SAFARI YA IKULU YA SHK YUSUF ABDI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 232

  • @halima2549
    @halima2549 3 года назад +10

    سبحان الله... Wallah me nlipoona Ile clip ya ikulu nlijua tu kutakua na wanaopinga hili.. Waislam jaman sjui wataelewa lini akida hizi.. Hivi kweli alkua aje msanii aimbe ndo ingekua vizur.. In naallillahi wainnaa ilayhi raajiuun.. Sheikh mungu ako pamoja na wewe wala usibanaike na maneno ya watu.. Kwan Kuna wengn hata elimu hawana ila kwa kupinga majambo number 1..Allah akuhifadhi nakupnda kwa ajili ya Allah

  • @user-lh3bt4rz9z
    @user-lh3bt4rz9z 3 года назад +1

    البدعة أشد من المعصية المعصية قد يتاب منها والبدعة لا يتاب منها

  • @hasanaatutv7078
    @hasanaatutv7078 3 года назад +2

    Sheikh yussuf Abdi
    Itosheke kuwa kazi yako nikubwa sana na ktk jamii nawengi wamebadilika nakuwa wema kupitia anasheed zako na mawaidha yako
    Sisi tulio jaaliwa kusoma Da'awah tunaelewa mambo ya fursa, nakumbuka baada yakutoka masomoni pia nilipata upinzani ila kwasasa wanaelewa, Sheikh endelea kujiamini na kufikisha daawah kwa njia njema kama hizo
    الله يبارك فيك

  • @donpablo2651
    @donpablo2651 3 года назад

    You can’t make every one happy sheikh .,you are not chocolate... Tanzania proud of you 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @charitytv687
    @charitytv687 3 года назад

    Sheikh Yusuf MashaAllah
    Mungu akuhifadhi InshaAllah

  • @dullakhb3401
    @dullakhb3401 3 года назад +12

    Go east ,Go west . Youssef Abdi is the best bravo bravo..

  • @zainabsadick8796
    @zainabsadick8796 3 года назад

    Allah akubariki. Njia za kulingania zinatofautiana. Alhamdulillah Allah atakulipa siyo binadam. Keep it up.

  • @tifaabdullahi2733
    @tifaabdullahi2733 3 года назад +5

    He is right! And my best sheikh he has sincerity in his heart.kukaribisha mgeni kwa maneno mazuri na ya mawaidha yenye dini kwa tune yake alojaaliwa na Allah sio haramu bana .wacheni kufanya dini ngumu.kama alikua akakhutubu ikulu that is exactly what he did in a different tone,be wise.

  • @hajisalumomari3460
    @hajisalumomari3460 3 года назад +5

    wallah sheikh tupamoja zipo chanagamoto nyingi kwenye maisha ya daa'wa lakn subira muhimu, ALLAH akujaalie hekima na busara

  • @dadirihamadi6268
    @dadirihamadi6268 3 года назад +5

    Go ahead shk we are with you inshallah

  • @wemakwawazazi
    @wemakwawazazi 3 года назад +7

    I support you sheikh .. yussuf abdi tuko na mengi ya kunjivunia kwako .. hizo nasheed ndio napata message katika kufanya birrul walidein... na pia Mimi kufikishia wengine message...Keep moving .. keep shining.. and don't give up your talent bcoz you are here to please Allah not pple...

  • @desire24able
    @desire24able 3 года назад +2

    Wanadamu kusema ni kawaida. Tunaifanya dini ngumu bure. Mbona wamefurahi wengi Mimi nikiwa mmoja wao. Allah barik ustadh Sheikh. Kuhukumu tumuachie Mungu.

  • @eddymatrix8704
    @eddymatrix8704 3 года назад +6

    Naam alhabeeb uko sahihi kbs inshallah Allah atakulipa kheri duniani.kaburini na akhera pia....na hao wanaokusimanga wajibu kwa Aya inayosema" faliyaa tafaasul mutanaafisuun" swadaqa llahu laadhiim

  • @hamadhamad3502
    @hamadhamad3502 3 года назад +10

    Mm nakukubali, daawa ni popote. Karibu zanzibar sheikh.

  • @bintmhammad9557
    @bintmhammad9557 3 года назад +4

    Tunakukubali sana Sheikh...Allah Akuongoze...Hiyo ilikua chance kubwa sana kwa waislamu mbona cjui tunapenda kuteta tunalia kila siku hawaturecognise leo hii tumepewa chance bado hatuoni..

  • @JamalAli-tz6pj
    @JamalAli-tz6pj 3 года назад +1

    Assalam alaikum warahmatullahi wabarakatuh..shukran jazillah ndugu yangu abdi uko sawa ila usiogope kutopendwa na watu hilo ni kawaida tokea kwa manabii..usibabaike mola yuko na wewe.
    Tatizo tulonalo saa hii katika jamii zetu za kiswahili au tatizo la kimadh'habi ndilo lafanya tusiendelee kimaendeleo kama waislamu na hao wanaokupinga wengi ni wale wanaopinga maulid haina haja tufichane mambo ndivyo yalivyo na ndio tunavyoona hapo msa..naswaha kwa ndugu yangu abdi fanya jambo ambalo wajua mola na mtume wake wataridhika sio waja peke yake.shukran

  • @hidayarashid5263
    @hidayarashid5263 3 года назад +1

    Jazakallahu khair mwenyezi mungu Akupe subra uzidi kutuelimisha Inshallah

  • @aishamwaks2355
    @aishamwaks2355 3 года назад +4

    Wallahi ata ungesoma Quran ungeambiwa umefanya makosa kukona wanawake hawajajistiri 😢 Subhanallah. May Allah guide you sheikh and protect you always and Allah atuongoze sote, atujaze mapenzi kwenye nyoyo zetu

    • @mamussi6872
      @mamussi6872 3 года назад +1

      Katika masheikh ninaempenda na sheikh Abdi yumo

  • @emraanadhan
    @emraanadhan 3 года назад

    Mashallah

  • @radhyiawamburah2394
    @radhyiawamburah2394 3 года назад +2

    My all time Sheikh, I love your Nasheeds very much especially mama it makes me cry and make dua for my late mom.

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 3 года назад +3

    Laa HauLlah Walaa Quwwata ILla BiLlah. MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi akufanyie wepesi na sahali kwa kila khatua unayoitukua. Akulinde na kila Hasad na shari. Allah Hafidh

  • @alimahbub5100
    @alimahbub5100 3 года назад +1

    Allah akuhifadhi sheikh uko sahihi allah akuepushe na hasad sheikh yusuf abdo

  • @yusuphj2357
    @yusuphj2357 3 года назад

    MashaaaAllah acha nao sheikh

  • @ahmedbadi5822
    @ahmedbadi5822 3 года назад +5

    This is the best Sheikh, Wallah umeuteka moyo wangu Sheikh.

  • @sharmabwoy
    @sharmabwoy 3 года назад +1

    Best sheikh in mombasa

  • @omarawadh4780
    @omarawadh4780 3 года назад +1

    جزاك الله كل خير يا شيخ يوسف

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 3 года назад +8

    ALLAH atuongoze wengine wanafanya dini inakua ngumu na din yetu nyepesi

    • @fatemaligalawa1918
      @fatemaligalawa1918 3 года назад

      Saana mpakatunaogopa watu kulikovMungu tunatoshana saana

    • @zeitunkassim9352
      @zeitunkassim9352 3 года назад +1

      @@fatemaligalawa1918 swadaktah habibty

  • @hasahm1995
    @hasahm1995 3 года назад +2

    Sheikh yusuf Allah akuhifadhio kutokana na ujahil wa hao watu , na Allah Akubariki .... Amiin

    • @faridswaleh8806
      @faridswaleh8806 3 года назад

      Shk. Yusuf ikiwa kipenzi wa Allah mtume Mohamad s.a.w amepingwa usione ajabu watu kukupinga wewe Allah atakuhifadhi na wewe wajua nia yako ni nini usirudi nyuma skh. Hasad na wivu ni kawaida ya bin adam

  • @cpahassanjibril
    @cpahassanjibril 3 года назад +1

    Mashaa Allah. Allah akujazie Kila la kheir na akupe Jannatul firdhous. I love you for the sake of Allah sheikh.

  • @nadiaomar3583
    @nadiaomar3583 3 года назад +3

    Excellent Shkh Yusuf May Allah protect you

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692 3 года назад +3

    Masha Allah, Allah Akbar, Allah akujalie subra, akuzidishie elimu na umri mrefu na akulinde na mahasidi Amiin Thumma Amiin

    • @hamzayusuf2999
      @hamzayusuf2999 3 года назад

      ni hawo mawahabi ndwo hawataki hayo mashairi yako mazuri wana wivu sanaa

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 3 года назад +4

    MashaAllah TabaraqaAllah sheikh اللة akuongoze nabhusda zikuepuke🙌

  • @asilabdisalan6396
    @asilabdisalan6396 3 года назад

    Allah akujazie mizani yako shukran jazallakeir may allah protect you always

  • @i.a.nalbusaidi4647
    @i.a.nalbusaidi4647 3 года назад +2

    بارك الله فيكم

  • @aishabwana799
    @aishabwana799 3 года назад +2

    allah akuhifadhi shekh wetu

  • @qatrabare8328
    @qatrabare8328 3 года назад +2

    Mashaallah TabarakaAllah sheikh usijali Watu ni hasad inawasumbuwa Allah atakulipa jazaa yk akuhifadhi na akupe umri mrefu ya kulinganiya na kuongoza wenye hawa fahamu na wana akili

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад

    Mashallah
    Shukran Shekhe Jazakah Lwah Kher

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132 3 года назад +1

    Ignore them Sheikh! U're the best!

  • @alhajjbashir521
    @alhajjbashir521 3 года назад +1

    Mashaallah tabaraka Allah akuongoze

  • @adabalarab7514
    @adabalarab7514 3 года назад +7

    wallh sheikh wangefurahii haoo maana hawajui watendaloo

  • @zeitunkassim9352
    @zeitunkassim9352 3 года назад +2

    ماشء اللة sheikh uko sawa

  • @alimselem7056
    @alimselem7056 3 года назад +2

    Allah Akupe subra

  • @rukiasalumjuma5676
    @rukiasalumjuma5676 3 года назад +2

    Mashallah Allah akzdshie elimu sheikh🙏

  • @hajibinali3560
    @hajibinali3560 3 года назад

    Mm sheikh yussuf nakukubali nanakupenda pia kwan umenifunza mengi. Allah akupe subra na uzidi kutuelimisha🙏

  • @abdulkhalikomar9604
    @abdulkhalikomar9604 3 года назад +2

    Mashaa Allah sheikh Yusuf,I fully support your efforts.May Allah give you Umr, health and Grant you Jannah.Ameen🤲

  • @xasaxuma9835
    @xasaxuma9835 3 года назад +2

    Am happy for You....theres A reason how you ended up there & Allahs knows Best...☝🏽Allah Allah Allahu Akbar...Hakuna wa kuhukumu zaidi Ya Allah Do Your Thing Sheikh...

  • @salahwarsame7369
    @salahwarsame7369 3 года назад

    Masham Allah mola akuhifhadi

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 3 года назад

    Ameen

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 3 года назад

    Ma shaa Allah wa Allahu Akbar sheikhe Allah akupe maisha mema

  • @sambigaTZA
    @sambigaTZA 3 года назад

    mashaalllah .sheikh Abd... Alllah Akuhifadhi ... Nimefrahi sana

  • @omaraliomar1671
    @omaraliomar1671 3 года назад

    جزاك الله الخير وبارك الله لك

  • @a.856
    @a.856 3 года назад

    Jazakallah khayran

  • @rahmaabdillahi2795
    @rahmaabdillahi2795 3 года назад +1

    Allah akuhifadhi.....Waislamu tunabaguana kwa mambo yasiyo na maana...Chuki ndio tatizo letu

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 3 года назад +2

    AlhamduLiLlah

  • @abubakarshalo3863
    @abubakarshalo3863 3 года назад

    Mashalah sheikh Allah akuhifadhi

  • @mindset_demeanor
    @mindset_demeanor 3 года назад

    Allah Allah Akbar la ilaha illa Allah❤️❤️

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 3 года назад

    Thank you Sheikh. Mungu akubariki

  • @wardanyawira794
    @wardanyawira794 3 года назад +1

    Mashallah Yusuf

  • @salmakinjo4543
    @salmakinjo4543 3 года назад +1

    May Allah continue to bless you shekh hongera kwa kazi yako nzuri

  • @mohamedhussein9096
    @mohamedhussein9096 3 года назад

    ALLAH akuhifadthi sheikh

  • @abdulshakur8425
    @abdulshakur8425 3 года назад +1

    Mashaallaah shekh

  • @nuhhassan
    @nuhhassan 3 года назад

    Umegonga ndipo. Allah akuzidishie umri wako na akuhifadhi

  • @YasserAlisubscribe
    @YasserAlisubscribe 3 года назад +2

    Hao wanaosema ni wivu tuu hawatafika ikulu maisha yao. Kuna watu hawapendi kuona wengine wanaendelea.

  • @twocounrieslady7165
    @twocounrieslady7165 3 года назад

    Allah yahdeena

  • @fatmabaungu9249
    @fatmabaungu9249 3 года назад

    MashaAllah Thabarakallah

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 3 года назад

    kitukuzwacho na Allah. hapana wa kukitweza. Sheikh keep it up. achana nao. ni wivu unawasumbua.

  • @aboubakarmanirampa9296
    @aboubakarmanirampa9296 3 года назад +1

    Allah ibarik fiiiQ sheikh

  • @abubatv8996
    @abubatv8996 3 года назад

    Mungu akulinde daima sheik wetu

  • @yakubyussuf9582
    @yakubyussuf9582 3 года назад

    Mawahabi wanachuki tu hao na Ahlu sunnah kazi kwao kuwarudi watu tu kwa mambo ya ikhtilafu na kuangalia upande wa wanawazuini wao tu bas. Allah akuongoze sheikh wangu na ukufunikishe katika kazi yako

  • @yussufnjoroge5215
    @yussufnjoroge5215 3 года назад +1

    MASHAALLAH,ALLAH AKULINDE,AKUEPUSHE NA SHARI,AKUPE SIHA NJEMA NA UMRI MREFU UZIDI KUTULINGANIA.ALLAH AMEKUINIA NA ATAZIDI KUKUINUA.

  • @nassirmohamed8437
    @nassirmohamed8437 3 года назад

    Mashaallah Shekh abdi بارك الله فيك hao hawana hoja Zaid ya kutaka kukosoa ili waonekane wao wanajua Zaid kuliko wengine wapo kila mahali hata kwetu wapo hawana wanachojua zaidi ya kutafuta ubishi.usishughulike nao Allah anao na mtume صلى الله عليه وسلم anaona na sisi waislamu tunaona. Abu Saleh from Tanzania

  • @sumeiyaaswani9559
    @sumeiyaaswani9559 3 года назад

    Mashallah nimekukubali, wasiokuelewa Allah awasamee

  • @asilabdisalan6396
    @asilabdisalan6396 3 года назад +1

    Maashaaallah my sheikh lv for sake allah may bless u 🙏

  • @omarbyz8695
    @omarbyz8695 3 года назад

    ولله شخ اك سهه منع اكتنعلي نااكلف خر👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mansuur4498
    @mansuur4498 3 года назад +6

    my role model

    • @abdiqafarkula6453
      @abdiqafarkula6453 3 года назад

      Say my role model is prophet Mohamed saw wengine wanaweza kupoteza

    • @mansuur4498
      @mansuur4498 3 года назад

      @@abdiqafarkula6453 The prophet P.B.U.H was a role model for the whole of humanity and am not wrong to say sheikh Yussuf is my role model too after the prophet(saw) so stop spreading hatred my dia bro

    • @abdiqafarkula6453
      @abdiqafarkula6453 3 года назад

      Bro kindly I'm nt in apoint of augment with plz its fault to so say such person is my role model bez he cn made mistakes severely and in the Quran Allah recommends as to follow Mohamed (swa) Quran and hadith only . I

    • @mansuur4498
      @mansuur4498 3 года назад

      @@abdiqafarkula6453 you know what its of no point arguing with you just say you have personal problem with the sheikh and stop beating around the bush

  • @wisdombase254
    @wisdombase254 3 года назад

    MaashaaAllah, am very proud of u, especially the way u showcased our deen in positive light. May Allah enlighten those who choose ignorance, which is a very bad disease. May Allah protect u all.

  • @ahmedislam9868
    @ahmedislam9868 3 года назад

    Allaah yahfadhkum

  • @hamzahassan2079
    @hamzahassan2079 3 года назад +1

    Indiyo daawa
    Sema shee Asidi Anasababu

  • @raziaidd2392
    @raziaidd2392 3 года назад +1

    Sheikhe tupo nawe pamoja in shaa Allah na Allah akuongoze kwa kila la kheir na akuepushie kila la shari🙏

  • @hamzinatv9704
    @hamzinatv9704 3 года назад +1

    Twakupenda sheikh wetuu ❣️❣️

  • @coolvoices6608
    @coolvoices6608 3 года назад

    Subhanallah watu mahasidi hawana jema. Sheikh Allah kakupa kipaji na wakitumia vizuri tu. You are the Ahmed Bukhathir of East Africa.

  • @binthamoudshariff5492
    @binthamoudshariff5492 3 года назад +1

    Daima zuri lisubiri kwa Allah lkn kwa binaadam hupati na Allah humpa amtakae 🤲

  • @nargisnurdin1659
    @nargisnurdin1659 3 года назад

    Asalam aleikum nilijuwa itakuwa ni gumzo lakini sioni baya siku zote sisi twaregeshana nyuma,jamanini tuwe niwenye hikma na busara tushakane na tuwe kitu kimoja tusiangushane,InshaAllah tuko nawewe sheikh.mungu atawapa tanabuwi

  • @doyoleyla9582
    @doyoleyla9582 3 года назад

    Assalaam alaykum sheikh yusuf Abdi sisi tunakujua dhamira yko na ulichokifanya co kitu kibaya Wallahy sisi tunakukubali napia tumefurahi saana umefanya kitu ambacho kwa masheikh wengine co rahisi kufanya na hawawezi na wangekuwa wanaweza pia wangefanya so siku zote mti wenye matunda ndio upigwao mawe na mahasidi ckuzote ni km inzi hawaendi kwny perfume hutafuta vidonda na uvundo. Sisi huku Tanzania tunakupa bigsalut

  • @kulthumali6904
    @kulthumali6904 3 года назад

    mashallah nice khutba.chembelecho waja haweshi kusema.

  • @fatmakhamis6069
    @fatmakhamis6069 3 года назад

    Limewauma hawakuitwa wao chuki Zao na choyo Zao hizo الله يحفظك شيخنا

  • @adanahmed4469
    @adanahmed4469 3 года назад +1

    ....we na kundi nzima Mola awabariki

  • @user-vl5vk5qg9d
    @user-vl5vk5qg9d 3 года назад

    Umefanya jambo la kheri sana sheikh. Wallahi ni fakhri kwetu pia. Allah ibarik

  • @yotesawatu
    @yotesawatu 3 года назад +2

    Fanya da'awa shekh wacha mambo za kuimba kuimba unapoteza heshima Allah akuongezi ww na sisi pia

    • @fatmaalzidy1170
      @fatmaalzidy1170 3 года назад

      Haimbi hiyo Nashid wala hapotezi heshima yake hebu tusome kwanza ndio

    • @yotesawatu
      @yotesawatu 3 года назад

      Sasa tusome nn hapo ?? Fafanua? Ukhti

  • @khadijamuhammad3194
    @khadijamuhammad3194 3 года назад

    Allah akuzidishie hakuna atangazae dini asipate mahasidi hata Mtume s.a.w alifuatwa wewe endelea Na Allah yuko nawe Na dua zetu unazo

  • @sharmabwoy
    @sharmabwoy 3 года назад

    M.a

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 3 года назад

    Mungu ndio atakae wajaji nyinyi masheikh kudanganya watu kwenda kwa masilahi

  • @anisamohamed5614
    @anisamohamed5614 3 года назад +1

    Why do some Muslims look for small differences to cause division among the Muslims subhanallah, I don’t see anything wrong that this sheik did, if you look things from negative mind set everything will look bad. May Allah Unite all the Muslims

  • @talhaabdulhafidh4112
    @talhaabdulhafidh4112 3 года назад +2

    البدعة احب الا ابليس من المعصية

  • @mauwasalum7631
    @mauwasalum7631 3 года назад

    Uko swa shekh yussuf , usiwa sikilize we endelea 2 inshallah hawata penda wote

  • @themefocus
    @themefocus 3 года назад +2

    Nilazima baadhi ya Watu hawatopenda. Sheikh Yussuf do what is right. Sisi hatukukamilika kuna baya na zuri. Ukifanya Zuri utatolewa makosa jee ukifanya baya liko kosa. Go Abdi go hapueze hayo unayo sikiya. Umepewa kipao itumiye.

  • @sweetmeena5970
    @sweetmeena5970 3 года назад

    Kwani masunni wamegawanyika mara ngapi mwatutatiza sasa kuna wale wa nasheed yafaa na wale wa nasheed haifai uislamu wazidi kugawanyika kila siku

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 года назад

    Napenda sana sauti na lafdhi ya kimombasa

  • @reformerthrone972
    @reformerthrone972 3 года назад

    Watu wengine wapumbavu Kupita mpaka... Maneno ya shekh Yusuf ni maneno mazima kabisa na sahihi.

  • @ttv_ahmed8893
    @ttv_ahmed8893 3 года назад +12

    Shekh usiwe na hofu watu wana maneno megi Wana wivu na ww