Kaka shukran sana mungu akubariki , maaan tunakutana na watu ambao ni waongo kweli lkn ww umenifanya nifurahi nimepata follows wengi sana kudadeki #location TANGA
Kiongoz naomba namba yako unielekeze vzr maan mm nimeletewa hy message ila nikirudi tena kweny ile ile akaunt nilioambiwa hy sms nikibadilisha inakataa tena kuendelea je hap shda nn
Yan boss wangu mm ishu yangu kubwa kwny hii sms wanayokuwa wananitumia kuwa nimerich limit na je Hadi mpka hii sms iweze kutoka na ukaendelea kufollow na kulike inachukua sku ngap
Maan naona kwako umetumiwa hy sms lakn bado unaendelea kulike ila kwangu nikiletewa hy sms nikiendelea inakataa inaniambia ni lelogin Sasa hapo Nashndwa kuelewa had mpka ikubali inachukua mda gan
😅😅🔥🔥🔥🔥🔥🔥
I like it, nmejifunza sana
Daaah mzee hii umeua,unyama mwingi sana. Agiza soda ulipo wambie Mswati atalipia.
Fatheeeer
😂😂😂
Working 100%
Mbona limit yangu haifiki
Amazing how it works
Kaka shukran sana mungu akubariki , maaan tunakutana na watu ambao ni waongo kweli lkn ww umenifanya nifurahi nimepata follows wengi sana kudadeki #location TANGA
karibu tena boss wangu
Heeeh nilikua najua utani asee inafanya kazi bhn.
Og
Kumbe ndo haka kamchezo wanafanyaga watu wengi asee hapa nimeelewa
Je hao follows wanao ongezeka ni watanzania au niwatu kutoka mataifa mengine?
Mbona coins zangu zinachelewa kujaa
Kiongoz naomba namba yako unielekeze vzr maan mm nimeletewa hy message ila nikirudi tena kweny ile ile akaunt nilioambiwa hy sms nikibadilisha inakataa tena kuendelea je hap shda nn
Check my email please
Yan boss wangu mm ishu yangu kubwa kwny hii sms wanayokuwa wananitumia kuwa nimerich limit na je Hadi mpka hii sms iweze kutoka na ukaendelea kufollow na kulike inachukua sku ngap
Maan naona kwako umetumiwa hy sms lakn bado unaendelea kulike ila kwangu nikiletewa hy sms nikiendelea inakataa inaniambia ni lelogin Sasa hapo Nashndwa kuelewa had mpka ikubali inachukua mda gan
Naomba namba yako ya whtsap nikuchk mkuu unielekeze vzr
Kakaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉
bro ss kwamfano nimesahu passoword
Unatish kinom.mzee