HOUSE GIRL EP 02 | SEASON 2 | love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 сен 2024

Комментарии • 818

  • @busatitv
    @busatitv  Месяц назад +71

    Follow WhatsApp channel yetu 👇👇
    Follow the BUSATI TV channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029VaEXYzkEVccPBP347F2c

  • @israelkirway5504
    @israelkirway5504 Месяц назад +14

    Hahahaaa huyo ndo kendi, anakunywa pombe wakati ni mjamzito, hakijali kiumbe alichokibeba tumboni mwake. Napenda kuwashauri kuwa hii movie inatufundisha mambo kede kede, naomba uifuatilie kwa ukaribu na utoe ushauri wa maboresho ungependa🎉🎉❤🎉❤

  • @CarolineSaumu-ng3zk
    @CarolineSaumu-ng3zk Месяц назад +60

    Mim tangu nianze kuangalia sija comment ila Leo naomba like hata 5 wifi wa candy Leo umekiona tena bado😂

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv Месяц назад +25

    Wakwanza jmn naomba like zang from South Africa republic

  • @RaelDiana-s8l
    @RaelDiana-s8l Месяц назад +13

    Kwa wale tunangoja chiko kimrambe gonga like plzz

  • @ShaukhanSaidy
    @ShaukhanSaidy Месяц назад +21

    Duh jamn dada ake chiko kwa zatiti mdomo juu lakin kwa candy nyweeeeeee kama maji kwenye mtungi mdomo umegota chini😂😂😂😂 like apa my friendy

  • @LightnessAbinelick
    @LightnessAbinelick Месяц назад +47

    Jaman mambo yanazidi kuwa mazuri mnaoungana na mm gonga like bas

  • @user-ey5mv1yz3s
    @user-ey5mv1yz3s Месяц назад +19

    Huyu wifi kendy mpya ataisoma kwa kendy, maana alishazoea kumuonea yulee zatiti😂😂

    • @mamasalhat
      @mamasalhat Месяц назад

      Ataisoma number shenzi hiyo mstuo Tu hapo bado😂😂

    • @FarajerUrioh
      @FarajerUrioh Месяц назад

      Nakwambh axhazoea kumpigya mtoto wa wa2 mdo hapo Kwa candy ataixoma namba🎉

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Месяц назад +33

    Watazamaji wa hii movie weka like kwa busati TV 🎉🎉🎉

  • @Zulfa-j1r
    @Zulfa-j1r Месяц назад +24

    Candy kam candy Bana hafchiki n kam kikohozi hongera ddng umebemba uhusika ipasavyo wap like kwa candy

  • @ZulfaMjege
    @ZulfaMjege Месяц назад +22

    Leo nimewah leo japokua sio wakwanza pend shana hiii movie ❤❤❤❤❤

  • @adelaidethequeen
    @adelaidethequeen Месяц назад +14

    Am here forever I love house girl sana kanza mpumbavu mwenzangu

  • @user-yg8yo3ul8h
    @user-yg8yo3ul8h Месяц назад +20

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ kwa kuwahi tu kutoa muvi aisee nawapenda mnaweza Hadi mnaweza tenaaaaaaaaaaaa

  • @NasraKingazi
    @NasraKingazi Месяц назад +15

    Ujue nimeingia apa nKuta bado amjani like ata moja kwann sasa

  • @FrankMaendeleo247
    @FrankMaendeleo247 Месяц назад +103

    Tunaendelea na house girl msimu wa pili kama unaikubali kazi hii gonga like twende pamoja

    • @neemachaula4110
      @neemachaula4110 Месяц назад +1

      leo wa pili ❤❤

    • @user-rp3jy9yn2l
      @user-rp3jy9yn2l Месяц назад

    • @DzameBEGA
      @DzameBEGA Месяц назад

      ❤❤❤❤

    • @sawaAsd-cp3dr
      @sawaAsd-cp3dr Месяц назад

      😂😂😂😂 weeee kazi ipo sana tu weee candy sasa anamnyosha mujamaa atajuaaa hajuui😂😂😂😂😂

  • @user-gg9wi7oi8h
    @user-gg9wi7oi8h Месяц назад +10

    Ko harusi bado jaman😢wanaotamani harus ya zuu na khai gonga like🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto Месяц назад +5

    Mapenzi mapya matamu❤❤❤musisahau hata candy alikuwa ivo😢jamani ata Mimi ndo iyo mapenzi mapya ❤❤❤🎉🎉🎉likeee jamani

  • @user-sx6zw1pr1w
    @user-sx6zw1pr1w Месяц назад +43

    Wakenya 🇰🇪team strong 💪 team zuu naona tasha anataka kuharibu haya mapenzi ya kai na zuu ni rafiki hasidi🤔🤔

    • @njungunadaniel1204
      @njungunadaniel1204 Месяц назад +1

      Tasha ameniuthe sanaa😢

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w Месяц назад

      @@njungunadaniel1204ni rafiki hasidi 😂😂ameniboo enyew tunangoja harusi🥰🥂

    • @marynabwile4086
      @marynabwile4086 Месяц назад +1

      Tasha amegeuka Kai tena amekua adui nimeudhika sana mbona anaturudisha nyumba🇰🇪🇰🇪

    • @user-sx6zw1pr1w
      @user-sx6zw1pr1w Месяц назад

      @@marynabwile4086 ndio hapo sasa

    • @user-ml8fc2kf6p
      @user-ml8fc2kf6p Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Месяц назад +15

    Jamani movie ni nzr na lkn mda ni kidogo bana utk tunjoi zaid ongezeni mda tafadhali 🎉🎉🎉

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie Месяц назад +37

    wakwanza mieee kutok Kenya Tasha ww vipi acha n story xa Candy au unamtak jameni😅😅😅

    • @omarsaid_1607
      @omarsaid_1607 Месяц назад

      Wasema anamtakaaa sio😂😂😂

    • @VeronikaMalugu
      @VeronikaMalugu Месяц назад

      Tasha.mambo.gan.tena.hayo.mbona.ulikuwa.muzuli.kwa.kayi😢😢

  • @AdestiraNgede
    @AdestiraNgede Месяц назад +4

    Chiko alimuonea dada waawatu akawa analia kila siku sasa ngoja akutane na moto wa candy😂😂😂 malipo hapahapa

  • @user-qc5en6fo1u
    @user-qc5en6fo1u Месяц назад +5

    Nimecheka mpaka mbavu zinauma Candy hufichagi kucha ata dakika mbili 😅😅😅

  • @user-nr8tn4ew3t
    @user-nr8tn4ew3t Месяц назад +4

    Wif ulivyo msababishia mwenzio akaondoka Sasa umekutana na kigagula wako😅😅

  • @MohdRashidkassim-rc6ul
    @MohdRashidkassim-rc6ul Месяц назад +5

    Kai sasa unaboa fanya kazi kwanza broo ukiwa nje ya kazi utafata mapenz Kwa zuu

  • @ChaguVeeNovida
    @ChaguVeeNovida Месяц назад +19

    Kendy anakwambia nikanywe pombe mpaka mtoto ashtuke 😂😂duh!!!

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +15

    Kai number 👹 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @reginakulwa4494
    @reginakulwa4494 Месяц назад +8

    Jaman hii movie ni ya Moto sana but mi naomba mjitahid muongeze dakika ❤❤

  • @user-lw6st3bi1s
    @user-lw6st3bi1s Месяц назад +10

    Jamani kilamba nakupenda Bure. Lakini utakasirisha mpumbavu mwenzako

  • @geleboyhuyokazianayo4599
    @geleboyhuyokazianayo4599 Месяц назад +51

    Jamani nmechoka kulike koment zenu lakn mm cpat hata moja nipn bc hata like kumi tuu 🙏

  • @mwanajumakomar3831
    @mwanajumakomar3831 Месяц назад +10

    Leo nmewai 😊wasoma comments pole pole msije nikanyaga 😂😂team strong mko wapi tujuane tunaoangalia House girl 😊

  • @salamamwazuma315
    @salamamwazuma315 Месяц назад +9

    Yani candy hongera sana mnyooshe uyo wifi yko natka ajute mpk amkumbuke zatiti 😂😂🙌

    • @salmazwallo5920
      @salmazwallo5920 Месяц назад +1

      😂😂😂😂umeonaa eeh yaani mpka akomee

    • @JohnMakee
      @JohnMakee Месяц назад +1

      Acha aipate fresh.ya shamba😅

    • @kalamapendo2701
      @kalamapendo2701 Месяц назад +1

      Hiyo sura itakonda tuu 😂 hapana cheza na candy balaa

  • @MaziamJororo
    @MaziamJororo Месяц назад +11

    🎉🎉🎉🎉🎉naomben like from Oman🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

  • @DivineIngabire-lj3sr
    @DivineIngabire-lj3sr Месяц назад +9

    Wallah munataka kutuwua kabisa dakika munapungua kila wakati kwelii😢😢😢😢

  • @user-iv4sv9lv3z
    @user-iv4sv9lv3z Месяц назад +4

    Tunaoisubr ndoa ya zuu na Kai tujuane kwa like

  • @user-pp2xh5cg1m
    @user-pp2xh5cg1m Месяц назад +2

    Mpumbavu mwenzangu Leo umenichekesha saa ii ndio mnakumbuka kama kuna baraka za wazazi🎉🎉😂😂😂😂😂😂😂

  • @HyasintaWisdom
    @HyasintaWisdom Месяц назад +5

    Mko fast San waooh ongeren San me nakaz jmn nachrlewag naombag like na me😢😢😢😢

  • @AminaPtg
    @AminaPtg Месяц назад +7

    Nimempenda dada wakai kaishika nafas yamawifi vizur💕💕💕🥰

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 Месяц назад +8

    Jmn naomben like tangu nianze kuiangalia house sijapata like hata Moja nipen basi😘

  • @user-kk9sb2oo6f
    @user-kk9sb2oo6f Месяц назад +8

    Kendi jaman ngojat nikupe maua 🎉🎉🎉 Rahman Ali mzoea dhatt mpole sas kakutan nakend Mmh kivumbi leo

  • @BINTmohammed-fu9gp
    @BINTmohammed-fu9gp Месяц назад +5

    uyo chiko na dadake wanapaswa wanyoroshwe ipasavyo ...😏

  • @bintrashid5108
    @bintrashid5108 Месяц назад +4

    Ile akili aliokua nayo Kai alipokua na Candy ndio iko kwa chiko saa hii😂😂ila pongezo washiriki wote mnatufunza mengi

  • @barakamshefa6426
    @barakamshefa6426 Месяц назад +5

    Tumepatana tena ,team zuu tugonge like kwa mpigo❤❤

  • @dashuusalim3767
    @dashuusalim3767 Месяц назад +6

    Kai utafukuzwa kazi tena becare

  • @zawadismaili144
    @zawadismaili144 Месяц назад +10

    Wakwanza ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад +2

    Jamani kazi.moto😂😂😂😂😂😂😂😂candy jamani nampenda akianza kusema😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DamarisomwengaKemunto
    @DamarisomwengaKemunto Месяц назад +56

    Jamani like hata 10 kwa zuu na kai kwa hii season ya pili 😊😊

    • @RukiaJuma-kh2ed
      @RukiaJuma-kh2ed Месяц назад +1

      Mumenifurahisha jmn saiv nitalala vzr leo❤

  • @Ummyrahy6666
    @Ummyrahy6666 Месяц назад +5

    Kay hyo kaz itafnyka kweli😂😂😂😂😂 kila muda umemss zuuu😂😂😂😂😂 khaaaaa kaz imepta mfnykaz hpo

  • @user-fw2zn2os8g
    @user-fw2zn2os8g Месяц назад +8

    jamn penz jipy upofu mmh❤ kai kazam apo

  • @TeddyPaul-j3g
    @TeddyPaul-j3g Месяц назад +11

    Zuriii mzee wa kujimaliza bt wapi like za candy❤❤🎉

  • @user-tu2sk1mo8q
    @user-tu2sk1mo8q Месяц назад +5

    Kweli mtoto kafundwa 😂😂😂😂😂 nipeni like zangu nawapenda sana ndugu zangu from 🇰🇪🇰🇪

  • @MariamSalim-vk6dw
    @MariamSalim-vk6dw Месяц назад +15

    Mbona leo mume punguza dakika jamani toka ishirini na nne hadi kumi na tisa kweli

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Месяц назад +14

    Jamn nipen like ila sitak mtu aniulize za nn we kama wanip like nipe 😏😏

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana Месяц назад +20

    Nimewahi

  • @fatmaubwa-z8s
    @fatmaubwa-z8s Месяц назад +10

    tasha unanini lakin kwahio arudiwe au kwani chakula alipika candy😏😏✋🤣🤣🤣🤣

  • @Rizikialiamechannel763
    @Rizikialiamechannel763 Месяц назад +29

    Mbona hatupumui njooni team felus wa 60

  • @user-qv7dm4ok6g
    @user-qv7dm4ok6g Месяц назад +46

    Mko wapi team house girl tujuwane kwa like nawapenda sana😂😂😂😂

  • @ElizaSanga-dl5vn
    @ElizaSanga-dl5vn Месяц назад +3

    Kai kayatimba leo penzi kitovu cha uzembe😂😂😂

  • @Barakahtz41
    @Barakahtz41 Месяц назад +4

    Zatiti aliwanyenyekea na kuwaheshim walimwona fala,ngoja sasa candy awapelekeshe kama gari bovu😂😂😂

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 Месяц назад +10

    Dakika mbili watu washajaa tayari 🎉🎉🎉

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki Месяц назад +2

    Ohoo uyo ndo Candy ebu nitokeye nae usutwa alizani ni zatiti 😂😂😂😂

  • @AshaNzara
    @AshaNzara Месяц назад +5

    Candy wee unaila ya kwapa kumbuka bla kidonda 😂😂😂 ushayaboronga ivyo 😂😂

  • @VeronicaJohn-ex9fm
    @VeronicaJohn-ex9fm Месяц назад +18

    Wakwanza leo jaman, like nyinginyingi❤

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Месяц назад +9

    Mnanifurahisha sana❤ila Tasha tafuta mke huowe n sio Sania 😅😅

  • @user-uq7ve1by2m
    @user-uq7ve1by2m Месяц назад +4

    Msianze kituudhi kwa kururudisha nyuma tafadhali movie itaboo,wewe kai hebu endelea na zuu ya cendy sahau

  • @JoannyBreezy
    @JoannyBreezy Месяц назад +4

    Kwan Tasha unataka Nini au na ww ushashikwa na madawaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 em usituharibie jaman cc tushaanda nguo za harusi ya zuuu😂😂😂 kama mnataka ndoa ya zuu na Kai like Kwa hapaaa❤❤❤❤

  • @jackmsuya9599
    @jackmsuya9599 Месяц назад +18

    Wakwanza leo naombeni like hata moja

  • @GreatestSwordsman
    @GreatestSwordsman Месяц назад +5

    Humu tu!!!! huumu tu!!😂😂'😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @LuluFwalo
    @LuluFwalo Месяц назад +2

    Wowo sjachelewa🎉🎉🎉🎉

  • @user-xo7ns7bc8c
    @user-xo7ns7bc8c Месяц назад +15

    Candy ni Candy kweli huyu hata akiwekwa kwenye chupa lazma anyoshe kidole 😂😂😂Chiko na dadako kaz mnayo mlimzoea Zatiti mtamchamba tena anyamaze hapo mmegonga sipo

  • @LadyKCG
    @LadyKCG Месяц назад +9

    Wakumi leo kujieni Mirinda baridi😂😂😂

  • @edinahwesley8895
    @edinahwesley8895 Месяц назад +8

    Mm wa kwanza leo nipeni likes jamani

  • @Makonde-
    @Makonde- Месяц назад +8

    Kazi kazi nzr

  • @HashimHakika
    @HashimHakika Месяц назад +7

    Si unataka wifi wee aya kendy uyooo

  • @JudithMuhingi
    @JudithMuhingi Месяц назад +1

    Nipo😊

  • @BeatriceMvaty
    @BeatriceMvaty Месяц назад +4

    Boss wa kai anasauti nzur aahh relux kai wew 😅😅

  • @MaryBosibori-xm7us
    @MaryBosibori-xm7us Месяц назад +8

    Mpumbafu ww wa kiume unanimalizanga una rahaa nzuri

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Месяц назад +2

    Kilambaaa😂😂😂

  • @jiimahaba7274
    @jiimahaba7274 Месяц назад +10

    Tashi mbn unatak kuaharib mchez kwaio unamshawish Kai amuingize tena candy kichwan

  • @NeyMosha777
    @NeyMosha777 Месяц назад +2

    Ila Candy😂😂

  • @RukiamashaMasha
    @RukiamashaMasha Месяц назад +8

    Wakwanza nipeni like😢😢😢

  • @mwandudickson8156
    @mwandudickson8156 Месяц назад +4

    😂,nipo namba 1

  • @user-wz8vt6xl2l
    @user-wz8vt6xl2l Месяц назад +7

    Wakwanza jamani liké zangu kutoka 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @MwanajumaMose
    @MwanajumaMose Месяц назад +2

    Kitu 🔥

  • @MssafirimigueleNhanga
    @MssafirimigueleNhanga Месяц назад +7

    Asat e lete mambo ❤

  • @AshaJumaa-lw7ij
    @AshaJumaa-lw7ij Месяц назад +26

    Jaman naomba ata like 10 please

  • @user-gb7of9sy7r
    @user-gb7of9sy7r Месяц назад +15

    Mi namb 1 leo

  • @puritymuceri813
    @puritymuceri813 Месяц назад +2

    Bwana kilamba uwa unanibamba mimi😂😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @user-gt6in2ru1b
    @user-gt6in2ru1b Месяц назад +5

    Bonge la move Leo nimewai😊

  • @JohnThomas-mq5fw
    @JohnThomas-mq5fw Месяц назад +7

    Kazi nzuri

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w Месяц назад +1

    😂😂 heeeee dadake Chiku vishindo vya kutumbukia nyogo

  • @NyamweruAlex
    @NyamweruAlex Месяц назад +3

    ❤❤❤❤❤😂😂😂😂pole Da.Kaka chiko ni haujui tu matusi ya kendy 😅😅😅 you will suffer wait soon.

  • @user-zp5dp6tk9u
    @user-zp5dp6tk9u Месяц назад +5

    Wakwanza namimi leo

  • @BonithaRegnard
    @BonithaRegnard Месяц назад +3

    Candy mnyooshe huyo dada ake na Chiko mpaka ajutie maneno aliyokuwa anamtolea Zatiti 😂😂😂😂

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Месяц назад +1

    Kweli kunguru hafungiki😂😂😂chiko kazi unayo

  • @Mathias-yi5bo
    @Mathias-yi5bo Месяц назад +19

    Jaman kila cku nachelewa leo kdogo nmewah naombeni likes 😂😂

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg Месяц назад +14

    Gonga like hapa tujuane tulio wahi leo🎉🎉😂🎉

  • @user-wn9xk7ys7n
    @user-wn9xk7ys7n Месяц назад +8

    Sja chelewa al

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂km unampenda candy n uchaluko wake gonga like

  • @raajtz8073
    @raajtz8073 Месяц назад +6

    Wakwanzaaaa😂😂😂😂😂

  • @aishahamis1609
    @aishahamis1609 Месяц назад +1

    Hongereni wapendwa kazi nzuriiii