Hongereni wawakilishi wetu, Hongera sana Rais wetu kwa kuupa uzito mchezo huu. Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie furaha ya ushindi. Salaam zetu kwa Mheshimiwa Rais Kagame!
Allihamdullillah,mmefika Salam kwa uwezo wa Allah,baci pasipo na mambo mengi kwangu mimi nawatakia mwendelezo wa michuano yenu iendelee kusonga mbele Zaid kama ilivyokuwa mwaka Jana,nawatakia mafanikio tim yangu pendwa mfike hatua za juuu zaiid,nawaombea mfike fainal tena kwenye michuano hiii
Hongereni sana viongozi kwa kuifanya yanga kua bora sana toka mmeingia kwenye uongozi wenu lakini niwakumbushe tuu thamani ya mafanikio yenu yatakua bora zaidi kama mtatimiza ahadi zenu kwenye ilani ya uchaguzi UJENZI WA KIWANJA ndio kilio kikubwa kwa yanga kuliko kucheza fainal shilikisho..mungu awaongoze mtimize ahadi hii ni kubwa na ita simenti ubora wenu kwenye uongozi wenu...
Na tafadhali sana tena sana kila kitengo ndani ya YANGA kifanye kazi yake kwa weledi na uangalifu mkubwa....kuna watu hawana furaha ndani ya timu yao mbovu sasa wanaitafuta kwa gharama yoyote nje....DAMU CHANGA Injinia HERSI amekuwa mwiba wenye sumu kali kwao....wanafanya kila wawezalo aondoke...
Hongereni wawakilishi wetu, Hongera sana Rais wetu kwa kuupa uzito mchezo huu. Tumwombe Mwenyezi Mungu atujaalie furaha ya ushindi. Salaam zetu kwa Mheshimiwa Rais Kagame!
Hakika Mungu ashukuruwe na kesho turudi na Ushindi mnono Mungu bariki Timu yetu na wachezaji, viongozi na mashabiki kwa ujamla
Kushukuru mungu kwa kuwafikisha salama mashabiki wenzangu na viongoz kwa ujumla na wachezaj mungu ijarie inshaallah
Mungu azid kutubariki ishaallaaa mungu barik yanga barik mashabiki na viongozi pamoj na wachezaji wajitume na kutupatia ushindi 🙏🙏🙏🙏🖤💛💛💛🖤🖤🖤💚💚💚💚
Hii safi Sana , hatukukosea kukuchagua huu uongozi hakika mnafanya kazi kubwa sana.
Maashaallah Alhamdulillah kwa kufika salama
Kwl ishi na watu Vzr leo nionzima anajisifia kuiona YaNGa 💚💛 ipo nyumbn safiii sana
Rais kijana mwenye mafanikio makubwa,hongera sana
Allihamdullillah,mmefika Salam kwa uwezo wa Allah,baci pasipo na mambo mengi kwangu mimi nawatakia mwendelezo wa michuano yenu iendelee kusonga mbele Zaid kama ilivyokuwa mwaka Jana,nawatakia mafanikio tim yangu pendwa mfike hatua za juuu zaiid,nawaombea mfike fainal tena kwenye michuano hiii
wananchi hyo ni heaven sent na itawapa morali wachezaji wetu 💛💚
Mr.presdent akiongea na wanajeshi wake,,,!!💚💚💚💚💚🔥🔥🔥🔥🔥💚💚💚💚(fact)
Allah yu pamoja na sisi Ishaallh 🙏🙏
M/Mungu MPE Afya Njema Rais Eng hers Amiiin.
nipeni like zangu nimekuwa wa 2 💚🖤💛🔰
Hongereni sana viongozi kwa kuifanya yanga kua bora sana toka mmeingia kwenye uongozi wenu lakini niwakumbushe tuu thamani ya mafanikio yenu yatakua bora zaidi kama mtatimiza ahadi zenu kwenye ilani ya uchaguzi UJENZI WA KIWANJA ndio kilio kikubwa kwa yanga kuliko kucheza fainal shilikisho..mungu awaongoze mtimize ahadi hii ni kubwa na ita simenti ubora wenu kwenye uongozi wenu...
Nimewapenda wana Yanga kwa majitoleo yenu, Mungu awajalie mrudi na point tatu
Hongereni Sana wawakilishi wetu na ishallaa tutashinda jioni ya leo
God bless Us..
If god wishes I will..💪💪
Mungu atusaidie ushindi wana Yanga tupate ushindi
Rais wetu Mungu amlinde jamn
Rais wa dunia🎉
Mungu tujalie ushindi Allah huma amini
Hakika hotuba ina msisitizo unaoendana na hadhi ya timu yetu
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii iiiiiiiiiiiih 💛💚⚽🖐️🔥💪🌟🔥💯
Jaman yanga n.. ...... ...🔥🔥🔥🔥🙌🙌💚🙌💚💚🙌🙌🙌
January inamhusu atakaecheza chini ya kiwango nimeipenda hiyo
TIMU YETU 💚💚💚💚 🇹🇿💚🇹🇿 TIMU kubwaaaa
Rais wa watu🎉🎉🎉🎉🎉
Rais kaongea kwa hisia sana❤
Hongeren young Africans kwaujumla wenu yanga oyeeeeeh
inshaallah kesho anakufa mtu tano inshaallah...
Allahamdulillah umeongea 💚💚🙏
Huyu ndiyo kiongozi makini.
Alhamdulillah kwa kila Jambo yanga oyeee allah wafanyie wepesi ktk safari yenu
Eng Hersi ni zaidi ya Rais wa Club kuwahi kutokea Tanzania!
Yanga mabingwa❤❤❤❤❤❤❤
Rais hatetemeki hatetereki💛💚
Leo point 3zetu Mungu atutangulietuuu
Woyooooo yaan nataman ningekuwa sehemu ya walioenda Rwanda yanga rahaaaaaaaaaa bhuanaaaaa💚💚💚💛💛💛💚💚💚
Tunamshukuru MUNGU mmefika salama, kila laheri ktk mchezo wetu tupate ushindi.
Alhamdulillah❤❤❤❤
Mungu akuweke biss
Fire
💛💚💛💚💛💚💛💚kivumbi leo
Mungu awatunze,awasafirishe salama na mfike salama
Huyu prezdar n wa kujivunia sana🎉
Waoooo upo sahihi rais wetu
Yaaan hili club linavyo wanyanyapaa madunduka mwaka hu wanalo😂😂😂😂😂
Huyu jamaa CCM wanaweza kutuibia😥
Safi sana Hersi Said
Kweli kiongozi upo sahihi hongera sana
Boss we ni timamu sna ila tukija bongo ntupambane sna,,,tunashinda ,,ila tushinde zai ha nakupenda sna sna Enjiinia Erisi
Nimeipenda hii January iko wazi
RAIS 🔰
Na tafadhali sana tena sana kila kitengo ndani ya YANGA kifanye kazi yake kwa weledi na uangalifu mkubwa....kuna watu hawana furaha ndani ya timu yao mbovu sasa wanaitafuta kwa gharama yoyote nje....DAMU CHANGA Injinia HERSI amekuwa mwiba wenye sumu kali kwao....wanafanya kila wawezalo aondoke...
Daima mbele nyuma mwiko makombe yaendelee viongozi wetu mpovizuri
Daima Mbele Nyuma Mwiko 🔰
Hiyo ndio yanga bwana anaebisha anyoshe mkono
Raisi wa Yanga akiongea na Wananchi💚🖤💛
Tuwombeml mungu atusaidie
Taarifa za KIINTELIJENSIA tunazo za mambo wanayoyafanya ili kuihujumu timu yetu kwa mashindano ya ndani na nje especially NGUVU ZA KIZA...
Hunabaya baba tunakupenda mnoo unaupiga mwingi sana
💛💚🖤
Yang mbele daima mwiko
Yanga yangu mm kudadadeki aishikiki
Nawatakia Kheri timu yangu
Big up president
Nakukubari sana boss
Inshaallah
Mungu asimame nawe kwa Kila atua
🎉🎉🎉🎉🎉
NASSOR STORE ni wauzaji wa simu bora Tanzania Tunapatikana kariakoo Dar es Salaam Tanzania Aggrey na likoma street opposite na mkombozi bank
Kiongozi tumepata haswaa❤❤
kweli
Safi raisi was watu
safi sana
Nakubali
🎉🎉
inshalah
💚💛💚
💐💐💐💚💚💚💚
🔰🔥🔰🔥🔰🔥
🔥🔥🔥🔥🔥
Kichwa sana hii
Nmesikia buchosa home town
👍👍
💛💛💛💛💚💚🇹🇿
YANGA NA BGM PAMOJA NA RAIS NA WANAKAMATI, NA WANACHAMA WAFUASI WA YANGA TUNAFURAHIKIA SANA UWEPO WENU, GOD BLESS YOU ALL
*Yanga ni muti bwaku hapa fasi ya Africa ni rekwe na sunu*
MUNGU IBARKI TIMU YANGU PENDWA.
@@neemaisrael688 amen hakika tunaenda kushinda 💪
❤❤
Wakina mama wametulia 😂😂😂
Yanga nguvu moja
Yanga SC mwaka huu itawatesa watu wengi sana, hasa ni wale "teremka tukaze"
👏👏👏
💛💚💛💚💛💥💥
Oyoooooo❤
Inshallah mngu jalia yanga
😁😁😁😁😁😁😁 one loveee
Tutegemee ndoa kati ya tz na rw kuongezeka😅😅😅 kila la kheri wanayanga!
❤🎉