Kibonge Wa Yesu - Neno Moja (Official Music Video) SMS Skiza 8021080 to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 фев 2024
  • Mawazo ya mwanadamu wakati Mwingine ni ya kukata tamaa lakini Mungu anaweza kusimama na kauli yake Moja tu inayoweza kubadili hatima ya Mwanadamu na kurejesha vilivyopotea na kuhuwisha vilivyokufa. Wimbo huu ukawe wa Urejesho na uponyaji wa majeraha kwa kila moyo uliyoumizwa na kukosa tumaini Mungu akawe Msaada kwako katika Jina la Yesu. Amen!🙏
    John 5:5-6
    Audio produced by ​⁠‪@kstarrecords255‬
    Video directed by @mrazalia
    Bvg : Nuru mwaipungu
    Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
    Listen to NENO MOJA by Kibonge Wa Yesu
    On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
    On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
    ©2024KiboMelodies.All rights Reserved.
    #kibongewayesu #gospelmusic #NenoMoja #Semanenomoja
    Verse 1
    Kauli yako moja tu inaweza kubadili hatima
    kauli yako inabadilisha mambo
    kauli yako moja inaweza kunitengeneza
    vilivyo kufa kwangu vikachipuka tena
    na nimekuja hapa Mungu na uchumi wangu ulioyumba, afya yangu nafsi yangu uvihuwishe tena
    kuna muda nakubali huenda sababu ni mimi mwenyewe
    ule muda najikwaa kwa kufuata yangu na kukuacha wewe
    uliempa ndege uwezo wa kupaa angani haya matatizo,shida kwako ni kitu gani?
    uliempa samaki uwezo apumue majini haya masimango,mateso ebaba tupilia mbali
    Hook:
    Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
    ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
    baba Mungu wangu wee
    .
    Chorus:
    Sema neno Moja
    ninakuomba useme
    nipo tayari kupokea
    kwa neno lako ntapona Yesu
    sema neno moja
    kwa neno lako ntashinda mie
    nipo tayari kupokea
    baba Mungu wangu wee
    sema neno moja
    ninakuomba useme
    nipo tayari kupokea
    kwa neno lako ntapona Yesu
    sema neno moja
    kwa neno lako ntashinda mie
    nipo tayari kupokea
    Verse 2
    kama batimayo nipo kando ya njia
    Ooh Baba
    nakusubiri useme ili nione
    Ooh Baba
    japo nimesikia mengi ya kunikatisha tamaa ila neno lako moja linaweza niinua tena
    Nimeomba sana mpaka wanasema ninapiga kelele
    ila sichoki bado nakazana kukusubiria wewe
    kama kukwama nimekwama
    na kiza kimetanda
    nategemea neno lako nuru liniangazie
    kama msaada sijaona kwa watu wadunia
    nategemea ulie juu unisadie
    hook :
    Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
    ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
    baba Mungu wangu wee
    Chorus:
    sema neno moja
    ninaomba useme
    nipo tayari kupokea
    kwa neno lako ntashinda
    sema neno moja
    mhh
    nipo tayari kupokea
    kwa neno lako nitainuka tena
    sema neno moja
    neno la baraka
    nipo tayari kupokea
    neno neno lako
    sema neno moja
    neno la kunitajirisha
    nipo tayari kupokea
    litanipa amani
    neno litanifariji
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 571

  • @KibongeWaYesu
    @KibongeWaYesu  5 месяцев назад +36

    MUNGU AKUTANE NA HAJA YA MOYO WAKO KUPITIA WIMBO HUU AMEN🙏👇🏻
    ruclips.net/video/rpu6RwHMKvM/видео.htmlsi=bQkLEmNzw-s9IWtR

  • @noahkayofficial2963
    @noahkayofficial2963 4 месяца назад +8

    Mziki wa wakati wangu.Wimbo umekuwa anthem kila siku nkingoja Bwana aseme neno.Natumai yote aliyoahidi kwangu ni mwaminifu kutimiza.Wapi likes za kukubali "neno moja" kutoka kwa Baba Mungu..

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 18 дней назад +2

    Huu wimbo umekuwa wa baraka sana kwenye maishaa yangu

  • @patricksyaluha499
    @patricksyaluha499 9 дней назад +1

    Sema neno moja kwa maisha yangu yesu wangu. Nyimbo nzuri hii

  • @alickmtambo6499
    @alickmtambo6499 22 дня назад +1

    Mungu anipenda God he love me

  • @meddynassibofficial5552
    @meddynassibofficial5552 5 месяцев назад +7

    Huu wimbo YESU wangu.. ni zaidi ya wimbo ni INJILI ilio beba wokovu, ni maombi yenye TUMAINI la kusubiri neno la KRISTO liletalo matokeo yasio na majuto

    • @KibongeWaYesu
      @KibongeWaYesu  5 месяцев назад

      ameen ameen ubarikiwe sana

    • @salmastephen
      @salmastephen 2 месяца назад

      Kabisa umeninua tena moyo wangu pale nilipokua naelekea kukata tamaa. Amina ubarikiwe kaka Kwa nyimbo nzuri.❤

  • @BLESSSTEPHEN
    @BLESSSTEPHEN 15 дней назад

    Mungu amenijibu maombi kupia wimbo huu ❤❤❤❤

  • @nyakatomutegeki1694
    @nyakatomutegeki1694 5 дней назад

    Sema neno moja kwangu Yehovah

  • @victorymwangi
    @victorymwangi 2 дня назад

    Wimbo wa baraka🙏

  • @evelinangulo6476
    @evelinangulo6476 4 месяца назад +4

    Amina barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai

  • @PotfaDaudi
    @PotfaDaudi 5 месяцев назад +5

    Neno moja baba angu najiungamanisha na wimbo kukusihi Yesu wangu 🙏🏻

  • @victortumain9528
    @victortumain9528 10 дней назад

    Sema neno Yesu wangu

  • @EnthusiasticLeopardSeal-bs4tx
    @EnthusiasticLeopardSeal-bs4tx 3 месяца назад

    Sema neno Moja mungu baba😭😭🙏🙏🙏

  • @eddypraise5607
    @eddypraise5607 4 месяца назад

    Amina🙏

  • @professor1992
    @professor1992 5 месяцев назад +6

    From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi brother nipewe likes tukifuatana

  • @ecramarajabu7330
    @ecramarajabu7330 5 месяцев назад +1

    Hakika Mungu SEMA neno Moja kwenye mapito yangu

  • @suzanamwansasu3293
    @suzanamwansasu3293 3 месяца назад +2

    Sema neno moja

  • @niyonkurualice-mf3ib
    @niyonkurualice-mf3ib 3 месяца назад

    Amen

  • @suzanamwansasu3293
    @suzanamwansasu3293 3 месяца назад +1

    ❤❤

  • @josephalfonce4493
    @josephalfonce4493 3 месяца назад +1

    Ninabarikiwa sana na nyimbo zako Amen

  • @egglykhabutsi127
    @egglykhabutsi127 4 месяца назад +1

    This song is for ne...May God just say one word to heal my life...

  • @Hakizimananoella
    @Hakizimananoella 2 месяца назад

    Unanibariki sana mtumishi wa Mungu.Mungu,akubari sana

  • @user-nw8hf7xm9g
    @user-nw8hf7xm9g 3 месяца назад

    Yaani naupenda huu wimbo mpaka basi

  • @user-vl4pr1hb8k
    @user-vl4pr1hb8k 3 месяца назад

    Ameeen Asante kwayote yawe sema neno 1😢

  • @user-eo5xs4eb5s
    @user-eo5xs4eb5s 2 месяца назад

    Direct from tiktok....such a powerful song

  • @charitykibande3842
    @charitykibande3842 4 месяца назад

    This song keeps me moving every day, only one word is enough

  • @NUHUONLINETV
    @NUHUONLINETV 5 месяцев назад +4

    nahitaji like jameni

  • @user-lj6if8rv8d
    @user-lj6if8rv8d 4 месяца назад

    Kibo melodizaaaaaaa

  • @lilycruz-sv8wn
    @lilycruz-sv8wn 4 месяца назад

    Neno moja tuu baba❤😢

  • @masheyn
    @masheyn 5 месяцев назад +4

    Kaka wewe fundi saana

  • @Watamuultimate-ri5ir
    @Watamuultimate-ri5ir 3 месяца назад

    Pia Mimi nangoja Mungu anisemee Neno moja Maishani mwangu😢

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 2 месяца назад

    Amen ❤❤❤❤❤

  • @abbyimbukwa3835
    @abbyimbukwa3835 2 месяца назад

    🔥🔥🔥🔥🔥Now my destiny is here.... Baba sema neno moja🙏

  • @user-dt8xb4nf7u
    @user-dt8xb4nf7u 4 месяца назад +1

    Sema neno moja nimebarikiwa sana mungu akubariki kawimbo katamu

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel 4 месяца назад

    Amen Amen

  • @Pascaline-iz1dh
    @Pascaline-iz1dh 2 месяца назад

    I really love the song from DRC

  • @user-sl7mi8vc9b
    @user-sl7mi8vc9b 5 месяцев назад +1

    Nyimbo zako zina utukufu na unamheshimisha Mungu,✌️❤️❤️❤️🙌🙌LOCATION NZURI SANA THE LAND OF GOD WITH SON KIBO

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i 5 месяцев назад

    Amina ❤❤❤❤

  • @MescoMsigwa
    @MescoMsigwa 4 месяца назад

    Christopher mwahangila pacha ❤❤❤

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 5 месяцев назад +1

    Sema neno moja Yesu nami nitapona

  • @tumainipeter3486
    @tumainipeter3486 3 месяца назад

    Aante kwa nyimb zur thex

  • @Oliviermjaphet
    @Oliviermjaphet 5 месяцев назад +2

    Uyu bwana anaweza kweli 🙏 #God’timeiscoming

  • @lavinvidenyi3297
    @lavinvidenyi3297 4 месяца назад

    Sema neno moja 🙏

  • @bettybarongo
    @bettybarongo 5 месяцев назад +1

    Sema neno Moja Yesu, kwaneno lako nitapona

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel 4 месяца назад

    Neno Moja TU...❤🎉

  • @ritiaskayanda
    @ritiaskayanda 4 месяца назад +2

    Big idea kibonge wa yesu

  • @anisetbutati
    @anisetbutati 5 месяцев назад +2

    Songiiii limepita bila kupingwa🎉

  • @SarahMwasikili-zz5ru
    @SarahMwasikili-zz5ru 3 месяца назад

    Balikiwa mtumish

  • @epmzmusifiwar6694
    @epmzmusifiwar6694 5 месяцев назад +1

    From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿🔥 Ubarikiwe MTU WAMUNGU YESU CHRISTO WA NAZARETH ALIYE JUU ZAIDI MBINGUNI Ndiye MUNGU wa kweli Na Jibu Yetu Katika Maisha ❤️🥰

  • @godfreymatikoo
    @godfreymatikoo 5 месяцев назад +1

    Ameen Kibonge wa Yesu, kwakwel ni wengi tunahitaji Mungu aseme neno moja kwenye huduma zetu, kwenye kazi zetu, kwenye ndoa zetu, kwenye biashara zetu ili tuweze kupokea sawasawa na mapenzi yake, Mungu ahsante kwa kuwa uko teyari kusema neno Hilo la ushindi katika maisha yetu Ameen

    • @KibongeWaYesu
      @KibongeWaYesu  5 месяцев назад

      Ameen ameeen

    • @godfreymatikoo
      @godfreymatikoo 5 месяцев назад

      ​@@KibongeWaYesuameen mtumishi

    • @T.MELODYOG
      @T.MELODYOG 4 месяца назад

      ruclips.net/video/r3Nga4GKIpg/видео.htmlsi=2HlhtzNk69H6osgL

  • @nolexkanyittahsuit
    @nolexkanyittahsuit 5 месяцев назад +1

    Dyuu hii Kali @kibonge wa YESU.#neno Moja naomba baba

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 5 месяцев назад

    Neno lako Bwana linaliponya

  • @RobertPhiri-uu6dm
    @RobertPhiri-uu6dm 5 месяцев назад +2

    Hiyi nyimbo imenigusa kweri nakuombea wewe ulie toa huyuu wimbo mungu akubaliki sana💪💪💪💪♥️♥️♥️

  • @ShedyBundi
    @ShedyBundi 5 месяцев назад +1

    📣💥💥💥 balikiwa mtumish kwaneno rako nita inuka neno ra baraka litanipa aman liamta nifaliji Neno moja🙏

  • @selynaadhiambo7606
    @selynaadhiambo7606 4 месяца назад

    SEMA NENO MOJA BABA

  • @user-gc2ep7sc7q
    @user-gc2ep7sc7q 5 месяцев назад

    Ubalikiwe mtumishi wa mungu

  • @mercelinekemuma4094
    @mercelinekemuma4094 5 месяцев назад

    Sema neno mojaa; nipo tayari kupokea

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 5 месяцев назад

    Yes!

  • @webaweird
    @webaweird 4 месяца назад

    Neno moja tu

  • @RaisaWilsontz
    @RaisaWilsontz 3 месяца назад

    Amina ubarikiwe saana 🙏🔥

  • @tizydorcasantony9190
    @tizydorcasantony9190 4 месяца назад +1

    Hongera Sana my brother nyimbo nzuri Sana hiii,,, ikawe nyimbo ya Kwanza kuenda mbali sana

  • @user-jw6nc8pu3t
    @user-jw6nc8pu3t 3 месяца назад

    Unajua unajua Tena ❤❤❤ Mungu akubariki

  • @user-kq9uh3bv3l
    @user-kq9uh3bv3l 4 месяца назад

    Moto sana hii

  • @ibrahimmwadime17
    @ibrahimmwadime17 4 месяца назад +1

    Very nice song, glory be to God, may He send His word to heal us all with long time wounds.🙌

  • @user-ye9qk4ec7w
    @user-ye9qk4ec7w 4 месяца назад

    Your my best blessed artist

  • @user-yr3ku6sv5l
    @user-yr3ku6sv5l 5 месяцев назад +1

    Huu wimbo ni moyo

  • @IsmailGendaeka
    @IsmailGendaeka 20 дней назад

    Ubarikiwe sana

  • @BenjahOfficial
    @BenjahOfficial 2 месяца назад +1

    Amen Amen blessings brother 🫴🫴

  • @djnine9tz26
    @djnine9tz26 5 месяцев назад +2

    Ujumbe wa humu kaka , UMEONGEA NA NAFSI ZETU SISI😔🙌🏻🫡

  • @emmanuelmwanjala7574
    @emmanuelmwanjala7574 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @thobiasshikome1993
    @thobiasshikome1993 2 месяца назад

    Barikiwa sana

  • @ObbyAlpha
    @ObbyAlpha 5 месяцев назад

    Kakaangu kabisa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @robertnkaragano298
    @robertnkaragano298 5 месяцев назад +1

    Hakika Brother unainjilisha sana!! Be blessed all the time!! Kwangu mie nyimbo zako zimejaa kweny simu yangu aisee na hii lazima niipakue!!

  • @christinamlwale3344
    @christinamlwale3344 5 месяцев назад

    Neno moja

  • @scolasticamaghembe1189
    @scolasticamaghembe1189 Месяц назад

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu, kazi nzuri mnoooo

  • @officialgivenjacksonngalla
    @officialgivenjacksonngalla 4 месяца назад

    This is psalm 121! Congratulations brother! Glory to Jesus Christ!

  • @komandowayesu3642
    @komandowayesu3642 5 месяцев назад

    Hatari pacha 🔥🔥🔥

  • @user-yb8jl4ni7z
    @user-yb8jl4ni7z 5 месяцев назад

    Amen 🙏🙏🙏

  • @CHIDEE_officialtz
    @CHIDEE_officialtz 5 месяцев назад

    Umetishaa mtumishiiii👏👏👏

  • @zephaniapaul9592
    @zephaniapaul9592 5 месяцев назад

    Mungu abariki sana neno kazi ya mikono yako 🙏

  • @saranyongole1161
    @saranyongole1161 5 месяцев назад

    Hii kubwa sana mtumishi wa Mungu

  • @HappyPhilly-oq4bs
    @HappyPhilly-oq4bs 4 месяца назад

    Mungu akutimie kwa viwango vya juu

  • @MicksonwiliamMafuko
    @MicksonwiliamMafuko 2 месяца назад

    Nyimbo Iko vizur sana kaka piga Kaz

  • @AgapeAmos
    @AgapeAmos 5 месяцев назад +1

    Kaka wimbo huu🙌🙌

  • @hoseabanketile8549
    @hoseabanketile8549 5 месяцев назад

    Sanaaaaa sanaaaa kijanaaaaaa vijana mbeyaaaaa mnanipa rahaaaaaaaaa

  • @rgcbambacdc
    @rgcbambacdc 4 месяца назад

    Utunzi mzuri

  • @TingaMedia
    @TingaMedia 5 месяцев назад +1

    Wimbo Mzuriii Sana . Mungu Azidi Kukuinua Zaidi .

  • @alicewangeci-ci1rc
    @alicewangeci-ci1rc 4 месяца назад

    You bless me so much

  • @lilydavid2238
    @lilydavid2238 5 месяцев назад

    SEMA NENO MOJA BWANA WANGU

  • @okomusic255
    @okomusic255 3 месяца назад

    🎉🎉🎉 kaka umetisha Sana

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 4 месяца назад +1

    Kijana Umetisha Saana Umeupiga Mwingi Hongera Kazi Nzuri Saana Bonge la Nyimbo

    • @KibongeWaYesu
      @KibongeWaYesu  4 месяца назад

      Nashukuru sana kaka yangu

    • @alicekalama3150
      @alicekalama3150 4 месяца назад

      Sema neno moja asante sana mtumishi wa mungu ubarkiwe sana

  • @samwelImmanuel
    @samwelImmanuel 4 месяца назад +1

    Sema neno moja nipotayali kupokea🙏🤲

  • @user-vd3mc9en7p
    @user-vd3mc9en7p 5 месяцев назад

    Mungu azid kukutumia ktk kaz yake yeye 🎼❤️❤️

  • @lizzybethmayengoh9624
    @lizzybethmayengoh9624 21 день назад

    Nice song ,be blessed

  • @estherpilly7959
    @estherpilly7959 4 месяца назад

    It's the love I have for this song

  • @juliethmirambo-hi8vx
    @juliethmirambo-hi8vx 4 месяца назад

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @essaumkuye5024
    @essaumkuye5024 5 месяцев назад

    Waaaaaooo just waaaaaooo

  • @chegaritofx
    @chegaritofx 5 месяцев назад

    Barikiwa sana mtumishi hii ni zaidi ya nyimbo🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud490 4 месяца назад

    Always God anakutumia kutoka Niii Yesu mpaka now nakubaliii kazi zako zinagusa God azid kukutumia blood 🎉

  • @gwakisamwandalima344
    @gwakisamwandalima344 5 месяцев назад +1

    Sema neno mojaaaaaa