Baba eva hizo zote ni laana za kimfukuza mtoto wako,,,,,na kingine nyie watu mnachelewesha sana,,, halafu episode iliyoisha mlionyesha eva akimtoroka Frank, imekuwaje leo mmeonyesha tena wako wote na wanalala mtaani na wakapoteana??? Njoo mnieleweshe
Wamewka watu ambao hawana silazima wakuwepo ndio wameharibu hii movie hata sioni la maana toka mwanzo mimi,,, na hili jina la hii movie ata haiendani kabisa😮😮
Hii movie ilianza vzr ila mnariharibia kabisa, uyu dada alionekana kuondoka amebeba na bag, lkn hamna muunganiko wowote wa uyu dada kulalamika njaa pls weken mambo sawa
Mungu leta pete ya ajabu haraka eve na frank wawaje kuhangaika hivi,,,maneno nawe ndio ulileta maneno kwa ushauri wako mbaya uliyo mpa nasra,,,,james wewe naye kila mahali weae ni msaliti!
Kevin hapa unazingua Kwa nn mnapoteza muda sehemu moja mtu ameshaona alichokifata hakipo siaondoke Kwa nn anakaa dakika kumi mzima ndo kulefusha move hapana unazingua hapo
Frank anacheza vizuri sana kbc
Sjaielewa kabisa hii
Bwege weee nasra naa naa umeula na chuwa kwa uvivu wa kuchagua umemfukuza mwanao kula chuma hichooo 😊😊😊😊
Baba eva hizo zote ni laana za kimfukuza mtoto wako,,,,,na kingine nyie watu mnachelewesha sana,,, halafu episode iliyoisha mlionyesha eva akimtoroka Frank, imekuwaje leo mmeonyesha tena wako wote na wanalala mtaani na wakapoteana??? Njoo mnieleweshe
Hata mie nashangaa hebu tuelewesheni, mbona haieleweki
Kipi kilijiri baada ya Eva kumtoroka kakake watujuze
😂😂😂😂😂😂
Exactly 😩 hata mimi sielewi😳😳
Ktk sehemu iliyopita tuliishia Eva anamtoroka kakaake,huku mumatuonyesha wako wote!!!!!! Cjaelewaaaaa😂😂😂😂
Namba 5 leo ingawa cjawai sana❤❤
Namba 2 leo❤❤❤❤❤❤
Nimekuwa wa pili jamani nipewe maua yangu🎉
Pole sana eva
Tatizo lenu dk10 mtu anatembea au kukandwa maji mnapoteza muda kwa vitu havina msingi mpaka leo masaa 6 lakini cha maana hakuna
Kweli kabisa dakika3 wanatuonesha nyumba2,,ila hawaezi rekebisha coz inakaa niyazamani sna wanairudia2 kuirusha... movie nzuri bt wanaikosesha mark's...
ɴᴀsɪᴍᴛᴏᴡᴇ ᴢᴇɴᴜ ᴊᴍɴ ᴍᴀᴀɴᴀ ᴍɴᴀᴊᴜᴡᴀ xɴᴀ ᴋᴜᴏɴɢᴇᴀ ɪʟᴀ ᴋᴜᴛᴏᴡᴀ ᴍᴏᴠɪᴇ ᴀᴀᴀʜ 😅😅😅😅ᴏᴠʏᴏᴏᴏ ᴀᴄʜᴇɴɪ ᴋᴜʟᴇᴛᴀ ᴍᴀᴋᴀsɪʀɪᴋᴏ ʜᴋᴜ😮😮
Wamewka watu ambao hawana silazima wakuwepo ndio wameharibu hii movie hata sioni la maana toka mwanzo mimi,,, na hili jina la hii movie ata haiendani kabisa😮😮
Majumba tu
@@سيييققق ᴛᴇɴɢᴇᴢᴀ ʏᴋᴏ xxᴀ ɴᴡᴇ ᴛᴜᴋᴜᴛᴏᴡᴇ ᴋᴀsᴏʀᴏ
Baba eva koma
Eva pol sana
Frenk we zombiiiii😮😮😮😮😮😮
Niliwamiss san hawa w2 pongez san kwa wahuska wote❤❤❤❤❤
Kazi njema 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ahh leo sijpenda hii mijengo tupu
Nlikua nmengoja sana
Mnazingua hiyo Pete mbna hatuioni lakn pia mbna movie imekosa mwendelezo mzuri
Na Pete yenyew mbn haionekaniiii
Ya leo sijaelewa chochote zaidi ya majengo kuzungushwa😢
Yaani mm hata sijaelewa hata kidogo,,,,eva anaishi kwa mwingine,,,halafu kuna mwingine anakurupuka kwa mkewe kwenda kumtafuta eva
Mbona mnaruka maneno nani aliwaja mwengine
Mna zidisha mziki sana
Kwa mara ya kwanza leo nimewah
Alafu huyu baba Eva 😅anakaaje kingwedu ? Nipeni likes zangu toka kenya jamani
Nikama ni siblings 😂
Sijawahi kuangalia movie ambayo kelvin yupo inayo chosha kama hii mtu anatembea dakika 10 na hakuna kuchanganya vipande duuh
Kwani munatufundicha au munataka tuchaguwe fashoon mpya za nyumba😮😮😮😮😮😮😮
Imgn mda mwingi wanapotezea kwa majumba, camera man plz cheza kiwewe bana😅
😂😂😂😂😂😂😂😂acha wamenge kuingia ni kasi sio mtumba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
You better take a video of 30 minutes with content but taking a video of 1hrs with nothing
Ni mm ndio sielew au na nyinyi wenzangu huy Eva sialiondoka kwa frenk sas vip asema kapotezan na kak yake baada yakufukuzwa mm sielew jamni
Nahis James ni mtu WA wanawake😂😂😂😂
Mnatuonesha kitendo cha msamfupi mnaonesha mda mrefu sana, inachosha japo movie ni nzr
Hii epsd hapana ayse duh tumefaidi tu majengo awamu hii kuonyeshewa
Hii movie ilianza vzr ila mnariharibia kabisa, uyu dada alionekana kuondoka amebeba na bag, lkn hamna muunganiko wowote wa uyu dada kulalamika njaa pls weken mambo sawa
Jameni hii movie ya Leo inaboe sana mnapoteza mfa mwingi mkituonyesha manyumba ebu mjaribu kerekebisha haki
Duuuuh jmn Eva anachoka nakutembea duuuuh
❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona hii mov ilianza ikiwa poa imeanza kuharibika
Makorokoro yasiyonasababu yamekuwa mengi na yametapakaa mwanzo hadi mwisho
Episode 1,2 and some part of episode 3 was good but from 4&5 inaboo
Kama ivi ndio mtapeleka movie tatai ona kelvin akirudi kweli toka masomoni
Mmeanza kubore aki
Leo mwazingua kweli mziki na mijengo tupu
Mungu leta pete ya ajabu haraka eve na frank wawaje kuhangaika hivi,,,maneno nawe ndio ulileta maneno kwa ushauri wako mbaya uliyo mpa nasra,,,,james wewe naye kila mahali weae ni msaliti!
Hilo limziki msiliweke sana jamani pia maongezi yasokua na mpango punguzeni
Mnatuchaganya ila sawa hata hatujui vile frank alipona na eva alikuwa anaondoka n bengi
Episode hii mmetuweza
Baba Eva kula chuma hzo dhambi z kumfukuza mtoto wko nymbn zinakurudia mwnywe ss
😂😂😂😂😂
Jaman mumefanya nin ten mbn mumetuacha njia panda
Jamani kunavitu munatumia muda mulefu bila kuona kitu chochote
Dakika nyingi munatuonyecha majumba muda wakucheza dk chache kwanini
Daaaaah mbona kwa Giza Mara kwa mara
Nice❤❤❤❤
❤❤❤❤
Mme chemsha
Leo sitambuwe kitu😢😢😢
Vitu havieleweki
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Hii movie imeanza kuboo mnatumia mda mwingi kwa kitu kimoja
✌️✌️
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mnatumalizia bando kwa kutuonyesha majengo tu jamani kha
Hivi vipande vingetengenezwa vzr n dakika 25 tu au 30, mmeirefusha Sana bila sababu inaumiza Sana kichwa ad kuacha kuiangalia
Jaman mmefany nin mnatuach njia panda
Namba 4 jaman naombeni ata kdg
Punguzeni kuonesha majengo bana
Kevin hapa unazingua Kwa nn mnapoteza muda sehemu moja mtu ameshaona alichokifata hakipo siaondoke Kwa nn anakaa dakika kumi mzima ndo kulefusha move hapana unazingua hapo
Leo kipindi kijanimba sana
Kweny hiki kipande mmechemsha kwa kweli
Nimejoka kuona manyumba.tu😮😮
Leo mumekwama wapendwa
Munatebeada kikanyigi muno hakunachamana puguza dakika zakutebea
Mauwa.malinki hamuna mamyumba nayoo
Mm ht sijaelewa chochote hapa zaidi ni nyumba tu aki
Duuu munatumia muda mulefu gutembea
Nikweri munatumia muda mulefu kuwa mutu akiwa anatembea
Mnaharibu mvi xxa
Picha zuri ila mwaliharibu na kutuonyesha majumba ndio yanachukua dakika nyingi kuliko tukio😢
Mbn hzo tena mwaboesha mbya ama sifa zimeanza kuwanoga
Kwani nyumba ya frank ilifanywaje
Mshaanza kutukoroga mbona ata haileweki
Maneno safsana
Hii movie mmepwaza!Haileweki mara frank kafa mara Binti kamtoroka frank mara anaonekana anamtafuta Tena frank inachosha Haileweki Imekaaje!??? 😂😂
Mbona mnaftuchanganya ssa c mlionesha Eva aktoroka sa hivi imkuaje?
Alie edit hichi kipande msimpe ten aedit
Naye nii dawa njozimetumana tu
Ss mbona pete hkn
Mwaboesha sasa majuba dakika kumi za nn
mbona kama sielewi
Na mbn munachukua mda mwingi kuzungusha camera juu hki kulko kuanyesha matukio
Munakuwa munatuomyesha njisi muji ilivyo jerwa
So next episode try to avoid them
Lakini mbona leo sijawaelewa jamani ama hii ni ingine🤔
Mnatumia muda San jaman
❤❤❤❤❤❤ᴍᴏʙ ʟᴏᴠᴇ🎉🎉🎉
Boring 😢
❤❤❤❤❤