Hahahaaa huyo ndo kendi, anakunywa pombe wakati ni mjamzito, hakijali kiumbe alichokibeba tumboni mwake. Napenda kuwashauri kuwa hii movie inatufundisha mambo kede kede, naomba uifuatilie kwa ukaribu na utoe ushauri wa maboresho ungependa🎉🎉❤🎉❤
Kwan Tasha unataka Nini au na ww ushashikwa na madawaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 em usituharibie jaman cc tushaanda nguo za harusi ya zuuu😂😂😂 kama mnataka ndoa ya zuu na Kai like Kwa hapaaa❤❤❤❤
Candy ni Candy kweli huyu hata akiwekwa kwenye chupa lazma anyoshe kidole 😂😂😂Chiko na dadako kaz mnayo mlimzoea Zatiti mtamchamba tena anyamaze hapo mmegonga sipo
Follow WhatsApp channel yetu 👇👇
Follow the BUSATI TV channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c
Aki zuu Ana kai muna pbpb
Mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉❤❤
Kiramba na mke wake wananifurahisha😂😂😂😂
I need it
Nzuri jmn🎉🎉
Hahahaaa huyo ndo kendi, anakunywa pombe wakati ni mjamzito, hakijali kiumbe alichokibeba tumboni mwake. Napenda kuwashauri kuwa hii movie inatufundisha mambo kede kede, naomba uifuatilie kwa ukaribu na utoe ushauri wa maboresho ungependa🎉🎉❤🎉❤
Mim tangu nianze kuangalia sija comment ila Leo naomba like hata 5 wifi wa candy Leo umekiona tena bado😂
Ciko n'a dadayake wamemfukuza anaekunya sasa kaleta kikojozi nabado hawajaona
😂😂😂😂😂
Mpaka waseme
Wakwanza jmn naomba like zang from South Africa republic
Kwa wale tunangoja chiko kimrambe gonga like plzz
Duh jamn dada ake chiko kwa zatiti mdomo juu lakin kwa candy nyweeeeeee kama maji kwenye mtungi mdomo umegota chini😂😂😂😂 like apa my friendy
Jaman mambo yanazidi kuwa mazuri mnaoungana na mm gonga like bas
Umepata hio
Huyu wifi kendy mpya ataisoma kwa kendy, maana alishazoea kumuonea yulee zatiti😂😂
Ataisoma number shenzi hiyo mstuo Tu hapo bado😂😂
Nakwambh axhazoea kumpigya mtoto wa wa2 mdo hapo Kwa candy ataixoma namba🎉
Watazamaji wa hii movie weka like kwa busati TV 🎉🎉🎉
Jaman one like
Candy kam candy Bana hafchiki n kam kikohozi hongera ddng umebemba uhusika ipasavyo wap like kwa candy
Leo nimewah leo japokua sio wakwanza pend shana hiii movie ❤❤❤❤❤
Am here forever I love house girl sana kanza mpumbavu mwenzangu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ kwa kuwahi tu kutoa muvi aisee nawapenda mnaweza Hadi mnaweza tenaaaaaaaaaaaa
Ujue nimeingia apa nKuta bado amjani like ata moja kwann sasa
Tunaendelea na house girl msimu wa pili kama unaikubali kazi hii gonga like twende pamoja
leo wa pili ❤❤
❤
❤❤❤❤
😂😂😂😂 weeee kazi ipo sana tu weee candy sasa anamnyosha mujamaa atajuaaa hajuui😂😂😂😂😂
Ko harusi bado jaman😢wanaotamani harus ya zuu na khai gonga like🎉🎉🎉🎉🎉
Mapenzi mapya matamu❤❤❤musisahau hata candy alikuwa ivo😢jamani ata Mimi ndo iyo mapenzi mapya ❤❤❤🎉🎉🎉likeee jamani
Wakenya 🇰🇪team strong 💪 team zuu naona tasha anataka kuharibu haya mapenzi ya kai na zuu ni rafiki hasidi🤔🤔
Tasha ameniuthe sanaa😢
@@njungunadaniel1204ni rafiki hasidi 😂😂ameniboo enyew tunangoja harusi🥰🥂
Tasha amegeuka Kai tena amekua adui nimeudhika sana mbona anaturudisha nyumba🇰🇪🇰🇪
@@marynabwile4086 ndio hapo sasa
😂😂😂😂😂😂😂
Jamani movie ni nzr na lkn mda ni kidogo bana utk tunjoi zaid ongezeni mda tafadhali 🎉🎉🎉
wakwanza mieee kutok Kenya Tasha ww vipi acha n story xa Candy au unamtak jameni😅😅😅
Wasema anamtakaaa sio😂😂😂
Tasha.mambo.gan.tena.hayo.mbona.ulikuwa.muzuli.kwa.kayi😢😢
Chiko alimuonea dada waawatu akawa analia kila siku sasa ngoja akutane na moto wa candy😂😂😂 malipo hapahapa
Nimecheka mpaka mbavu zinauma Candy hufichagi kucha ata dakika mbili 😅😅😅
Wif ulivyo msababishia mwenzio akaondoka Sasa umekutana na kigagula wako😅😅
Kai sasa unaboa fanya kazi kwanza broo ukiwa nje ya kazi utafata mapenz Kwa zuu
Kendy anakwambia nikanywe pombe mpaka mtoto ashtuke 😂😂duh!!!
😂😂😂😂😂 candy atayuonyesha mambo
Candy balaaa😂😂😂
Candy ni Moto hatari atanionyesa mengi 😂😂😂
Kai number 👹 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Jaman hii movie ni ya Moto sana but mi naomba mjitahid muongeze dakika ❤❤
Jamani kilamba nakupenda Bure. Lakini utakasirisha mpumbavu mwenzako
Jamani nmechoka kulike koment zenu lakn mm cpat hata moja nipn bc hata like kumi tuu 🙏
Umepata hio
@@BarakaEdna kwa kwer nmepata asantn
Leo nmewai 😊wasoma comments pole pole msije nikanyaga 😂😂team strong mko wapi tujuane tunaoangalia House girl 😊
Yani candy hongera sana mnyooshe uyo wifi yko natka ajute mpk amkumbuke zatiti 😂😂🙌
😂😂😂😂umeonaa eeh yaani mpka akomee
Acha aipate fresh.ya shamba😅
Hiyo sura itakonda tuu 😂 hapana cheza na candy balaa
🎉🎉🎉🎉🎉naomben like from Oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Wallah munataka kutuwua kabisa dakika munapungua kila wakati kwelii😢😢😢😢
Tunaoisubr ndoa ya zuu na Kai tujuane kwa like
Mpumbavu mwenzangu Leo umenichekesha saa ii ndio mnakumbuka kama kuna baraka za wazazi🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂
Mko fast San waooh ongeren San me nakaz jmn nachrlewag naombag like na me😢😢😢😢
Nimempenda dada wakai kaishika nafas yamawifi vizur💕💕💕🥰
Jmn naomben like tangu nianze kuiangalia house sijapata like hata Moja nipen basi😘
Kendi jaman ngojat nikupe maua 🎉🎉🎉 Rahman Ali mzoea dhatt mpole sas kakutan nakend Mmh kivumbi leo
uyo chiko na dadake wanapaswa wanyoroshwe ipasavyo ...😏
Ile akili aliokua nayo Kai alipokua na Candy ndio iko kwa chiko saa hii😂😂ila pongezo washiriki wote mnatufunza mengi
Tumepatana tena ,team zuu tugonge like kwa mpigo❤❤
🙏🙏🙏
Kai utafukuzwa kazi tena becare
Wakwanza ❤❤❤🎉🎉🎉
Jamani kazi.moto😂😂😂😂😂😂😂😂candy jamani nampenda akianza kusema😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani like hata 10 kwa zuu na kai kwa hii season ya pili 😊😊
Mumenifurahisha jmn saiv nitalala vzr leo❤
Kay hyo kaz itafnyka kweli😂😂😂😂😂 kila muda umemss zuuu😂😂😂😂😂 khaaaaa kaz imepta mfnykaz hpo
jamn penz jipy upofu mmh❤ kai kazam apo
Zuriii mzee wa kujimaliza bt wapi like za candy❤❤🎉
Kweli mtoto kafundwa 😂😂😂😂😂 nipeni like zangu nawapenda sana ndugu zangu from 🇰🇪🇰🇪
Mbona leo mume punguza dakika jamani toka ishirini na nne hadi kumi na tisa kweli
Shukuru tumeletewa vipande viwili kwa sku moja
Jamn nipen like ila sitak mtu aniulize za nn we kama wanip like nipe 😏😏
Like za Kaz gani
Nimewahi
tasha unanini lakin kwahio arudiwe au kwani chakula alipika candy😏😏✋🤣🤣🤣🤣
Tasha ameniuthi sana😢
😢😢@@njungunadaniel1204
Mbona hatupumui njooni team felus wa 60
Nipitie dadangu❤
Tupo udungu ❤
@@Phoebenafulapnde zipi
Tupoo😂😂😂
Tupoo kipenzi 🎉🎉🎉
Mko wapi team house girl tujuwane kwa like nawapenda sana😂😂😂😂
Kai kayatimba leo penzi kitovu cha uzembe😂😂😂
Zatiti aliwanyenyekea na kuwaheshim walimwona fala,ngoja sasa candy awapelekeshe kama gari bovu😂😂😂
Dakika mbili watu washajaa tayari 🎉🎉🎉
Ohoo uyo ndo Candy ebu nitokeye nae usutwa alizani ni zatiti 😂😂😂😂
🤣🤣
Candy wee unaila ya kwapa kumbuka bla kidonda 😂😂😂 ushayaboronga ivyo 😂😂
🤣🤣
Wakwanza leo jaman, like nyinginyingi❤
Mnanifurahisha sana❤ila Tasha tafuta mke huowe n sio Sania 😅😅
Msianze kituudhi kwa kururudisha nyuma tafadhali movie itaboo,wewe kai hebu endelea na zuu ya cendy sahau
Kwan Tasha unataka Nini au na ww ushashikwa na madawaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 em usituharibie jaman cc tushaanda nguo za harusi ya zuuu😂😂😂 kama mnataka ndoa ya zuu na Kai like Kwa hapaaa❤❤❤❤
Wakwanza leo naombeni like hata moja
Humu tu!!!! huumu tu!!😂😂'😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Wowo sjachelewa🎉🎉🎉🎉
Candy ni Candy kweli huyu hata akiwekwa kwenye chupa lazma anyoshe kidole 😂😂😂Chiko na dadako kaz mnayo mlimzoea Zatiti mtamchamba tena anyamaze hapo mmegonga sipo
🤣🤣🤣🤣
Yaan apo walilikoroga na watalinywa😂😂
Wakumi leo kujieni Mirinda baridi😂😂😂
Mm wa kwanza leo nipeni likes jamani
Kazi kazi nzr
Si unataka wifi wee aya kendy uyooo
😂😂
Nipo😊
Boss wa kai anasauti nzur aahh relux kai wew 😅😅
Mpumbafu ww wa kiume unanimalizanga una rahaa nzuri
Kilambaaa😂😂😂
Tashi mbn unatak kuaharib mchez kwaio unamshawish Kai amuingize tena candy kichwan
Anaboo😂😂
Yuko sawa tasha@@user-tx6ir9oe6u
Ila Candy😂😂
Wakwanza nipeni like😢😢😢
😂,nipo namba 1
Wakwanza jamani liké zangu kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kitu 🔥
Asat e lete mambo ❤
Jaman naomba ata like 10 please
Mi namb 1 leo
Bwana kilamba uwa unanibamba mimi😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Bonge la move Leo nimewai😊
Kazi nzuri
😂😂 heeeee dadake Chiku vishindo vya kutumbukia nyogo
❤❤❤❤❤😂😂😂😂pole Da.Kaka chiko ni haujui tu matusi ya kendy 😅😅😅 you will suffer wait soon.
Wakwanza namimi leo
Candy mnyooshe huyo dada ake na Chiko mpaka ajutie maneno aliyokuwa anamtolea Zatiti 😂😂😂😂
Kweli kunguru hafungiki😂😂😂chiko kazi unayo
Jaman kila cku nachelewa leo kdogo nmewah naombeni likes 😂😂
Gonga like hapa tujuane tulio wahi leo🎉🎉😂🎉
Sja chelewa al
😂😂😂😂😂😂😂km unampenda candy n uchaluko wake gonga like
Wakwanzaaaa😂😂😂😂😂
Nipitie pia kaka
Hongereni wapendwa kazi nzuriiii