Mungu ajawai kushindwa ktk hili mungu atakutetea lipo jeshi lisilo onekana litakupigania. Biblia inaseka ktk kitabu cha.Yoshua. 2:5:6.Apatskua na mtu yeyote atakae simama mbele yako
Wewe mshikaji unazingua sana unapenda sana kuchafua mambo mkuu zungumzia maisha yetu mkuu sio Kila siku natafutwa natafutwa. Mbona upo tu mzee na unapatika. Acha hizo mkuu tupambanie acha kufanya vitu kama unaitaji huluma ya watu Mwambie akupe ushaidi Ili wakamatwe.
Mwenyezi Mungu anawaona hao watu sio wazuri kila siku kutengenezea watu ajali ..ila siku moja ukwel utakuja kujulikana .ww LISU chukua nafasi ya uenyekiti .. Mboye apumzike na wakimgusa heche tutaandamana maana wanataka kutuzoea sanaaa .. AU UKIONA haueleweki mm ninakushauli mheshimiwa TUNDU LISU TIMKIA CCM CHAMA TAWALA ONGEA VZR NA MAMA ATAKUPATIA NAFAS YA KAZI ...NJOO KWENYE CHAMA CHA AMANI
MR BN WA TZ. SIKU 2 NI NJE YA TANZANIA GARI DOGO DAR BUKOBA KM 1400 HIVI KWA MWENDO KM 120 KWA SAA, JIBU NI MASAA MANGAPI HAPO. DAR KIGOMA KM 1250. AMMA KWELI SIASA MCHEZO MCHAFU. KUNA MAHAKAMA HADI YA DUNIA, FUNGUA KESI, USHAHIDI UNAO WA HAO WAZEE KWA GARI SIKU MBILI.
Daudi alikumbuka Mungu alivyomuokoa na makucha ya simba na dubu, hata wewe mh Lissu Mungu aliyekuokoa na lisasi zilizomiminwa juu yako tar 7/9/2017 atakuokoa na mashetani yatakayoinua mkono wa mauti juu yako ktk jina la Yesu kristo lipitalo kila jina.('Amina)
😳Hii ni raisi mbona polisi msihangaike Sana kamata Lissu Lissu ataje huyo mtu huyo mtu ataje wanaopanga njama hizo hapo ndo tutajua watekaji ni akina nani
Maneno ya kuambia Mzee Sio poa huenda Wamekwambia Ili useme ili wapate point Fulani Maneno ya kuambia Unakua Makini tu kimya kimya Siasa ni Mchezo Mchafu
Huyu jamaa siasa yake huwa ni ya kutafuta huruma tu ya wananchi. Hajawahi kuwa na sera constructive, yeye huwa anatengeneza tu scripts za movie ili watu wamwonee huruma.
Hiyo ni mbinu ya kivita tu ya Mbowe, na huyo Mbowe ndo amemtuma huyo mtu na anajidak kwamba sio yeye😅😅😅 Ni Mboweeee huyoooo acha ujinga wewe ni mwanasheria ila fikiria
Aisee, sio kwamba Lisu ndo ana akili kuliko watu wote, ila ana akili kuliko wewe tuu😄😄😄 kwahiyo kama unadhani hivyo polee, ni sawa na wanaoamini ukimkosoa mzungu ety unakosea kwasababu Wana akili kuliko sisi, ujinga huo, mm Nina akili kuliko Lisu ndioo😃😃
Mimi simkubali Lissu kuwa Mwenyekiti, lakini hili huenda likawa na ukweli. Kwani aliwahi kusema hivi hivi kabla ya kupigwa risasi, watu wakawa wanadharau lakini baadaye akapigwa kweli.
Pole baba mwenyezi mungu akulinde na akutunze baba
Mungu ajawai kushindwa ktk hili mungu atakutetea lipo jeshi lisilo onekana litakupigania. Biblia inaseka ktk kitabu cha.Yoshua. 2:5:6.Apatskua na mtu yeyote atakae simama mbele yako
Msema ukweli uyo hupindixhagi ndoo ninacho kupendea💚🇹🇿🤚
Mi nilijua tu tundu lisu na mbowe nia ya hao watu wanayaka kuwauwa mungu mlinde tundu lisu mlinde mbowe asante mungu kila jaribio lishindwe
Huyu ngwengwe ni noma xana na hii hazina itunzwe xana namkubali xana❤❤❤❤❤
Huyu jamaa akwepesha ni anataja Rais .polisi na usalama wa Mchongo direct speech....❤❤
Mungu amsaidie katika harakati zake za kisiasa!
Siasa bana.nikujitoa muanga. Nikufa nakupona😅😅
Hujawahi kosea mzee, mungu kakubaliki kinywa chako kuongea ukweli
Mungu atakulinda!
Pole sana tuko pamoja na wewe
mungu akulinde kaka
Mwingine alikunywa konyagi dodoma WAKATI anatoka kwa dem wakamsingizia MAREHEMU wa MUNGU
Nakubar Wazee wakazi
Wewe mshikaji unazingua sana unapenda sana kuchafua mambo mkuu zungumzia maisha yetu mkuu sio Kila siku natafutwa natafutwa. Mbona upo tu mzee na unapatika. Acha hizo mkuu tupambanie acha kufanya vitu kama unaitaji huluma ya watu
Mwambie akupe ushaidi Ili wakamatwe.
We Yusuphrebron we ndo mtekaji nn
@TessyMalaika ww ndio umesema sasa siwezi bishana na maneno yako mkuu
Siasa za kinafiki😊😊😊
Lisu nakuomba na kukuombea kwa Mungu akujarie
Amen
Acha kutengeneza movie 😂😂😂
Angekuwa baba yako ungesema hayo, anatengeneza movie?
@geofreykasinda1895 kama anatengeneza movie ningesema tu
Siku ujinga ukikutoka utakuja kuelewa
@MawazoKitumbo huelewi kwa sababu ya upumbavu ulionao
Wewe ni kubwa jinga
Mwenyezi Mungu anawaona hao watu sio wazuri kila siku kutengenezea watu ajali ..ila siku moja ukwel utakuja kujulikana .ww LISU chukua nafasi ya uenyekiti .. Mboye apumzike na wakimgusa heche tutaandamana maana wanataka kutuzoea sanaaa .. AU UKIONA haueleweki mm ninakushauli mheshimiwa TUNDU LISU TIMKIA CCM CHAMA TAWALA ONGEA VZR NA MAMA ATAKUPATIA NAFAS YA KAZI ...NJOO KWENYE CHAMA CHA AMANI
Ila asiende CCM akomae hapo hapo ndio kuna kitu chake Mungu alichomuandalia
Licha yawao kukuombea mabaya Mungu analipa
Bashar Al-Asad si kaishatolewa
Siasa Iogope Wanachi hapa Tunachezewa Akili sana Lazima Uwe na D mbili ndio uelewe
Lisemwalo lipo msipuuze mhe.Lissu💯
Kabisa
Ndo uzur wa lisu
MR BN WA TZ.
SIKU 2 NI NJE YA TANZANIA
GARI DOGO DAR BUKOBA KM 1400 HIVI KWA MWENDO KM 120 KWA SAA, JIBU NI MASAA MANGAPI HAPO. DAR KIGOMA KM 1250.
AMMA KWELI SIASA MCHEZO MCHAFU.
KUNA MAHAKAMA HADI YA DUNIA, FUNGUA KESI, USHAHIDI UNAO WA HAO WAZEE KWA GARI SIKU MBILI.
Unatembea barabara ya nani km 120 Kwa saa safari nzima?
Mungu atakusimamia
Safari hii wakikufanyia ubaya mungu atageuza uteka uende kwao
Mungu/MUNGU sio mungu
@Zaburi- asante MUNGU atageuza uteka kama muhusika ni wewe kaatayali kupokea 😂
Huyo mbowe wa Nini bwana atoke tuna taka changa moto mpya
Kwer wamezoe ukatir
Lisu alindwe
Kama hutamtaja wewe utakuwa unapoteza point Kwa wanainchi😂😂
Lissu ndojasili zaidi Peter nchii
MUNGU atete na wote wanaoteta na Lisu
Amen
Daudi alikumbuka Mungu alivyomuokoa na makucha ya simba na dubu, hata wewe mh Lissu Mungu aliyekuokoa na lisasi zilizomiminwa juu yako tar 7/9/2017 atakuokoa na mashetani yatakayoinua mkono wa mauti juu yako ktk jina la Yesu kristo lipitalo kila jina.('Amina)
Amen amen amen 🙏
Nyinyi ni watu wa siasa za kutengeneza matukio alafu mnasingizia viongozi wa serekali lakini watanzania tushakufahamuni hamtupi shida
Watanzania nanani?? Labda wewe na chawa Wenzako😅😅 Jinga kabisa nyie Watekaji, kutumia AKILI hamuwezi, 😅
Mwamini Yesu, Yesu ni Mungu
Huyu jamaa kwa propaganda humfikii😅😅😅😅
Hiyo aliyekwambia ndio shaidi namba 1
Tuliosoma cuba ....nimekuelewa ...umelenga nini....na tumejuwa jina mbowe linapojirudia rudia ....😮😮😮😮😮
Ameanza kukimbia kivuli chake!😂😂😂😂
😳Hii ni raisi mbona polisi msihangaike Sana kamata Lissu Lissu ataje huyo mtu huyo mtu ataje wanaopanga njama hizo hapo ndo tutajua watekaji ni akina nani
K....
Kabisa achukuliwe amseme
Kwahyo unataka watekaji wajikamate wenyewe?
Unafikiri mambo ni rahisi kama unavyojua
@@SaniaIdrisa muongo tuuu huyo Lisu amevurugwa na Bonie wa Chadema sababu alimpa makavu live
Mimi kama jirani nina swali mbona mtese uyu kiongozi anawasumbua sana kwani tz serekali yote amna wasomi nini mnataka afande sele alikwisha sama mnachezea amani sawa
Kama sio mtu wa siasa,ni mzee gani tena huyo 🤔
Au mzee Mpili🙃🤭
Jaji mkuu mstaafu, Warioba
Mmmmh lakini upinzani mwakani hamna jipya aisee😂😂😂😂😂
Kwahyo watekaji ndio wana jipya?
Kwa hiyo mtekaji anakupigia simu kuja kukuteka...acha kiki wewe!!!
Ww unaona mandarin, mbuga,mistu ni kawaida tu wapinzani hawana jipya
Bonge mwezio wa Chadema Amekuchana sasa hivi unaaza kuyumbisha watu kwa kiki ya kutekwa😂😂😂😂
Mbowe achie ngazii tumemchoka
huyu anajua chadema wenzao hawamtaki
Nani amrinde amekuwa rais huyo polis waache kulinda raia wamrinde lisu
Safi sana
Mhuuu 😂
Hallucinations,na paranoia.Hakuna kitu kama hicho ni ukichaa kichwani psychotic😢😢.Uongo anaota tu
Wew una Mania.
Yan lisu hanaga story zingine zaidi yakuongelea kutekwa😂😂
Ivi ccm mkikosorewa mnachukia
Wakili nguli anashindwa nini kufungua kesi ya kutishiwa maisha yake, badala yake anapiga yowe tu???
Huyu ni tapeli na ashajulikana msaliti anatumiwa na wenye madaraka sasa hataki kuonekana hvyo ndyo maana anatupaka ushuzi
imetengenezwa hiii...
Atakuwa mzee mpili
Jeshi la police lisichukulie powa, aitwe tundu lisu aeleze huyo mtu ni nani aliyemfikishia taarifa hizo,
Binafsi naona janja janja ya huyu jamaa,
Maneno ya kuambia Mzee Sio poa huenda Wamekwambia Ili useme ili wapate point Fulani Maneno ya kuambia Unakua Makini tu kimya kimya Siasa ni Mchezo Mchafu
TUNDU LISSU ni WILLY PAUL wa Tanzania. Kichekesho 🎅
Nanyi mnaosikiliza mnatumia akili kuelewa ? hao wenyewe Kwa wenyewe muongo anajistukia ,acha kujihami muongoooooooooooooooooo
Jamani Lissu hanaga siri
Huyu jamaa siasa yake huwa ni ya kutafuta huruma tu ya wananchi. Hajawahi kuwa na sera constructive, yeye huwa anatengeneza tu scripts za movie ili watu wamwonee huruma.
Una uhakika upi wa hayo uliyo elezwa?
We utakuwa unafilwa sio bure
Yani siku zote unatafuta kiki
Tayari Kesha jificha nyuma ya pazia...huyu siyo mwanasiasa ni mchochezi .
Siasa za uongo tu hizo
Bwana ndie mchungajiwako hutapungukiwa nakitu,waliokukosa mwanzo naleo watakukosa.mchawi ukishamjua hawezitena
Achakuongea mambo ya kutunga wewe unajistukia bure wala huna lolote nani anashida ya kukuua wewe kwenda zako huko uwoga tu umekujaaa
Itabidi tuanze kumshika lisu ili asaidie polisi 😂,, au anafuga majambazi
Mbona mbowe haachii uenyekiti,vita Ni mbowe na lisu ccm haihusiki
Trump kakoswakoswa sembuse ww ongea mamboyenu ya chama unatuchanganya
We unawamini mabalozi wa nje zingine huamini jeshi la police la nchi yako mzee wangu
Uyo k itakuwa
LISSU MTU MBAAAAD
Watashindwa mbwa hao
Amen washashindwa hapo
Siunaela za mashoga wenzanko watakupa ela ongeza
KILA UNAPOSEMA UNACHO SIKIA UTAKUWA MWONGO
😅why lisu unasema mbowe ndo amefanya ni kama unatushtakia mfano mimi nilikua sifahamu kama mbowe aliambiwa kajaribu kukuua😅😅😅 unatupa taarifa kijanja
Hiyo ni mbinu ya kivita tu ya Mbowe, na huyo Mbowe ndo amemtuma huyo mtu na anajidak kwamba sio yeye😅😅😅 Ni Mboweeee huyoooo acha ujinga wewe ni mwanasheria ila fikiria
Asante 😂
Uko sahihi huyu hajielevi
Kwaiyo wewe unaakili kuliko lisu acha usenge wewe😅😅😅😅😅
Aisee, sio kwamba Lisu ndo ana akili kuliko watu wote, ila ana akili kuliko wewe tuu😄😄😄 kwahiyo kama unadhani hivyo polee, ni sawa na wanaoamini ukimkosoa mzungu ety unakosea kwasababu Wana akili kuliko sisi, ujinga huo, mm Nina akili kuliko Lisu ndioo😃😃
Piga kazi mwamba
Madaraka sio Madaraka Nyerere, bali madaraka ya ugali, cheo, biashara ndo uue mtu, ni ujinga wa kipepo...haya ulimwengu huu
Huyo huyo mzee ungedili naye akuambie anayetaka kukuumiza
Lisu muongo
Mimi simkubali Lissu kuwa Mwenyekiti, lakini hili huenda likawa na ukweli. Kwani aliwahi kusema hivi hivi kabla ya kupigwa risasi, watu wakawa wanadharau lakini baadaye akapigwa kweli.
Sinema iziiii
Hujawahi kosea mzee maneno yako, mkuu
Big point 💯
Akishikwa achapwa vimbo vizuli atatuambia hayo maneno kayatoa wap Nan amuze kilema saiz 😂😂😂
Acha kupenda sifa ww fanya siasa kwa Hoja za Mashiko sio Kila siku kujilalamisha tu, kwa mtindo huuu hata ugombee Mara 10 huwezi pata Uraisi
Jamaa liongo hili, kwani wewe nani
Mbinu ya kivita hiii kwa tunaojua siasa...
❤❤❤❤❤❤❤
Mzee kwanini usije huku kwenye chota ule
Uyo labda ni mzee wariyoba make uyo pekee ndo amebaki mkweli kwenye nchi hii.
Mambo
Wewe kalialia acha uongo
Siku na ww ukitekwa ndo utaacha unafiki
Akuteke nani wewe unatuchosha😂😂😂😂
Ndugu zako ni watekaji. Waambie waache kuteka watu
Acha UONGO hamna Sera HAPO,,unajinadi kwa matukio hamna sera tena kwa wananchi mtakampeni nini,,hizo sasa ndo zimekuwa kampeni.
😂😂😂😂😂 Kasha Anza mauza uza 😂😂😂 fanya Siasa ndugu acha drama
Huyu wanasheria kashapotea we kila cku ni kulalamika tu
Mipango yote ni uongo fungua kesi mahakamani serekali ichukuea atua juu ya hizo kauli zako kwani niatalishi kwa taifa na chonganishi kw raia
Dalili za kufeli
mhh wacha zako