Mtumishi Bwana Yesu apewe sifa. Wimbo wako wa NDOA umeweza kuirudisha ndoa yangu ktk mahali salama ilikuwa imeyumba sana.Sijui hata nisemeje ila namsukuru MUNGU nawe pia nikushukuru kwani maneno yaliyopo kwenye wimbo huo yameturudisha pamoja mimi na mke wangu.AMEN
Yaani wimbo huu wa ndoa umenibariki sana kwanamna ya ajabu, Pendo langu limezidi kukua kwa my wife. Asante Ambwene, Barikiwa sana, songa mbele mtumishi.
Edward Mpanda 😢😢Rest in Peace Long umeniachaa nalia kila siku hasa nikisikiaaa hizii nyimbooo... Mlio kwenye ndoa pendanenii sana umuhimu wa mtu huonekanaa ambapo mtu hutoekaaa🤲🤲💔
No one like Ambwene lakin mungu anawaona ambao nyimbo zake saiv awapigi nyimbo nzuri kama hizi kaka angu mungu akupe subira akuzidishie pale ulipotoa akuzidishie amen.
Mm na muombea ambwene azidi kbarkiwa pia nawaombéa taifa zma kwaujumla mzd kbarkiw na nyimbo Za ambwene mwisho nawa takia uskv mwema Asnte sana ambwene
Pongez ziende kwa wote mliofunga ndoa Mungu awabariki sana muendelee kupendana siku zote za maisha yenu ili mzidi kubarikiwa .Amina
Ahsante sana ndugu
erick richard Amend
Amen umarikiwe pia
Amen
Mtumishi Bwana Yesu apewe sifa.
Wimbo wako wa NDOA umeweza kuirudisha ndoa yangu ktk mahali salama ilikuwa imeyumba sana.Sijui hata nisemeje ila namsukuru MUNGU nawe pia nikushukuru kwani maneno yaliyopo kwenye wimbo huo yameturudisha pamoja mimi na mke wangu.AMEN
Ubarikiwe kaka napenda sana nyimbo zako zinanibarika sana 30/ 11/2019
Mungu aendelee kuwapigania
Ameen..mbarikiwe sana
Wimbo mzuri hasa kwa wanna ndoa.pendaneni sana msiachane
Anayesikiliza kama mm 2019 na maneno yapo mapya kabisa kwake apite hapa tujuane
Desderatha Lyamuya ndio
2o2o still have here
Mungu nipe mume nasalikila siku jaman mungu nione nikiona iv naumia sanaa
2020
Watch in 2020 be blessed
Kila siku lazima niisikilize hii nyimbo namuomba mungu wangu anipe mke bora kila nikilala naomba eeeh mungu wangu naomba sikia kilio changu
Baraka Erick wew mwema kama wew so mwema mungu hawezi kukupa mke mwema jichunguze kwanza wew
Am here
Baraka Eric niko hapa kama ww ni mwema 😅
Niwimbo mzuri wakujifunza kwawenye ndoa💋💋💋💋💋💋💋💋🪔🪔🪔🪔🪔🪔🪔🪔
Ipo siku na mimi mungu atanibariki nipate mume mwema
bongo mov
2020 nipo hapa from Dodoma Tanzania
Huu wimbo utakuwa special siku dada yangu tunda akiamua kufunga ndoa Mungu amjalie mume wa maisha yake nakupenda dada yangu tunda
Yaani wimbo huu wa ndoa umenibariki sana kwanamna ya ajabu, Pendo langu limezidi kukua kwa my wife. Asante Ambwene, Barikiwa sana, songa mbele mtumishi.
Michael Shigara
Nzuri nyimbo imenipa faraja mm na familia yangu mke wangu mpendwa surah na mtoto wangu mpendwa cailyn nawapenda xan
MUNGU akubaliki kaka 🙋♂️
Ee Mungu naomba unipe mume mwema uliekusudia wewe!!! Maana nakutegemea we Mungu wangu😁!!!
2019 ndoa like wanaoisikiliza
Maneno mazito,mazitoooo ya wimbo huu,yamejitosheleza,Mungu akubariki kaka
Kama wanandoa watausikiliza wimbo huu na bado ndoa yao ikakosa upendo na amani itakuwa bahati mbaya sana
20.9.2019 bado unanifariji
No comment am crying namkumbuka Rafiki angu rip chris
Edward Mpanda 😢😢Rest in Peace Long umeniachaa nalia kila siku hasa nikisikiaaa hizii nyimbooo...
Mlio kwenye ndoa pendanenii sana umuhimu wa mtu huonekanaa ambapo mtu hutoekaaa🤲🤲💔
naitwa happy ness William eee mungu Wang naomba unipatie mume mwema asante mungu natumain ombi lang walisikia
Amina mungu wawote iko siku
Safi
Amen
Amen ubarikiwe
Nakumbuka mbali saana enzi za ubinti wangu oh Sifa na Utukufu ni kwa BWANA🙏
Mungu anijibu itaji langu la kupata Mme mwema
Ukimwamin nae atakujibu kwawakat wake
Mimi niko inje ya africa lakini napenda sana uhimbaji wako,mungu azidi kukubariki.
Hakuna hata siku 1 ninayochoka kusikiliza.... Mungu akuzidishie Afya njema na family 😘
Kama bado unauckiliza huu wimbo 2020 Kama mm likes tujuane pls
naitwa sophia ee mungu wangu naomba unipe mme mwema
Ejbd Bsjjs pokea kwa jina la mungu
Endelea kumdai Mungu ni mwema atakupa mume Sophia! Mungu wetu hashindwi kitu!!!
Naitwa Erick niko MwAnZa naipenda sana hii nyimbo namuomba mungu anipe mke mwenye heshima kama mm
Erick Flenk niko hapamimi
annastazia Emmanuel no bwana annastazia usiwe ivo!!!
Barikiwa Sana Kaka Wimbo umenigusa Sana namshukuru Mungu ukimtegemea hakuangushi
No one like Ambwene lakin mungu anawaona ambao nyimbo zake saiv awapigi nyimbo nzuri kama hizi kaka angu mungu akupe subira akuzidishie pale ulipotoa akuzidishie amen.
Jane Mbwilo inspirational song
Amen nyimbo ina yeya gonga like kama bado una sikia ngoma iyi 2020🇺🇸😘
Jamani wimbo mzuri natamani ningekuwa ni mm
Ubarikiwe sana Mtumishi
Kweli Mungu humpa mtu amtakaye barikiwa sana
nyimbo ya ndoa naipenda sana nataman niwe amini mungu ajalie ufike ktk hrsi yangu na ninalia sana
kweli wimbo umegusa maisha yangu nimejikuta nalia machozi ofisini baada ya kuusikia wimbo huu.asante mtumishi wa mungu,uzidi kutumiwa kuokoa wengine.
Barikiwa kaka Mungu akuzidishe imani nakutufundisha kwa njia ya nyimbo
Akika
I cant stop listening to this song... just as how I love yatima's song.
Never
2018 who is still listening and be blessed
Amina
wimbo mzuri mnoo..barikiwa sana siku ya ndoa yangu ntakuarika uje uniimbie huu wimbo
wimbo mzuri sana una mafundisho kwa wanandoa jmn. mie nimelia
Ambwene your a good singer
mungu kweli atisha,hongera ambwene sauti ya kuimba umejaaliwa,maisha marefu ujaaliwe
Siku zote naamin Mungu hutenda njia pasipo na njia. Kikubwa Imani sku atatenda na kwangu pia .
Tusaidie Bwana tuishi maisha mema na Mme wangu mtarajiwa..
I love gosple
Wimbo mzuri kaka
Amen 🙏🙌 Amen 🙏
❤❤❤❤
Nyimbo nzur sana
Barikiwa sana Ambwene Mwasongwe
naupenda saana wimbo WA Misuli ya Imani, ubarkiwe Sana kaka.
Zuiya John
Love ur songs Ambwene be blessed
wimbo mzuri umenigusa sana Ambwene I love my wife so much 3 yrs now in marriage
mauwa
Ndoa ndoa ndoa ndoa jamani😭😭😭😭😭🏃🏃🏃🏃🏃
The message of this song is very strong ,God bless you brother.
13/2/2020
Wimbo unafundisha kupendana kwa kweli na co kwa kitu kesho akiwa hana ndoa itavunjika inabidi kumpenda Mungu kwanza
Mfano mzuri. Nyimbo nzuri safi sanaaaaaaaa
I like this song!
🙏🙏
Nyimbo hizi no nzuri sana!
Amina, 2020 wimbo huu una ujumbe mzito, utaendelea kuishi na kuhuisha ndoa za watu wengi,
Ninejifuza mambo mengi sana kupitia hii nyimbo japo sijaolewa ubalikiwe sana kaka
nimeelew san huu wimb kaka god blessd
Mwasongwe nyipo nzuri inabariki Wana ndoa🙏🙏🙏🙏🙏
Nyimbo nzur San mungunijalie ndotozang zitimie
Amen 🌹🥀
asante sana mtumishi kwa ujumbe wako mzuri na wenye mafunzo,, barikiwa Sana👏👏
Nipenda sana mafunzo kwenye nyimbo zako mungu akuinue zaidi nimebarikiwa
Kutoka 2015 hadi leo hii 2121 bado nyimbo inanibariki na sichoki kuisikiliza...🔥
hepukeni mazoea yanaleta kiburi safi sana
Mungu akuhimalishe zaidi na zaidi kwani unafanya vizur sanaaaa
Ujumbe huu kweli umekuwa nuru kwangu ubarikiwe sana mtumishi
dah, ukisikiliza huu wimbo lazima upate feelings flan iv.
Mungu akubariki sana Kaka kazi suri sana 💞
Ameen mungu anipe mme mwema kuptia huu wimbo#imjessicajackson
kiukweli mtumishi unanifaliji sana,;; balikiwa sana
namiss home kwetu Tukuyu 😢😢😢
Safi sana ujumbe wakupendeza mungu apewe sifa
Wimbo mzulisana nimeupenda sana unaujumbe mzulisana mungu akubaliki kaka
Ndoa lazima zidumu kwa wimbo huu sio kwa kutugusa huko
Amen ,umenibariki sana,barikiwa mtumishi
Am n lov with this song🙏🙏
Amen amazing song God bless you brother, this is massage enough who will understand
if God with us who can against us I loveJesus
Barikiwa saaana ndugu Ambweni.. I love your songs
Mung akulinde kwa nyimbo nzuri za dini🙏🙏
wimbo mzuri sana mungu akubaliki
Wow! May God bless you abundantly ambwene
Huwa nazipenda sana nyimbo za huyu mtumishi Abwene..
Mm na muombea ambwene azidi kbarkiwa pia nawaombéa taifa zma kwaujumla mzd kbarkiw na nyimbo Za ambwene mwisho nawa takia uskv mwema Asnte sana ambwene
naitwa diclerea naupenda sana huu wimbo mungu nisaidie nipate mume mwema ubarikiwe mtumishi wa mungu
Nataman na mm siku moja nifunge ndoa Mungu anisaidie
Daah mwasongwe Mungu akubaliki
mungu akawe mwalimu Wenu na akawe mshauri Wenu nice message
Kmk
baba umejua kunifuraisha
😘🤦♀️
Mungu akubali sana kwa wimbo huu wandoa
GOD BLESS YOU
Nakubali sanaKaka Mkubwa Ambwene
WOW, nice song, i love it
God bless you for from the songs beautiful
Nafurahiya ujumbe nimzuri Sana
ubarikiwe na wimbo huu kaka angu 2019 /10/20
Ambwene, Mungu akubariki, abariki na kazi yako ya uinjilishaji kwa njia ya uimbaji
nice
Mungu abark kaz zako
All yor songs are blessing me I like itt toot much my God blesse you
Patrick Tshibangu fantastic song
wimbo mzur gwakukaja
Faida Enock Amima xanaaaa
Albam zima inanibariki
ikopoa sana mtumishi wa mungu. by joshua samson majimoto@katavi.
Kwa kweli kaka nyimbo zako uwa zinanigusa Sana ubarikiwe katika uimbaji Mungu akuzidishiye kipaji hicho