KITALE MKUDE SIMBA STAN BAKORA NI WEZI WA KUTUMIA AKILI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #Stanbakora #MusaKitale #KobeloChapombe

Комментарии • 309

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 2 года назад +10

    Kaz Kaz babaa ktale Stan nawakubali sana

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 2 года назад +6

    Safi sana hii ikiendelea zaidi itabasti shoo Kali sana

  • @naturenature931
    @naturenature931 2 года назад +2

    The big 5

  • @tinnoboy3273
    @tinnoboy3273 Год назад +3

    Dah ii kitu ilisha wahi kunikuta uwanja wa taifa dahaaa

  • @reinatave3022
    @reinatave3022 2 года назад +15

    Hii team nawapenda bule kazi zao zinakuaga pouwah mno

  • @lwogasgenius9147
    @lwogasgenius9147 Год назад +5

    Huo mchezo unaitwa bwagabwaga hataree sana

  • @manasseninteretse8510
    @manasseninteretse8510 2 года назад +16

    Yaani wanangu nawapenda sana kinoma😄 kitale namkubali sana, tunawapenda sana kutokea Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 mjini Rumonge tunawafuatilia.

  • @obootopaulo5781
    @obootopaulo5781 2 года назад +4

    Kazi iendelee

  • @naturenature931
    @naturenature931 2 года назад +1

    Good job guys keep it up

  • @SkaterTravellerWorld
    @SkaterTravellerWorld Месяц назад

    I'm watching from Burundi Country 🇧🇮

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 года назад +3

    Daa Hili Dili ni kali sana kubwa kuliko

  • @kamaukahn6308
    @kamaukahn6308 2 года назад +3

    Umetisha kitale mandonga move kari namwili umetoka

  • @antoniasanga2633
    @antoniasanga2633 2 года назад +2

    Fundisho ahsante

  • @benardmutayi5738
    @benardmutayi5738 2 года назад +5

    Daaa mchongo wayeyuka😃Mogela katapeliwa vinoma😃🇰🇪

  • @zenaathuman2619
    @zenaathuman2619 2 года назад +9

    Dah!!hyo michongo yazamani sana naijua hiyoo ilikuta mitaa fulani mwanza 😂😂 mogela hana ham

  • @سوزي-ع1ل
    @سوزي-ع1ل 2 года назад +3

    Nakukubali sana bwakila ✌️

  • @shadrackniyomukiza9045
    @shadrackniyomukiza9045 Год назад +3

    Oya izo pigo kali

  • @saidihatibu9461
    @saidihatibu9461 3 месяца назад

    Kitale mwamba nakukubali kinoma Sana umwamba wako wakisela

  • @pascokibesa918
    @pascokibesa918 2 года назад +1

    Hii iko poa xn👏

  • @rehmahamishamismkande4348
    @rehmahamishamismkande4348 2 года назад +3

    Iliwahi kunikuta maeneo ya tandale

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 года назад +15

    Km umeona kitale kakonda gonga like tujuane

    • @zenaathuman2619
      @zenaathuman2619 2 года назад

      Naona kama vile ameharibikia

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 2 года назад +2

      @@zenaathuman2619 nadhani sijui km nae hajaanza kugonga ile kitu maana kapururuka km muhindi

    • @hassanirajabu5453
      @hassanirajabu5453 2 года назад +2

      @@suleimanrashid3918 msimuhukum ingia kwenye account yake huyo anafanya mazoezi alikuwa anaounguza ule mwili wake mkubwa

    • @zenaathuman2619
      @zenaathuman2619 2 года назад +1

      😂😂😂 kitoko kachanganya na roboti

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 2 года назад +3

      @@suleimanrashid3918 wabongo mmeanza tena khaa huyu anafanya mazoezi muwe muna mfatilia huko ista

  • @RamadhaniNyongo
    @RamadhaniNyongo 3 месяца назад +1

    Nakubali kazi kazi

  • @YasiniJama
    @YasiniJama Месяц назад

    Shafiih ziwa saasita ❤

  • @vikramlufunyo5832
    @vikramlufunyo5832 2 года назад +6

    Mbona kitale amekonda sana

  • @AbdallahHamisi-s4h
    @AbdallahHamisi-s4h 11 месяцев назад +1

    Nakubali san

  • @SanifuTz-n4z
    @SanifuTz-n4z 3 месяца назад

    Iyo ndo i like, naomba like zangu

  • @bensilmwamila8092
    @bensilmwamila8092 2 года назад +3

    kitale na stan mmetupa funza kubwa mno,huo wizi ulofanyika sana Tanga barabara ya saba miaka hiyo,wanaweka elfu kumi juu na chini katikati karatasi kama zote,jichanganye kila kitu watakubebea

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 2 года назад +4

    Kitale mwili wako ulikupendeza sana aisee sa hiv umekuwa Kama Dr wa mifugo bwana

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 2 года назад +1

    Wa Tz atuna jema kitale kafanya mazoez kawa vizur tunasema kachukiza Mogera Bonge tunasema mbaya lipi jema sasa

  • @bobelichi7721
    @bobelichi7721 2 года назад +86

    Kamaliza form six juzi kesho anapiga pepa ya form 4...mloiskia hii tujuane kwa likes😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

    • @azizaaziza9113
      @azizaaziza9113 2 года назад +8

      Mchezo umekwenda vzr lkn kuna makosa madogo madogo yamejitokeza lakwanza ni hilo halaf kitale aliona toka mbali kuwa dogo kaokota kitu alijuaje ni milion moja! Anasema askari hao watu wenyewe ni watoto wakihuni eti askari ck nyingine tafuta watu wanaoelekea kufanana na afande kweli

    • @zanabzanab
      @zanabzanab 2 года назад +3

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @mgbboyonline654
      @mgbboyonline654 Год назад +1

      🤣🤣🤣🤣

    • @abdillahrashid7759
      @abdillahrashid7759 Год назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @timothykeverenge9153
      @timothykeverenge9153 Год назад

      😂😂😂😂anasoma kinyumenyume😅😅

  • @aminamasamba9879
    @aminamasamba9879 2 года назад +3

    kitare mtoto wa mjini safi sana

  • @timothykeverenge9153
    @timothykeverenge9153 Год назад +1

    Haya mbo huku Kenya 🇰🇪 ndio yapo kibao sana yaitwa utalijua jiji😅😅

  • @kimbyarungwe4959
    @kimbyarungwe4959 2 года назад +4

    Timu hii nakubali sana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JumaMpili-i7p
    @JumaMpili-i7p Месяц назад +1

    Mh mavmavi tu Tena yamenuka niyakutupa

  • @zuberiismail2972
    @zuberiismail2972 2 года назад +7

    Hii kitu ilinikuta mimi, elf 10 yangu ilienda na simu na laini na toothpic walinambia nisiache chochote kwenye mfuko labda mchanga walijifanya waganga af nlikuw naumwa kweli walinizuia geti la hospitali yaan daaaaaah hawa watu mungu anawaona

    • @suzanafromomani2973
      @suzanafromomani2973 7 месяцев назад

      Mimi pia irinikuta magomeni sim zote mbili zilienda😂😂😂😂😂😂😅😅😅

    • @zuberiismail2972
      @zuberiismail2972 7 месяцев назад

      @@suzanafromomani2973 hahaaaa pole boss

    • @hemedkagodah1436
      @hemedkagodah1436 3 месяца назад

      Hahaaa dah

  • @annointkiboi4647
    @annointkiboi4647 Год назад +2

    😂hii nayo nilifanyiwa pale kitale😢

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 2 года назад +1

    Kitale kama kweli muhuni kweli unakipaji

  • @YasiniJama
    @YasiniJama Месяц назад

    Afande gani ana dred kichwani

  • @Onesmoboyz
    @Onesmoboyz 2 года назад

    Nakubali san kitare

  • @chidyobey10
    @chidyobey10 2 года назад +9

    One man army like za kutosha basi nikifungua dimba hapaaa

  • @amanishiughaaa6345
    @amanishiughaaa6345 2 года назад +4

    Wahuni kazini mji una kazi

  • @mabebibablii3056
    @mabebibablii3056 8 месяцев назад +1

    Kitale kavuu sanaa

  • @TemwaJilaha-vw9md
    @TemwaJilaha-vw9md Год назад +1

    Kwahii nimekoma wamechez

  • @KagoseNjume
    @KagoseNjume 8 месяцев назад +1

    Kitale noma

  • @johelieza5908
    @johelieza5908 2 года назад +2

    Huyu mi Mdogo wangu Baba mmoja Mama Mmoja.

  • @semsiamani3676
    @semsiamani3676 3 месяца назад

    Duuhh hiii Kali kanyaboya

  • @mipazoartist
    @mipazoartist 2 года назад +6

    Hatari Sana

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka6393 Год назад +1

    Niliwahi kuibiwa cm ivi ivi kariakoo sitosahau 😅😅

  • @husseinchande2741
    @husseinchande2741 2 года назад

    Mmmmm. Nakubali

  • @ziddyziddy2524
    @ziddyziddy2524 2 года назад +1

    Dah hii michezo kitambo sana

  • @donofficialtz
    @donofficialtz 2 года назад +11

    Well done

  • @athumanochu-bc7dz
    @athumanochu-bc7dz Год назад +1

    Tujuane vp

  • @mwitajohn2118
    @mwitajohn2118 2 года назад +1

    Kamaliza form six juzi tu kesho anapepa la form 4

  • @Hemed-nz2yg
    @Hemed-nz2yg 8 месяцев назад +3

    kitale tunakukubali mzir san tunajifunz mengi kupitia nyiny

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db 8 месяцев назад +1

    Hiyo ilinitokea ivoivo kariakoo acha cjawahi adithia mtu hadi leo

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 Год назад +1

    Wanna upeo mkubwa wa kuzingatia matukio ya mitaani vinavyofanjika kiuhalisia .

  • @boyimchawi
    @boyimchawi 3 месяца назад

    Sema walah😂😂

  • @RamazanihusseniOmari
    @RamazanihusseniOmari 5 месяцев назад

    Du noma

  • @farajafleva
    @farajafleva 2 года назад

    Nairobi 1 tunawakubali sana

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 2 года назад +4

    The Don analia😂😂😂

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 месяцев назад

    Nyimbo zangu nicheki diga boy tz

  • @marioedward4125
    @marioedward4125 2 года назад +2

    Mdogo wa harmonize huyo

  • @OthumankibabiKocho
    @OthumankibabiKocho 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂kitale unajua kuapa

  • @Nahran13
    @Nahran13 8 месяцев назад +1

    Huu mchezo Moshi unachezwa sana wakataka kuniokota siku moja nimetoka zangu Mbuyuni niko NMB mandela, akajifanya Muhuni ,asijue karate imelala hapa😊 wenyew waliweka hela za bandia nkamwambia we unanijua , eti amna bro njoo tugawanae twende chobi nkamwambia amna apa apa, eti sa wew unasimu apo, nkamwambia ntakupiga wew haunijui kumbe, eti bas bro , nkachukua kuzichek kumbe 20 bandia katkat zimewekwa tishu mamae

  • @allymohamed5328
    @allymohamed5328 2 года назад +10

    Da!! Hii Mimi nilipigwa Kweli nilipokuwa na miaka 17, mzee alinipa elfu 50 nipileke bank ya NMB Temeke yakanikuta haya nakumbuka bahasha nilienda kuifungulia feri ufukweni mwa bahari,nilipanda gari mbili eti kumkwepa jamaa aliye act nafasi ya kitale,😭😭😭

    • @shebbyconscious277
      @shebbyconscious277 2 года назад

      Haahahahah kwakweli ata mimi nilipigwa nilipanda gali nikashuka kituo pili nikapita shotikatia asnione alipiga sm ndogo na elufu nne

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +2

    Michezo hiyo tunduma ipo Sanaaa wazambia wanapngwa sanaaa

  • @kboymfalme
    @kboymfalme 11 месяцев назад +1

    Wezi wasioumiza

  • @raphaelamani913
    @raphaelamani913 2 года назад +1

    Stani mbona unapiga kibao hivo babu heeeeeeee

  • @kerryrummy633
    @kerryrummy633 2 года назад +2

    Kibonge mwepesi🤣

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 2 года назад +1

    Bro kitale unajua

  • @marurualex9827
    @marurualex9827 8 месяцев назад +1

    Ila kwel hii hatari

  • @azaboicomedy
    @azaboicomedy 2 года назад +2

    Kamaliza form6 kesho anapiga paper ya form4😂😂😂😂😂

  • @swaloweddingcollection
    @swaloweddingcollection 9 месяцев назад +1

    Hahaha Hii boder ya wajanja

  • @NassibUkasha
    @NassibUkasha 5 месяцев назад

    Mombasa ndio wamezidi kinoma

  • @qadirshaffiy5893
    @qadirshaffiy5893 2 года назад +3

    Shaffiy kitale @Wajina...🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HassanMeja-rs4cy
    @HassanMeja-rs4cy 8 месяцев назад +1

    Yaani huu wizi ni wamorogoro kabsa daa nshawahi kuibiwa kama huyu jamaa

  • @wilsonkahamba7702
    @wilsonkahamba7702 2 года назад

    Leo

  • @PerpetuaLuka
    @PerpetuaLuka 2 месяца назад

    Jamani amekonds sana

  • @MichaelyYohana
    @MichaelyYohana 5 месяцев назад +1

    Kumbe bonge mwepes tulojua hilo tu like

  • @fredricknkole7457
    @fredricknkole7457 2 года назад +1

    Aisee mmenikumbusha myaka 12 iriyo pita in Uganda

  • @lungaitomodari8151
    @lungaitomodari8151 8 месяцев назад +1

    HATIMAYE ISHAKUA ..USIPITWE ruclips.net/video/Yh7w06CqR0A/видео.html
    ruclips.net/video/Yh7w06CqR0A/видео.html
    ruclips.net/video/Yh7w06CqR0A/видео.html
    ruclips.net/video/Yh7w06CqR0A/видео.html

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 2 года назад

    Askari kanyoa kiduku

  • @marychiwowa1759
    @marychiwowa1759 2 года назад +5

    This is exactly how my husband was robbed here in Cape town. Smart robbers

  • @خديجهالبلوشي-د4ك
    @خديجهالبلوشي-د4ك 2 года назад

    Kitale kakonda khaa

  • @saramamboka5120
    @saramamboka5120 2 года назад +2

    Mume tishaaa kinyama wanaaaa

  • @keylacbabako8325
    @keylacbabako8325 2 года назад +2

    kitale mwanangu damu

  • @emmanuelmbelele8954
    @emmanuelmbelele8954 2 года назад +1

    🤭🕺💪

  • @samwelmarty6759
    @samwelmarty6759 2 года назад +1

    Kitale wapasuee tu haoo

  • @bostonmakokha5994
    @bostonmakokha5994 2 года назад

    Ririfa nywa hifo tu somo

  • @DigaBoyTz
    @DigaBoyTz 8 месяцев назад

    New song nyimbo yangu mpya ndugu jamaaa na malafiki usisaau COMMENT LIKE SHARE SUBSCRIBE 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 natumia jina diga boy tz song umebadilika please please please please pleas🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @cutesuu7255
    @cutesuu7255 2 года назад +2

    Kitale umeupiga mwingi

  • @azaboicomedy
    @azaboicomedy 2 года назад +2

    Sema "wallahhhhhh" hahahahahahahahah

  • @chani_tayra_official1860
    @chani_tayra_official1860 2 года назад +8

    Mbon Kitale Umekonda vibay jamani Nini shida 🥺🥺🥺🥺🥺

  • @MusaLutumo-r4r
    @MusaLutumo-r4r 5 месяцев назад

    wizi kama huuu ndo upo tundumaaa yan ukiwa n tamaaa umekwishaaa😂😂😂

  • @stevenjonstone897
    @stevenjonstone897 2 года назад

    Kazi nzur

  • @HappyDesertCreature-cx6bv
    @HappyDesertCreature-cx6bv 8 месяцев назад +1

    😢

  • @shamisjamal8392
    @shamisjamal8392 2 года назад +1

    Mmhm kaka mkubwa naon umekonda vepe....kitale teena

  • @SaidKambini-ip2qs
    @SaidKambini-ip2qs 2 месяца назад

    Kaka kitale Mimi na itwa Aisha natamani Santa nikuone tafazali Nita kuona wapi

  • @kamaukahn6308
    @kamaukahn6308 2 года назад +5

    Bro mpigishe mogera mazoezi

  • @timafahad3764
    @timafahad3764 2 года назад +3

    Mmewapa mbinu wezi tutaibiwa kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @hemedkagodah1436
      @hemedkagodah1436 3 месяца назад

      Na ww ushapewa mbinu usiibiwe kizembe sasa sijui IPI inaanza apo