Neema Gospel Choir - Permanent (Live Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 28 май 2024
- Tunamshukuru Mungu kwa mambo ya ajabu aliyotenda maishani Mwetu. Baraka na matendo yake yametuletea furaha na nguvu nyakati zote, hata nyakati za shida.
Kama asemavyo Mwandishi wa Zaburi, "BWANA alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi." (Zaburi 126:3).
🗯️🗯️🗯️🗯️
Kupitia wimbo huu wa PERMANENT tunaweza kuona ndani yake kuna:
📌Shukurani ya KiMungu (Divine Gratitude): Shukurani kwa matendo makuu ambayo Mungu ameyafanya katika maisha yetu.
📌Imani na Ujasiri (Faith and Confidence): Ujasiri na uhakika katika uwepo na msaada wa Mungu katika maisha yetu.
📌Ulinzi na Uwakili (Protection and Advocacy): Mungu anaelezwa kama mlinzi na mwakilishi ambaye huhakikisha usalama wetu na kupigania haki zetu.
📌Kudumu kwa Baraka (Permanent Blessings): Dhana ya agano la kudumu la baraka za Mungu inasisitizwa, ikionesha uhusiano usiovunjika na endelevu kati yetu na Mungu.
📌Kutokuwepo kwa Hofu (Absence of Fear): Hakikisho kutoka kwa Mungu husababisha kutokuwepo kwa hofu na taharuki katika maisha yetu.
Songwriter & Composer: Samuel Limbu & Fredrick Japhet Masanja
Leader: David Kusekwa, Mariam Protace & Esther Isaac Kilago
--
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024 Видеоклипы
Lyrics📌
Nani kaona yale mambo Mungu Baba kanitendea
Kanifanya niimbe Mbele ya adui nivimbe
Niko sure na huyu mzee Kanitendea
Amesema yuko nami wala siogopi Maana he is on my side
Baraka zake ni kwa wingi ninamuamini Ni mtetezi wangu Permanent
Baba kasema nisihofu
yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka Ni Permanent
Tumefunga naye mkataba Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga Haki zetu anapiganiaga
Oooh hatutanyang'anywa tena
Nimeshikika kwake Sitachomoka kwake Nipo Permanent
Baba kasema nisihofu
yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka Ni Permanent
Number 1 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania me your like now please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 soon My song it's enjoy your day for song neema gospel choir come like
Alirejesha yale tulioibiwa, tukatabili na tukabariki,, sas yote yaliyolejeshwa na kutabiliwa na kubalikiwa leo yamekuwa PERMANENT 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 watu wa maana kabisa hawa kutoka kwa Mungu aliye juu.......❤❤❤
Amen
Ameen Sana 🙏
Amen
Amen
Umesomeka
Tuliobarikiwa , sasa baraka zetu zinaenda kuwa PERMANENT.Gonga 👍 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼
Hakika mungu katutendea mambo permanent hakuna waku tunyang'anya💥💥baraka ni permanent
Ila nyie watu kuna huyu mtu anaitwa *Titus Alfred* Najua kuandaa Editin zake mazeee aisee sio kitoto ni vibao vya nguvu and they are very generous 😊
😆😆😆😆😆😆😆😆😆 Utukufu kwa YESU
Kabsa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿🇹🇷🇸🇸🇱🇾
Getting blessed from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Ilikuwa Temporary and now is PERMANENT. MWAMBA NI Yule yule i really like this creativity. God bless You
Freddy Kuna namna ameumbiwa kuwa fundi wa muziki aisee, mwanamasanja ulemhola saana bhabha 🎹🎧🎸🎸
Wimbo Mzurii Sana, Mungu Azidi Kuwabariki Kwa Jumbe Zenu Nzurii Kila Kukichaa🙏🙏👏👏
The calming sound of this song forces you to paying attention by default. and listen to the great words with no interruption.
Edit: Well done Neema Gospel Choir for blessing us. Praised to the most high God.
Greetings from Germany 🇩🇪 Siku moja mtakuja kwetu❤
Hakika utukufu kwa Mungu
Mbarikiwe sanaaaaaa.ila.angalien nhuo zinabanana.sanaaa.ma.nyinyi ni.barua...
This song was arranged by a scientist💯❤️
Aseee hamjawahi kukosea hata siku moja nyie watu,,,,NEEMA GOSPEL CHOIR 🥰🥰🎉
Utukufu kwa Mungu 🙌
Baba kasema nisihofu yuko nami Tena, nisifadhaike Mkataba wa Baraka ni Permanent.🎉❤😂
Yaani uhuni wa dunia umeingia kanisani, ndo nini hiko
Hujui unacho ongea
Shetani na watu wake kimya,
Mungu aendelee kuwaweka permanent,
Kila kitu kipo sawa kizazi muhimu Sana Cha AICT KWAYA, Kuliko vipindi vyote nimevisikiliza, muwekwe kwenye kumbukumbu ya kanisa mmekuwa mfano wa kwaya zote za AIC Hilo halina kupingwa,
Hakika mnaweka jiwe la ushuhuda kila mmoja anaona na kusikiliza,
Mtu akiona Ni rahisi ajaribu kufanya.
Hakika nimeamini Uwezo na bidii vinaanza ndio pesa inafata.🙌🙌
Nakeshaa nasikiliza nyimbo zenu kila siku....zinanibarikii sanaa MUNGU AWATUNZE🙏🙏
Utukufu kwa Mungu
Ilikuwa TEMPORARY ila sasa ni PERMANENT
May God greatly bless his servants and bless the works of your hands NEEMA GOSPEL CHOIR 🙏
Mnajua kuufurahisha moyo wangu kila nikisikiliza nyimbo zenu huwa nafurahi tu
Amen
Choirs nyinginezo zijifunze quality ya Recording kutoka kwa hawa jamaa, Mixing, Mastering ☑️
🇷🇼 🇷🇼 🇷🇼 absolutely holy spirit is on me ❤❤❤
Amen
Mungu tazama wanao❤
Mkataba WA Baraka Ni Permanent 😘
Nlikua naisubir san kwa mara kwanz ilkua pale kijitonyama lutheran🎉🎉🎉🎉🎉 musicians Mungu awabariki🎉🎉🎉🎉
Amen
Love from burundi🇧🇮🇧🇮Ampiano is good vibe
Wale wa gitaa la solo safari hii hawaja leta mambo yao sana, this time naona ilikuwa kwa pianist na bassist, na drumers . Wimbo mzuri edit nzuri, light engineer yuko vzr, stage sound yuko vzr pia.
Amen utukufu kwa Mungu
Mwanangu kwa amapiano kama hii solo inabidi wasikilizie kidogo.
Vous êtes ma chorale préférée . Que Dieu vous bénisse. Je vous à partir de Beni en république démocratique du Congo. Soyez bénît
Best gospell for realll🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mkataba wa baraka ni permanent
Nyimbo zakuumiza vichwa kutunga ndo zinatakiwa saivi biashara yakua navinyimbo mserereko haitakiwi... wana wa Mungu tunatakiwa tuliteke soko lahuko mitandaon,sio kitu rahisi lakini kwakaz kama hizi naamini inawezekana....
Ameeen from temporary to permanent 👌👌👌👌
Tuliyorejesha saiv ni permanent BABA Kasema🔥🔥🔥🔥
Mungu kanitendea❤❤❤neema gospel perma nent
kuna mahali ninawaona zidi ya hapa mlipo
mtafika kwa neema ya Mungu.
HAMNA BAYA
What a hit song. Nyie watu wa Mungu mmebarikiwa. Tumerejeshewa baada kutabiri, na tukabarikiwa. Sasa zile baraka zimekuwa ni za permanent 😊
❤❤❤ mna sehemu yenu mbinguni
Powerful 🙏🙏 MUNGU AZIDI KUTUKUZWA KWA MAMBO MAKUU ANAYOTUTENDEA
Mungu Yehova yu nami kwa Kila kitu permanent. Amen
Family your amazing 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏽🔥🔥🔥
What a song!! My prosperity is permanent
Mungu awatie nguvu muendelee kusonga mbele❤❤❤❤❤❤❤
Amen 🙏 🙏 🙏 ❤️
Love ❤ from the 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen amen, Hakika ni Permanent blessings🎉❤
God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿
Such a wonderful song, bless up guys 🙏
Hakika nimefunga mkataba na huyu mzeee kwa kweli
Ellice Ume fanya vizuri sana from Leandra
This choir always gives a vibe in Christ ❤❤
Afu ctep safar hi ndo kama za chino duh 😮😮😮😮 jitahd kubadilsha kdogo lakn yote Kwa yote MUNGU AWABARIKI SANA Kaz yenu n njema sanaaa❤❤❤❤🎉🎉
Kwangoma hii daaaah .... yaaan alivyovinyang'anya shetan lazima virudi kwawana wa Mungu ngoma hiz zinatakiwa zilie saaaan
Beautiful people you never disappoint! I love how you praise God He Is A Great God And He's Greatly To Be Praised 👏 🙌 🙏 ❤️ ♥️ 💖🎉👏 🙌
I love you! Praise Jesus!
Tuliokuwa tunasubiri huu wimbo kwa hamu tujuane
Oooh yes nimefunga naye mkataba sitangangana tena Amen Amen
Hii ni Kali ya MWAKA
Nashukuru leo nimepata zawadi nzuri sana ya brithday yangu.....Naimba wimbo huu tu leo
Amen
This is well done. Ahsanteni sana
Amen
You're of next generation , kubwa na la msingi kazi isiwe bure mbele za Mungu maana ndo lengo kubwa watu wafurahi na nyinyi muuone ufalme wa Mungu , kama yupo mmoja wa wanakwaya nina soda ya wapiga mziki kuipata tuwasiliane siku moja mkiwa mazoezini amin
Weeeeeeeeeeh nimerejeshewa sasa naenjoy nani kaona
Hii ni Kubwa na Nusu,nina mwanangu hapa alikuwa anaipenda Temprary,ila kwa huu wimbo,namuona kauelewa zaidi,tumeurudia kuusikiliza zaidi ya mara Nne
Permanent ni firee,hao kastyle km kawimbo wa big God mmekawezea❤
Mungu awabariki sana kweli tunabarikiwa sana nyimbo zenu
Amen
Beats iko sawa kabisa. Inakaa amapiano❤❤❤
Waooohhhhh hiii nyimbo kaliiii balaa hongereni sana Mungu awabarikin sanaa🔥🔥🔥
This song is top notch...Mungu azidi kuwaenemesha na kuzidi kuwafikisha mbali.
Mtaalam wa itifaki @Titus Alfred chukua maua yako mapema.
I love this song 💯💯
Eiiyy jameni mbarikiwe kwa nyimbo huu🎉❤
Huu Wimbo Ni Wa Kimataifa Ikiwezekana Uwekwe Kumbukumbu Ya Kizazi Kijacho ❤
😃 😀 😄 😁
Eeeish🎉🎉🎉 Si I love you guys...🥰
Amazing and beautifully done. Great lyrics and what a testimony
Amina
Mbarikiwe Sana
Hakika Mmekuwa Safi Sana
Waaaw,You are a blessing to this generation. Everything on point, likes from KENYA
🙏 Amen
Can't get enough of it..
Nimependa zaidi mlivyorap
Merry umetisha!
Amen
Congratulation neema gospel
Mkataba wangu na BABQ wa Mbinguni n PERMENENT ❤❤❤❤aiiiih❤❤
Hakika 🔥 🔥 🔥
Best choir in East Africa be blessed 🙌 🎉
Waaw congratulations 🎉🎉🎉 Neema Gospel choir.
Blessings upon blessings
Siwezi eleza ukuu wa hivi vipaji
Choir number one in tz
wooooooo!!!!!!!🔥🔥🔥🔥🚒🚒
Nawapenda sana aloo
I'm really blessed.... 🙏🙏🙏 Kuanzia kwa intro, sijui kama Kuna mwengine amehisi vile nimehisi.... These guys are heavenly singers, salute... 👏👏👏
Amen
Waouh 🔥🔥🔥🔥
Blessing to GOD 🙌🙌🙌 Hallelujah
Nawapenda bure nyimbo zenu huwa zinanibariki mubarikiwe
no One from Arusha Tanzania ❤️❤️❤️
love you all, May God Bless you forever more 🙌🏾🙏🏾❤️❤️
Yeah yeah😊
❤❤ finally Mkataba wa Baraka ni Permanent
Mimi si mtaalam wa kucoment lakini hapa nimeingia kwenye coment dahhh mko juu sijawahi kuona hongereni sana
kali sana...glory hallelujha
Waooooo jaman mungu awabariki Kazi nzur sana❤❤❤❤❤
Everything in this song and is all about God
Glory to God
This one hits different 🔥🔥🔥
I'm blessed
Mungu awabariki sana
Amen
Drummer umeua vaibu kama lote👍👍👍👍
🔥