HOUSE GIRL EP 40 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024
  • #bongomovie #housegirl
  • КиноКино

Комментарии • 871

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 20 дней назад +217

    Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲

    • @busatitv
      @busatitv  20 дней назад +6

      ❤❤❤

    • @user-hf7pk2lx4v
      @user-hf7pk2lx4v 20 дней назад +4

      Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 20 дней назад

      Tunawashukuru sana kwa Move nzuri ​@@busatitv

    • @user-uz7uq5lj5w
      @user-uz7uq5lj5w 20 дней назад +2

      🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂

    • @YasmeenKhalifa-zq1zk
      @YasmeenKhalifa-zq1zk 20 дней назад +1

      🇴🇲

  • @CarolineMurugi-bt5dz
    @CarolineMurugi-bt5dz 20 дней назад +48

    From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅

  • @ministerlightnessrobert5342
    @ministerlightnessrobert5342 20 дней назад +95

    Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t 20 дней назад +32

    ❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana

  • @YohanaKagundo
    @YohanaKagundo 20 дней назад +41

    Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi

  • @lovnell6462
    @lovnell6462 20 дней назад +73

    Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤

  • @user-qd7ey5cp5s
    @user-qd7ey5cp5s 20 дней назад +33

    Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana

  • @Mwanamvua-ze5ls
    @Mwanamvua-ze5ls 20 дней назад +35

    Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty 19 дней назад

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂

    • @queenyqadoty
      @queenyqadoty 19 дней назад

      Hilo jina linamfaa sana😂😂😂

    • @Mwanamvua-ze5ls
      @Mwanamvua-ze5ls 19 дней назад

      @@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂

  • @kalambonews
    @kalambonews 20 дней назад +6

    Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔

  • @JoselyneMutama
    @JoselyneMutama 20 дней назад +3

    Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 20 дней назад +3

    Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t 20 дней назад +98

    Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k 20 дней назад +4

    Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢

  • @brendakhasiala7343
    @brendakhasiala7343 20 дней назад +7

    Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi

  • @user-ti5mt6cr7v
    @user-ti5mt6cr7v 20 дней назад +3

    Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like

  • @mauamshindo2558
    @mauamshindo2558 20 дней назад +9

    Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌

  • @Mariam55-hz8if
    @Mariam55-hz8if 20 дней назад +4

    Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana

  • @AdelaLudovick
    @AdelaLudovick 20 дней назад +4

    Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali

  • @UpendoHussein-k7t
    @UpendoHussein-k7t 20 дней назад +6

    Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t 20 дней назад +7

    Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤

  • @MizeMatano-nb9pj
    @MizeMatano-nb9pj 20 дней назад +21

    Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉

  • @user-xn7ru6fl6q
    @user-xn7ru6fl6q 20 дней назад +16

    Wa tatu leo like zenu

  • @user-mv6vi1gv6f
    @user-mv6vi1gv6f 20 дней назад +28

    Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @UniceMsomi
    @UniceMsomi 20 дней назад +10

    Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤

  • @Emeraldlady16920
    @Emeraldlady16920 20 дней назад +10

    Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy

  • @SleepingEyes-ej3ir
    @SleepingEyes-ej3ir 20 дней назад +9

    Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 20 дней назад +9

    Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 20 дней назад +79

    Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 20 дней назад +33

    Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏

  • @user-mq3zd9vk2p
    @user-mq3zd9vk2p 20 дней назад +3

    Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @RehemaSospeter-vu4ms
    @RehemaSospeter-vu4ms 20 дней назад +9

    Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni

  • @user-or7bm5ui5f
    @user-or7bm5ui5f 20 дней назад +9

    Wa kwanza jaman naomba like 2

  • @JasminiSabun
    @JasminiSabun 20 дней назад +5

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo

    • @adelinaomani9012
      @adelinaomani9012 20 дней назад

      Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi

  • @JacksonVicent-i1t
    @JacksonVicent-i1t 20 дней назад +10

    Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤

  • @user-dn3sn2fk9v
    @user-dn3sn2fk9v 20 дней назад +8

    40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂

    • @juma3473
      @juma3473 20 дней назад +1

      Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤

    • @user-os3tt6ru7k
      @user-os3tt6ru7k 20 дней назад

      Hahahaha

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo 20 дней назад +5

    hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha

  • @VioletGerald-dl9wr
    @VioletGerald-dl9wr 20 дней назад +23

    Nimewah leo jaman wap like

  • @RAMSABOYTZ
    @RAMSABOYTZ 20 дней назад +26

    Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc 20 дней назад +1

    Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z 20 дней назад +1

    Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤

  • @Tumasalo99
    @Tumasalo99 20 дней назад +3

    Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......

    • @busatitv
      @busatitv  20 дней назад

      💪

    • @SunGod-i4b
      @SunGod-i4b 20 дней назад

      🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 20 дней назад +3

    Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j 20 дней назад +1

    Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤

  • @LovenessValentine-nn7wm
    @LovenessValentine-nn7wm 20 дней назад +2

    Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤

  • @LightnessUrio-fo7mq
    @LightnessUrio-fo7mq 20 дней назад +2

    Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉

  • @Igra254
    @Igra254 19 дней назад +2

    Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx 20 дней назад +2

    Mnazingua banaaaa

  • @user-cy2rb4pf7e
    @user-cy2rb4pf7e 20 дней назад +3

    Safi sana kay, like tu jamani

  • @user-lu7vs8wd8v
    @user-lu7vs8wd8v 20 дней назад +1

    Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh 20 дней назад +2

    🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha

  • @christine7744
    @christine7744 20 дней назад +4

    Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤

  • @WeddyMithika
    @WeddyMithika 20 дней назад +3

    Much love from kenya🇰🇪

  • @aishaqassim1777
    @aishaqassim1777 20 дней назад +4

    Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 20 дней назад +3

    Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂

  • @ShakilaHussein
    @ShakilaHussein 20 дней назад +1

    Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏

  • @PurityWaithira-ud2vj
    @PurityWaithira-ud2vj 19 дней назад +2

    Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa

  • @VaneGesare-wf7oq
    @VaneGesare-wf7oq 20 дней назад +3

    Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa

  • @mariamsalehabdulla6825
    @mariamsalehabdulla6825 20 дней назад +5

    Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu

  • @AjathSwaibu
    @AjathSwaibu 20 дней назад +23

    Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai

  • @Franciscah-ks5zq
    @Franciscah-ks5zq 20 дней назад +8

    nilisubiria kwa hamu na ghamu hii

  • @ElizabethOuma-j4s
    @ElizabethOuma-j4s 20 дней назад +2

    Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done

  • @zanishaikhonge7296
    @zanishaikhonge7296 20 дней назад +4

    Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana

  • @Jumambogo123
    @Jumambogo123 20 дней назад +3

    Mimi sitaki like zenu

  • @jofumwakalambo1097
    @jofumwakalambo1097 20 дней назад +3

    Kwanza mm jaman toka sumbawanga

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 20 дней назад +2

    Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani

  • @user-le6xc6ei5x
    @user-le6xc6ei5x 20 дней назад +3

    Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu

  • @SunGod-i4b
    @SunGod-i4b 20 дней назад +3

    Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana

  • @annwanalo7813
    @annwanalo7813 20 дней назад +2

    Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤

  • @user-sk4yh5kw9j
    @user-sk4yh5kw9j 20 дней назад +5

    Nmewahi jmn hata like 20 ntashkuru

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 20 дней назад +2

    Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna

  • @user-hp3vn4kc4s
    @user-hp3vn4kc4s 20 дней назад +2

    Kazi nzuri Mr. Kai

  • @NathanaelSimoni-cu4wk
    @NathanaelSimoni-cu4wk 20 дней назад +2

    Kazi nzuri sana

  • @user-bg3it2pf6r
    @user-bg3it2pf6r 20 дней назад +3

    Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 20 дней назад +2

    Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 20 дней назад +1

    Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao

  • @Dayana-o4z
    @Dayana-o4z 20 дней назад +3

    😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida

  • @sussymtunga3673
    @sussymtunga3673 20 дней назад +1

    Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-gy1tu7wv8d
    @user-gy1tu7wv8d 20 дней назад +2

    Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue

  • @ShazzLizz
    @ShazzLizz 20 дней назад +4

    Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @marynabwile4086
      @marynabwile4086 20 дней назад

      Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo

    • @LINDAKARANI-jx3dr
      @LINDAKARANI-jx3dr 20 дней назад

      ​@@marynabwile4086mwambie

  • @BahatiNjemo-of9lx
    @BahatiNjemo-of9lx 20 дней назад +2

    Kwani na nyie mnaoomba like mbona ivo sasa, ama munkua km ao wanaotumia hii move kwa ajili yakujiendeleza

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 20 дней назад +3

    😂😂😂kaeni kwa kutulia

  • @user-ky7cf6nm8d
    @user-ky7cf6nm8d 20 дней назад +2

    Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉

  • @dottonangemo2166
    @dottonangemo2166 20 дней назад +2

    Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂

  • @GivenessJamal
    @GivenessJamal 20 дней назад +1

    Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha

  • @MupaMumbo-fi4gu
    @MupaMumbo-fi4gu 20 дней назад +7

    Nimekuawa Kwanza Leo nipee like

  • @irenengowi8657
    @irenengowi8657 20 дней назад +1

    Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai

  • @AidatAmadi
    @AidatAmadi 20 дней назад +2

    Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi

  • @chandigamoses05
    @chandigamoses05 20 дней назад +3

    Wakwanza leo ❤❤❤

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 20 дней назад +4

    Uyo mimi sasa

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 20 дней назад +4

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu

  • @Nailah736
    @Nailah736 20 дней назад +2

    Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢

  • @nasmaramdhan-bf3bm
    @nasmaramdhan-bf3bm 20 дней назад +6

    Naomben like jaman

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf 19 дней назад +2

    😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 20 дней назад +6

    Heee washajaa kila mahali

  • @AgnesDavidmtalemwa
    @AgnesDavidmtalemwa 14 дней назад +1

    Nmechelewe jaman kai na timu yako gonga like

  • @beathakatwiga9228
    @beathakatwiga9228 20 дней назад +3

  • @LUKASNGOMBANIZA
    @LUKASNGOMBANIZA 20 дней назад

    Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤

  • @LeahMussagagi
    @LeahMussagagi 20 дней назад +2

    Naomb like nimewah Kaz nzr San kwa momiiii🎉

  • @marangotv7748
    @marangotv7748 20 дней назад +1

    Cendy nakucukia kwakweli sio kwa movie tuu

  • @user-sr7pk7vb8o
    @user-sr7pk7vb8o 20 дней назад +2

    Jamanii wa kwanza leooo😅