cupcakes za biashara 💰 //

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • video hii naimani itawafunza watu wengi kujiajiri hatakama wako nyumbani namna ya kupika cupcakes za biashara 💞
    #cupcakes #biasharandogondogo #byme😁

Комментарии • 55

  • @dorcasabel2027
    @dorcasabel2027 Год назад

    Unaelezea vizuri, god bless you

  • @raniamussa7631
    @raniamussa7631 Год назад +1

    Wow

  • @EdinaMasunga-t1q
    @EdinaMasunga-t1q 9 месяцев назад

    Asante sana ,nimejaribu cake ni nzur tamu na lain mnooo

  • @giftgifty706
    @giftgifty706 2 года назад +1

    Nice

  • @fooddiarytz
    @fooddiarytz 2 года назад +1

    Yummy

  • @rosemwakyoma8371
    @rosemwakyoma8371 2 года назад +1

    Safi sana

  • @raniamussa7631
    @raniamussa7631 Год назад

    Umejitahidi sihaba

  • @joycetido1896
    @joycetido1896 2 года назад

    Umepata cupcakes ngapi kwa recipe hii

  • @OliverKikoti
    @OliverKikoti 7 месяцев назад +1

    Hizi zinaweza kukaa kwa mda gn mpk kuharibika?

  • @schoollife5813
    @schoollife5813 Год назад

    Mbn za kwangu zinazingua hazitokei vzr😢😢

  • @ifgeniakimaro4171
    @ifgeniakimaro4171 Год назад

    Mimi cups cake zangu jina jaa vizur zikiwa kwa oven lakini zikishaiva zinakuwa ndogo Nini tatizo

  • @HadijaSheban
    @HadijaSheban 2 года назад +1

    chef asante sanaaa

  • @upendokasumani8384
    @upendokasumani8384 2 года назад +1

    😘

  • @veriarbogast9016
    @veriarbogast9016 2 года назад

    Wow naona no unatumia ngeli Zaid Jacob hapa usi Replay please mwambie makii anitunzie pc💻 ntarejea after 2 month

  • @TeddyMashayo
    @TeddyMashayo 8 месяцев назад +1

    Nikitumia mafuta yanafaa?na ni kiasi gani

  • @AdhiHassan-de2pu
    @AdhiHassan-de2pu Год назад

    24 tu

  • @babyplus5093
    @babyplus5093 2 года назад +1

    G unatumia Unga gani

  • @marktesha762
    @marktesha762 10 месяцев назад

    Umetumia unga gani. Ppf ama wa kawaida tuu

  • @innocensiafaraja3830
    @innocensiafaraja3830 2 года назад +1

    Hello naomba kuuliza vipimo vya robo unapata cup cakes ngapi

  • @JaneKalangali
    @JaneKalangali 11 месяцев назад

    Darasa sh ngapi?

  • @FortunataKajuna
    @FortunataKajuna Год назад +1

    Vyombo vya keki vinapatikana wapi

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  Год назад +1

      Kama upo arusha utapata msikiti wa bondeni pale

  • @mwajabualhaji9773
    @mwajabualhaji9773 Год назад

    sasa ukitumia blueband faida inapatikana naomba kueleweshwa hapo boss wangu

  • @irenepyuza2902
    @irenepyuza2902 2 года назад +2

    Samahani kwa vipimo ulivyotumia unatoa cupcake ngapi?

  • @khawlathassan7545
    @khawlathassan7545 2 года назад +1

    Tafadhali tuambie kwa kilo ndio tutaelewa zaidi

  • @madimpooo
    @madimpooo 2 года назад +1

    😋

  • @vivianmlekani9525
    @vivianmlekani9525 2 года назад +1

    Mimi naswali mbn ukiweka madukani hazikai sana walisema tuweke calcium

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад +1

      Ukiona mzunguko wako so mzuri ni vyema uweke calcium ila mimi sijawai itumia maan zangu azikai

  • @ibakecakevaluable.
    @ibakecakevaluable. 2 года назад +1

    Hzi unaweza kuuza shngp??

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 Год назад

    Kwa recipe hii labda uuze elfu moja otherwise hailipi hapo

  • @spesiozasimon4704
    @spesiozasimon4704 2 года назад

    George mm napika faida sipati

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад

      Best Kuna kitu na taka ni kuambie kila siku vitu vina panda uwezi fananisha na miezi 6 ilo pita baking ni kujiongeza kama nilikua natoa 5 waeza ongeza manjonjo or kupunguza baadhi ya vitu ujipatie faida

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад

      Ntafanya video nyingine ya kuelekezana kwenye hii tasnia ya baking karibu

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 2 года назад +1

    Nime tengeneza naanza biashara leo nimeoka kwenye mkaa Ila nimepika nusu kiro faida ndogo ! Nimepika vidogo vya sh mia Mia je nifanyeje nipate faida nipike kuanzia kiro ngap

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад +1

      Kwenye makaa kwa kweli naona inakata sana faida labda ujaribu kununua mkaa hata debe kwa bei ya jumla.... Atlist utaona faida nzuri

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 2 года назад

      @@Georges.Kitchen sawa Ila pia George asntee Sanaa nimenunua kiroba Cha mkaa naoka napika Mia na hamsini na zinaishaa watu wanafata adi apa nyumbani natamani unisaidie vitu vingi natamani kuwa mwanamke mwenye kipato changu nakuomba Sanaa naitaji kujua adi kupamba keki na upishi wa keki Aina tofauti tofauti ! Nisaidie tafadhal maaana kwengine nashindwa ada ndefu Sanaa na Mimi ni mama tuu nategemea hela ya kupewa na mmewangu

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад

      Ntafute 0620758995 dear ntakupa mbinu nzuri ya kusoma

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 2 года назад

      @@Georges.Kitchen asntee Sanaa my dear

    • @julianachalamila8960
      @julianachalamila8960 4 месяца назад

      Ubarikiwe ntajarbu kupika

  • @halimaabdi1721
    @halimaabdi1721 2 года назад +1

    Sorry kikombe cha maji ulichotumia kina ukubwa gani?

    • @Georges.Kitchen
      @Georges.Kitchen  2 года назад +1

      Nusulita ila utapima kuangalia uji wako wa cake usiwe mzito wala usiwe mwepesi

  • @efrasiaaron5197
    @efrasiaaron5197 2 года назад +1

    Hapo kuna faida kweli zikotoka 21?