Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Ahsante kwa somo dada
hongera dd nakufutilia
Habari Da ney hivi kama hauna siagi unaweza kutumia nini?
Da ney mimi naomba unielekeze jinsi ya kutymia improver kwenye cup cake za biashara
Asante wa jina ❤
❤️❤️
Asante sana🔥🔥nina swali kwa vipimo hivyo unapata cupcakes ngapi?
Nyingi sema nilipika tu 12 na mchanranyiko uliobaki nikapika keki kwenye tin ya inch sita ila haikujaa
@@neemashaabancakes asante ubarikiwe sana nimejifunza vitu vingi your receipes are the Best!!🔥🔥
@@epifaniaamasi486 santee
Asante sana kwa somo dada. Kwenye hayo matundu ya trey unapaka mafuta? Au unaweka tu karatasihivyohivyo?
Hupaki mafuta unaweka Yu vikaratasi
Dada neema mm ni mgeni kwenye chanel yako naomba kuuliza vipi kama sina hilo trey naweza kuweka kwenye karatasi tu nikavisimamisha?
Haiwezekank
Moro umeweka kiasi gan
150
@@neemashaabancakesasanteeee
Asante nitajaribu japo Nina vitin 12 tu vya cup cake.
Sawaa
Ongera kwa kujitoa madamu
Asante
Dada mbona Mimi nikipika cupcake sipati faida najikuta narudisha tu Ile Hela ya mahitaji je nakosea wapi?
Unauzaga shilling ngapi
Ahsante kwa somo dada
hongera dd nakufutilia
Habari Da ney hivi kama hauna siagi unaweza kutumia nini?
Da ney mimi naomba unielekeze jinsi ya kutymia improver kwenye cup cake za biashara
Asante wa jina ❤
❤️❤️
Asante sana🔥🔥nina swali kwa vipimo hivyo unapata cupcakes ngapi?
Nyingi sema nilipika tu 12 na mchanranyiko uliobaki nikapika keki kwenye tin ya inch sita ila haikujaa
@@neemashaabancakes asante ubarikiwe sana nimejifunza vitu vingi your receipes are the Best!!🔥🔥
@@epifaniaamasi486 santee
Asante sana kwa somo dada.
Kwenye hayo matundu ya trey unapaka mafuta? Au unaweka tu karatasihivyohivyo?
Hupaki mafuta unaweka Yu vikaratasi
Dada neema mm ni mgeni kwenye chanel yako naomba kuuliza vipi kama sina hilo trey naweza kuweka kwenye karatasi tu nikavisimamisha?
Haiwezekank
Moro umeweka kiasi gan
150
@@neemashaabancakesasanteeee
Asante nitajaribu japo Nina vitin 12 tu vya cup cake.
Sawaa
Ongera kwa kujitoa madamu
Asante
Dada mbona Mimi nikipika cupcake sipati faida najikuta narudisha tu Ile Hela ya mahitaji je nakosea wapi?
Unauzaga shilling ngapi