Na ww umekaa kama Kitu gani?....maana wajiona kama mwenye Busara sana, kila mtu na Starehe yake... We kama Wajiona Umeongoka sana Ungepitia Kwenye Page za Kiislamu sio hapa Bibi Hapakufaiiiii✋ Comment zengine mpelekee Mumeo Huenda Tabia zake Mbovu zikarudi ssawa.....
@@marjansempa ishia jaani unikome km imekutach koment yako nawewe usione koment zawatu ukaingia kati km mkojo wa alfajiri mbuzi we kwani we kafiri nawewe ungepitia pege ya kiisilamu ungeiyonaje koment
Hii mix noma kama 🔥 itabidi taarab mix iwekwe at least 3hrs tukisonga mbele...
I can't get enough of this mix walahi, nawajua binadamu nawajua, munaroho dhaifu nawajua............
Taarab Taarabuni...Cheza Cheza Na mcheze pamoja..Sema Ukweli
Hadi raha yaani
Nimependa upigaji wa vyombo ,nimewakubali.
Safi sana pambeee hilo neno
❤❤❤❤❤❤ hapo sawa
Wimbo huu wa kila kitu Mimi uwafikie chawa wote wanaopenda kusema ya wanzao
😂😂😂😂😂
Sina pupa mungu atanipa ❤❤
Sitakaa kujutia hiyo ni kweli
Huwa napoteza mawazo kwa kusikiliza na kuangalia nyimbo za taarabu
Ntakupta wp dj waah fire maxeee
Mashaaallah,
Ngoma tamu sana izi
Nice dhuuuuuu noma sana❤❤❤❤❤❤❤
Tunaogpa Mungu Mwenyezi si....??Jazeni pengo
Safi sana taarabu ina ujumbe mzuri video iko poa
Kampala uganda naipata vema zaidi
Wapi Yellow uniform,Usain Bolt World 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆❤❤❤❤ of all the time, Jamaica's
Taarab mziki tamu sana, napenda kusikiliza haswa nikiwa na stress, Taarab yaleta raha rohoni kweli❤
"Stress," msamiati halisi wa Kiswahili ni tamauko, sononeko au mfadhaiko.
Naitaji jina la hiyo taarabu kidugu kidugu nyata
Weweee💯💥💯💯💥
Wa kwanza KuComment Naombeni Like zenu
Who is number two to comment on this lovely video mix, like me, but number one our sweet DJ marjan sempa!
Hii wimbo ya mwisho Nani ameimba na inaitwa aje naomba mnieleze
Nawahitaji kwa harusi yangu jamani mbona raha….mkenya mie
Wapo 2 ,we leta Booking mapema
Yani raha tu balla hi covid hatuwezi kusafiri mpaka tudungwe shindano bona balla hi dunia ramadhan karim 💯👍🔥🔥🔥😷❤❤
Wimbo huu uwafikie wambea na wafokonyoko
Taarab tosha milele Sauti swafi,jumbe akika kabisaa
kali sana 🔥 🔥
Is that Kaka zema at 6:27 with marron shirt with goggles???
Yh its him
Ukinipenda sawa ukinichukia poa thuu musemao hayanipi shida
Iki wauma waumie,iikiwachoma wachomeke
Na taarabu unaitwaje na mtunzi ni
Hamna kazi kabisa wdgo
Wadigo wangp mbn watia w2 wasiokuemo Aya 2pe iyo yko kz tufnye
Kujielew pia hamjilewi hamna ila vya watu mwavipenda
❤❤❤
Hapo
Halooooo
Babake sempaaa vithoriaaaaaaa
Hahahaha Umeamua Kuanika Vithoria Mpka RUclips
Naitaji jina la hiyo taarab digu nyata digu nyata ndo basi tena ndo basi tafadhali please I need the name of that taarab naitaji jina
ruclips.net/video/pNput4a2nO4/видео.html Link hiyo
Green for Grass to make our world a better Place
Hii taarab iko juu naeza ipataje
Very intentaining
Yarrabistara mwenyezimungu tupe mwisho mwema
Ameeen
Taarab zanizizimisha moyo
🇰🇪🇰🇪🇰🇪eve of 2024
Sawa king lete mgeni kisonda weweeeee almarai 🔥🔥🔥🔥🔥
Ushasema
Better blues the children of the sky and universe
Marjan juuuuuuu
🤗🤗🤗
Juu sanaaaa miaka yotee
Maaaammbooo!!!
Car No 1 and the Colour is Yellow
Hii nyimbo namtegea mungu kaimba nani nitafute imenikosha plz
Bana hii song Marjan mkali wao tupe jina
Mmerudi mjini eeeh
Good
Uko poa kaka
Double Double
Naringia shepu yangu, hehehe
Yoooooh,,mahano!!
Naringia usawiri wa maumbo yangu.
Alhamdulilah
Can't get enough ❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Wapenzi wa taarab mpoooooo ❤ from kenya🇰🇪
Tupoo
Mashallhaa
Twende sasaa
Wambie wambeya waskie
Tamu sana ❤️❤️❤️❤️🔥
Very modern . keep it up.
Mashaallah bdo nakupenda
Nice Taarab songs, I like tghem so much more especially when I need nice time
Mkojani
Mkojani na madebe lidai
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Eeeh marjan uko juuu miaka mia
Mashaa Allah kweli kabisa
@Marjan nyimbo ya dakika 57 yaitwaje
Nyimbo ya Mohammed Ally inaitwa WAPAMBE MACHO KODO
Good morning its a Blessed Day ,,,,,leo mood inaniendea kwa DJ Marjan asante nice selections
🥰🥰🥰🥰
Saa ukihitaji hii mix utaipatalje
Asanti
Nc
tamu sana
Hpooo chachaaaaa
My cloth my choice
He.. Visenge haviachwi nyuma vibega jujuu kwa msumeno 🙆♀️
Santa da fatush
Mupoo
M IXX of the...
Mashaalla mungu akubrki
Ameen
Jamani neymbo ya dakika 48 ya Khadijah inaitwa nini????please
Nice combinations
Mmekaa km mashetani walokosea njia
Na ww umekaa kama Kitu gani?....maana wajiona kama mwenye Busara sana, kila mtu na Starehe yake... We kama Wajiona Umeongoka sana Ungepitia Kwenye Page za Kiislamu sio hapa Bibi Hapakufaiiiii✋ Comment zengine mpelekee Mumeo Huenda Tabia zake Mbovu zikarudi ssawa.....
@@marjansempa ishia jaani unikome km imekutach koment yako nawewe usione koment zawatu ukaingia kati km mkojo wa alfajiri mbuzi we kwani we kafiri nawewe ungepitia pege ya kiisilamu ungeiyonaje koment
Santa sana Sempa Kumbe na ww unajua kuchamba. Umenikosha na Mijineno iyo
Wacha niringe uzuri,kanipa mungu mupoo siwahofii walimwengu
Mwimbaji nani Jameni nitafute nyimbo zake?
The best mix ever 🔥🔥🔥🔥
Hello wimbo unaitwaje
i like the support the women are giving to the singer
Twende kazi
Hapo sasa
I love it
The White 🤍🤍🤍
Watanzania wenye heshima, Mkenya akikuwekea pesa kwa kifua si utakushikashika matiti kwanza 😂
🤣🤣🤣🤣
Yellow Uniformed Can be only one team of Dancer's but Dancing in style
Ayuuu💃💃
perfect marjan
😘😘😘😘
I love it moto saana
Nyimbo ya kwanza inaitwaj?
Fatma Mahmoud,siwaguni siwakohoi
Red Devils
je naweza pata orodha ya hizo nyimbo
For the love of Taarab, you got a new subscriber 🔥🥳🥰
Q1@