utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki
Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika
@@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana
Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"
Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu
Mwenyezi mungu akubarki tulikuwa hatujuwi.kitu..tuwelewesheni. Wazanzibar tufunguke vichwa MN vyetu inshaallwa. Nakutakiya. Lila.la.kheri. usirudi nyuma..twende mbele tuitambuwe Zanzibar .yetu
inshaalah zanzibar tutaipata wenyewe
thanks
Aamin
WAZANZIBARI WENYEWE HASA NI WAISLAMU SIYO WAKIRISTO
Hizi histolia za kweri lakini lakini hawa waislam hakujipanga vizuri kijeshi
hizi ndizohistoriya zakweli Zanzibar
utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki
Mung tu towe kwenye Mikono ya wadhalim
Jee mbona hamzungumzii mauaji ya maelfu ya waarabu mwa 1964 wakati mulipofanya mapiduzi kumkomoa sultani?????????
Kwani ulisoma historia ww doctor
Tafuta history ya Aman than
Wallah anasema kweri tatizo nini sasa hari yetu imekuwangumu
الله اكبر
Jamani hawa waisilam warikuwa na dola kubwa kiasihicho hawana jeshi imala?
Sikiliza vizuri ndo ucomment
Vita fupi kupita zote ni hii dola ilichapwa
Ndiomaana zanzinzibaar ina wasomi wakubwa kabisa nani kitovu cha erim kwahistolia hii nimerizika huyu shekhe nimkweri
TUKITAKA KUJUA UKWELI HAPANASHKA YOYOTE HUU NDIO UKWELI
NA UKWELI HUFUATANA NA USHAHIDI
Sheikh suna ya mtume kunywa maji mkono wa kulia
Huyu mkono wake mbovu
Muangalie vizuri Uyo shekhe Ni mlemavu wa mkono eti hawezi kunywa Kwa kulia
Acha uongo kilwa ndo ilianza kua na sarafu yk sa kilwa ipo wp????
Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar
Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika
Acha ujinga wewe kilwa ilikua ndani ya Zanzibar
@@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana
Msirumbane Sana mambo hayo yalikua chini ya utawala wanani Kati IRAN .YEMEN .OMAN .
Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"
Hawa wanabadili historia makusudi kumsafisha mtawala muarabu
Acha upumbavu waislam ndo wakwanza kupata elimu wewee acha upotoshaji
Inatakiwa nawe ulete vielelezo vyako, huko ni kubwabwaja
Ukatae kwa hoja usiwe mbumbumbu
Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu
@@vikitu4793 anawadanganya waoumbavu wenzake