Ambwene Mwasongwe _ Ndoa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 288

  • @erickrichard934
    @erickrichard934 6 лет назад +29

    Pongez ziende kwa wote mliofunga ndoa Mungu awabariki sana muendelee kupendana siku zote za maisha yenu ili mzidi kubarikiwa .Amina

  • @raphaelalfred9087
    @raphaelalfred9087 10 лет назад +30

    Mtumishi Bwana Yesu apewe sifa.
    Wimbo wako wa NDOA umeweza kuirudisha ndoa yangu ktk mahali salama ilikuwa imeyumba sana.Sijui hata nisemeje ila namsukuru MUNGU nawe pia nikushukuru kwani maneno yaliyopo kwenye wimbo huo yameturudisha pamoja mimi na mke wangu.AMEN

    • @ajunadeodatus9378
      @ajunadeodatus9378 4 года назад +1

      Ubarikiwe kaka napenda sana nyimbo zako zinanibarika sana 30/ 11/2019

    • @anethmlingi967
      @anethmlingi967 4 года назад

      Mungu aendelee kuwapigania

    • @peterissa7992
      @peterissa7992 3 года назад

      Ameen..mbarikiwe sana

  • @janethmgendi3378
    @janethmgendi3378 4 года назад +2

    Wimbo mzuri hasa kwa wanna ndoa.pendaneni sana msiachane

  • @desderathalyamuya8856
    @desderathalyamuya8856 5 лет назад +26

    Anayesikiliza kama mm 2019 na maneno yapo mapya kabisa kwake apite hapa tujuane

  • @noelasilayo1057
    @noelasilayo1057 4 года назад +3

    2o2o still have here

  • @esterkapinga1336
    @esterkapinga1336 5 лет назад +2

    Mungu nipe mume nasalikila siku jaman mungu nione nikiona iv naumia sanaa

  • @ayubumbilinyi2051
    @ayubumbilinyi2051 4 года назад +1

    2020

  • @oredibonk592
    @oredibonk592 4 года назад +8

    Watch in 2020 be blessed

  • @barakaerick1915
    @barakaerick1915 6 лет назад +11

    Kila siku lazima niisikilize hii nyimbo namuomba mungu wangu anipe mke bora kila nikilala naomba eeeh mungu wangu naomba sikia kilio changu

    • @angelinagirai3476
      @angelinagirai3476 4 года назад

      Baraka Erick wew mwema kama wew so mwema mungu hawezi kukupa mke mwema jichunguze kwanza wew

    • @deborahkabelege9363
      @deborahkabelege9363 4 года назад

      Am here

    • @rosedaniel1981
      @rosedaniel1981 4 года назад +1

      Baraka Eric niko hapa kama ww ni mwema 😅

  • @vivianpaschal1654
    @vivianpaschal1654 Год назад +2

    Niwimbo mzuri wakujifunza kwawenye ndoa💋💋💋💋💋💋💋💋🪔🪔🪔🪔🪔🪔🪔🪔

  • @richardjesca7814
    @richardjesca7814 5 лет назад +2

    Ipo siku na mimi mungu atanibariki nipate mume mwema

  • @skisterfidelis9616
    @skisterfidelis9616 4 года назад +7

    2020 nipo hapa from Dodoma Tanzania

  • @glorynassar4330
    @glorynassar4330 5 лет назад +4

    Huu wimbo utakuwa special siku dada yangu tunda akiamua kufunga ndoa Mungu amjalie mume wa maisha yake nakupenda dada yangu tunda

  • @michaelshigara7793
    @michaelshigara7793 8 лет назад +38

    Yaani wimbo huu wa ndoa umenibariki sana kwanamna ya ajabu, Pendo langu limezidi kukua kwa my wife. Asante Ambwene, Barikiwa sana, songa mbele mtumishi.

    • @haidarymwakisyala2460
      @haidarymwakisyala2460 5 лет назад

      Michael Shigara

    • @surahmunga2316
      @surahmunga2316 5 лет назад

      Nzuri nyimbo imenipa faraja mm na familia yangu mke wangu mpendwa surah na mtoto wangu mpendwa cailyn nawapenda xan

  • @faustamdonyela2519
    @faustamdonyela2519 4 года назад +1

    MUNGU akubaliki kaka 🙋‍♂️

  • @marcykivuyo9666
    @marcykivuyo9666 4 года назад

    Ee Mungu naomba unipe mume mwema uliekusudia wewe!!! Maana nakutegemea we Mungu wangu😁!!!

  • @tumainimlay7685
    @tumainimlay7685 5 лет назад +10

    2019 ndoa like wanaoisikiliza

  • @sihadavid4211
    @sihadavid4211 6 лет назад +6

    Maneno mazito,mazitoooo ya wimbo huu,yamejitosheleza,Mungu akubariki kaka

  • @martinchambai5460
    @martinchambai5460 5 лет назад +2

    Kama wanandoa watausikiliza wimbo huu na bado ndoa yao ikakosa upendo na amani itakuwa bahati mbaya sana

  • @glorymushi6174
    @glorymushi6174 5 лет назад +8

    20.9.2019 bado unanifariji

  • @edwardmpanda5252
    @edwardmpanda5252 5 лет назад +5

    No comment am crying namkumbuka Rafiki angu rip chris

    • @angelmkumbo1699
      @angelmkumbo1699 4 года назад

      Edward Mpanda 😢😢Rest in Peace Long umeniachaa nalia kila siku hasa nikisikiaaa hizii nyimbooo...
      Mlio kwenye ndoa pendanenii sana umuhimu wa mtu huonekanaa ambapo mtu hutoekaaa🤲🤲💔

  • @happyness2827
    @happyness2827 6 лет назад +8

    naitwa happy ness William eee mungu Wang naomba unipatie mume mwema asante mungu natumain ombi lang walisikia

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 5 дней назад +1

    Nakumbuka mbali saana enzi za ubinti wangu oh Sifa na Utukufu ni kwa BWANA🙏

  • @judithnassary7209
    @judithnassary7209 5 лет назад +8

    Mungu anijibu itaji langu la kupata Mme mwema

  • @shokumagazini6371
    @shokumagazini6371 6 лет назад +8

    Mimi niko inje ya africa lakini napenda sana uhimbaji wako,mungu azidi kukubariki.

  • @ferrybaizo8733
    @ferrybaizo8733 5 лет назад +4

    Hakuna hata siku 1 ninayochoka kusikiliza.... Mungu akuzidishie Afya njema na family 😘

  • @dynesshirima5611
    @dynesshirima5611 4 года назад +1

    Kama bado unauckiliza huu wimbo 2020 Kama mm likes tujuane pls

  • @ejbdbsjjs1074
    @ejbdbsjjs1074 8 лет назад +48

    naitwa sophia ee mungu wangu naomba unipe mme mwema

    • @redeemed5380
      @redeemed5380 6 лет назад +1

      Ejbd Bsjjs pokea kwa jina la mungu

    • @reubenmanembe6533
      @reubenmanembe6533 6 лет назад +2

      Endelea kumdai Mungu ni mwema atakupa mume Sophia! Mungu wetu hashindwi kitu!!!

    • @erickflenk6113
      @erickflenk6113 6 лет назад +2

      Naitwa Erick niko MwAnZa naipenda sana hii nyimbo namuomba mungu anipe mke mwenye heshima kama mm

    • @annastaziaemmanuel744
      @annastaziaemmanuel744 6 лет назад +2

      Erick Flenk niko hapamimi

    • @reubenmanembe6533
      @reubenmanembe6533 6 лет назад

      annastazia Emmanuel no bwana annastazia usiwe ivo!!!

  • @julianakibonde547
    @julianakibonde547 6 лет назад +3

    Barikiwa Sana Kaka Wimbo umenigusa Sana namshukuru Mungu ukimtegemea hakuangushi

  • @janembwilo1751
    @janembwilo1751 6 лет назад +5

    No one like Ambwene lakin mungu anawaona ambao nyimbo zake saiv awapigi nyimbo nzuri kama hizi kaka angu mungu akupe subira akuzidishie pale ulipotoa akuzidishie amen.

  • @jeannettelilianequeen4161
    @jeannettelilianequeen4161 4 года назад +2

    Amen nyimbo ina yeya gonga like kama bado una sikia ngoma iyi 2020🇺🇸😘

  • @kathrinarosa1522
    @kathrinarosa1522 9 лет назад +8

    Jamani wimbo mzuri natamani ningekuwa ni mm

  • @rhimarhima4785
    @rhimarhima4785 5 лет назад +4

    Kweli Mungu humpa mtu amtakaye barikiwa sana

  • @fatumasandali5668
    @fatumasandali5668 9 лет назад +5

    nyimbo ya ndoa naipenda sana nataman niwe amini mungu ajalie ufike ktk hrsi yangu na ninalia sana

  • @sussanreuben8200
    @sussanreuben8200 9 лет назад +7

    kweli wimbo umegusa maisha yangu nimejikuta nalia machozi ofisini baada ya kuusikia wimbo huu.asante mtumishi wa mungu,uzidi kutumiwa kuokoa wengine.

  • @sarahhosea4931
    @sarahhosea4931 6 лет назад +8

    I cant stop listening to this song... just as how I love yatima's song.

  • @frankdickson9880
    @frankdickson9880 6 лет назад +24

    2018 who is still listening and be blessed

  • @rosemsonde91
    @rosemsonde91 9 лет назад +4

    wimbo mzuri mnoo..barikiwa sana siku ya ndoa yangu ntakuarika uje uniimbie huu wimbo

    • @leilabhanji7543
      @leilabhanji7543 9 лет назад

      wimbo mzuri sana una mafundisho kwa wanandoa jmn. mie nimelia

  • @roseshemkai2513
    @roseshemkai2513 9 лет назад +9

    Ambwene your a good singer

  • @apolinondomba928
    @apolinondomba928 6 лет назад +3

    mungu kweli atisha,hongera ambwene sauti ya kuimba umejaaliwa,maisha marefu ujaaliwe

  • @gloryjane4147
    @gloryjane4147 5 лет назад +2

    Siku zote naamin Mungu hutenda njia pasipo na njia. Kikubwa Imani sku atatenda na kwangu pia .

  • @lovenessmganga5619
    @lovenessmganga5619 5 лет назад +1

    Tusaidie Bwana tuishi maisha mema na Mme wangu mtarajiwa..

  • @mohamedhaibe370
    @mohamedhaibe370 8 лет назад +7

    I love gosple

  • @bakarikhaji4049
    @bakarikhaji4049 9 лет назад +7

    Wimbo mzuri kaka

  • @BahatiNeema-l7g
    @BahatiNeema-l7g 11 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙌 Amen 🙏

  • @barakanevele1601
    @barakanevele1601 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @salemshomary6382
    @salemshomary6382 10 лет назад +8

    Nyimbo nzur sana

  • @zuiyajohn8997
    @zuiyajohn8997 7 лет назад +9

    naupenda saana wimbo WA Misuli ya Imani, ubarkiwe Sana kaka.

  • @twesigerichard2078
    @twesigerichard2078 9 лет назад +7

    Love ur songs Ambwene be blessed

  • @georgekamwelwe9597
    @georgekamwelwe9597 8 лет назад +25

    wimbo mzuri umenigusa sana Ambwene I love my wife so much 3 yrs now in marriage

  • @hazardharunihr8225
    @hazardharunihr8225 5 лет назад +2

    Ndoa ndoa ndoa ndoa jamani😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃🏃

  • @eddahwangila1325
    @eddahwangila1325 8 лет назад +10

    The message of this song is very strong ,God bless you brother.

  • @merymwashota363
    @merymwashota363 4 года назад

    13/2/2020

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 4 года назад

    Wimbo unafundisha kupendana kwa kweli na co kwa kitu kesho akiwa hana ndoa itavunjika inabidi kumpenda Mungu kwanza

  • @larrybala5980
    @larrybala5980 6 лет назад +3

    Mfano mzuri. Nyimbo nzuri safi sanaaaaaaaa

  • @sarasalum4554
    @sarasalum4554 5 лет назад +1

    I like this song!

  • @majaliwafredsoni4951
    @majaliwafredsoni4951 4 года назад

    🙏🙏

  • @rejoicingshangwembonekube3164
    @rejoicingshangwembonekube3164 6 лет назад +4

    Nyimbo hizi no nzuri sana!

  • @richardchriss2308
    @richardchriss2308 4 года назад

    Amina, 2020 wimbo huu una ujumbe mzito, utaendelea kuishi na kuhuisha ndoa za watu wengi,

  • @mariamemmanuel8384
    @mariamemmanuel8384 6 лет назад +2

    Ninejifuza mambo mengi sana kupitia hii nyimbo japo sijaolewa ubalikiwe sana kaka

  • @mamuukz
    @mamuukz 3 года назад

    Mwasongwe nyipo nzuri inabariki Wana ndoa🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jewenyemzunguksiku30shaban46
    @jewenyemzunguksiku30shaban46 5 лет назад +3

    Nyimbo nzur San mungunijalie ndotozang zitimie

  • @mwavitabakari5096
    @mwavitabakari5096 4 года назад +1

    Amen 🌹🥀

  • @magrethlyoba3229
    @magrethlyoba3229 7 лет назад +1

    asante sana mtumishi kwa ujumbe wako mzuri na wenye mafunzo,, barikiwa Sana👏👏

  • @rosarosa4298
    @rosarosa4298 4 года назад

    Nipenda sana mafunzo kwenye nyimbo zako mungu akuinue zaidi nimebarikiwa

  • @castorykikoti3096
    @castorykikoti3096 3 года назад +1

    Kutoka 2015 hadi leo hii 2121 bado nyimbo inanibariki na sichoki kuisikiliza...🔥

  • @ainealazaro7321
    @ainealazaro7321 5 лет назад

    hepukeni mazoea yanaleta kiburi safi sana

  • @sophiamanga2648
    @sophiamanga2648 4 года назад

    Mungu akuhimalishe zaidi na zaidi kwani unafanya vizur sanaaaa

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 3 года назад

    Ujumbe huu kweli umekuwa nuru kwangu ubarikiwe sana mtumishi

  • @georgemukoji2006
    @georgemukoji2006 9 лет назад +1

    dah, ukisikiliza huu wimbo lazima upate feelings flan iv.

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 лет назад +2

    Mungu akubariki sana Kaka kazi suri sana 💞

  • @peterissa7992
    @peterissa7992 3 года назад

    Ameen mungu anipe mme mwema kuptia huu wimbo#imjessicajackson

  • @shidapande5377
    @shidapande5377 4 года назад

    kiukweli mtumishi unanifaliji sana,;; balikiwa sana

  • @mnunuseme9564
    @mnunuseme9564 8 лет назад +10

    namiss home kwetu Tukuyu 😢😢😢

    • @idduliza2641
      @idduliza2641 4 года назад

      Safi sana ujumbe wakupendeza mungu apewe sifa

  • @HassaNAli-sc6wx
    @HassaNAli-sc6wx 5 лет назад

    Wimbo mzulisana nimeupenda sana unaujumbe mzulisana mungu akubaliki kaka

  • @estherphilemon4907
    @estherphilemon4907 4 года назад

    Ndoa lazima zidumu kwa wimbo huu sio kwa kutugusa huko

  • @catherinekayamba5304
    @catherinekayamba5304 3 года назад

    Amen ,umenibariki sana,barikiwa mtumishi

  • @marthahozza7068
    @marthahozza7068 5 лет назад +2

    Am n lov with this song🙏🙏

  • @rhinaregina5806
    @rhinaregina5806 6 лет назад +2

    Amen amazing song God bless you brother, this is massage enough who will understand

    • @azeymussa79
      @azeymussa79 6 лет назад

      if God with us who can against us I loveJesus

  • @josephinemwambe3385
    @josephinemwambe3385 6 лет назад +1

    Barikiwa saaana ndugu Ambweni.. I love your songs

  • @juniorwayned3597
    @juniorwayned3597 6 лет назад +3

    Mung akulinde kwa nyimbo nzuri za dini🙏🙏

    • @ednajohn1894
      @ednajohn1894 5 лет назад

      wimbo mzuri sana mungu akubaliki

  • @irenetumaini2008
    @irenetumaini2008 8 лет назад +2

    Wow! May God bless you abundantly ambwene

  • @frankgk8187
    @frankgk8187 8 лет назад +2

    Huwa nazipenda sana nyimbo za huyu mtumishi Abwene..

    • @petromtimbuka2937
      @petromtimbuka2937 8 лет назад

      Mm na muombea ambwene azidi kbarkiwa pia nawaombéa taifa zma kwaujumla mzd kbarkiw na nyimbo Za ambwene mwisho nawa takia uskv mwema Asnte sana ambwene

  • @diclareastrivini5514
    @diclareastrivini5514 6 лет назад

    naitwa diclerea naupenda sana huu wimbo mungu nisaidie nipate mume mwema ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @angledevota8676
    @angledevota8676 5 лет назад

    Nataman na mm siku moja nifunge ndoa Mungu anisaidie

  • @devidydevidy2301
    @devidydevidy2301 4 года назад

    Daah mwasongwe Mungu akubaliki

  • @elipinapodius2365
    @elipinapodius2365 8 лет назад +6

    mungu akawe mwalimu Wenu na akawe mshauri Wenu nice message

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 3 года назад

    😘🤦‍♀️

  • @jumasifa3452
    @jumasifa3452 Год назад

    Mungu akubali sana kwa wimbo huu wandoa

  • @annaprosper4488
    @annaprosper4488 5 лет назад +2

    GOD BLESS YOU

  • @vicentezekiel374
    @vicentezekiel374 4 года назад

    Nakubali sanaKaka Mkubwa Ambwene

  • @Lovelymaria0
    @Lovelymaria0 8 лет назад +2

    WOW, nice song, i love it

  • @cristinamrema5274
    @cristinamrema5274 7 лет назад +2

    God bless you for from the songs beautiful

  • @reginalionjo6531
    @reginalionjo6531 4 года назад

    Nafurahiya ujumbe nimzuri Sana

  • @neemajerrymwaihojo2813
    @neemajerrymwaihojo2813 5 лет назад +1

    ubarikiwe na wimbo huu kaka angu 2019 /10/20

  • @minuandrew4901
    @minuandrew4901 8 лет назад +13

    Ambwene, Mungu akubariki, abariki na kazi yako ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji

  • @patricktshibangu4380
    @patricktshibangu4380 6 лет назад +3

    All yor songs are blessing me I like itt toot much my God blesse you

  • @faidaenock2804
    @faidaenock2804 6 лет назад +4

    wimbo mzur gwakukaja

  • @ephraimkalyalya3093
    @ephraimkalyalya3093 9 лет назад +1

    ikopoa sana mtumishi wa mungu. by joshua samson majimoto@katavi.

  • @mercimantendo1830
    @mercimantendo1830 5 лет назад

    Kwa kweli kaka nyimbo zako uwa zinanigusa Sana ubarikiwe katika uimbaji Mungu akuzidishiye kipaji hicho