WAZIRI JAFO ASHANGAZWA UNUNUZI wa TANI KIBAO za MBOLEA NJE ya NCHI - "HUU ni UHAINI kwa RAIS SAMIA"
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- WAZIRI JAFO ASHANGAZWA UNUNUZI wa TANI KIBAO za MBOLEA NJE ya NCHI - "HUU ni UHAINI kwa RAIS SAMIA"....
Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Seleman Jafo Leo July 8, 2024 amefanya ziara katika kiwanda cha uzalishaji Mbolea mbalimbali za Mazao ya chakula, cha Intercom kilichopo Jijini Dodoma ambapo ameshangazwa na taarifa iliyotololewa kiwandani hapo kuwa pamoja na kiwanda icho kuingiza sokoni Tani Alf Sabini na tano Elf za Mbolea lakini tani elf nne pekee ndio zilimenunuliwa nchini na wakulima
Akiongea na uongozi wa kiwanda icho Waziri Jafo amesema kitendo kuagiza mbolea njee ya nchi ni kudidimiza juhudi za Mhe, Rais Samia Suruhu Hassani za kuwaleta wawekezaji nchini
Waziri Jafo amesema kitendo cha kuingiza matani na matani ya mbolea ni kama Uhaini kwa Rais Samia, na kutoa tamko kuwa kwa kipindi ambacho yeye anahudumu kama Waziri wa Viwanda na Biashara atahakikisha anavilinda viwanda vya ndani
Akitoa Taarifa ya Uzalishaji wa Mbolea Kiwandani hapo kaimu Mkurungenzi wa Intercom Injinia Victor Ngendazi amesema pamoja na kiwanda icho kuwa na uwezo mkubwa wa kuzalisha mbolea lakini bado wanapitia changamoto ya kupata masoko ya uhakika
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imekuwa ikitoa Ruzuku ya Mbolea kiasi cha Bilioni Mia Moja na Hamsini Kwa kila mwaka, pamoja na kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Bashe ana kesi ya kujibu. Amsubiri Mh Mpina.
Maajabu ! Tuna viomgozi BOGAS sana wanajali cha juu kila wakati .
Tatizo ni waziri Bashe anahujumu nchi kwa maslahi yake binafsi na wageni waso...mli wenzake
Kuna watu wanapiga dili kuagiza mbolea nje pamoja na sukari
Umeeleweka Waziri.. kila la Kheri
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Wakina nani wanaonunua mbolea nje?Wanapaje leseni?Huyu Waziri wa Kilimo achunguzwe
Wauze ndani kwanza
Hizo mbolea hazina ubora,acheni kudanganya kwa kisingizio.
Hicho kiwanda lazima wajiulize kwa nini watanzania tunapenda mbolea za nje......
Wanakimbilia kununua kila kitu njee kuna nini huko njee?
Waziri Bashe anapiga sana kazi ahakikishe mbolea inanunuliwa hapahapa, nje wanunue tu zile ambazo hazipatikani hapa Tz.
Mbolea ya Luzuku Wananunua wapi ???!!
Huyo mwenzako wa kilimo usimtegemee. Ni mpiga dili hana uzalendo wa kukuza viwanda vya ndani. Kama yalivyo ya sukari anafanya na mbolea pia.
@@charlesmwambinga4355 wananunua nje
@@sitamgeta7565 Inawezekana kabisa wanapiga madili
Kidonda kimepata mkunaji, wapo watu hawana Nia njema na mama ila niwazuri sana representation
Safi
Safiii sana mwanage jafoo
Watanzania hawajali nchi yao. Kwa nini uhujumu nchi yetu?
Bashe tatizo hilo anapenda kila kitu anunue nje ana mpango gani na Tanzania 🇹🇿 yetu
Mwanzo mzuri sana wa Waziri Jafo, kwanza walivyo vaa ki engineer, naomba kazi nije kusaidia wanamchezo wahuni tuwamalize
Danganya wasiojielewa hiki kiwanda kimejengwa kipindi cha magufuli wanasiasa acheni uongo
Acha chuki mjinga ww samia ndo aliemleta huyo muwekezaji
Tafuta ushahidi kabla ujaongea , sio unalopoka tu kila kitu ni Magu hata Kama sio yeye.
@@abuuramadhan8093 wewe ni kichaa Kwahivyo unabishana na mimi niliofanya kazi kwenye hilo eneo toka linaanza? Si ugoohle uone
@@ShamteMohmed-ed2kk wewe ndio unaropoka bila ushahidi, kiwanda kimeanza ujenzi mapema 2020, Rais wa Burundi na Samia walikuja kuweka jiwe la msingi ujenzi ulishaanza toka kipindi cha Magufuli
Bashe atauua viwanda vya ndani, Mpina amelalamika kuhusu sukari kuingizwa nyingi ila serikali ikachukulia kawaida.Shida kubwa ni Bashe,avuliwe uwaziri.
wakulima tunataka mbolea kulingana na uhitaji kwa mfano mbolea za kiwanda hicho haziwezi kishindana na mbolea za kampuni ya yara shida sio kiwanda ni ubora wa mbolea
Mgekuwa mnajaribu kutueleza ukweli hata kidgoo jaman Duhhh
Walikuchelewesha jafo ...magu alikuamini na hukumuanguasha..ni wakati sasa wa mama kukuamini
Waziri wakilimo anatatizo anapenda sana kununua kutoka ugaibu kunakitu
Yani kumbe kiwanda kipo daaaaaar tz ngumu
Mkiwabeba watakosa uzalendo wanaanza kutuumiza maana hawana mshindani kama mbolea Yao ni Bora itanunulika.
Uyo ndio Bashe anaetaka teni pasenti ndio mjuwe uyo mwisopia
Tatizo ubora wa hiyo mbolea.
Kwahiyo ya wazungu ndio Bora?
Ukishakuwa na nchi ya watu wanapenda udalali shida hata uwe na bidhaa nzuri bado wanatafuta wapi
Bashe si m tz😮😮😮😮
Kimewaka tena huko
Bashe anayumba huyo mpina anasema ukweli mnampinga
Wazalishe angalai double
Na jee prices zao ni competitive
Wewe umeambiwa uje usikilize kero za wafanyabishara kariakoo, wewe unaenda kugagua viwqnda vipi mbwana,au we ushapewa bahasha
Dr piga kazi... hao ni vijana wa Magu
Mpina apewe wizara ya bashe..
Msomali anawaza kinyume nawe utasikia anakujibu maana ana kiburi cha ndani
Hongezeni ubora wa mbolea zenu changamoto ya Tanzania kuanzia mbolea hata baadhi ya madawa hazina nguvu ile inayoleta matokeo chanya na ndio maana hata wakulima wanatumia mbolea za nje wakijua ni bora kuliko za Tz.
Bashe atasema wamegoma kuzalisha, huwezi kuwa waziri wa kuruhusu nchi ikose mbolea
Jitihada za kuua viwanda zita zalisha ukosefu wa ajira, na wasio na ajira watawatoa madarakani ni swala la muda! Get lessons from generation of zoomer in Kenya.
3:07 3:15 3:15 3:15 3:18 3:19 3:19 3:19 3:22 3:22 3:22 3:29 3:29
Kumbe ile mbolea ilitoka Russia ikakosa kufika Kenya iliuzwa Tanzania! Linturi must go
Huyo mwenzako wa kilimo usimtegemee. Ni mpiga dili hana uzalendo wa kukuza viwanda vya ndani. Kama yalivyo ya sukari anafanya na mbolea pia.
Msomali bashe ni mpiga deal sana.. minjingu kuna mbolea ya asili lakini inapelekwa Kenya,then ulaya kwa chapa ya Kenya
Hiyo mbolea ni ya mazao gani,, yawezekana ni ya tumbako je,, sisi kwetu ruvuma twalima mahindi twahitj zaid urea,can,,sa
Viongozi wengi wa tz ni wanafiki mno inatakiwa wazuie watu kununua nje hovyo sana maviongozi ya tz sisi waafrika tunathamini vitu vya nje kuliko vya ndani utumwa bdo upo kichwani tunaaminishwa vitu vya nje ni bora kuliko ndani
Mtandao wa wapigaji tangu hazina, kilimo, tra....mama yupo tu!
Na vijengwe kila Mkoa
Bashe huyo maana watu wanapata taabu ya mbolea na jamaa anasumbua
Watz tutanunua bidhaa bora na kwa bei nafuu ,katka hili haitajalisha ni inje au ndani ya inchi
Atajwe tu huyo anayeagiza mbolea, na ni lazima atakuwa ni mtu mwenye cheo cha juu ....
Kwa nini hazina ikaidhinisha kutoa dolla za kununulia mbolea nje wakati kuna uhaba wa dolla? Huyu Mwigulu aidha ni lifisadi au hajui akifanyacho. Lete Waziri mpya wa fedha.
Piga kazi Jaffo tunaimani na ww
Ongezeni tax mbolea za nje au msiruhusu iingie nyingi
Tanzania ina watu wa ajabu sana maneno mengi utekelezaji ziro
Piga kazi kijana
Nani huyo mtajeni km ni waziri wa kilimo Bashe semeni tujue. Mpina alimwaga Madudu ya viongozi wapiga pesa wanakula rushwa mkamuona mbaya
Nani ni mnunuzi toka nje . Na atolewe kwenye hicho cheo. Je ni waziri wa kilimo? Atajwe ili tumuone kama ni yule aliyeagiza sukari. Kuna genge nchini linahujumu uchumi. Haliitakii hii nchi mazuri. Wanajali mifuko yao na matumbo yao. Nani kaingiza mbolea hiyo?
Tembelea na kiwanda cha dawa za kuuwa mbu mueshimiwa.
Shida si kununua mbolea je Ina ubora?? Isije kufanana na ile ya minjingu
Wanaonunua je wenyewe wanapenda visivyobora