Familia za waliouawa katika maandamano zaandikisha taarika na IPOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 окт 2024
  • Zaidi ya familia 13 zimerekodi taarifa na Mamlaka Huru ya utendekazi wa Polisi (IPOA) huku zikitaka haki itendeke kwa waathiriwa ambao wamepoteza maisha kutokana na maandamano ya hivi majuzi dhidi ya serikali. Familia hizo zinasema kuwa zimepoteza matumaini katika mfumo wa haki. Rukia Bulle alizungumza nao na kuandaa taarifa hii.
    Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

Комментарии • 1

  • @saraadamu7468
    @saraadamu7468 2 месяца назад

    Wameuliwa na serikal hakuna haki itakayopatikana mungu awape subira ktk kipindi hiki Cha huzuni haki itapatikana kwa Allah muadilifu pekee lkn si kwa serikal ya zakayo nao watasubiri sana