Diarra pole sana kwa uchovu pia hongera sana kwa kazi nzuri syo kitu kidogo kutua nchini kwa mda mfupi hivyo kufanya mambo kwa ubora kiasi hiki pole sana hata mazoezi nasikia umefanyia ndani ya gari kwa kauli ya kamwe🙏🙏🙏🙏 hongereni wachezaji wetu viongozi pia🙏🙏🙏💚💚💚💚
Yanga inalazimisha mental kuwaa Uchida kwaku wachanganya ndo seriously kubwa ya Yanga ikijifanya una uwezo just yawo unajifunga mwenyeweee YANGA❤❤❤❤❤❤❤
Kama nchi tuwaamini vijana, yanga wamethibitisha kuwa vijana wakipewa nafasi wanaweza kufanya maajabu.Mavunde, Herse, Arafat,Alex, Makanga.Kudos vijana
ila yanga mtoto akiutaka 2 hawana huruma wanampatia ,ali kamwe wapi mtoto kautaka, ha ha ha ha habsri wanayo ooh tunaenda kufunga yanga nyoo, labda kwa kamba, apo sawa
Diarra pole sana kwa uchovu pia hongera sana kwa kazi nzuri syo kitu kidogo kutua nchini kwa mda mfupi hivyo kufanya mambo kwa ubora kiasi hiki pole sana hata mazoezi nasikia umefanyia ndani ya gari kwa kauli ya kamwe🙏🙏🙏🙏 hongereni wachezaji wetu viongozi pia🙏🙏🙏💚💚💚💚
Anajitoa Sana jana Kafika Saa8 Mchana
Vijana wao wameshindwa kumaliza metch majeraha kwao. Unafanya mchenzo na fitness ya yanga.🎉🎉
Diara ni mmoja tu
@@hassanchiwambo687ukitaka kujua moto wa yanga ni balaa, angalia kolo.mechi zijazo ataharibu na watafukuza kocha😅😅😅😅
Amna keeper hapa kama diarra aseee duuuh ile ni mashine
Gamondi akiondoka yanga lazima akahadithie 😂😂😂😂 mtoto kautaka mara hakuna matataa
I love you yangaaa 💚💛🖤
Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
Hongereni sana wachezaji wetu mmejituma sana 💚💚💚🖤🖤🖤🖤💛💛💛💛
Hongera kocha na benchi la ufundi na viongozi wote MUNGU hawalinde kwakila jambo inshallah
Mashaallah Alhamndulilah Allah nakuimba mzidishie ufahamu zaidi Kocha wetu Inshaallah
Yanga bingwa inshaallah daima mbele nyuma mwiko 💛💛💚💚💯
Hadi mnifunge Mimi ndio muwe bingwa
Yann Diara katishaa big up son❤❤❤❤❤❤❤
Love yanga
Vijana wanaowaita leo watalala na viatu, na wakumbuke akina Christian Ronaldo na Messi bado wanacheza mpira.
Vijana pumzi ilikata
Akina matemba wamejua leo kuwa wao ni nyau tu fulani
Ongereni sana wachezaji wetu bench la ufundi zima viongozi wote na staf wote wa Yanga kw kuendelea kutuheshima mungu awalinde
Mnauhakika baleke ni mzima😂😂
😂😂😂😂😂 Kila group huwa Linakamwehu kamoja
😂😂😂@@DIVINEPROMISE-c1n
Mechi Ya Marejeano Kati Ya Yanga Na Simba Tunaomba Iletwe Zanzibar..😒
I see gadiolla in our best coach master Gamondi
Hongera sana timu yangu ya Yanga!
Asante kwakutuheshimisha mtaani chama oyeeee
0:35 😊😮😊
🔥🔥🔥🔥🔥
Wananchiiiiiiiiii 🌹🌹🌹🌹
Waandaaji
Hiyo ndo maana ya Tim kubwa na kikos kikubwa Tim Iko comited
Diara apewe maua yake
Congratulations to all the players, technical team, leaders and fans 🎈
Wallah baleke mwehu sana😂😂😂
Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yanga inalazimisha mental kuwaa Uchida kwaku wachanganya ndo seriously kubwa ya Yanga ikijifanya una uwezo just yawo unajifunga mwenyeweee
YANGA❤❤❤❤❤❤❤
Ukiangalia vizuri lile goli hawakujifunga....max alivooiga lile shuti baada ya kipa kuutema lilienda likagonga mwamba ndo likaingia...mchezaji wa simba alitaka kuokoa lakini hakuufikia mpira ulikua tayari umevuka mstari !!!
Swaaafiiii Gamond
Ila yanga
👏👏👏
Yanga yangu bingwa
💛💚💛💚💛💚
🎉
Yanga bingwaaaaaaaa
Kama nchi tuwaamini vijana, yanga wamethibitisha kuwa vijana wakipewa nafasi wanaweza kufanya maajabu.Mavunde, Herse, Arafat,Alex, Makanga.Kudos vijana
😂😂😂😂😂😂😂Gamondi mgogo
Vijana wao watalal na viatu 😊😅
Simba n Underdog kw yanga
Sisi ndo Yanga
Mtoto kautaka 🤣
WEKENI TRANSLATE MNAFANYA KAZI GANI
ila yanga mtoto akiutaka 2 hawana huruma wanampatia ,ali kamwe wapi mtoto kautaka, ha ha ha ha habsri wanayo ooh tunaenda kufunga yanga nyoo, labda kwa kamba, apo sawa
Kufunga afunge simba yangs washangilie
😂😂 basi wanasimba shangilieni
Mtoto kalala na bambino
Na ukimsachi mtoto kwenye nepi zake "utakuta inya tu,humkuti na hela "
KITIMOTO FC😂😂ZUWENA FC😂😂😂EMBU TULIA KIMOJA KIMEKUTOSHA😂😂😂TAFUTA P2 KM UTAKII KUZAA😂😂😂
😅😅😅😅
💛💚💛💚💛💛💚💛💚💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛🔰🔰
Ongeleni wananchi Kwan kupamban
🎉