Neema Gospel Choir - Permanent (Live Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 май 2024
  • Tunamshukuru Mungu kwa mambo ya ajabu aliyotenda maishani Mwetu. Baraka na matendo yake yametuletea furaha na nguvu nyakati zote, hata nyakati za shida.
    Kama asemavyo Mwandishi wa Zaburi, "BWANA alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi." (Zaburi 126:3).
    🗯️🗯️🗯️🗯️
    Kupitia wimbo huu wa PERMANENT tunaweza kuona ndani yake kuna:
    📌Shukurani ya KiMungu (Divine Gratitude): Shukurani kwa matendo makuu ambayo Mungu ameyafanya katika maisha yetu.
    📌Imani na Ujasiri (Faith and Confidence): Ujasiri na uhakika katika uwepo na msaada wa Mungu katika maisha yetu.
    📌Ulinzi na Uwakili (Protection and Advocacy): Mungu anaelezwa kama mlinzi na mwakilishi ambaye huhakikisha usalama wetu na kupigania haki zetu.
    📌Kudumu kwa Baraka (Permanent Blessings): Dhana ya agano la kudumu la baraka za Mungu inasisitizwa, ikionesha uhusiano usiovunjika na endelevu kati yetu na Mungu.
    📌Kutokuwepo kwa Hofu (Absence of Fear): Hakikisho kutoka kwa Mungu husababisha kutokuwepo kwa hofu na taharuki katika maisha yetu.
    Songwriter & Composer: Samuel Limbu & Fredrick Japhet Masanja
    Leader: ⁠David Kusekwa, Mariam Protace & Esther Isaac Kilago
    --
    VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
    held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
    𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
    𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
    𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
    𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
    𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
    𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
    𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
    𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
    𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
    𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
    𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
    𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
    𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
    𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
    Instagram: Neema Gospel Choir
    Facebook: Neema Gospel Choir
    X: Neema Gospel Choir
    Threads: Neema Gospel Choir
    Tiktok: Neema Gospel Choir
    𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
    Whatsapp: +255 766 777 288
    Email: info@neemagospelchoir.org
    Website: www.neemagospelchoir.org
    ©️2024
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 434

  • @NeemaGospelChoir
    @NeemaGospelChoir  Месяц назад +39

    Lyrics📌
    Nani kaona yale mambo Mungu Baba kanitendea
    Kanifanya niimbe Mbele ya adui nivimbe
    Niko sure na huyu mzee Kanitendea
    Amesema yuko nami wala siogopi Maana he is on my side
    Baraka zake ni kwa wingi ninamuamini Ni mtetezi wangu Permanent
    Baba kasema nisihofu
    yuko nami tena nisifadhaike
    Mkataba wa baraka Ni Permanent
    Tumefunga naye mkataba Baraka sisi Mungu anatupaga
    Ulinzi wake tu unatoshaga Haki zetu anapiganiaga
    Oooh hatutanyang'anywa tena
    Nimeshikika kwake Sitachomoka kwake Nipo Permanent
    Baba kasema nisihofu
    yuko nami tena nisifadhaike
    Mkataba wa baraka Ni Permanent

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH Месяц назад +47

    Number 1 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania me your like now please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 soon My song it's enjoy your day for song neema gospel choir come like

  • @hezronbaraka206
    @hezronbaraka206 Месяц назад +68

    Alirejesha yale tulioibiwa, tukatabili na tukabariki,, sas yote yaliyolejeshwa na kutabiliwa na kubalikiwa leo yamekuwa PERMANENT 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 watu wa maana kabisa hawa kutoka kwa Mungu aliye juu.......❤❤❤

  • @TheWorldGospel
    @TheWorldGospel Месяц назад +55

    Tuliobarikiwa , sasa baraka zetu zinaenda kuwa PERMANENT.Gonga 👍 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼

    • @user-lm7mk4bj9u
      @user-lm7mk4bj9u Месяц назад

      Hakika mungu katutendea mambo permanent hakuna waku tunyang'anya💥💥baraka ni permanent

  • @ngatatv1365
    @ngatatv1365 Месяц назад +54

    Ila nyie watu kuna huyu mtu anaitwa *Titus Alfred* Najua kuandaa Editin zake mazeee aisee sio kitoto ni vibao vya nguvu and they are very generous 😊

    • @titusalfred
      @titusalfred Месяц назад +6

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Utukufu kwa YESU

    • @priscillamugisha794
      @priscillamugisha794 Месяц назад +1

      Kabsa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @JaneyIshengoma
    @JaneyIshengoma Месяц назад +4

    God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿🇹🇷🇸🇸🇱🇾

  • @dianachepkemoi5623
    @dianachepkemoi5623 Месяц назад +4

    Getting blessed from Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 4 дня назад

    Ilikuwa Temporary and now is PERMANENT. MWAMBA NI Yule yule i really like this creativity. God bless You

  • @kigura_jr
    @kigura_jr Месяц назад +7

    Freddy Kuna namna ameumbiwa kuwa fundi wa muziki aisee, mwanamasanja ulemhola saana bhabha 🎹🎧🎸🎸

  • @isackobadiah484
    @isackobadiah484 Месяц назад +5

    Wimbo Mzurii Sana, Mungu Azidi Kuwabariki Kwa Jumbe Zenu Nzurii Kila Kukichaa🙏🙏👏👏

  • @TwineKing
    @TwineKing Месяц назад +4

    The calming sound of this song forces you to paying attention by default. and listen to the great words with no interruption.
    Edit: Well done Neema Gospel Choir for blessing us. Praised to the most high God.

  • @davidschaermann5270
    @davidschaermann5270 Месяц назад +21

    Greetings from Germany 🇩🇪 Siku moja mtakuja kwetu❤

  • @RoseSilas-t8i
    @RoseSilas-t8i 3 дня назад

    Mbarikiwe sanaaaaaa.ila.angalien nhuo zinabanana.sanaaa.ma.nyinyi ni.barua...

  • @brianmutemi1
    @brianmutemi1 Месяц назад +3

    This song was arranged by a scientist💯❤️

  • @marthathomas1478
    @marthathomas1478 Месяц назад +10

    Aseee hamjawahi kukosea hata siku moja nyie watu,,,,NEEMA GOSPEL CHOIR 🥰🥰🎉

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel Месяц назад +8

    Baba kasema nisihofu yuko nami Tena, nisifadhaike Mkataba wa Baraka ni Permanent.🎉❤😂

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 Месяц назад +2

    Yaani uhuni wa dunia umeingia kanisani, ndo nini hiko

  • @robertisack4886
    @robertisack4886 Месяц назад +4

    Shetani na watu wake kimya,
    Mungu aendelee kuwaweka permanent,
    Kila kitu kipo sawa kizazi muhimu Sana Cha AICT KWAYA, Kuliko vipindi vyote nimevisikiliza, muwekwe kwenye kumbukumbu ya kanisa mmekuwa mfano wa kwaya zote za AIC Hilo halina kupingwa,
    Hakika mnaweka jiwe la ushuhuda kila mmoja anaona na kusikiliza,
    Mtu akiona Ni rahisi ajaribu kufanya.
    Hakika nimeamini Uwezo na bidii vinaanza ndio pesa inafata.🙌🙌

  • @Jrsonsimi
    @Jrsonsimi Месяц назад +12

    Nakeshaa nasikiliza nyimbo zenu kila siku....zinanibarikii sanaa MUNGU AWATUNZE🙏🙏

  • @ngatatv1365
    @ngatatv1365 Месяц назад +5

    Ilikuwa TEMPORARY ila sasa ni PERMANENT
    May God greatly bless his servants and bless the works of your hands NEEMA GOSPEL CHOIR 🙏

  • @philmonnem7294
    @philmonnem7294 Месяц назад +11

    Mnajua kuufurahisha moyo wangu kila nikisikiliza nyimbo zenu huwa nafurahi tu

  • @brandsmedia4861
    @brandsmedia4861 Месяц назад +10

    Choirs nyinginezo zijifunze quality ya Recording kutoka kwa hawa jamaa, Mixing, Mastering ☑️

  • @izabayofelix8740
    @izabayofelix8740 25 дней назад +1

    🇷🇼 🇷🇼 🇷🇼 absolutely holy spirit is on me ❤❤❤

  • @KelvinA.Tarimo
    @KelvinA.Tarimo 2 часа назад

    Mungu tazama wanao❤

  • @celekhasoha5607
    @celekhasoha5607 Месяц назад +2

    Mkataba WA Baraka Ni Permanent 😘

  • @dorrypol9911
    @dorrypol9911 Месяц назад +11

    Nlikua naisubir san kwa mara kwanz ilkua pale kijitonyama lutheran🎉🎉🎉🎉🎉 musicians Mungu awabariki🎉🎉🎉🎉

  • @FidelCastrol-fb5pn
    @FidelCastrol-fb5pn Месяц назад +2

    Love from burundi🇧🇮🇧🇮Ampiano is good vibe

  • @simonmahega3085
    @simonmahega3085 Месяц назад +17

    Wale wa gitaa la solo safari hii hawaja leta mambo yao sana, this time naona ilikuwa kwa pianist na bassist, na drumers . Wimbo mzuri edit nzuri, light engineer yuko vzr, stage sound yuko vzr pia.

    • @NeemaGospelChoir
      @NeemaGospelChoir  Месяц назад +1

      Amen utukufu kwa Mungu

    • @Jojojojojo-w4y
      @Jojojojojo-w4y Месяц назад

      Mwanangu kwa amapiano kama hii solo inabidi wasikilizie kidogo.

  • @frvictortahityaofficial5018
    @frvictortahityaofficial5018 Месяц назад +2

    Vous êtes ma chorale préférée . Que Dieu vous bénisse. Je vous à partir de Beni en république démocratique du Congo. Soyez bénît

  • @ianadolph7721
    @ianadolph7721 Месяц назад +2

    Best gospell for realll🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @debrahkemuma3168
    @debrahkemuma3168 Месяц назад +4

    Mkataba wa baraka ni permanent

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Месяц назад +2

    Nyimbo zakuumiza vichwa kutunga ndo zinatakiwa saivi biashara yakua navinyimbo mserereko haitakiwi... wana wa Mungu tunatakiwa tuliteke soko lahuko mitandaon,sio kitu rahisi lakini kwakaz kama hizi naamini inawezekana....

  • @dorisn9111
    @dorisn9111 Месяц назад +2

    Ameeen from temporary to permanent 👌👌👌👌

  • @ADVANCE289
    @ADVANCE289 Месяц назад +3

    Tuliyorejesha saiv ni permanent BABA Kasema🔥🔥🔥🔥

  • @user-ls6co6fr7h
    @user-ls6co6fr7h 25 дней назад +1

    Mungu kanitendea❤❤❤neema gospel perma nent

  • @user-qy1nq8eg1d
    @user-qy1nq8eg1d Месяц назад +1

    kuna mahali ninawaona zidi ya hapa mlipo
    mtafika kwa neema ya Mungu.
    HAMNA BAYA

  • @stevenmshiu404
    @stevenmshiu404 Месяц назад +2

    What a hit song. Nyie watu wa Mungu mmebarikiwa. Tumerejeshewa baada kutabiri, na tukabarikiwa. Sasa zile baraka zimekuwa ni za permanent 😊

  • @NeemaMzuri
    @NeemaMzuri Месяц назад +2

    ❤❤❤ mna sehemu yenu mbinguni

  • @rosemarypauline6066
    @rosemarypauline6066 Месяц назад +2

    Powerful 🙏🙏 MUNGU AZIDI KUTUKUZWA KWA MAMBO MAKUU ANAYOTUTENDEA

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 Месяц назад +1

    Mungu Yehova yu nami kwa Kila kitu permanent. Amen

  • @ministermossesmungure
    @ministermossesmungure Месяц назад +2

    Family your amazing 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏽🔥🔥🔥

  • @parkengideon9374
    @parkengideon9374 Месяц назад +2

    What a song!! My prosperity is permanent

  • @RenathaElias
    @RenathaElias Месяц назад +3

    Mungu awatie nguvu muendelee kusonga mbele❤❤❤❤❤❤❤

  • @irenemuli8994
    @irenemuli8994 Месяц назад +1

    Love ❤ from the 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel Месяц назад +2

    Amen amen, Hakika ni Permanent blessings🎉❤

  • @JaneyIshengoma
    @JaneyIshengoma Месяц назад +1

    God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿

  • @evakatani636
    @evakatani636 Месяц назад +2

    Such a wonderful song, bless up guys 🙏

  • @SarahJilala
    @SarahJilala 14 дней назад

    Hakika nimefunga mkataba na huyu mzeee kwa kweli

  • @pascalthomas9481
    @pascalthomas9481 Месяц назад +2

    Ellice Ume fanya vizuri sana from Leandra

  • @bensonnyagaka6165
    @bensonnyagaka6165 Месяц назад +1

    This choir always gives a vibe in Christ ❤❤

  • @GIDIONMBUJA
    @GIDIONMBUJA Месяц назад +1

    Afu ctep safar hi ndo kama za chino duh 😮😮😮😮 jitahd kubadilsha kdogo lakn yote Kwa yote MUNGU AWABARIKI SANA Kaz yenu n njema sanaaa❤❤❤❤🎉🎉

  • @fadhilidanieli1478
    @fadhilidanieli1478 Месяц назад +1

    Kwangoma hii daaaah .... yaaan alivyovinyang'anya shetan lazima virudi kwawana wa Mungu ngoma hiz zinatakiwa zilie saaaan

  • @AgnesMomanyi-xp7cq
    @AgnesMomanyi-xp7cq Месяц назад +2

    Beautiful people you never disappoint! I love how you praise God He Is A Great God And He's Greatly To Be Praised 👏 🙌 🙏 ❤️ ♥️ 💖🎉👏 🙌

  • @memory375
    @memory375 Месяц назад +1

    I love you! Praise Jesus!

  • @jacobdamiano6492
    @jacobdamiano6492 Месяц назад +2

    Tuliokuwa tunasubiri huu wimbo kwa hamu tujuane

  • @user-ur4tz9xs7e
    @user-ur4tz9xs7e Месяц назад +1

    Oooh yes nimefunga naye mkataba sitangangana tena Amen Amen

  • @StephanoMgaya-ef1ws
    @StephanoMgaya-ef1ws Месяц назад +2

    Hii ni Kali ya MWAKA

  • @joycekayuni-qr5pw
    @joycekayuni-qr5pw Месяц назад +5

    Nashukuru leo nimepata zawadi nzuri sana ya brithday yangu.....Naimba wimbo huu tu leo

  • @rubbydorrie8827
    @rubbydorrie8827 27 дней назад +1

    This is well done. Ahsanteni sana

  • @micopeter7704
    @micopeter7704 Месяц назад +4

    You're of next generation , kubwa na la msingi kazi isiwe bure mbele za Mungu maana ndo lengo kubwa watu wafurahi na nyinyi muuone ufalme wa Mungu , kama yupo mmoja wa wanakwaya nina soda ya wapiga mziki kuipata tuwasiliane siku moja mkiwa mazoezini amin

  • @user-bq7gx1jh9s
    @user-bq7gx1jh9s Месяц назад +1

    Weeeeeeeeeeh nimerejeshewa sasa naenjoy nani kaona

  • @jamesmagwisha9634
    @jamesmagwisha9634 Месяц назад +2

    Hii ni Kubwa na Nusu,nina mwanangu hapa alikuwa anaipenda Temprary,ila kwa huu wimbo,namuona kauelewa zaidi,tumeurudia kuusikiliza zaidi ya mara Nne

  • @ruthmalela3694
    @ruthmalela3694 Месяц назад +1

    Permanent ni firee,hao kastyle km kawimbo wa big God mmekawezea❤

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c Месяц назад +3

    Mungu awabariki sana kweli tunabarikiwa sana nyimbo zenu

  • @boscowafula2080
    @boscowafula2080 Месяц назад +2

    Beats iko sawa kabisa. Inakaa amapiano❤❤❤

  • @ibrahimstanslaus9156
    @ibrahimstanslaus9156 Месяц назад +1

    Waooohhhhh hiii nyimbo kaliiii balaa hongereni sana Mungu awabarikin sanaa🔥🔥🔥

  • @PltLuckyGedion
    @PltLuckyGedion Месяц назад +1

    This song is top notch...Mungu azidi kuwaenemesha na kuzidi kuwafikisha mbali.

  • @kalamuyangu1
    @kalamuyangu1 Месяц назад +4

    Mtaalam wa itifaki @Titus Alfred chukua maua yako mapema.

  • @33gamer-te9el
    @33gamer-te9el 21 день назад

    I love this song 💯💯

  • @lilechievangeline
    @lilechievangeline Месяц назад +1

    Eiiyy jameni mbarikiwe kwa nyimbo huu🎉❤

  • @charleskapama9333
    @charleskapama9333 Месяц назад +3

    Huu Wimbo Ni Wa Kimataifa Ikiwezekana Uwekwe Kumbukumbu Ya Kizazi Kijacho ❤

  • @edwatson7931
    @edwatson7931 Месяц назад +1

    Eeeish🎉🎉🎉 Si I love you guys...🥰

  • @joekirigia
    @joekirigia Месяц назад +1

    Amazing and beautifully done. Great lyrics and what a testimony

  • @MussaKazimili-jb1mh
    @MussaKazimili-jb1mh Месяц назад +2

    Amina
    Mbarikiwe Sana
    Hakika Mmekuwa Safi Sana

  • @derrickwasike6676
    @derrickwasike6676 Месяц назад +3

    Waaaw,You are a blessing to this generation. Everything on point, likes from KENYA

  • @alexmichael7251
    @alexmichael7251 Месяц назад +2

    Can't get enough of it..
    Nimependa zaidi mlivyorap
    Merry umetisha!

  • @DeborahYusuph-yf3fo
    @DeborahYusuph-yf3fo Месяц назад +1

    Congratulation neema gospel

  • @happyshoo-to5sn
    @happyshoo-to5sn Месяц назад +2

    Mkataba wangu na BABQ wa Mbinguni n PERMENENT ❤❤❤❤aiiiih❤❤

  • @harunimgogo5290
    @harunimgogo5290 Месяц назад +1

    Best choir in East Africa be blessed 🙌 🎉

  • @mamapraise9382
    @mamapraise9382 Месяц назад +1

    Waaw congratulations 🎉🎉🎉 Neema Gospel choir.

  • @samuelnkola9309
    @samuelnkola9309 Месяц назад +1

    Blessings upon blessings

  • @barakamgira9206
    @barakamgira9206 2 дня назад

    Siwezi eleza ukuu wa hivi vipaji

  • @FortunatusJames-tn9ew
    @FortunatusJames-tn9ew Месяц назад +1

    Choir number one in tz

  • @pharohmaenz5902
    @pharohmaenz5902 Месяц назад +1

    wooooooo!!!!!!!🔥🔥🔥🔥🚒🚒

  • @glorymsuya9341
    @glorymsuya9341 Месяц назад +1

    Nawapenda sana aloo

  • @kforkelvin457
    @kforkelvin457 Месяц назад +3

    I'm really blessed.... 🙏🙏🙏 Kuanzia kwa intro, sijui kama Kuna mwengine amehisi vile nimehisi.... These guys are heavenly singers, salute... 👏👏👏

  • @gloirekiza5276
    @gloirekiza5276 Месяц назад +1

    Waouh 🔥🔥🔥🔥

  • @mwendtv191
    @mwendtv191 Месяц назад +1

    Blessing to GOD 🙌🙌🙌 Hallelujah

  • @NellySongolo
    @NellySongolo Месяц назад +1

    Nawapenda bure nyimbo zenu huwa zinanibariki mubarikiwe

  • @nancymollel2287
    @nancymollel2287 Месяц назад +2

    no One from Arusha Tanzania ❤️❤️❤️

  • @user-yl3hm6cm1e
    @user-yl3hm6cm1e Месяц назад +1

    love you all, May God Bless you forever more 🙌🏾🙏🏾❤️❤️

  • @ElgiverKangele
    @ElgiverKangele 21 день назад

    Yeah yeah😊

  • @user-un7rz8mv6b
    @user-un7rz8mv6b Месяц назад +1

    ❤❤ finally Mkataba wa Baraka ni Permanent

  • @jinomoko5510
    @jinomoko5510 Месяц назад +1

    Mimi si mtaalam wa kucoment lakini hapa nimeingia kwenye coment dahhh mko juu sijawahi kuona hongereni sana

  • @jamesmweu7235
    @jamesmweu7235 Месяц назад +1

    kali sana...glory hallelujha

  • @nakalekwategeta8410
    @nakalekwategeta8410 Месяц назад +1

    Waooooo jaman mungu awabariki Kazi nzur sana❤❤❤❤❤

  • @christophercheruiyot5755
    @christophercheruiyot5755 Месяц назад +1

    Everything in this song and is all about God

  • @valerianlagat512
    @valerianlagat512 Месяц назад +1

    This one hits different 🔥🔥🔥
    I'm blessed

  • @EstherSalla-l4d
    @EstherSalla-l4d 27 дней назад +1

    Mungu awabariki sana

  • @user-ob5ww1ju6v
    @user-ob5ww1ju6v Месяц назад +4

    Drummer umeua vaibu kama lote👍👍👍👍