VIDEO; CLAM VEVO ALIVYO CHUKIA GHAFLA WAKIWA LOCATION NA MWAKATOBE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 мар 2024

Комментарии • 72

  • @josephkaburu4926
    @josephkaburu4926 Месяц назад +1

    yaani moja ya kitu inafanya kazi zetu katika kushuti filamu iwe ngumu ni hiyoo director kumrudisha rudisha mtu maongezi yaani mpaka uhalisia huwa unatoka yaani
    Inafika mahali mtu unaangalia filamu ya kibongo mpaka unashtukia kama huyu mtu amepangwa jinsi maongezi yake anavyoongea, kuna muda unamuona mtu hana mood kabisaa kwasababu amechoka kurudishwa rudishwa kipande kidogo masaa 3
    ma director punguzeni izoo uahalisie upatikane na ma actors nao wawe wazuri muwape nafasi ya kutumia ule uwezo wao wenyewe sio kumapnga hadi kupandisha na kushusha sauti utasema ma producer wa mziki wa zamani....
    shout to #clamvevo #mwakatobe na familia yote ya snakeboy pamoja na watazamaji wake
    #ni mtazamo

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 2 месяца назад +1

    Sema limwakatobe linajua 🙌👏😍

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk 2 месяца назад +10

    Heshimu ADHANA kwenye kazi zenu wazee

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j 2 месяца назад +7

    Kumbe mnawanyweshaga wanzuki ndio maana mwakatobe huwa anapagawa 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MateusPius
    @MateusPius Месяц назад

    Bom trabalho família 🇲🇿mueda makonde

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 Месяц назад +1

    Limwaka tomba linajua sana pumbavu lile😂

  • @Josephmkutu13-zo7qd
    @Josephmkutu13-zo7qd Месяц назад +1

    Kumbe n mlandizi ✅✅

  • @official2kbill650
    @official2kbill650 2 месяца назад +9

    Mwakatobe anakaa tu mchawi wa ukweli

    • @SemiAnon
      @SemiAnon 2 месяца назад +1

      😅😅

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo 2 месяца назад +5

    CLAM akichukia anatabasame sehem zakuchukia msimpe😂

  • @mrwadata34
    @mrwadata34 2 месяца назад +1

    Da nimeipenda sana munaishimu azana manshala

  • @user-es7xd3bg7c
    @user-es7xd3bg7c 2 месяца назад

    Pole jamn kumbe Kaz yenu ngum

  • @nwntz
    @nwntz 2 месяца назад

    Nice work team

  • @user-tn6tf9lo8o
    @user-tn6tf9lo8o 2 месяца назад +1

    Jamn mpo vizur clam

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 2 месяца назад +8

    katika kitu ambacho huwa kinanikata stimu kwenye location ndio hivyo director wanakuwa wengi pia waagizaji nao wanakufundisha useme hivi lakini sasa wakikaa mbele ya camera nao unakuta wanashindwa😅😅

    • @josephkaburu4926
      @josephkaburu4926 Месяц назад

      😅

    • @andrewkilave3532
      @andrewkilave3532 Месяц назад

      @@josephkaburu4926 balaa sana aisee

    • @Mtaalam_stan
      @Mtaalam_stan Месяц назад

      Lengo sio kukukosoa ila n kufanya tufanye kitu Bora, hiyo sio bongo tu, fatilia hata tamsilia kubwa duniani behind the scene utaona, hata music mzuri unatokana na mchango wa mawazo ya wengi studio

  • @subo2667
    @subo2667 Месяц назад

    Mwakatobe Ana uwezo mkubwa sana,,

  • @catemutaic6374
    @catemutaic6374 2 месяца назад +2

    Kumbe hii kazi ni ngumu hivo 😂😂😂😂

  • @Dejjohnte_realkenya..KaRware
    @Dejjohnte_realkenya..KaRware 2 месяца назад

    ii kazi kumbe ni ngumu ivyo kwa wengine

  • @MosesKaponda-wx5vy
    @MosesKaponda-wx5vy 2 месяца назад +1

    Nc mwakatobe

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 2 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂Nyie kuigiza kaz khaaaaaaa

    • @catemutaic6374
      @catemutaic6374 2 месяца назад

      Ndio nimejua leo 😢😂😂😂

  • @Bongomtaanitv
    @Bongomtaanitv 2 месяца назад +9

    Wapi likes zangu kutoka Mombasa Kenya 🎉🎉🎉

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 2 месяца назад

    hivi wewenikiumbe wainagani ambae hunahuruma hatakido shetani mdudu aumyama😊

  • @gastonmulondani8900
    @gastonmulondani8900 2 месяца назад +4

    Ku shoot kazi

  • @user-ct1fp7kz8l
    @user-ct1fp7kz8l 2 месяца назад +1

    Dah 🤔 poleni San kwa KAZI wanangu Muna weza san

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 2 месяца назад +4

    Sasa mistari mitatu anashindwa kukariri aliweza kuandika dondoo la muktatha kweli😂

  • @thedon8467
    @thedon8467 2 месяца назад +9

    MUANGALIE MWAKATOBE APO KWA SARA

  • @AnnaElisha-tg3fp
    @AnnaElisha-tg3fp Месяц назад

    Nataka kufanya kaz naww clam

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 2 месяца назад +1

    Hivi wewe nikumbe waaina gani shetani mdudu au mnyama. wewee😂😂😂

  • @boutrosjonanga4948
    @boutrosjonanga4948 2 месяца назад

    kazi bora sana

  • @Mjzanzibarstory
    @Mjzanzibarstory 2 месяца назад

    Kaka kama kawaida yako nakukubali

  • @Fathmth
    @Fathmth Месяц назад

    Kaz nzur

  • @SitikhasanKhasni
    @SitikhasanKhasni 2 месяца назад

    clam nakukubali miaka 1000 hakuna kama ww africa nzima

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 2 месяца назад +1

    Vevo yupo sawa

  • @victormathias9194
    @victormathias9194 2 месяца назад

    Eti kuna mchawi alikaa hapa😅😅

  • @CatherineHenrry-iw3ew
    @CatherineHenrry-iw3ew 2 месяца назад +2

    Hiyo boom sasa clam na ww

  • @mrwadata34
    @mrwadata34 2 месяца назад

    Yani kama studio ukirekodi wimbo

  • @MarryDaniel-cq3ui
    @MarryDaniel-cq3ui 2 месяца назад

    Kuna mchaw alikaa hapa yuko wap?
    Mimi hapa!😂😂😂😂

  • @salama1113
    @salama1113 2 месяца назад

    Ilamwakatobe anakipaji😂😂

  • @juliuskutata4369
    @juliuskutata4369 2 месяца назад

    Kumbe hii kazi gumu hivi

  • @cadabra7402
    @cadabra7402 2 месяца назад +1

    Adhana muiheshim ili mupate mafanikio

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 2 месяца назад

    Kumbe kazi

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 месяца назад +4

    hii ni move gani inakuja?

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 2 месяца назад

    Sasa Aisha nimeingiaje hapo 😂😂😂

  • @BIGSTAROGTZ
    @BIGSTAROGTZ 2 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @FatherBenard-gw3ek
    @FatherBenard-gw3ek 16 дней назад

    Oya jamaa bhan ata kukalili apo TU xhida

  • @002RYE
    @002RYE 2 месяца назад

    😂😂😂😂huyu naye aliwapea jamaa shida

  • @omarytajiry7913
    @omarytajiry7913 2 месяца назад

    Kengere ndio nini acheni upuuzi

  • @ntunzwenimanaramadhan5276
    @ntunzwenimanaramadhan5276 2 месяца назад +10

    Wakuanza munipee hizo likes

  • @FlorenceWabiwa
    @FlorenceWabiwa 2 месяца назад

    Mjambo. Sasa kwanini mumeharibu snack s2?

  • @anwaraminmohammed6598
    @anwaraminmohammed6598 2 месяца назад

    Tuheshumuni adhani mu pause mpaka utakapoishia muendele ku shoot

  • @sultanmoha257-wq5kp
    @sultanmoha257-wq5kp 2 месяца назад

    Biggy misondo

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 месяца назад

    Duhhh😅

  • @AJM24227
    @AJM24227 2 месяца назад +1

    Duh.

  • @Rod10115
    @Rod10115 2 месяца назад

    Sasa malkiya na sim kila mara na muvideo itaweza ponyoka na inaoneka na iyo sio suranzuri kikazi

  • @Avit_khan
    @Avit_khan 2 месяца назад

    Et Kuna mchawi alikaa hapo

  • @user-dv5zg7ru9c
    @user-dv5zg7ru9c 2 месяца назад

    Huyu jamaa kumbe kichwa kibovu kafahamishwa mara 100 dah 😂😂

  • @UmmyAlly-nd5zv
    @UmmyAlly-nd5zv Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @MujongaSelemba
    @MujongaSelemba 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂