MWIGULU AWAONYA WAFANYABIASHARA WANAOWAONGOZA WANANCHI KUKWEPA KODI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kujivunia kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Aidha amewaonya wafanya biashara ambao wamekuwa wakiwaongoza wananchi kukwepa kodi kwa kuwauzia bidhaa na kuwatajia bei ya risiti na bei ambayo atauziwa bidhaa hiyo bila risiti.

Комментарии •