SARWAT - MALKIA WA BAHARI Episode 15

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #movie #africa #bongo #bongomovies #clamvevo #film #ndeka #snake #snakeboy #love #housegirl #busatitv #cinematic

Комментарии • 52

  • @SophieMogiti
    @SophieMogiti День назад +3

    Movie enyewe nzuri kbs kweli zalwat ana busara sana

  • @SarwatJuma
    @SarwatJuma День назад +7

    From🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 naomba like zangu kwa ajiri ya wajinaaaaaaaaa

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha День назад +4

    Haswaa wazee like wanaboa

  • @Sarusngiri
    @Sarusngiri День назад +2

    I love it 💓

  • @CylarCharlie-tn3fq
    @CylarCharlie-tn3fq 19 часов назад +2

    Mtoto ashakuwa zombie😂😂😂😂

  • @Zanabissa
    @Zanabissa 4 часа назад

    Kaz nzur sana chukueni maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @EsterMahimbi
    @EsterMahimbi День назад +2

    Mm Leo wakanza❤

  • @LewisHamiltonGLD
    @LewisHamiltonGLD 22 часа назад +1

    Sarwat ety ww una makosa wanao makosa n mamayako pamoja na babayako nikweli kabisaaaaa ujapenda kusaliwa jini

  • @AgnessAgness-w6s
    @AgnessAgness-w6s День назад +2

    Jaman mm Leo watatu

  • @LebonAlliance
    @LebonAlliance 20 часов назад

    Kazi zuri kabisa

  • @sayunimnguruta98
    @sayunimnguruta98 23 часа назад

    Kazi nzr imebamba sana❤❤❤❤❤

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r День назад +1

    Shamila kashapenda masailo jmn..🎉🎉😂😂😂haka ka movie kameanza kuchangamka please mwendlezo..

  • @YassinMohamed-t4i
    @YassinMohamed-t4i 4 часа назад

    Masailo hongera bnh

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c День назад

    Sarwat uko vizuri sana baby girl 🎉🎉❤

  • @MshanaVicky
    @MshanaVicky 23 часа назад

    Movie babukubwa sana na ni zuri jaman

  • @mwanaishahamadi-lb1oy
    @mwanaishahamadi-lb1oy 19 часов назад

    wow masailo kaz zako nzur

  • @NyotaByaeseFrancisca
    @NyotaByaeseFrancisca День назад

    Kubwa kuliko 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @fatumaandrea247
    @fatumaandrea247 21 час назад

    Dah ❤❤

  • @MauwaArfahn
    @MauwaArfahn День назад

    😂😂😂uwiiiiii nimependa sana leo

  • @josphatchomba4688
    @josphatchomba4688 19 часов назад

    Eweee mko sawa

  • @pendomwaringa7597
    @pendomwaringa7597 22 часа назад

    Waaa jini kapenda jamani😅😅😅😅

  • @ZainabuMathias-x6p
    @ZainabuMathias-x6p День назад +4

    Hivi nyie mnao kaa bize kudai like kwani hamuwez kutoa maoni kuhusu kazi jamani kiufupi mnaboa

    • @Amal-iq1wg
      @Amal-iq1wg 5 часов назад

      Shangaaa nawewee😂😂

  • @DaudJohn-y9y
    @DaudJohn-y9y 21 час назад

    Msiniuwe shamira ashanipenda dunian anataka tuongeze malikia mwingine mana aka kengine kanawaumiza kichw

  • @BarackNeema
    @BarackNeema День назад

    Masailo umetishaaa

  • @AsminKache
    @AsminKache День назад +2

    Nice❤

  • @ameenaalameena4968
    @ameenaalameena4968 12 часов назад

    Masailo jini mahaba huyo😂😂😂

  • @BarackNeema
    @BarackNeema День назад

    Jini kapendaa tena kapenda aelewi

  • @TabitaJacksoni
    @TabitaJacksoni День назад

    Iko safi

  • @JudyMwende-u8r
    @JudyMwende-u8r День назад +8

    Maua ya saliwati 🎉🎉🎉🎉🎉apewe like zake

    • @KhadijaM-x8v
      @KhadijaM-x8v 20 часов назад +1

      Nampenda saluwati 🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @Hadijawashuma
      @Hadijawashuma 6 часов назад +2

      ​@@KhadijaM-x8v mambo wajina

  • @NashaNasha-p9v
    @NashaNasha-p9v 23 часа назад

    Nice salwat

  • @ZenahNafula
    @ZenahNafula 6 часов назад

    Jini limengeuka masharti ya kwao

  • @Nabushuwu
    @Nabushuwu 22 часа назад

    I like that ❤

  • @neemabaraka3800
    @neemabaraka3800 22 часа назад

    Pameanza kuchangamka

  • @salimasava11
    @salimasava11 День назад

    Hilo salwat mama yako kashapenda jamani 😅😅😅

  • @floranceflorance3923
    @floranceflorance3923 День назад

    ❤️❤️❤️💞💞

  • @OmanOman-y7z
    @OmanOman-y7z 23 часа назад

    🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Ashleycute-tt1jo
    @Ashleycute-tt1jo 21 час назад

    ❤❤❤❤

  • @MughanaJanat
    @MughanaJanat 19 часов назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EhrustineZ
    @EhrustineZ 21 час назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MakarotiKamugisha
    @MakarotiKamugisha День назад

    Nisafi ila yasijje kuwa kama yale ya boss mchawi

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 День назад +1

    Una MTIHANI mkubwa xna bro...cjui kma utaupita vip... wakati ndio kashapenda huyo jini.....na ujuwe alikua Kwa mission yke😅

    • @LewisHamiltonGLD
      @LewisHamiltonGLD 22 часа назад +1

      Kazi anayo nakwambia mission inaenda kufeli😂😂😂

    • @tigejuma9865
      @tigejuma9865 22 часа назад

      @@LewisHamiltonGLD jini kafall inlove...wakti jamaa ako mpenz wake .. vita n vikali Ivo.... wakati anahitajika kurudi kuzimu na hataki.....penzi limemnogea

  • @RakmaRakma-o9b
    @RakmaRakma-o9b День назад

    🙏🙏❤️❤️🇧🇮🇧🇮

  • @DouceDemsambya
    @DouceDemsambya 18 часов назад

    Wauwa Yako iyo

  • @YassinMohamed-t4i
    @YassinMohamed-t4i 4 часа назад

    Yasini

  • @YassinMohamed-t4i
    @YassinMohamed-t4i 4 часа назад

    Masailo hongera bnh

  • @ssa4542
    @ssa4542 День назад

    ❤❤❤❤❤

  • @TephyPhrance
    @TephyPhrance День назад

    ❤❤❤