Mwigulu Afoka Maafisa TRA I Mkikusanya Fedha Zipelekewe SerikaIini I Huyu ni Mwizi Kama Wezi Weninge

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2024
  • Waziri wa fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Bungeni Jijini Dodoma amesimama kujibu hoja za wabunge waliochangia bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Viwanda na Biashara.
    Mhe. Dkt. Mwigulu, amesema kuwa mtu yoyote anayekusanya fedha ya Serikali ni lazima azifikishe sehemu, haiwezekani kumuachia mtu anayekusanya fedha za Watanzania halafu akawa tajiri huku akina Mama wajawazito na wanafunzi wanakosa huduma kwa sababu yake.
    Endelea kuperuzi kwenye mitandao yetu ya kijamii @cloudstv @cloudsfmtz na akaunti ya RUclips “Clouds Media” kwa updates zote.
    #KutokaBungeni
    #CloudsDigitalUpdates
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии •