KAZE AIPA UBINGWA SIMBA SC/ AWATAJA CHAMA, MIQUISSONE/ "YANGA BADO SANA ER UPDATE"
HTML-код
- Опубликовано: 19 окт 2024
- ALIYEKUA KOCHA MKUU WA YOUNG AFRICANS CEDRIC KAZE AMEZUNGUMZA MAMBO KADHAA AMBAYO AMEJIFUNZA KATIKA SOKA LA TANZANIA, HUKU AKIWAPA HONGERA SIMBA SC AMBAO NI SEHEMU YA KLABU ZINAZOPEWA NAFASI KUBWA YA KUTWAA UBINGWA WA TANZANIA BARA MSIMU HUU 2020/21.
KAZE ALIFUTWA KAZI YOUNG AFRICANS MACHI 07, SAA CHACHE BAADA YA KIKOSI CHAKE KULAZIMISHWA MATOKEO YA SARE YA 1-1 DHIDI YA POLISI TANZANIA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID, JIJINI ARUSHA.
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#cedrickaze #yangasc #simbasc
Daah! Cedric Kaze ni Kocha Mzuri sn ambaye ameisaidia sn Yanga💚💚💛💛lkn Uongozi wa Yanga sio Wavumilivu ata kdg kumuondoa Kocha Cedric Kaze ni kosa kubwa tutakuja kumkumbuka huko baadae....lkn sio Mby Young Africans Daima Mbele Nyuma Mwiko 🙏🙏🙏
Shaban Kondo uko vizuri sana kwenye NARATION, una ladha ya ki DW hivi! Ni online TV chache sana zenye watangazaji walio na UFASAHA KWENYE KISWAHILI, yaani ni NADRA kukosa mtu mwenye shida za L na R na nyinginezo nyingi. Big up kaka keep it up
MashaaAllah mtangazaji uko vizur, 😍😍😍
Wewe ni mtangazaji waaina yake unauwezo mkubwa sana umepikwa ukapikika uko vizuri sana
Kweli kabisa coach Kaze
Thank you
Mtangazaji uko vizuri
Kasema ukwelii jamaa simba ikishateseka sanaa na wakakubali kwamba wameteseka na wakaamua kujipangaa
umekuja vzr..umeteleza kusema mwezi may ungeifunga simba🤭🤭simba ni💪💪💪🦁
Coach Kaze have done his duties nicely, only that Utopolo are not after football excellence but individual interests of which nobody can afford as a coach
Mm kwa niaba ya Young Africans Wenzangu Duniani... nawaomba huyo Kocha Mwambusi alete Mabadiliko Zaid ya Kaze
Kaze ni kocha mzuri sana
Sema wa tz uvumilivi
Wah! Maneno mazuri ni ya ukweli.
Dar 24 na Shaban Kondo Safi Sana huyu Shaban Haboi kabisa Anatoa taarifa Straight to the points Safi Sana najua Kwa umahiri wako wakutoa taarifa ndio Mana Ulikuwa mtangazaji majuuu 🙏🙏🙏🤣🙏
UTOPOLO MUTAKE ..MUSITAKE... KUBALINI MUKATAE...SIMBA S.C IMEWAZIDI KWA KILA IDARA LABDA KWA ( UTOPOLO ) MUMEIZIDI SIMBA S.C KWA MANENO YA MIPASHO , LAKINI KWA MAENDELEO ...UTOPOLO MUPO CHINI... KUBALI KUKOSOLEWA ILI MUJIPANGE NA MUJIFUNZE KWA MAKOSA YENU...
Mnafki huyo hana rafiki
C.KAZE , ALIKUWA NI KOCHA MZURI SANA NA NILIAMINI KUWEPO KWAKE KWELI UTOPOLO INGEBADILIKA SANA...
Wewe maze ni mtu mjinga sana kwa kuwa ulikuwa unafundisha timu kwa pressure kwa kuiangalia simba ndo maana umefeli.kwa sababu uliwatumia wachezaji wako wa kigeni kuliko wazawa ambao pengine ni wazuri sana kuliko hao wageni.umekaa miezi 6 umeshindwa kupata kikosi cha kwanza.wewe ni kocha mshamba tu
Kwaheri kocha, tunakutakia Kila la kheri uendako.
Hakuna Kocha atakayekaa yanga, kwasababu wanataka kujilinganisha na vilabu vikubwa ikiwemo Simba kuliko kutulia na kujenga timu yao. Matokeo hayaji kwa kufosi, matokea huwandalia.
Kaze upo bye utopolo wajipange kwa miaka 5 kwanza
Kikosi cha simba nikipewa mimi kuwa kocha tunashinda michezo yote ya vpl
Hivi Yanga walimpaje Kaze timu? Kwa kweli ni kosa kubwa sana kumpa timu kama Kaze
Kaze hana mbinu mubadala ktk uwanja.
Ngozi nyeusi bana yani kufukuzwa tyuu ndio umeanza na kuisifia simba aiseeee nihatar xn
simba watachukua mara kumi
Mbona Yanga inaibamiza Simba mala kwa mala ?
Kaongea ukwel Wake
Ivi jamani mrisho gasa yuko wapi sikuiz.
Mchukuwen nyny awe ni kocha wawili simba
Hahahahah ngayaaaa
Huo ndio ukweli yanga jipangeni.
Kila mtu pale simba ni fundi kocha ana shida gani?
Nenda tu bhana achana na yanga fata yako umeshindwa atakuja mwingine anae weza
🐗🐖🐷🐽🐷🐖🐗🐖🐷🐽
Mngetuwekea sauti au yy hatuwaamini na mapichapicha yenu
Aongee yeye sio umuongelee wewe
Huyo kaze cyo kocha mzuri hata kidogo ana maneno mengi sana huwezi kuja kumfundisha yanga chochote wewe nenda zako upumbavu tu.ulikuwa na wachezaji wengi wazuri lakini umeshindwa kupata first eleven yako.huna lolote nenda zako
Simba kubwa kwa lipi jamani ? Wakati Timu kama Timu haina pesa za kujiendesha yenyewe inategemea Fedha za mfukoni za mtu mmoja.
Timu haiwez kua na hela mpaka mumpe mtu mwenye hela ili timu iwez kupata hela hakun timu dunian yenye hela ambay aiyongozwi na wenye hela
@@malavidoaluminium9353 Ipo Timu kama Bayern Munic inamilikiwa asilimia 75 na Wananchi ,na asilimia 25 ni wawekezaji, ndani ya asilimia 25 wapo wawekezaji watatu akiwemo "ADIDAS"hiyo ni Ujerumani,Kwa Hispania Real Madrid na Barcelona ni vilabu vya wananchi na Hisa asilimia mia ni Wananchi na Mambo yanakwenda,Kiongozi usiogope Mabadiliko kwenye uendeshaji,inatakiwa kubadilisha washabiki kuwa Wanachama na Wanachama kuwa Wawekezaji sio kumwachia " Bwanyenye mmoja" awe Mungu Mtu.
Unafrahisha tp mazembe ,Chelsea zote zinamilikiwa na mtu binafsi ,huo ni wivu tu kwa simba namo