PROF JAY Alivyotumia staili ya 'Ku-Rap' Bungeni
HTML-код
- Опубликовано: 11 фев 2025
- PROF JAY Alivyotumia staili ya 'Ku-Rap' Bungeni Kuchangia Hoja
Mbunge wa Mikumi kupitia Chadema, Joseph Haule, akichangia Mjadala wa ujenzi wa barabara uliopo katika bajeti ya wizara ya ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kwa mwaka 2018/19, iliyosomwa juzi na Waziri wake, Profesa Makame Mbarawa.
Mbunge Joseph Haule ambaye ni msanii wa Hip Hop nchini, amemuomba Mwenyekiti wa Bunge hilo atumie staili ya kurap katika kuchangia hoja yake ili aweze kutumia Dakika tano ipasavyo.
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .