Kibonge Wa Yesu - Neno Moja (Official Music Video) SMS Skiza 8021080 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 28 фев 2024
- Mawazo ya mwanadamu wakati Mwingine ni ya kukata tamaa lakini Mungu anaweza kusimama na kauli yake Moja tu inayoweza kubadili hatima ya Mwanadamu na kurejesha vilivyopotea na kuhuwisha vilivyokufa. Wimbo huu ukawe wa Urejesho na uponyaji wa majeraha kwa kila moyo uliyoumizwa na kukosa tumaini Mungu akawe Msaada kwako katika Jina la Yesu. Amen!🙏
John 5:5-6
Audio produced by @kstarrecords255
Video directed by @mrazalia
Bvg : Nuru mwaipungu
Get it on ALL DIGITAL PLATFORMS
Listen to NENO MOJA by Kibonge Wa Yesu
On Boomplay: www.boomplaymusic.com/share/m...
On Audiomack: audiomack.com/kibonge-wa-yesu...
©2024KiboMelodies.All rights Reserved.
#kibongewayesu #gospelmusic #NenoMoja #Semanenomoja
Verse 1
Kauli yako moja tu inaweza kubadili hatima
kauli yako inabadilisha mambo
kauli yako moja inaweza kunitengeneza
vilivyo kufa kwangu vikachipuka tena
na nimekuja hapa Mungu na uchumi wangu ulioyumba, afya yangu nafsi yangu uvihuwishe tena
kuna muda nakubali huenda sababu ni mimi mwenyewe
ule muda najikwaa kwa kufuata yangu na kukuacha wewe
uliempa ndege uwezo wa kupaa angani haya matatizo,shida kwako ni kitu gani?
uliempa samaki uwezo apumue majini haya masimango,mateso ebaba tupilia mbali
Hook:
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
.
Chorus:
Sema neno Moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
baba Mungu wangu wee
sema neno moja
ninakuomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntapona Yesu
sema neno moja
kwa neno lako ntashinda mie
nipo tayari kupokea
Verse 2
kama batimayo nipo kando ya njia
Ooh Baba
nakusubiri useme ili nione
Ooh Baba
japo nimesikia mengi ya kunikatisha tamaa ila neno lako moja linaweza niinua tena
Nimeomba sana mpaka wanasema ninapiga kelele
ila sichoki bado nakazana kukusubiria wewe
kama kukwama nimekwama
na kiza kimetanda
nategemea neno lako nuru liniangazie
kama msaada sijaona kwa watu wadunia
nategemea ulie juu unisadie
hook :
Nikakuomba Mungu nakuomba kama kulia nimelia sana inatosha
ninakuomba Mungu nakuomba kama kuchekwa nimechekwa sana inatosha
baba Mungu wangu wee
Chorus:
sema neno moja
ninaomba useme
nipo tayari kupokea
kwa neno lako ntashinda
sema neno moja
mhh
nipo tayari kupokea
kwa neno lako nitainuka tena
sema neno moja
neno la baraka
nipo tayari kupokea
neno neno lako
sema neno moja
neno la kunitajirisha
nipo tayari kupokea
litanipa amani
neno litanifariji Видеоклипы
MUNGU AKUTANE NA HAJA YA MOYO WAKO KUPITIA WIMBO HUU AMEN🙏👇🏻
ruclips.net/video/rpu6RwHMKvM/видео.htmlsi=bQkLEmNzw-s9IWtR
Amen🙏
Amen
amen amen 🙏
Amina
Amen
Mziki wa wakati wangu.Wimbo umekuwa anthem kila siku nkingoja Bwana aseme neno.Natumai yote aliyoahidi kwangu ni mwaminifu kutimiza.Wapi likes za kukubali "neno moja" kutoka kwa Baba Mungu..
Huu wimbo umekuwa wa baraka sana kwenye maishaa yangu
Sema neno moja kwa maisha yangu yesu wangu. Nyimbo nzuri hii
Mungu anipenda God he love me
Huu wimbo YESU wangu.. ni zaidi ya wimbo ni INJILI ilio beba wokovu, ni maombi yenye TUMAINI la kusubiri neno la KRISTO liletalo matokeo yasio na majuto
ameen ameen ubarikiwe sana
Kabisa umeninua tena moyo wangu pale nilipokua naelekea kukata tamaa. Amina ubarikiwe kaka Kwa nyimbo nzuri.❤
Mungu amenijibu maombi kupia wimbo huu ❤❤❤❤
Sema neno moja kwangu Yehovah
Wimbo wa baraka🙏
Amina barikiwa sana Mtumishi wa Mungu aliye hai
Neno moja baba angu najiungamanisha na wimbo kukusihi Yesu wangu 🙏🏻
ubarikiwe sana
Sema neno Yesu wangu
Sema neno Moja mungu baba😭😭🙏🙏🙏
Amina🙏
From Kenya am ohangla gospel rhumba kazi safi brother nipewe likes tukifuatana
Hakika Mungu SEMA neno Moja kwenye mapito yangu
Sema neno moja
Amen
❤❤
Ninabarikiwa sana na nyimbo zako Amen
This song is for ne...May God just say one word to heal my life...
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu.Mungu,akubari sana
Yaani naupenda huu wimbo mpaka basi
Ameeen Asante kwayote yawe sema neno 1😢
Direct from tiktok....such a powerful song
This song keeps me moving every day, only one word is enough
nahitaji like jameni
🙏🙏
Kibo melodizaaaaaaa
Neno moja tuu baba❤😢
Kaka wewe fundi saana
shukran sana🙏🙏
Pia Mimi nangoja Mungu anisemee Neno moja Maishani mwangu😢
Amen ❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥Now my destiny is here.... Baba sema neno moja🙏
Sema neno moja nimebarikiwa sana mungu akubariki kawimbo katamu
Amen Amen
I really love the song from DRC
Nyimbo zako zina utukufu na unamheshimisha Mungu,✌️❤️❤️❤️🙌🙌LOCATION NZURI SANA THE LAND OF GOD WITH SON KIBO
Mungu akubariki sanaa
Amina ❤❤❤❤
🙏
Christopher mwahangila pacha ❤❤❤
Sema neno moja Yesu nami nitapona
Ameen ameen🙏
Aante kwa nyimb zur thex
Uyu bwana anaweza kweli 🙏 #God’timeiscoming
shukran sanaa
🙏
Sema neno moja 🙏
Sema neno Moja Yesu, kwaneno lako nitapona
Ameen ameeen
Neno Moja TU...❤🎉
Big idea kibonge wa yesu
Songiiii limepita bila kupingwa🎉
ubarikiwe sana baba
Balikiwa mtumish
From Uganda 🇺🇬 Int'l Congo DRC 🇨🇩 To Tanzania 🇹🇿🔥 Ubarikiwe MTU WAMUNGU YESU CHRISTO WA NAZARETH ALIYE JUU ZAIDI MBINGUNI Ndiye MUNGU wa kweli Na Jibu Yetu Katika Maisha ❤️🥰
Ameen ameeen🙏
Ameen Kibonge wa Yesu, kwakwel ni wengi tunahitaji Mungu aseme neno moja kwenye huduma zetu, kwenye kazi zetu, kwenye ndoa zetu, kwenye biashara zetu ili tuweze kupokea sawasawa na mapenzi yake, Mungu ahsante kwa kuwa uko teyari kusema neno Hilo la ushindi katika maisha yetu Ameen
Ameen ameeen
@@KibongeWaYesuameen mtumishi
ruclips.net/video/r3Nga4GKIpg/видео.htmlsi=2HlhtzNk69H6osgL
Dyuu hii Kali @kibonge wa YESU.#neno Moja naomba baba
ameeen
Neno lako Bwana linaliponya
Ameen ameen
Hiyi nyimbo imenigusa kweri nakuombea wewe ulie toa huyuu wimbo mungu akubaliki sana💪💪💪💪♥️♥️♥️
Ameen ameen🙏🙏
📣💥💥💥 balikiwa mtumish kwaneno rako nita inuka neno ra baraka litanipa aman liamta nifaliji Neno moja🙏
ameeen ameeen
SEMA NENO MOJA BABA
Ameen
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
Ameen ameen
Sema neno mojaa; nipo tayari kupokea
Ameen
Yes!
🙏🙏
Neno moja tu
Amina ubarikiwe saana 🙏🔥
Hongera Sana my brother nyimbo nzuri Sana hiii,,, ikawe nyimbo ya Kwanza kuenda mbali sana
Ameen ameeen🙏
Unajua unajua Tena ❤❤❤ Mungu akubariki
Moto sana hii
Very nice song, glory be to God, may He send His word to heal us all with long time wounds.🙌
Ameen
Your my best blessed artist
Huu wimbo ni moyo
ubarikiwe sanaa
Ubarikiwe sana
Amen Amen blessings brother 🫴🫴
Ujumbe wa humu kaka , UMEONGEA NA NAFSI ZETU SISI😔🙌🏻🫡
Kaka kaka shukran sana
🎉🎉🎉🎉
Barikiwa sana
Kakaangu kabisa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
mdg ake kibo🙏🙏
Hakika Brother unainjilisha sana!! Be blessed all the time!! Kwangu mie nyimbo zako zimejaa kweny simu yangu aisee na hii lazima niipakue!!
ameeen ameeeen
Amen
Neno moja
Ameeen
Hongera sana Mtumishi wa Mungu, kazi nzuri mnoooo
This is psalm 121! Congratulations brother! Glory to Jesus Christ!
Ameen ameen
Hatari pacha 🔥🔥🔥
pacha pacha🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
🙏🙏🙏
Umetishaa mtumishiiii👏👏👏
Mungu abariki sana neno kazi ya mikono yako 🙏
ameen ameeen🙏🙏
Hii kubwa sana mtumishi wa Mungu
shukran sana my sis
Mungu akutimie kwa viwango vya juu
Ameeen ameen
Nyimbo Iko vizur sana kaka piga Kaz
Kaka wimbo huu🙌🙌
🙏🙏🙏
Sanaaaaa sanaaaa kijanaaaaaa vijana mbeyaaaaa mnanipa rahaaaaaaaaa
ubarikiwe sana
Utunzi mzuri
Wimbo Mzuriii Sana . Mungu Azidi Kukuinua Zaidi .
ameen ameeen kaka
You bless me so much
SEMA NENO MOJA BWANA WANGU
Ameen
🎉🎉🎉 kaka umetisha Sana
Kijana Umetisha Saana Umeupiga Mwingi Hongera Kazi Nzuri Saana Bonge la Nyimbo
Nashukuru sana kaka yangu
Sema neno moja asante sana mtumishi wa mungu ubarkiwe sana
Sema neno moja nipotayali kupokea🙏🤲
Mungu azid kukutumia ktk kaz yake yeye 🎼❤️❤️
Ameen
Nice song ,be blessed
It's the love I have for this song
God bless u
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Waaaaaooo just waaaaaooo
bless u
Barikiwa sana mtumishi hii ni zaidi ya nyimbo🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ameen ameen mjomba🙏
Always God anakutumia kutoka Niii Yesu mpaka now nakubaliii kazi zako zinagusa God azid kukutumia blood 🎉
Ameen ameeen🙏
Sema neno mojaaaaaa
AMEEN