🔴
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2025
- 🔴#Breaking: JENGO la TRA KARIAKOO LATEKETEA kwa MOTO - JESHI la ZIMAMOTO WATINGA KUUZIMA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
😢
Kaliakoo panatakiwa dua maombi ya kweli 😂😂😂😂😂😂
Kariakoo tena. Mungu awajalie ndugu😢
Polen sana wana kariakoo mungu awalinde
Mungu anawajalia watu wa kariakooonii
Hongera sana Jeshi la Zima moto ❤❤❤❤
Yan apa bila shaka kuna upigaji unaendelea apa, ikulu wako busy na masapta sapta, uku TRA inaungua moto
Mcheni mungu na kumutukuza kwa Sasa ni Saa za udhibitisho kwamba yesu anakuja
Hapo kuna ushahidi unachomwa.. huo ni uhuni tu.. makampuni yanyodaiwa kodi na serekali ndio ushahidi umeshapotea tayari 😭😭😭😭
Ee mwenyezi MUNGU naomba utusaidie 😢jamani kariakoo tena 😮😮
mmh 😊😊😊😊😊😊
Duuu hapa sasa Rais anahusikaje kumsifia tena jamani 😊😊😊
Kweli Tena hafai kwel
Poleni 😂 Mungu awanusuru
Kaliakoo yetu inanini jamanii?
Pesa ishasepa wanaondoa ushahidi maza anachinjwa taratibu kampeni
Daaaa majanga haya MUNGU awaponye wafanyakazi wote watoke salama jamani in Jesus name
😮
Kwer hawajaungua watu humo😭😭😭😭
Kodi zetu watu washasepa nazo hapo 😢😢😢😢😢
Nishati safi oyyeeeee….
Chunguzeni kama kamera hazijaharibika kwa nini moto usitokee kwenye floor za ofisi waliko watu ila ikawa huko juu????
Moto unawaka mtu wa kwanza kufika mpiga picha
Lord Have Mercy on us.
Uongozi wa Samia huu kazi ipo
Na mbona ni saa za kazi ilikuwaje wafanyakazi wasiuone na kuuzima mapema ungali mdogo
Ndio hapo sasa, wafanyakazi wa hizo ofis wachukuliwe wakatoe ushahidi police
Nawapongeza polisi tu, mapema sana wamewasili, usalama mkubwa
duh" majirani naoRoho juu😂q
Duh! KARIAKOO WABISHI
Hili ndio tatizo la majengo mengi yaliyojenga Kariakoo, hayana vifaa vyake vya kuzima moto. Kila jengo linatakiwa liwe na mfumo wa maji ili moto ukitokea hayo maji yanaanza kuuzima moto huo na sio kama hivyo inavyoonekana hadi gari la zima moto lifike.
Nnawapongeza maaskar maana walikua bize kulinda BENK
Natabiri itaundwa tume nyingine kuchunguza tusubiri 😮😮😮😮
Tukio halioneshi kama li ajali ya dharura kuliko mashaka kuwa ni la kupangwa ama dili
Pole
Kama ni dili hakuwezi kuwa na watu ndani walishasepa kabla
Wamechukua pesa hao
Wameshapiga vitu Tyr hai aise pumbavu zao
Why always kariakooo
Why karoakoo kila siku 😢😢
Nyinyi warabu nawAhindi mnawazinisanadadazetu wauswalini ndomanamabalaa hayaishi
innalillahi wainnalillahi rajioun..kwani karyako kunani..
Mmmmh ataliiii
Ooh
Haya
Mh! What a coincidence!
My deep sorry to what is happening
Wacha liteketee lote washalichoma kufichà ushahidi washa piga hela hao
Ni mtaa gn ety😢😢
Vitu vidogo vidogo 😮😮😮😮😮??
Inna Lilaah Wainna Ilayhi Rajioun
Bongo kama marekani tu
Hapo akuna upigaji tunapoteza ushahid
Na soko limefunguliwa.
HASBIYA LLAHU WANEEMA AL WAKEEL" AMIIN" UWADUWI GANI HUU TO BURNED 🔥 THE NEW BUILDING AUDHU BI LLAH MINA SHAITTAN RAJEEM"😢! BAD PPL BAD CITIZENS!
WAMEIBA HAO. WAKACHOMA NYARAKA
Hapo kuna jengo refu sana litajengwa
@@ShabanMahenya-x8s🙆🙆heee
UTAWALA DHALIMU..AWAMU YA 6 ACHA KUWATEKA NA KUWACHINJA WATU UMWAGAJI DAMU... NA TOZO KIBAO KWA WALALA HOI ACHENI RAISI PUNGUZA PANGA PANGUA YA VIONGOZI HUU NI UDHAIFU WA UTAWALA WAKO...NI AIBU KWA TAIFA...
Pumbavu
HAPA SIYO LOS ANGELES. KAMA SITO HITILAFU YA UMEME NI HUJUMA TU
😂
😂😂😂