TUNAUTANGAZA USHINDI WA YESU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Kwaya ya Vijana KKKT Mlandege ni moja kati ya Kwaya zilizojipatia umaarufu mkubwa mkoani Iringa na Nyanda za juu Kusini kutokana na uwezo wake wa kuimba na kucheza jukwaani. Wengi wameifahamu Kwaya hii kupitia Mikutano na Matamasha mbalimbali ya Kiinjili ambako imekuwa ikialikwa kumtangaza Mungu na kutumbuiza. Sasa inavuma kwa kibao kipya cha TUNAUTANGAZA USHINDI WA YESU.
MTUNZI: Meshack Mgaya
PRODUCER (Audio & Video): Rizikia Media
Mawasiliano/contact
Mwenyekiti/Chairperson +255655020419
Katibu/Secretary +255757733085
Social Media
Facebook: Kwaya ya Vijana KKKT
Baruapepe: mlandegevijanachoir@gmail.com
@vinajakkktmlandege9671
Watching from Malawi.
Beautiful music.
Mungu abariki kazii hii.ni nzurii sana
Amazing song and video. Watching from Vietnam
Kazi nzuri, barikiwa sana👍
Hongereni sana kwa kazi nzuri
Waooo saf sanaaa kwaya ya vijana mlandege mbarikiweeeeew kwa ujumbe huu mzuriii
Wow! Hongereni sana. Endeleeni kumtumikia Bwana
Mpo vzr sana Mungu azidi kuwainua viwango vya juu
Hongereni sana Mungu azidi kuwatunza kwa vipawa hivyo
Hongereni sanaa kwa utumishi mbarikiwe sana kwa huduma
Nimewaelewa sanaaaa🎉🎉🎉
Kazi nzuri hongereni
Hakika YESU nmshindi
Hongereni mnoo kwa utumishi uliotukuka. Nimeipenda Sana hii nyimbo. Vocal na video vyote viko super! Mungu awainue.
Hongereni sana,Utukufu ni kwa Bwana.
Na wapenda sana watumishi wa bwna ❤❤❤❤❤
Wawooooooo hongera sana watumishi wa bwana❤❤❤❤
Mungu awabariki san
Hongeren sana
Hayelooooyaaaaaaa!
Ahsanten Na bwana asinyamaze katka Kila hitaji
Sifa Na tukuzo apewe Bwana
Asante sana@Samweli kwa maombi yako
Hongereni kwa wimbo mzuri.
Mungu awabariki
Asante sana Bakela kwa pongez na support yako.
Hongeleni Sana jamani namungu awabaliki Sana nimependasanaiyo sakalia ameuwakabisa Yani saluti
Morning watumishi mloteuliwa Na kkutengwa Jehovah Kwa kazi maalumu ya kuihubiri injili Kwa njia ya uimbaji
Na watu wanpokea uponyaji
Nikiwakumbuka vile mlihubiri ,Ibofye,Image,Magulilwa,Lyamgungwe, Dodoma ,Mafinga,Makambako jogoo,Mgama,Mfyome ,Ilula, Sai Mbeya, e.t.c Mungu awakumbuke a hadi zake zote zitimie Kwa jina la Yesu.
Ameen
Hongeleni Sana jamani