Ikiwa kachange email njia iliyobaki ni moja tu KWENDA POLISI NA DOCUMENT ZA SIMU YAKO MUHIMU video niliiandaa namna ya kufanya hivyo ila kuipost kesho Document kama IMEI,TAREHE SIMU ILIYOIBIWA,NAMBA ZA MWISHO KUTUMIKA,MODEL YA SIMU,IKIWEZEKANA MPK RISITI KAMA UNAZO then polisi watalishughulikia au kuna kampuni maalumu zilizochaguliwa kwa mambo hayo ISP Video yake namna ya kuwatumia massage hapo ISP kesho ndio nitaituma
Vipi kama mtu ameshairiseti simu? Bado itawezekana?
naomba link ya donglespd
Nikikaa fresh nitakutumia
What if huyu mtu kachange google email kwenye simu hiyo
Ikiwa kachange email njia iliyobaki ni moja tu KWENDA POLISI NA DOCUMENT ZA SIMU YAKO MUHIMU
video niliiandaa namna ya kufanya hivyo ila kuipost kesho
Document kama IMEI,TAREHE SIMU ILIYOIBIWA,NAMBA ZA MWISHO KUTUMIKA,MODEL YA SIMU,IKIWEZEKANA MPK RISITI KAMA UNAZO
then polisi watalishughulikia au kuna kampuni maalumu zilizochaguliwa kwa mambo hayo ISP
Video yake namna ya kuwatumia massage hapo ISP kesho ndio nitaituma