WILSON ORUMA AMMWAGIA MAUA KOCHA SIMBA, WATAKABA SANA, AMTAJA MOHAMED HUSSEIN.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • WILSON ORUMA AMPA MAUA FADLU, SIMBA WATAKABA SANA, AMTAJA MOHAMED HUSSEIN.
    Mchambuzi kutokea EFM Tanzania, Wilson Oruma amemmwagia sifa nyingi Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids
    #yanga #yangasc #yangatv #yangaleo #yangalive #caf #cafcl #azamfc #jkupdates #simbasc #simba #simbaleo #simbalive #simbaliveleo #simbatanzania #simbatanzania #nguvumoja #daimambelenyumamwiko

Комментарии • 15

  • @braytonsebastian1952
    @braytonsebastian1952 Месяц назад +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Месяц назад +2

    Oruma nakuelewa sana unajua sana kuchambua mpira

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Месяц назад +1

    COACH marehemu MOHAMMED Msomali alifanya demo MWENYEWE

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians Месяц назад

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations 🎉🎉🎉🎉

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Месяц назад

    Hii habar inanifanya nianze week kifua mbele😂😂😂,mzee wa jambia upo sahihi mtaalam wang/wetu.SIMBA tumesajili damu changa sasa kuna timu imesajili wastaafu😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @mohammedalifa7945
    @mohammedalifa7945 Месяц назад

    Mtangazaji umependeza. Mauwayako nakupa

  • @dicksonmtandi8806
    @dicksonmtandi8806 Месяц назад +2

    Kwahiyo na mwaka huu mkifungwa nje ndani na yangu mtakuwa mmehujumiwa na nani? Maana wote mnaowatuhumu walikuw wanahujumu simba wameondoka na kina chama wapo yanga,,,simba acheni maneno sana mpira ni uwekezaji kiukweli yanga wamewekeza kuzidi nyinyi,,,kingine simba msiweke matarajio makubwa sana kwenye timu yenu msimu huu zaidi mjikite kujenga timu vinginevyo mtamfukuza kocha, kujenga timu kunahitaji uvumilivu

    • @kamandamlimaog3430
      @kamandamlimaog3430 Месяц назад

      wale woote walioletaa hujumaa wametolewaa....
      chama
      mkudee
      inonga
      balekee
      pamojaa na viongozii waliopandkzwaa
      mangunguu ......kajuraa....
      tumesafishaa hakunaa Teena ujumaa sublienii maumivuu

    • @ethansapili5038
      @ethansapili5038 Месяц назад

      Usiwe na haraka utajua mkishatufunga

  • @ElibarikiMollel-y4k
    @ElibarikiMollel-y4k Месяц назад

    Simba wanacheza saa ngapi na vp inaoneshwa live

  • @mohammedalifa7945
    @mohammedalifa7945 Месяц назад

    Myamgazaji pendeza saana