Brother tundaman hii ngoma n kali sana ila unaonaje hapo mwishoni ungeweka asanteni kwa kuja kama msitari wa mwisho kumalizia ngoma??? Unaonaje huo mtazamo
Kaka nyimbo iko pow tatizo ukitaja majina ya wechazaji msimu ujao kama hao wachezaji hawapo nyimbo inakosa mvuto tunaomba utengeneze nyimbo mmoja kali ambayo haina majina wachezaji ili iwe nyimbo ya kila msimu iwe kama nyimbo ya taifa vile
tatizo bro sio kutaja wachezaji kwanza hawaondoki wote kwani miziki si bado ipo poa mpaka ule alo wataja wakina shibob majina hayana shida kwenye kwenya mziki
Hatimae kwa mkapa hajatoka m2, SIMBA 4 USGN 0 , God bless you #tunda man
Babu u are the greatest up salute ww babkubwa tunda 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Woooyoooo hatoki mtuuuu 🔥 🔥
Oyooo simbaaa kiboko
Captain u never disappoint 🙌💯
Huu Wimbo nimeuelewa sana, Hongera Tunda Man.
Mungu tunakuomba ushindi
Mjomba unakichafua 🦁🦁🔥 for life
Nakubali sana kk Simba nguvu Moja🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa mkapa hatoki mtu🔥🔥🔥
Chama la Wana 🔥🔥🔥🔥🎶🎶🎶
WE ARE UNSTOPPABLE FORCE LION 🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Chama languuuuuu Simba 🏅🏆🏆🏆🏆🏆🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Unanyimbo nzuri sana
Sana Sana tunda love you
Respect tunda Man kwa nyimbo
Woyoooo hatoki mtu🦁🦁❤️❤️❤️👌🔥🔥
sauti yako tunda ndio huniua aky....... nakupenda tangia oldskul hadi sai... kazi nzuri kaka......
Captain fantastic
Woooza mapema tuu kwa mkapa
Bonge la wimbo
Mnyama 🦁
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nguvu moja
🔥 🔥 #NguvuMoja
Mnyama simba 🔥🔥
Brother tundaman hii ngoma n kali sana ila unaonaje hapo mwishoni ungeweka asanteni kwa kuja kama msitari wa mwisho kumalizia ngoma??? Unaonaje huo mtazamo
Tunda man ni hatar
Much love from 🇰🇪.
You are my best artist
Best 🔥🔥🔥
💯💥💣🦁 Simba nguvu moja 💪
Utaimba sana kuusu simba ila uifikii tena tambeni
Nice
Kwa mkapa hatoki mtuu🔥🔥
💘💘💘💘
Bonge lasongi,mambo nifire
Naaaaam kwa mkapa hatoki mtu💪💪
Nguvu Moja Wanamsimbazi
Nakubali bro I'm still appreciating Simba Sports Club,16.10.2022
Hatokiiii mtuuuu
💪💪💪
Simba nguvu moja
Sipping this is Simba nguvu moja
👍👍🦁🦁👏👏👏
Simba nguvu moja🦁
Daaah hii kiboko. Simba Nguvu Moja congratulation TUNDAMAN. Song linahamasisha😁😁😁😁
Mnyamaaaaaa anafanya yake
❤️❤️❤️❤️
Captain 👁️👁️🦁🦁🦁🦁🦁
kweli. wametandikwa. hahaahha
Leo nimekucha hapa juu ya harmonize had nimesubcribe
Kali hyoo
Nyimbo nzuri❤️❤️❤️❤️❤️🦁💪
Vemaaa bro
Kaka nyimbo iko pow tatizo ukitaja majina ya wechazaji msimu ujao kama hao wachezaji hawapo nyimbo inakosa mvuto tunaomba utengeneze nyimbo mmoja kali ambayo haina majina wachezaji ili iwe nyimbo ya kila msimu iwe kama nyimbo ya taifa vile
tatizo bro sio kutaja wachezaji kwanza hawaondoki wote kwani miziki si bado ipo poa mpaka ule alo wataja wakina shibob majina hayana shida kwenye kwenya mziki
Hakika ngoma inakufafa kutaja majina na kutambulisha mwaka
Kweli' asipotajae majina itaishi miaka nenda rudi
Duuuhhh!!!!! siyo kama twawakeraaaaa 🙏🙏🙏🙏this is a simbaaaa 1️⃣1️⃣1️⃣🇹🇿🇹🇿👑👑👑.
Tunda Man wewe ni balaaaaaaaaaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥
Simba juuuuuuu
Ngoma kali sana
Iko poa lakin ametixha👍👍
Mbamoja wanasimba nguv moja
Captain uko 🏹
🔥🔥🔥🔥🔥
Simba fc
Baada muombe mungu awalinde Hiyo Kesho kutwa unakaz kuimba mnatubeba Sasa ngoja mpigwe japo kwenu na mtalia siku hiyoo dadek zenu
Cc sio kama nyny kupigwa nje ndani acha kuteseka kwa Simba hii kwa mkapa hatoki mtu 🔥🔥🔥🔥🔥
Piga like kama wewe n chama kubwa la simba
Hongera sanaaa tundaman
🔥🔥🔥🔥🔥🦁🦁🦁🦁🦁Our number 1 Official simba artist
Hatoki mtu
🦁🦁🦁🦁🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤
Nyimbo kalii mnoo Audi yak tunaipat wap
Hatoki mtu Kwak mkapa
🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲
captain kasha imba tayali nani mwingine tena
Nakubali Sana Tuna Man
Man
👊✌✌
💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💋
Ni 🌶🌶🌶🌶 sn tunapiga
Audio yake tunaipat wapo,??
Ngoma Kal
✊✊✊✊✊✊
😇😇😇😇
😆😆😆😆👌👌👌
Kwamkapa hatokimtu
Wakwanza saa 01:57
Tuna tamba na simba yetu hapa KWA mkapa hatoki mtuu kama umeikubali hii nyimbo weka like za kwenda hapa👉ruclips.net/video/TztR7hjj0xc/видео.html
Simba mjitahid mkafunge ila mkifungwa namm natoa ngoma yangu dadek zenu
💪💪🦁🦁🦁💪💪❤❤
Kaka ww hatari San kwa nyimbo Simba una mpinzan
❤❤❤❤
Nani anasikiliza hii WIKI HII KUELEKEA SIMBA DAY.
Hatoki mtu kwa mkapa
Ss aaasss
Ppp ndugu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Hatoki mtu
Captain nakubali hujawahi kukose
🔥🔥🔥
Hatoki mtu
Hatoki mtu