KUSIMAMA NA KUDONDOKA KWA DOLA YA ZANZIBAR #2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • kusimama na kudondoka kwa dola ya Zanzibar

Комментарии • 37

  • @zeanamohamed4072
    @zeanamohamed4072 5 лет назад +1

    Mwenyezi mungu akubarki tulikuwa hatujuwi.kitu..tuwelewesheni. Wazanzibar tufunguke vichwa MN vyetu inshaallwa. Nakutakiya. Lila.la.kheri. usirudi nyuma..twende mbele tuitambuwe Zanzibar .yetu

  • @MAZRUI_GAMING
    @MAZRUI_GAMING 12 лет назад +7

    inshaalah zanzibar tutaipata wenyewe

  • @zenionepureone1265
    @zenionepureone1265 12 лет назад +3

    WAZANZIBARI WENYEWE HASA NI WAISLAMU SIYO WAKIRISTO

  • @dkmasengamrisho912
    @dkmasengamrisho912 5 лет назад +2

    Hizi histolia za kweri lakini lakini hawa waislam hakujipanga vizuri kijeshi

  • @fatimakhalifa144
    @fatimakhalifa144 5 лет назад +2

    hizi ndizohistoriya zakweli Zanzibar

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 4 года назад +2

    utumwa kwa kwa mtu mweusi hauji toka akilini,bado hatujui waarabu na wazungu wote washenzi wametuuza leo tunawatukuza na kujivunia,daaa twaitwa nyani bado tuu akili hazifunguki

  • @MasudiSuleman-ui5wh
    @MasudiSuleman-ui5wh 10 месяцев назад

    Mung tu towe kwenye Mikono ya wadhalim

  • @ukweli11
    @ukweli11 10 лет назад +2

    Jee mbona hamzungumzii mauaji ya maelfu ya waarabu mwa 1964 wakati mulipofanya mapiduzi kumkomoa sultani?????????

  • @dkmasengamrisho912
    @dkmasengamrisho912 5 лет назад

    Wallah anasema kweri tatizo nini sasa hari yetu imekuwangumu

  • @s.m.jawadida8868
    @s.m.jawadida8868 Год назад

    الله اكبر

  • @dkmasengamrisho912
    @dkmasengamrisho912 5 лет назад

    Jamani hawa waisilam warikuwa na dola kubwa kiasihicho hawana jeshi imala?

    • @jumampango6802
      @jumampango6802 4 года назад +1

      Sikiliza vizuri ndo ucomment

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 3 года назад

      Vita fupi kupita zote ni hii dola ilichapwa

  • @dkmasengamrisho912
    @dkmasengamrisho912 5 лет назад

    Ndiomaana zanzinzibaar ina wasomi wakubwa kabisa nani kitovu cha erim kwahistolia hii nimerizika huyu shekhe nimkweri

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 12 лет назад

    TUKITAKA KUJUA UKWELI HAPANASHKA YOYOTE HUU NDIO UKWELI
    NA UKWELI HUFUATANA NA USHAHIDI

  • @rashidalbalushi8355
    @rashidalbalushi8355 2 года назад

    Sheikh suna ya mtume kunywa maji mkono wa kulia

    • @nassorrashid6466
      @nassorrashid6466 2 года назад

      Huyu mkono wake mbovu

    • @HamadFakiOthman
      @HamadFakiOthman 9 месяцев назад

      Muangalie vizuri Uyo shekhe Ni mlemavu wa mkono eti hawezi kunywa Kwa kulia

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 6 лет назад

    Acha uongo kilwa ndo ilianza kua na sarafu yk sa kilwa ipo wp????

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 лет назад

      Kilwa ni sehem ndogo sana katika dola ya Zanzibar
      Tanganyika, Uganda, Kenya, Rwanda mpaka Comoro ilikuwa ndani ya ZNZ. Sasa we unaongelea kilwa wakati yenyewe ilikiwa ndani ya pori Tanganyika

    • @famitoissanawanda6295
      @famitoissanawanda6295 5 лет назад

      Acha ujinga wewe kilwa ilikua ndani ya Zanzibar

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 3 года назад

      @@mohamedothman9769 Kwa hiyo hii ndio dola iliyokuwa ukiwachukua utumwa babu zetu na kujitajirisha sio, sio? Bora imekufa, tungeifanya kitu kibaya sana

    • @saidsfaudh4336
      @saidsfaudh4336 3 года назад

      Msirumbane Sana mambo hayo yalikua chini ya utawala wanani Kati IRAN .YEMEN .OMAN .

  • @mtzmtulivu
    @mtzmtulivu 11 лет назад

    Kama wewe mzanzibari,how much of what this guy is saying do you believe to be true?French were shipping slaves off of east African coast?Arabs fought against the French to stop slavery in EA?Since Arabs were not slave owners,then who worked in their plantations?I cant help it but wonder what side this guy would have been on during the 1963 ass kicking off the island of Arabs rulers he seem very careful not to mention in his praise of "great Zanzibar empirer"

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 3 года назад

      Hawa wanabadili historia makusudi kumsafisha mtawala muarabu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 6 лет назад +1

    Acha upumbavu waislam ndo wakwanza kupata elimu wewee acha upotoshaji

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 5 лет назад

      Inatakiwa nawe ulete vielelezo vyako, huko ni kubwabwaja

    • @mwitahassan7314
      @mwitahassan7314 5 лет назад

      Ukatae kwa hoja usiwe mbumbumbu

    • @vikitu4793
      @vikitu4793 3 года назад +1

      Mkadanganyane huko huko. Mtume Muhamad amezaliwa 570AD. Utakuwa mpumbavu kuamini watu hawakuwa na mifumo ya elimu kabla ya hapo. China ilikuwa inaandika katiba yake miaka 1000 kabla ya hapo. Na na hata kabla ya hapo watu walikuwa wanaelimika sana tu

    • @stanslausmteme8455
      @stanslausmteme8455 Год назад

      @@vikitu4793 anawadanganya waoumbavu wenzake