Nilikuwa na swali ivi wabembe washawai kuwa na Mwami wa asili au ule mwami wa wami kma kabila zingine yule akisema wengine wanafuatilia kile kilichosemwa na Mwami au kila ni Mwami seemu yake au la huyo yupo au la na kma ayupo kwann asichaguliwe ili awe kwenye kata ya fizi kma wengn tunatakiwa tuwe nae Mana itatusaidia sana kwenye Commonotte yetu ya kibembe Ni maon yangu
Baba wa ulinzi wa inchi yetu mwenyezi Mungu azidi kukuongoza na kukulinda katika kazi yako ya ulinzi wa inchi wewe ubarikiwe na mwenyezi Mungu muumba
Uko unafanya kazi ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Amina mzee wetu Amina
We mvira Unadanganya sana mjinga mwe si ndo wale wale
Sawa
Asante
Baba nakupenda bure sauti yako yaonyesha upole na utulivu zidi kufundisha wenzenu kudumisha undugu umoja amani na usalama
Ongera my team
Nilikuwa na swali ivi wabembe washawai kuwa na Mwami wa asili au ule mwami wa wami kma kabila zingine yule akisema wengine wanafuatilia kile kilichosemwa na Mwami au kila ni Mwami seemu yake au la huyo yupo au la na kma ayupo kwann asichaguliwe ili awe kwenye kata ya fizi kma wengn tunatakiwa tuwe nae Mana itatusaidia sana kwenye Commonotte yetu ya kibembe Ni maon yangu
Mungu wambinguni akulinde usiku namushana malaika wakuzunguke
Tâtà mvuluzi mfumu nzambi Kimbangu diantungunua mvika ya suekama molimo mosantu yala kuaku [3×] yala kuaku yala kuaku yala kuaku Songa Ntela Aku Kadi Wanungini Mu Nza Ya Mvimba Ingeta Matondo
Mkombozi wa congo 🇨🇩
🎉
🎉
🎉
🎉
Bafulero baache Bangi sie babembe tunajua vitanabaache kutaya mzee William yakutumba
lba wabwari walisaidiag Wabembe sana na kabila zingine pia
Ivi ubwari ilisha kuwa nchi?
Wafuriru wavira tunawapenda marafiki zetu kwanini nanyi mtugeuke?jamani jamani ndugu zetu kwanini?tuungane tuungane wapendwa ugomvi wa nzige furahaa kwa kunguru kuweni makini mjiyume kutetea nyote inchi yenu ili sifa na utukufu viishi kwenu milele daima kwakuweza kupiganisha mvamizi wenu