MASTER GAMONDI ATOA SIRI YA KUWAKANDA SIMBA/CEO WA YANGA APIGILIA MSUMARI MWINGINE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 окт 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Комментарии • 62

  • @NeemaAkyoo-s4s
    @NeemaAkyoo-s4s 17 часов назад +23

    Diarra pole sana kwa uchovu pia hongera sana kwa kazi nzuri syo kitu kidogo kutua nchini kwa mda mfupi hivyo kufanya mambo kwa ubora kiasi hiki pole sana hata mazoezi nasikia umefanyia ndani ya gari kwa kauli ya kamwe🙏🙏🙏🙏 hongereni wachezaji wetu viongozi pia🙏🙏🙏💚💚💚💚

    • @BbasuleBasule
      @BbasuleBasule 7 часов назад +2

      Anajitoa Sana jana Kafika Saa8 Mchana

    • @hassanchiwambo687
      @hassanchiwambo687 7 часов назад +1

      Vijana wao wameshindwa kumaliza metch majeraha kwao. Unafanya mchenzo na fitness ya yanga.🎉🎉

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 5 часов назад +3

      Diara ni mmoja tu

    • @augustinomkongwa5444
      @augustinomkongwa5444 5 часов назад +1

      ​@@hassanchiwambo687ukitaka kujua moto wa yanga ni balaa, angalia kolo.mechi zijazo ataharibu na watafukuza kocha😅😅😅😅

    • @EzraLusasi
      @EzraLusasi 34 минуты назад

      Amna keeper hapa kama diarra aseee duuuh ile ni mashine

  • @khadijajuma6271
    @khadijajuma6271 7 часов назад +9

    Gamondi akiondoka yanga lazima akahadithie 😂😂😂😂 mtoto kautaka mara hakuna matataa
    I love you yangaaa 💚💛🖤

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 9 часов назад +4

    Safi sana wanajeshi wetu endeleeni kupambana tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 4 часа назад +2

    Hongereni sana wachezaji wetu mmejituma sana 💚💚💚🖤🖤🖤🖤💛💛💛💛

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 16 часов назад +4

    Hongera kocha na benchi la ufundi na viongozi wote MUNGU hawalinde kwakila jambo inshallah

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 2 часа назад

    Mashaallah Alhamndulilah Allah nakuimba mzidishie ufahamu zaidi Kocha wetu Inshaallah

  • @fatmaomar8335
    @fatmaomar8335 18 часов назад +5

    Yanga bingwa inshaallah daima mbele nyuma mwiko 💛💛💚💚💯

  • @AllicePaullline
    @AllicePaullline 7 часов назад +1

    Yann Diara katishaa big up son❤❤❤❤❤❤❤

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z Час назад

    Love yanga

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 18 часов назад +10

    Vijana wanaowaita leo watalala na viatu, na wakumbuke akina Christian Ronaldo na Messi bado wanacheza mpira.

  • @SudiJembamba
    @SudiJembamba 15 часов назад

    Ongereni sana wachezaji wetu bench la ufundi zima viongozi wote na staf wote wa Yanga kw kuendelea kutuheshima mungu awalinde

  • @raphaelchristian367
    @raphaelchristian367 18 часов назад +8

    Mnauhakika baleke ni mzima😂😂

    • @DIVINEPROMISE-c1n
      @DIVINEPROMISE-c1n 9 часов назад

      😂😂😂😂😂 Kila group huwa Linakamwehu kamoja

    • @ummusumayyah-e8k
      @ummusumayyah-e8k 8 часов назад

      😂😂😂​@@DIVINEPROMISE-c1n

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 17 часов назад +3

    Mechi Ya Marejeano Kati Ya Yanga Na Simba Tunaomba Iletwe Zanzibar..😒

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 15 часов назад +1

    I see gadiolla in our best coach master Gamondi

  • @mustaphamuna-lk3fd
    @mustaphamuna-lk3fd 4 часа назад

    Hongera sana timu yangu ya Yanga!

  • @Magdalenakomba-g4e
    @Magdalenakomba-g4e 15 часов назад

    Asante kwakutuheshimisha mtaani chama oyeeee

  • @JasonramaphaniMchuzi
    @JasonramaphaniMchuzi Час назад

    0:35 😊😮😊

  • @ntanilanjema04
    @ntanilanjema04 17 часов назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @RadhiaMwelekezi
    @RadhiaMwelekezi 7 часов назад

    Wananchiiiiiiiiii 🌹🌹🌹🌹

  • @lissuscolasticascolastica
    @lissuscolasticascolastica 18 часов назад +1

    Waandaaji

  • @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt
    @AnnoyedChemistryExperime-yk9tt 5 часов назад

    Hiyo ndo maana ya Tim kubwa na kikos kikubwa Tim Iko comited

  • @DOCTORJimmy-rl6xb
    @DOCTORJimmy-rl6xb 15 часов назад +2

    Diara apewe maua yake

  • @owenfweta3239
    @owenfweta3239 16 часов назад

    Congratulations to all the players, technical team, leaders and fans 🎈

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 15 часов назад

    Wallah baleke mwehu sana😂😂😂

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 3 часа назад

    Rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @MwaniPh
    @MwaniPh 7 часов назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @AllicePaullline
    @AllicePaullline 7 часов назад

    Yanga inalazimisha mental kuwaa Uchida kwaku wachanganya ndo seriously kubwa ya Yanga ikijifanya una uwezo just yawo unajifunga mwenyeweee
    YANGA❤❤❤❤❤❤❤

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 11 минут назад

      Ukiangalia vizuri lile goli hawakujifunga....max alivooiga lile shuti baada ya kipa kuutema lilienda likagonga mwamba ndo likaingia...mchezaji wa simba alitaka kuokoa lakini hakuufikia mpira ulikua tayari umevuka mstari !!!

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 15 часов назад

    Swaaafiiii Gamond

  • @MussaTabora
    @MussaTabora 18 часов назад +1

    Ila yanga

  • @AchileusNshekanabo
    @AchileusNshekanabo 15 часов назад

    👏👏👏

  • @neemaemanuel1058
    @neemaemanuel1058 7 часов назад

    Yanga yangu bingwa

  • @latifalaizer521
    @latifalaizer521 18 часов назад +1

    💛💚💛💚💛💚

  • @JamesBarina
    @JamesBarina 18 часов назад +1

    🎉

  • @mkombozimella8436
    @mkombozimella8436 17 часов назад

    Yanga bingwaaaaaaaa

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 8 часов назад +1

    Kama nchi tuwaamini vijana, yanga wamethibitisha kuwa vijana wakipewa nafasi wanaweza kufanya maajabu.Mavunde, Herse, Arafat,Alex, Makanga.Kudos vijana

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 17 часов назад

    😂😂😂😂😂😂😂Gamondi mgogo

  • @EmmanuelChacha-rj1bk
    @EmmanuelChacha-rj1bk 17 часов назад +1

    Vijana wao watalal na viatu 😊😅

  • @AbubakarBenedictius
    @AbubakarBenedictius 17 часов назад

    Simba n Underdog kw yanga

  • @Mary-fs4mc
    @Mary-fs4mc 17 часов назад

    Sisi ndo Yanga

  • @EmanuelMiyonjo
    @EmanuelMiyonjo 18 часов назад +1

    Mtoto kautaka 🤣

  • @EmanuelLK-cx9lb
    @EmanuelLK-cx9lb 6 часов назад

    WEKENI TRANSLATE MNAFANYA KAZI GANI

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 16 часов назад

    ila yanga mtoto akiutaka 2 hawana huruma wanampatia ,ali kamwe wapi mtoto kautaka, ha ha ha ha habsri wanayo ooh tunaenda kufunga yanga nyoo, labda kwa kamba, apo sawa

  • @gabrielmadinda
    @gabrielmadinda 14 часов назад

    Kufunga afunge simba yangs washangilie

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 15 часов назад

    Mtoto kalala na bambino

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 8 часов назад

    Na ukimsachi mtoto kwenye nepi zake "utakuta inya tu,humkuti na hela "

    • @halimasawa611
      @halimasawa611 7 часов назад

      KITIMOTO FC😂😂ZUWENA FC😂😂😂EMBU TULIA KIMOJA KIMEKUTOSHA😂😂😂TAFUTA P2 KM UTAKII KUZAA😂😂😂

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 7 часов назад

      😅😅😅😅

  • @elikanabahati-gx6ly
    @elikanabahati-gx6ly 17 часов назад

    💛💚💛💚💛💛💚💛💚💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛🔰🔰

  • @IssaMpelumbe
    @IssaMpelumbe 3 часа назад

    Ongeleni wananchi Kwan kupamban

  • @PetroJoseph-wm9mj
    @PetroJoseph-wm9mj 8 часов назад

    🎉