokua na mpango punguzeni

  • @RodahKeruboMwaura
    @RodahKeruboMwaura Месяц назад +1

    Mnatuchaganya ila sawa hata hatujui vile frank alipona na eva alikuwa anaondoka n bengi

  • @IreenGidion
    @IreenGidion Месяц назад +2

    Episode hii mmetuweza

  • @Emily-zr3nl
    @Emily-zr3nl Месяц назад +2

    Baba Eva kula chuma hzo dhambi z kumfukuza mtoto wko nymbn zinakurudia mwnywe ss

  • @LisiaMwazembe
    @LisiaMwazembe Месяц назад +1

    Jaman mumefanya nin ten mbn mumetuacha njia panda

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama Месяц назад +1

    Jamani kunavitu munatumia muda mulefu bila kuona kitu chochote

  • @Mercy-uo1oq
    @Mercy-uo1oq Месяц назад +1

    Dakika nyingi munatuonyecha majumba muda wakucheza dk chache kwanini

  • @mirajinabaswa2492
    @mirajinabaswa2492 Месяц назад

    Daaaaah mbona kwa Giza Mara kwa mara

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 Месяц назад

    Nice❤❤❤❤

  • @GracewilisonGrace2000-e7n
    @GracewilisonGrace2000-e7n Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @IreenGidion
    @IreenGidion Месяц назад +2

    Mme chemsha

  • @JeannetteNizigama-ct5ty
    @JeannetteNizigama-ct5ty Месяц назад +1

    Leo sitambuwe kitu😢😢😢

  • @SarahMuhonja-r4x
    @SarahMuhonja-r4x Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Viviankemunto-p4k
    @Viviankemunto-p4k Месяц назад +1

    Hii movie imeanza kuboo mnatumia mda mwingi kwa kitu kimoja

  • @Jamesamani-wc6hl
    @Jamesamani-wc6hl Месяц назад +1

    ✌️✌️

  • @TwaibaAllysaidi
    @TwaibaAllysaidi Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Clara-r2w
    @Clara-r2w Месяц назад

    Mnatumalizia bando kwa kutuonyesha majengo tu jamani kha

  • @mrmganda3695
    @mrmganda3695 Месяц назад

    Hivi vipande vingetengenezwa vzr n dakika 25 tu au 30, mmeirefusha Sana bila sababu inaumiza Sana kichwa ad kuacha kuiangalia

  • @RamadhaniIssah-v1u
    @RamadhaniIssah-v1u 13 дней назад

    Jaman mmefany nin mnatuach njia panda

  • @PaulMwenda-w9v
    @PaulMwenda-w9v Месяц назад +1

    Namba 4 jaman naombeni ata kdg

  • @KAZIKIJA
    @KAZIKIJA 12 дней назад

    Punguzeni kuonesha majengo bana

  • @MarthaAlly-y7s
    @MarthaAlly-y7s Месяц назад

    Kevin hapa unazingua Kwa nn mnapoteza muda sehemu moja mtu ameshaona alichokifata hakipo siaondoke Kwa nn anakaa dakika kumi mzima ndo kulefusha move hapana unazingua hapo

  • @PhaniceAluso
    @PhaniceAluso Месяц назад

    Leo kipindi kijanimba sana

  • @Ased-qy7sh
    @Ased-qy7sh Месяц назад

    Kweny hiki kipande mmechemsha kwa kweli

  • @HasalponeDan
    @HasalponeDan Месяц назад

    Nimejoka kuona manyumba.tu😮😮

  • @maisalakahamba3984
    @maisalakahamba3984 Месяц назад

    Leo mumekwama wapendwa

  • @AntonyMaziku
    @AntonyMaziku Месяц назад

    Munatebeada kikanyigi muno hakunachamana puguza dakika zakutebea

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama Месяц назад +1

    Mauwa.malinki hamuna mamyumba nayoo

  • @halima2382
    @halima2382 Месяц назад

    Mm ht sijaelewa chochote hapa zaidi ni nyumba tu aki

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama Месяц назад +1

    Duuu munatumia muda mulefu gutembea

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama Месяц назад

    Nikweri munatumia muda mulefu kuwa mutu akiwa anatembea

  • @IreenGidion
    @IreenGidion Месяц назад

    Mnaharibu mvi xxa

  • @MillicentSanta-k6j
    @MillicentSanta-k6j Месяц назад

    Picha zuri ila mwaliharibu na kutuonyesha majumba ndio yanachukua dakika nyingi kuliko tukio😢

  • @preyzoohpesa
    @preyzoohpesa Месяц назад

    Mbn hzo tena mwaboesha mbya ama sifa zimeanza kuwanoga

  • @LindaNafula-kx9bo
    @LindaNafula-kx9bo Месяц назад

    Kwani nyumba ya frank ilifanywaje

  • @Fatuma-u8d
    @Fatuma-u8d Месяц назад

    Mshaanza kutukoroga mbona ata haileweki

  • @ZuhuraAthumani-s4i
    @ZuhuraAthumani-s4i Месяц назад

    Maneno safsana

  • @johnmathews9791
    @johnmathews9791 16 дней назад

    Hii movie mmepwaza!Haileweki mara frank kafa mara Binti kamtoroka frank mara anaonekana anamtafuta Tena frank inachosha Haileweki Imekaaje!??? 😂😂

  • @MashB-n5i
    @MashB-n5i Месяц назад

    Mbona mnaftuchanganya ssa c mlionesha Eva aktoroka sa hivi imkuaje?

  • @Ased-qy7sh
    @Ased-qy7sh Месяц назад

    Alie edit hichi kipande msimpe ten aedit

  • @AsifiweImani
    @AsifiweImani 8 дней назад

    Naye nii dawa njozimetumana tu

  • @AsifiweImani
    @AsifiweImani 8 дней назад

    Ss mbona pete hkn

  • @MauwaAuwa1991
    @MauwaAuwa1991 Месяц назад

    Mwaboesha sasa majuba dakika kumi za nn

  • @PeninaMunuo-p3b
    @PeninaMunuo-p3b 25 дней назад

    mbona kama sielewi

  • @Emily-zr3nl
    @Emily-zr3nl Месяц назад

    Na mbn munachukua mda mwingi kuzungusha camera juu hki kulko kuanyesha matukio

  • @AlinaNizigama
    @AlinaNizigama Месяц назад

    Munakuwa munatuomyesha njisi muji ilivyo jerwa

  • @maisalakahamba3984
    @maisalakahamba3984 Месяц назад

    So next episode try to avoid them

  • @Queen-hm1bh
    @Queen-hm1bh Месяц назад

    Lakini mbona leo sijawaelewa jamani ama hii ni ingine🤔

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤ᴍᴏʙ ʟᴏᴠᴇ🎉🎉🎉

  • @naumimwithi
    @naumimwithi Месяц назад

    Boring 😢

  • @JeanNiyompano
    @JeanNiyompano Месяц назад

    ❤❤❤❤❤