yaani moja ya kitu inafanya kazi zetu katika kushuti filamu iwe ngumu ni hiyoo director kumrudisha rudisha mtu maongezi yaani mpaka uhalisia huwa unatoka yaani Inafika mahali mtu unaangalia filamu ya kibongo mpaka unashtukia kama huyu mtu amepangwa jinsi maongezi yake anavyoongea, kuna muda unamuona mtu hana mood kabisaa kwasababu amechoka kurudishwa rudishwa kipande kidogo masaa 3 ma director punguzeni izoo uahalisie upatikane na ma actors nao wawe wazuri muwape nafasi ya kutumia ule uwezo wao wenyewe sio kumapnga hadi kupandisha na kushusha sauti utasema ma producer wa mziki wa zamani.... shout to #clamvevo #mwakatobe na familia yote ya snakeboy pamoja na watazamaji wake #ni mtazamo
katika kitu ambacho huwa kinanikata stimu kwenye location ndio hivyo director wanakuwa wengi pia waagizaji nao wanakufundisha useme hivi lakini sasa wakikaa mbele ya camera nao unakuta wanashindwa😅😅
Lengo sio kukukosoa ila n kufanya tufanye kitu Bora, hiyo sio bongo tu, fatilia hata tamsilia kubwa duniani behind the scene utaona, hata music mzuri unatokana na mchango wa mawazo ya wengi studio
yaani moja ya kitu inafanya kazi zetu katika kushuti filamu iwe ngumu ni hiyoo director kumrudisha rudisha mtu maongezi yaani mpaka uhalisia huwa unatoka yaani
Inafika mahali mtu unaangalia filamu ya kibongo mpaka unashtukia kama huyu mtu amepangwa jinsi maongezi yake anavyoongea, kuna muda unamuona mtu hana mood kabisaa kwasababu amechoka kurudishwa rudishwa kipande kidogo masaa 3
ma director punguzeni izoo uahalisie upatikane na ma actors nao wawe wazuri muwape nafasi ya kutumia ule uwezo wao wenyewe sio kumapnga hadi kupandisha na kushusha sauti utasema ma producer wa mziki wa zamani....
shout to #clamvevo #mwakatobe na familia yote ya snakeboy pamoja na watazamaji wake
#ni mtazamo
Sema limwakatobe linajua 🙌👏😍
Heshimu ADHANA kwenye kazi zenu wazee
Fact😢
Kumbe mnawanyweshaga wanzuki ndio maana mwakatobe huwa anapagawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Bom trabalho família 🇲🇿mueda makonde
Limwaka tomba linajua sana pumbavu lile😂
Kumbe n mlandizi ✅✅
Mwakatobe anakaa tu mchawi wa ukweli
😅😅
CLAM akichukia anatabasame sehem zakuchukia msimpe😂
Da nimeipenda sana munaishimu azana manshala
Pole jamn kumbe Kaz yenu ngum
Nice work team
Jamn mpo vizur clam
katika kitu ambacho huwa kinanikata stimu kwenye location ndio hivyo director wanakuwa wengi pia waagizaji nao wanakufundisha useme hivi lakini sasa wakikaa mbele ya camera nao unakuta wanashindwa😅😅
😅
@@josephkaburu4926 balaa sana aisee
Lengo sio kukukosoa ila n kufanya tufanye kitu Bora, hiyo sio bongo tu, fatilia hata tamsilia kubwa duniani behind the scene utaona, hata music mzuri unatokana na mchango wa mawazo ya wengi studio
Mwakatobe Ana uwezo mkubwa sana,,
Kumbe hii kazi ni ngumu hivo 😂😂😂😂
ii kazi kumbe ni ngumu ivyo kwa wengine
Nc mwakatobe
😂😂😂😂😂Nyie kuigiza kaz khaaaaaaa
Ndio nimejua leo 😢😂😂😂
Wapi likes zangu kutoka Mombasa Kenya 🎉🎉🎉
hivi wewenikiumbe wainagani ambae hunahuruma hatakido shetani mdudu aumyama😊
Ku shoot kazi
Dah 🤔 poleni San kwa KAZI wanangu Muna weza san
Sasa mistari mitatu anashindwa kukariri aliweza kuandika dondoo la muktatha kweli😂
Aliandika mkutatha gani
MUANGALIE MWAKATOBE APO KWA SARA
😂😂😂😂😂😂
Nimemwona..
😂😂❤❤❤
Nataka kufanya kaz naww clam
Hivi wewe nikumbe waaina gani shetani mdudu au mnyama. wewee😂😂😂
kazi bora sana
Kaka kama kawaida yako nakukubali
Kaz nzur
clam nakukubali miaka 1000 hakuna kama ww africa nzima
Vevo yupo sawa
Eti kuna mchawi alikaa hapa😅😅
Hiyo boom sasa clam na ww
Yani kama studio ukirekodi wimbo
Kuna mchaw alikaa hapa yuko wap?
Mimi hapa!😂😂😂😂
Ilamwakatobe anakipaji😂😂
Kumbe hii kazi gumu hivi
Adhana muiheshim ili mupate mafanikio
Kumbe kazi
hii ni move gani inakuja?
snake boy season 2
Sasa Aisha nimeingiaje hapo 😂😂😂
❤❤❤
Oya jamaa bhan ata kukalili apo TU xhida
😂😂😂😂huyu naye aliwapea jamaa shida
Kengere ndio nini acheni upuuzi
Wakuanza munipee hizo likes
Ili ikusaidie nini
Mjambo. Sasa kwanini mumeharibu snack s2?
Tuheshumuni adhani mu pause mpaka utakapoishia muendele ku shoot
Biggy misondo
Duhhh😅
Duh.
Sasa malkiya na sim kila mara na muvideo itaweza ponyoka na inaoneka na iyo sio suranzuri kikazi
Et Kuna mchawi alikaa hapo
Huyu jamaa kumbe kichwa kibovu kafahamishwa mara 100 dah 😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂