Zuchu - Kitu ft Bontle Smith & Tyler icu (Dance Video)
HTML-код
- Опубликовано: 21 дек 2021
- Get #IamZuchu EP Now 👇🏼
zuchu.lnk.to/iamzuchu
For Bookings:
Contacts -- zuchu@wcbwasafi.com
Connect With Zuchu On:
Instagram: / officialzuchu
Facebook: / officialzuchu
Twitter: / officialzuchu
#Zuchu #kitu #Wasafi
Copyright ©2021 WCB Wasafi. All rights reserved. - Видеоклипы
Simba jike wapinzani kazi wanayo sitwa pepea tu WCB for life 🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tatizo la zuchu unatukana mojakwamoja.. Jaribu kuwa kama Mond
Zuchu naona nyimbo zinaanza kukuishia ,maana hii huwezi kuangalia na watoto
What is Zuchu actually saying??...i don't understand the lyrics i am from Namibia 🇳🇦
Kwani WCB wamepatwa na nini jaman, Sasa ndo nyimbo gani hii
If your from USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲 let us gather there
Jamani muziki sio lazima muimbe matusi, muwe mnamuogopa Mungu saa zingine sio vzr, huu wimbo wanaweza sikiliza wazazi wako na watoto wako????
Well said watu hawamwogopi tena Mungu sikuizi
Hicho kidude hicho
umezingua... umeanza ujinga wa kakako.. nyimbo gan hii kusikiliza na watoto kwenye gari
Zuchu Rihanna wetu twakupenda bure hapa 001, Kenya.
Kenya 🇰🇪 let's support as usual
Kitu🤣😂
Hii nyimbo binafsi sijaielewa kabisa..
Pengine niisikilize tena huwenda nkaielewa
Hujaelewa Nini Kaka zuchi anasema kitu wewe ujuwi kitu brother yani kidude kinasimama kinalala 😂😂😂😂😂Kama utakuwa hujaelewa bado nifate kwenye inbox nikufafanulie vizuri anyway pongezi dada zuchi it's high time mtu aimbe kidude si Kila time nyapu 2 congrats👏👏👏
hapo ni kitu kizito kichwani
Hahaaaaa Kitu gani
@@alfredcadet8326 Ulicho nacho😁😂😂😂😂
Kasome English utaelewa2
Noma ngoma Kali... Africa imeungana kupitia Diamond Platnumz...💪🦁🦁
Hakuna kitu hapa..Nyimbo mbovuuu
Imba lako Tuta ku suppoti
Had been on streets of Nairobi and the the new song is already smoking hot 😘😘lots of love from kenya🇰🇪🇰🇪
I just heard it today and it's awesome....love the afro beats and the dancing is African....we should embrace this because the Western countries are stealing our moves and making it their own....love it 10/10.
Zuchu huna mpya nyimbo zako zimekuwa Mbabane saaaaana
Nigeria 🇳🇬 🇳🇬 🇳🇬 🇳🇬 🇳🇬 🇳🇬 🇳🇬 is in building 🏠
That girl with the green bra brought something different in WCB 💖🔥🔥🔥🔥founder of the dance
She is Angelnyigu
@@SkyDamaris okay😊
Anaitwa nyigu
Angel Nyigu, she's effortless 🔥
Najua unapitia mengi na Huna tumaini tena, Cha muhimu Mungu amekulinda na kukuzawadi uhai ndo kesho ukiri ukuu wake, ndo mwisho wa machozi yako, sasa wacha kulia na uanze kushukuru. Amina.
Zuchu to the world, Amapiano to the world 🔥🔥🔥🔥🔥💃💃💃💃💃
To much
Hakuna kitu hapaoooo umefeliiiii
Zuchu kama zuchu👌👌👌👌👌👌👌👌😏😏😏😏😏😏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Zuchu umezingua hujaimba kitu hapo
Nakukubar San zuchu najua. Ujawah kuniangusha nimekuvulia kofia na hiii ndiyo funga mwaka I love you Zuchu ❤️
Hata aibu huna
Kwel kila kipind na zama zake. Hii ni nyimbo nayo watu wamekaa chini wakaandika wakarikod na wanasifiwa aiseeee 😀
Zuchu🚀🚀🚀🚀🚀🔥🔥🔥
Big banger,from South Africa 🇿🇦,
Nipewe likes za nyigu our gal did it again💚💚💚💚💚💚💯
Danieli
Zuchu nakubali ongoma💃💃💃🔥🔥🔥
That guy with the red outfit makofi
Greetings from dominican republic. Great job
Angel Nyigu😍🔥👌🏼
Matusi tuu ndio kazi yenu sijui basata wako wapi😳😳😳😳
😁😁😁😁 zuchu wimbo zako napenda
Angel Nyigu 😍😍 My all time favorite
My eyes are on Nyigu 😍
We we we weweweeee toka uko🔥🔥🔥🔥💃💃
🙉🙉🙉🙉Kenyans mnione kando kuna mkutano wetu kumhusu zuchu.❤❤❤❤❤
You really miss P!?🥰🥰 🇹🇿
OMG 🤦♀️ 🤦♀️ Tanzania 🇹🇿 got talent.
ZUCHU for real.❤️❤️❤️❤️❤️
Muziki umebaki tu burudani sio kioo cha jamii tena. Zuchu na wasanii wenzenu twawapenda sana ila hii hali ya kutaja matusi adharani tena wazi wazi mimi siungi mkono idear hii. You have super mind to creat and write great songs kama your early songs. Nakupenda sana Zuchu ila nipe songs zenye naeza skiza mbele ya wazazi wangu, wakwe, shemeji, na hata watoto wangu bila kuona upungufu wa heshima mahali. Tunapenda burudani sikatai na bidii yako twaitambua kama jamii; tafadhali turekebishie apo tukupende na hata zaidi. Love you Zuchu a.k.a Zuhura the Queen of smiles upon listeners.
They should get other people to write their songs. My Honest opinion
Yaan
Kweli kabisaaaa awachane na mizuka hino bora arudi vile alivyo.
bila kutukana mazee hauzi na wala hutoki wako chini ya shetanu
type error shetani
Kwa hiyo siku hizi watu ni kuimba matusi tu kwani basata wako wapi? Hiyo nyimbo ya zuchu ukiasikiliza sana matusi matupu cjaipenda hata kidgo wameishiwa kutunga nyimbo sasa
THIS WAS UNDERATED PIANO HILI DUDE SIO POAAAAA WALAHIII
Kitu🤣🤣🤣😂 WCB BADO KUTUKANA WAZAZI WENU
Zuchu amapiano , 😂😂hii ni one in a million I luv it
Wa Zanzibar tujuane.... Asante wasafi❤️
Wow fire sana
Zuchu my favourite. Love from Kenya
Go Team Zuchu
Noma Sana wasafi 🔥🔥
Kwaiyo njomnaelimisha jami ao mnapoteza jami mnafunza nini kwakizazi kijacho mtaulizwa nyiye
I definitely appreciate the management of bby zuchu, Yanni everything is magic go girl 🔥🔥😍 love from Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🌍.
True
Zuchu for life.....................
Amapiano bits + wasafi business minds
Bontle smith🥰🥰🥰 definitely loved her parts😍😍
Huyu ni Zuchu au Chuchu??In Jpm voice.😆😆 Safi Sana Zuchu.
Wewe samahan ila huna akili kabisaaaaaaaaaaa
sijui kwanini wasanii wengi huanza na moto kisha wakaishia kufanya mapyoro. Kw hapa mimi sijaona sababu ya kumpongeza Zuchu kwa hichi maana haitamsaidia kitu pongezi yangu .
The beginning of this song 😏😏😏😏 if you Don gerrit..... Forget about it!!!
Love from. Zimbabwe 🇿🇼 this is 🔥
Mbona siku hzi mnaimba matusi aiseee, hata siwaelewi niwe mkweli
Kasikilize zilizopendwa
Kenya likes🇰🇪🇰🇪
Hatari, najifeel niko s.africa, dats good bit
Hakuna nyimbo nasikia matusi tu team King's music tujuane wenye kupenda nyimbo kali.Kama vile UTU,NITEKE,HAPPY,BWANA MDOGO na nyingine kaliiiiiiiiiiiiii!
Kweli kbsa maana utumbo mtupu wa mechanganyikiwa wanaimba matusi tu
Mbooo ya bosi imemnogea maskini 😁
😁😁😁
Nice weekend my dear ilove it thanks
Yn hakuna ujumbe siku hz ni matusi tu,, hii dunia sijui inaenda wapi naona nishuke tu hapa maana mda si mrefu hicho kitu atakitaja jina 🙌
THE FIRST ONE IN AMERICAN NOW 🔥💯🖤
😍😍😍
Big love king Simba.. wapi likes felow Kenyans🔥🔥
Nice simba
Good for all
Platnumz the best teacher
Mpaka muimbe maumbile ya kiume ndio mujue ni hit song upuzii mwingi Awards mutapata za kuuza ukwaju tu!!! Shaize
Wcb kitu mnaimba sikuhizi mnajua wenyewe khaaa
Huyu ni kuma kabisa hyo nyimbo ungemuimbia mamaaaako tuu ndo inamfaa pekeee msenge weweee
Zuchu can dance.... Great moves
Huyu hana nyimbo nyimb zake nizile za Mwanzo tu. Mwisho litawachoma mpk hapo sijaona nyimbo nyengine
Ovyoooo sijaipenda ata kidogo
Zuchu tupe nyimbo Kali ya kufungia mwaka,apa umetuangusha
Amapiano zinawapoteza sana wasanii wetu wa 🇹🇿 back to bongo flavour
Diamond asante kwa kuendelea kuharibu tasnia ya mziki wa Tanzania
Ka pige mZiki wako tu sikie
Yahoo love zuchu
Zuchu zichune hatare saaaaana
Am team Zuchu,watching from Kenya Africa
The Queen of EA 🔥🔥🔥
Wow imependeza shga yanguuu
Zuchu asante kwa kunipotezea muda,nyimbo ya kishenzi
Ka imbe lako tu sikie
Huyu kijana amevaa red kando ya Zuchu nampongeza sana. He dances so well in every video. Kwa IYO, Chawa, Unachezaje na hapa pia 👏👏 Also, Zuchu is the queen of the jungle.. Her versatility is amazing 😀❤❤
Naaaaaaam
@@nurali6321 ruclips.net/video/cqg93TNnARM/видео.html
I have his number n he is single
@@edgermwaniki 😂😂😂 we bana 😂we both know huna number yake lakini nilimpata kwa Nyigu
@@sophieatieno5148 I do have if u want it willing to give it out 😊
My love for Zuchu will never die
No point here🦥among all comments
Sasa zuchu ana nyimbo anaimba utumbo tu sasa
Nyimbo mbaya sna yaani katoka juzi hla kafulia kuimba
Zuchu ndio nyimbo gani sasa , nyimbo ya matusi tu
Naija 🇳🇬we are HERE💃🕺💃🕺💃🕺💃🕺💃🕺💃🕺💃🕺🌟🔌👍
Zuchu never disappoint💌💟💫💥 go gyal 💬💬💥💢 say something kama umeilewa nyimbo, tujuane hapa 💥💝
Zuchu forever
Big up sana dada etu
Tamu mno,Zuchuuu kauwaaaaa
Nyimbo mbovu kazi matus tu
Tunga ykoo😅
Umeshinda kila scene humu ndani 💯 hii ngoma sasa inaweza kunikalishia zile za Marioo 🔥🔥🔥
Yaaan wassafi hawashikiki huku kitu kule unachezaje! 😂😂😂😂😂
Wasafi wametuamulia..
Zuchu sukari ya afrika 🔥🔥🔥
Angel nyigu dominated the dance🔥🔥
Nyimbo za sikuhizi mmhh kazi ipo
I seee ukweli zuchu kimaadili anapotea kbsaaaa cjui nani anamshauri duuuuh,nyimbo zake huwez sikiliza mbele y mzazi wal mtoto
Nyimbo ni nzuri mimi ni fan wako alaf ni kaka yako kama hujui Khalifa kopa ni mama yangu mdogo...mzee omary kopa zegega ambaye wewe ni babu yako mimi pia babu yangu nimzee omary alikuwa poti pale zenji....ila yy anatokea maneromango as zaramo typical...unafanya vizr sina nia ya kukuharibia mziki pia ni mzr .....ukitaka lugha hasa ya kuimbia hyo style yaamapiano nipo tayar kukutungia nmekaa sana south 🇿🇦..mara ya mwisho kurudi nilkwenda magomeni kibamba kumuona mzee na mama nakamkuta..ssieemi kwamba lazima unijue laa ila ttzo hupendi kujua kama kuna ndgzako wengine somewhere,NAPENDA UNACHOFANYA ILA PUNGUZA MATUSI IMAGINE NYIMBO INA ALA NZR BUT WHO LL BE READY TO LISTEN???HII UNACHOMAANISHA HATA WAZZ WETU WANACHO JE UNAJIDHALILISHA AU UMEKUWA INSANE KWAMBA UNAPENDA MCHEZO WA MATUSI??BADILI MANENO NDANI YA HII NYIMBO KABLA YA BASATA ....
Kweli kabisa
🔥🔥🔥
Tafuta cha kuimba kuma nahisi umeishiwa kwa wasiyo mpenda naomba laik zenu
Karembo ketu tenaaa zuchu beiby
Si bora ungeimba singeli basi ama taarab mziki wa kwenu pemba, much love from Kenya but hii wave ya Amapiano imeushusha mziki wa east Africa sana hasa mziki wa bongo, oneni wasanii wabongo wote sijui mara ya mwisho mtu kufikisha views million 1 ndani ya 24 hours illkua lini, jitathminini.
Kuna tatizo pahali 😁
Na tatizo lenyewe ni hii mikwaito na mi Amapiano, sisi hatuvibe nazo si miziki yetu wala si culture yetu
Last but not least 👇🏼👇🏼👇🏼
MUSIC IS CULTURE 👇🏼👇🏼👇🏼
MZIKI WETU, TAMADUNI ZETU.
Wacha nende nikaskize zangu genge tone na singeli 🙏🏾❤️
Hahaha what do you know about music diversity man enda ukaskize singeli bana kwani umelazimishwa kuskiza