Best Kuna kitu na taka ni kuambie kila siku vitu vina panda uwezi fananisha na miezi 6 ilo pita baking ni kujiongeza kama nilikua natoa 5 waeza ongeza manjonjo or kupunguza baadhi ya vitu ujipatie faida
Nime tengeneza naanza biashara leo nimeoka kwenye mkaa Ila nimepika nusu kiro faida ndogo ! Nimepika vidogo vya sh mia Mia je nifanyeje nipate faida nipike kuanzia kiro ngap
@@Georges.Kitchen sawa Ila pia George asntee Sanaa nimenunua kiroba Cha mkaa naoka napika Mia na hamsini na zinaishaa watu wanafata adi apa nyumbani natamani unisaidie vitu vingi natamani kuwa mwanamke mwenye kipato changu nakuomba Sanaa naitaji kujua adi kupamba keki na upishi wa keki Aina tofauti tofauti ! Nisaidie tafadhal maaana kwengine nashindwa ada ndefu Sanaa na Mimi ni mama tuu nategemea hela ya kupewa na mmewangu
Unaelezea vizuri, god bless you
Wow
Asante sana ,nimejaribu cake ni nzur tamu na lain mnooo
Nice
Yummy
Thank you my sister ❣️
Safi sana
👏🏼👏🏼👏🏼
Umejitahidi sihaba
Umepata cupcakes ngapi kwa recipe hii
Hizi zinaweza kukaa kwa mda gn mpk kuharibika?
Mbn za kwangu zinazingua hazitokei vzr😢😢
Mimi cups cake zangu jina jaa vizur zikiwa kwa oven lakini zikishaiva zinakuwa ndogo Nini tatizo
chef asante sanaaa
Asante pia dada kwa kuja
😘
❤️
Wow naona no unatumia ngeli Zaid Jacob hapa usi Replay please mwambie makii anitunzie pc💻 ntarejea after 2 month
Nikitumia mafuta yanafaa?na ni kiasi gani
24 tu
G unatumia Unga gani
All popurse flour wa azam
Umetumia unga gani. Ppf ama wa kawaida tuu
Hello naomba kuuliza vipimo vya robo unapata cup cakes ngapi
Gawanya dear utapata jibu ❤️
Nagawanya kwa ngapi
Darasa sh ngapi?
Vyombo vya keki vinapatikana wapi
Kama upo arusha utapata msikiti wa bondeni pale
sasa ukitumia blueband faida inapatikana naomba kueleweshwa hapo boss wangu
Samahani kwa vipimo ulivyotumia unatoa cupcake ngapi?
20 mpaka 21
Unauza bei gani
Tafadhali tuambie kwa kilo ndio tutaelewa zaidi
Zidisha vipimo ndugu 👏🏼
😋
👏🏼👏🏼
Mimi naswali mbn ukiweka madukani hazikai sana walisema tuweke calcium
Ukiona mzunguko wako so mzuri ni vyema uweke calcium ila mimi sijawai itumia maan zangu azikai
Hzi unaweza kuuza shngp??
500 dear
Kwa recipe hii labda uuze elfu moja otherwise hailipi hapo
George mm napika faida sipati
Best Kuna kitu na taka ni kuambie kila siku vitu vina panda uwezi fananisha na miezi 6 ilo pita baking ni kujiongeza kama nilikua natoa 5 waeza ongeza manjonjo or kupunguza baadhi ya vitu ujipatie faida
Ntafanya video nyingine ya kuelekezana kwenye hii tasnia ya baking karibu
Nime tengeneza naanza biashara leo nimeoka kwenye mkaa Ila nimepika nusu kiro faida ndogo ! Nimepika vidogo vya sh mia Mia je nifanyeje nipate faida nipike kuanzia kiro ngap
Kwenye makaa kwa kweli naona inakata sana faida labda ujaribu kununua mkaa hata debe kwa bei ya jumla.... Atlist utaona faida nzuri
@@Georges.Kitchen sawa Ila pia George asntee Sanaa nimenunua kiroba Cha mkaa naoka napika Mia na hamsini na zinaishaa watu wanafata adi apa nyumbani natamani unisaidie vitu vingi natamani kuwa mwanamke mwenye kipato changu nakuomba Sanaa naitaji kujua adi kupamba keki na upishi wa keki Aina tofauti tofauti ! Nisaidie tafadhal maaana kwengine nashindwa ada ndefu Sanaa na Mimi ni mama tuu nategemea hela ya kupewa na mmewangu
Ntafute 0620758995 dear ntakupa mbinu nzuri ya kusoma
@@Georges.Kitchen asntee Sanaa my dear
Ubarikiwe ntajarbu kupika
Sorry kikombe cha maji ulichotumia kina ukubwa gani?
Nusulita ila utapima kuangalia uji wako wa cake usiwe mzito wala usiwe mwepesi
Hapo kuna faida kweli zikotoka 21?
Yes ipi dear