NABII MSWAHILI Part 7 - Madebe Lidai (Official Bongo Movie)
HTML-код
- Опубликовано: 11 сен 2024
- NABII MSWAHILI - Part 7 by Madebe Lidai (Full Length Official Movie) Bongo Movie 2019
Watch Part 1 Here: • NABII MSWAHILI Part 1 ...
Watch Part 2 Here: • NABII MSWAHILI Part 2 ...
Watch Part 3 Here: • NABII MSWAHILI Part 3 ...
Watch Part 4 Here: • NABII MSWAHILI Part 4 ...
Watch Part 5 Here: • NABII MSWAHILI Part 5 ...
Watch Part 6 Here: • NABII MSWAHILI Part 6 ...
CAST: Madebe Lidai, Nasor Thomas, Alvin Caparao, Hamisi Korongo, Jamila Mahege
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
Subscribe to Africa Movies on RUclips here: bit.ly/AfrichaM...
Bongo Movies, Tanzania Movies, African Movies, Movie, Comedy, Bongo Comedy, comedy, film #MadebeLidai #NabiiMswahili #AfrichMovies
Sawa madebe uko juu alikua nakufahamisha kuna vijana uku Kenya wanajiita shaflex film production tafadhali wafwatilie channel yao uone kazi yao
Baba wee unafaa kuishii sana kabisa ili tuendeleye kupata chakula hichi❤❤
Nabii weye uko juu sana.
Ongera sana nabii wetu.
Brother Madebe zako singonjera tupu bali unatachi mtu yeyote anaye hitajia mawazo maziri mimi binafsi nakukubali professor.
We nakukubali madebe maneno yenye mafunzo tosha ..tunakufwata sana minipo Muscat
Du! "Njia ya kumuacha mwanamke usiyempenda ni kumuoa"🤗🤗🤗
Nakubali sana bro
Unatisha San braza madebe
niliambiwa kukuhusu na jamaa mmoja anaitwa mark maseno huku kenya na yale yote niliyoambiwa nayaona hapa nabii karibu kenya utuelimishe zaidi
Bro uko poa
ukioa mwanmke aliyekuzidi umri ni sawa na kununua gazeti jion
Kaka unajua unachikifanya kazi ya msanii ni kuiburudisha na hasa kuielimisha jamiii...napenda unachokifanya..nakubali kaz zako
Hatamimi namkubari Sana, maana anazungumza point tupu
Good
1×3 na 3×1
Gudlulk gozbert
Nakukubali
Uko vzr sana madebe lidai nakukubali
Maneno mengi ya kujenga hii sinema ipo vizuri
Ufanya kazi nzuri sa na kwa mafundisho
Nabii mbona hii imeishia kati dah hapa hujatenda haki kabisa
Misikikisukuma
madebe sina lakusema wacha tu niangalie kitu loho inapenda
Kaka Clip zako nzuri na zinaelimisha. Ila boresha Sauti inakata kata sana. Mpaka inapoteza mvuto kwa mtazamaji na msikilizaji.
Nabii made be
Nomaa sanaaa
Safi
Nabii kweli wewe kiboko yao,,najifunza mengi sana kutokana na filamu zako,, Remy kutoka kenya
Ce bien vraiment
Konki konki konki fireee nabii utabaki juu juu mawinguni
Paka aliyekula blueband huwezi kumnasa kwa mkate 😂😂😂😂
Mwanamke mjane ndo mwanamke pekee aliyepewa mamlaka ya kujua mme wake yuko wapi 😂😂😂😂😂😂
Hapa tumekuelewa wachache 😁😁😁😁😂😂😂
He wanapiga picha za uchi kwasababu wanatafuta pesa wakanunue nguo
Uwe na maisha marefu MADEBE LIDAI
Nab mswahil is the ziger thropas
Keep going my happiness
Big up
Saii
Kuoa mschana aliyekuzidi umri ni swa na kununua gazeti jioni......hhh..nakupa mkono nabii
Waowao
Wamedharau mchi kwa mashine ya kusaga
Ukioa mwanamke aliye kuzidi umri ni sawa na kununua gazeti jion # asant madebe lidai
Madembe noma sana
nimeielewa Sana namkubal madebe
Naitwa johni dafi nabi ni mtu muhimu sana namkubali sana#
Kazi nzuri sana unaelimisha jamii vilivyo endelea kufanya ubunifu bila kutoka nje na jamii daima
Madebe nimekubali clip zako
Ivi madebe haya maneno ana yatolea wapi kweli, kana ana handahaa maneno haya mwenye basi acha ni seme ana akili sana na mungu amzidishiye uwahii
All the way from northern part of Kenya. Nakutambua Madebe Lidai
Balikiwa kwakazi nzuri madebe.
Dizo
Mchezo pekee usiokua na makelele Ni ule wa kushindana kukaa kimya 2
Nakuk balisan ilaendelea kuawaelimisha hawa watt wetuwakike kwawakiume
Clip zenye elimu ya juu sanaaaa
Msinyime lyke zenu kwa education
Nc
congra2lasion madebe
❤❤❤❤🌺🌺
Nimeikubali hii,madebe we mkali,shabiki wako kutoka hapa Kenya
Made be unanifuza city
Made be unanifuza city
Bless
Bro o nakuelewa. Kwa. Mafundisho. Yako komaa tuko pamoja
Munqu akubarik kk
Najifunza mengi kwako nabii mswahili uww juu baba
Kaz njema Sana kaka madebe
Big up bro madebe unajua mpaka unakela kaka
Kwenye inchi ya tanzania watu wenye maharifa ya kuhelimisha ni madebe na 2opecent
Apo sawa babaa ila pabgilieni movie sawa sawa tunazifwatilia mbali kufuata movie next unapata siyo yenye ulikua unataka
Nabii Swahili ana fanya filamu djuri
Namkubali huyuu kaka kwanii haya mazingira ni wapii
Uko.vizuri.ndunfu
Nakukumbali madebe mimi mushambiki wako cape Town south Africa
Respect kaka
Confirmed the truth spoken...ndio dunia tuliopo ndani yake ssa
Atali sana madebe naikubali sana misemo yako
Hahaha kunyonya maziwa ya mwanamke alietoa mimba utakuwa umenyonya Mali ya marehemu hahahahahaha
Panya alie kula mkate kamwe huwez kumnasa kwa blue band
Utabaki juu
Kutoa mimba sio eti wewe bado msichana hapana wewe ni mama ya marehemu afu nasema nawe mdada au mwanamke mme yeyote atakaye kwambia utowe mimba yake jua huyo ni muwaji WAKAI wowote aeza kakuwa wakati wowote thafari sana
Big up bro unajua
Kaka unajua sana nakukubari
umetshaaaaaa,,, njia nyingine ya kumuacha mwanamke usiyempnda ni kumuoa
Rudi zamani utayaona
Kwako cna ubixh mzee we kaz
Pastor Nganga
nzuriiii
Uko juuu sio wanao njifanya. Na vingereza
Nimeipenda sana
👊👊👊
Maneno
Maneno ya kuambiwa
Ww ndio kiboko yao bwana madebe
Big up kak
Nzuri kaka
Zam mda
Nimekuelewa sana asikari wang ongza makali 2ungte mpaka wawaze ni ngai ngai kk
nice
Wakenya wapenda Madebe mko wapi
Na mupenda nabii sana
Tupo tena saaana
Kwa mpigo
Tuko
@@dinahkinya9742 sikupendi
sikupendi
God bless
Yaaaa inaelimisha hasa sisi vijana waoaji na maolewa watarajiwa
Madebe uko vzr
Kanzu zahitaji heshima bwana
Madebe upo juuu
Jamaa angu unauwezo binafsi
Uko xawa xana
Nice
Mungu akupe umri mrefuuuu lidai wetu!
Ndoa za Kama vp vp?
Madebe kAma ushindi unao
Mh sana
Nice
des vrais théâtres
Good
Good bro madebe
uko vizuri Sana madebe
Kaz
Swadakta