WATOTO WAMWAGIWA FEDHA WAKIIMBA KWA UMAHIRI SHAIRI LA UHURU, DIRA YA TAIFA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
    Watoto kutoka Zanzibar na Tanzania Bara wakighani kwa umahiri shairi wakati uzinduzi mchakato wa ukusanyaji maoni kutoka kwa wananchi kuhusu Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Rais Samia alifanya uzinduzi huo wakati wa Maadhimisho ya miaka 62 ya uhuru wa Tanzania Bara yaliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma

Комментарии • 8

  • @LoisaJumma
    @LoisaJumma 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤ ongelen mungu awazidshie

  • @MimaKhamis-wr7qz
    @MimaKhamis-wr7qz 4 месяца назад

    Mungu awabariki watoto wazuri mmejitaid ila mzidixhe bidii na mazoez kwa wing nawapend wote ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fatumakale7004
    @fatumakale7004 3 месяца назад +2

    Maashallah. ❤❤

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 5 месяцев назад +3

    Mmejitahid ila muende Zanzibar kulee kwa wenzenu mukajifunze utenzi wa ushairi kimahadhi mtaweza sanaa tu

  • @othmanchande7408
    @othmanchande7408 4 месяца назад +2

    Fatma said pambe

  • @AlexDottokubingwa
    @AlexDottokubingwa 18 дней назад

    Huo ND uzarend wa kwel

  • @AlexDottokubingwa
    @AlexDottokubingwa 18 дней назад

    Huo ND uzarend

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 4 месяца назад

    Kibibi cha kizanzibar kimekaza icho🎉🎉🎉🎉