Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana
Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤
Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤
Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤
Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂
Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani
😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤
Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲
❤❤❤
Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu
Tunawashukuru sana kwa Move nzuri @@busatitv
🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂
🇴🇲
From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅
Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊
❤
❤❤❤❤❤
❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana
Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi
Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤
Na mm Kam shabiki nimekup like
😅😂🤣@@AdamZainab-mb7qj
Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana
Hapo umenena wanaudhi sana
Wanakela blaa😏😏
Upo sahihi my dear
Wanaudhi sana aiseee
Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂
@@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂
Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔
Aki 😂hii comment ni ya mkenya
😂😂😂😂😂😂
Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.
Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤
😢
Hongera 🎉🎉🎉
Hay nimekupa Maan umeongea kwahuruma jmn
@@user-qb4qp7xj7d asante 🤣🤣😂😂
Kaombe msikitini
Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢
Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi
Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like
Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌
Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana
Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali
Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana
Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤
Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉
🎉🎉
Wa tatu leo like zenu
Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤
Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy
Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤
Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤
Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee
Daah chozi limenitoka daah
hawana kazi 😊
Kumbe umeona😂😂😂😂
Ndio waache usumbufu
@@GetrudeChengulaWanasumbua 😂😂
Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏
Waambie maana mm nishachoka
Wambie bwana 👏👏👏
Waambie jmn waelewe sababu wanakera sana
Waambie tena wanaudhi sana
Wanakera sana
Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni
Wa kwanza jaman naomba like 2
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo
Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi
Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤
Hahaha wakulya 2po
40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂
Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤
Hahahaha
hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha
Nimewah leo jaman wap like
Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😅😅
😂😂 Bora uwaulize wewe
Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦
Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤
Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......
💪
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh
Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤
Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤
Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉
Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy
Mnazingua banaaaa
Safi sana kay, like tu jamani
Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana
🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha
Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤
Much love from kenya🇰🇪
Fellow Kenyans let's gather here
Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤
Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂
Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏
Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa
Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa
Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu
Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai
Hizo like kamuombe mama yako
@@user-os3tt6ru7k mmmm sawa
nilisubiria kwa hamu na ghamu hii
Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done
Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana
Mimi sitaki like zenu
Kwanza mm jaman toka sumbawanga
Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani
Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu
Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana
Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤
Nmewahi jmn hata like 20 ntashkuru
Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna
Wana Kela saana Hao wote Wanao omba like sijui niutoto jamani
Kazi nzuri Mr. Kai
Kazi nzuri sana
Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂
Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅
Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao
😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida
Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue
Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo
@@marynabwile4086mwambie
Kwani na nyie mnaoomba like mbona ivo sasa, ama munkua km ao wanaotumia hii move kwa ajili yakujiendeleza
😂😂😂kaeni kwa kutulia
Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉
Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂
Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha
Nimekuawa Kwanza Leo nipee like
😏🙄😡
Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai
Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi
Wakwanza leo ❤❤❤
Uyo mimi sasa
❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu
Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢
Naomben like jaman
😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤
Heee washajaa kila mahali
Nmechelewe jaman kai na timu yako gonga like
❤
Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤
Naomb like nimewah Kaz nzr San kwa momiiii🎉
Cendy nakucukia kwakweli sio kwa movie tuu
Jamanii wa kwanza leooo😅